'Hidaya' chasababisha uharibifu njia ya Somanga - Mtama, TANROADS mbioni kurejesha mawasiliano

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Athari za kimbunga Hidaya kimezikumba baadhi ya barabara mkoa Lindi na kusababisha uharibifu mkubwa ikiwemo kukatika kwa barabara.
    Kwa mujibu wa meneja wa TANROADS mkoa wa Lindi, Mhandishi Emil Zengo kimbunga Hidaya kimechangia kusukuma maji kwa wingi na maji yaho yamefanya uharibifu kwenye barabara ya Somanga - Mtama na kukata tuta la barabara hiyo eneo la Mikereng'ende umbali wa Kilomita 10 kutokea Somanga uelekeo wa Lindi.
    Tazama hali halisi ilivyokuwa asubuhi ya leo Mei 5, 2024.

Комментарии • 4