Mgogoro Mashariki ya Kati walikutanisha Baraza Kuu la Usalama UN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa kusitisha mapigano yanayoendelea kuenea katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kusema kuwa ni wakati muafaka sasa wa kusitisha mzozo unaoendelea kati ya Israel, Iran na washirika wake, Hezbollah na Hamas.
    Guterres ameyasema hayo katika Mkutano wa Dharura wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa mapigano yanayoendelea ya mfululizo eneo hilo la mashariki ya kati yanahatarisha usalama.
    #MzozoMasharikiyaKati #BarazalaUmojawaMataifa #MkutanowaDaharura #Usalama
    Mhariri: @official_jennifersumi

Комментарии • 50