Biashara ya mkaa nzuri sana hasa ukitegea msimu wa mvua ambapo unakuwa adimu lakini inapendeza zaidi ukiwa mazingira ya uswahilini maana ndo watumiaji wakubwa wa mkaa
Nice dada!👋 umetoa facts Idea nzuri umeweka humu za biashara zinaeleweka hapo nikutoa sababu ya kutokuanza tuh na kuuanza umeeleza vitu muhimu step kwa step safi sana!👍..
Yes yes hio mama lishe inafanya asilimia mia moja bora tu kuwe na utamu wa hali ya juu🤤🤤🤤 asante mpenzi alafu hivyo vitafuno kwa kwetu ndio biashara inayosaidia mno shukran
biashar y viat vy watoo viat vy kike kam simpl, kalcha, raba nk. lkn pia biashar y vipoch biashar y uremb kam heren mikuf bangil.. hizo nazo pamb kidg dadang.. pend san ww mshaur mzur
@@kekiplus1andonly shukran habipty kwa kunifanya nijione naweza na kuacha woga, nikirud tz insha Allah nataka niwe mfanyabiashara kati ya hzo ulizozitaja
Yan hii chaneli naipenda sana, manajua sana big up kwako dada, ubarikiwe sana, na sio mchoyo katika maendeleo.
Namshukuru Mungu,asante sana kwa sapoti
Asante sana dada,you've realy provide the basics.may Allah reward you.realy interested
Thanks so much,Allah bless &reward you too for supporting..it means alot
Biashara ya mkaa nzuri sana hasa ukitegea msimu wa mvua ambapo unakuwa adimu lakini inapendeza zaidi ukiwa mazingira ya uswahilini maana ndo watumiaji wakubwa wa mkaa
Kweli kabisa🙏🙏🙏
Sis.. I've learnt a lot from this one video ..keep up 🙈
Start where you are with what you've got..
Yes,that's the most important thing to note
Nice dada!👋 umetoa facts Idea nzuri umeweka humu za biashara zinaeleweka hapo nikutoa sababu ya kutokuanza tuh na kuuanza umeeleza vitu muhimu step kwa step safi sana!👍..
Shukran sister for ur help we learn alot from u
Asante. Ningependa kujifunza kutengeneza unga wa uji . Naomba namba za mahali wanafundisha.
Shukran my
excellent recipe
thanks for sharing stay connected
Thank you sis
Yes yes hio mama lishe inafanya asilimia mia moja bora tu kuwe na utamu wa hali ya juu🤤🤤🤤 asante mpenzi alafu hivyo vitafuno kwa kwetu ndio biashara inayosaidia mno shukran
Woooow thanks kwa mchango wako love..vitafunwa ni nzuri sana....mama lishe✔💯
@@kekiplus1andonly karibu love ❤️❤️
Hadija sheban do u know how to make hiyo unga ya lishe ya mama na watoto plz help
Ila inachoshaa😭
@@mishikikoti2948 kila kazi inachosha kwa anayeifanya,ata anayeshinda ofisini anachoka
Ellerine sağlık 👍👍👍👏🏻👏🏻👏🏻🌸🌸
Tesekkur ederim 😂
Asante mpnz yaani idea pambe
Asante my dear
Karibu sana
Cool🎉
Wooow
Shukran
Sister tell us how to make hiyo unga ya lishe
Dada I heart you
I heart you more😍😍😘
Nianz kesho😜😘😘
Hahaha usianze kunichekesha zulfat
Asante
Karibu sana
biashar y viat vy watoo viat vy kike kam simpl, kalcha, raba nk. lkn pia biashar y vipoch biashar y uremb kam heren mikuf bangil.. hizo nazo pamb kidg dadang.. pend san ww mshaur mzur
Wooow kweli kabisa,biashara za kudeal na wanawake zinatoka sana kipenzi😍😍😍😘😘asante sana kwa kuchangia mawazo dear. Barikiwa
Tunaitaji sana biashara kama iz sema watu wa kutushika mkono kuhusu maswala ya uzoefu
Shukran habipty
Alhamdulillah, karibu Sana
@@kekiplus1andonly shukran habipty kwa kunifanya nijione naweza na kuacha woga, nikirud tz insha Allah nataka niwe mfanyabiashara kati ya hzo ulizozitaja
🤗
Biashara ya ganja inalipa sana inataka moyo wakujitoa sasa
AHSANTE MUMY
Karibu sana dear