Naona tunachelewa Devo, tupeni mchakato wa fedha nitakazo kuwa nazo mfukoni kuishi ughaubuni. Mimi issue ya marekani sitaki hata kuisikia unayo complications sana na inaonesha inayo ubaguzi sana
Wow! Asante Devo kutuletea huyo bro, je ofisi yake ipo sehemu gani Dar? Na je haiwezekani akanifanyia vyote hivyo nikifika guko ughaibuni nikiwa nimepata kazi nimlipe hela yake, na je ni USA tu au anaweza pia kunifanyia na mpango wa News Zealand au Australia. Na ni kiasi gani cha fedha natakiwa kuwa nacho kukamilisha huo mchakato wote? please naomba msaada wa majibu hapo.
@@Devota_life shida iko kwenye mawasiliano na hawa ndugu zetu wanaokaa ughaibuni, wengine wanadhani tunahitaji msaada was fedha nooo, sisi tunahitaji connection tu, kama wewe Devota unavyofanya ni mfano halisi wa kuigwa na hao wwnzako wanaoishi ughaibuni. Unayo spirit ya kusaidia. Tunayo mifano mingi hatuwezi taja yote humu ya wenzetu wenye roho mbaya waliotoka bongo tena marafiki zetu wa karibu mno ,hawataki mawasiliano yetu kabisa. Kama anavyosema bro Ernest wenye " roho mbaya"
Umri unakimbia tupeni njia ya kuondoka bana...kiasi gani cha fedha nikiandae kwa ajili ya flight, matumizi kwa muda nikiwa ughaibuni na process za kuandaliwa documents?
Devotha naomba kuuliza vip kwa mtu anayetaka kuja huko kujitafutia pesa lakini hana elimu yoyote kuna kazi gani kwa wasio na elimu na walipaje kwa saa kwa siku kwa wiki au kwa mwezi
Maisha yalivyokaza hivi hapa bongo inawezekana kweli kuwa nimeenda UK, German na kurudi nyumbani wakati hizo fedha umetafuta kwa kujikamua hadi tone la mwisho...kwa mfano umeweka budget ya 8m hiyo hiyo ni nauli na gharama ya kuishi nikifanikiwa kuondoka bongo, then nije nyumbani halafu nifanye tena application ya kuomba tena visa kwenda USA? Tupeni njia rahisi hata wewe Devo na Brother Ernest mtufanyie fervour kwani mnajua maisha ya bongo yalivyokaza.
Hongereni sana na asanteni upendo ❤❤❤
Mwakeye mugabo. Uko sawa mzeee.
Dada nauona uwezo wako safi sanaaa kazi nzuri
Tuna mpata vzr..
Huyu devota ni mpiganaji wa muda mlefu sana...
Naona tunachelewa Devo, tupeni mchakato wa fedha nitakazo kuwa nazo mfukoni kuishi ughaubuni. Mimi issue ya marekani sitaki hata kuisikia unayo complications sana na inaonesha inayo ubaguzi sana
Hongeren sana
This guy's my role model✊🏿
Ah brother EBM Huwa namkubali sana ...Mnatusanua mengi mazuri .. soon
Devota tunakuheshimu sana.
Wakati mwingine uwe unafanya uchunguzi wa kitosha.
Hiyo conference ya ujerumani ya July nani ana organize ? Niweke kwenye list?
Thanks much
Dada Leo umeniletea Ernest mwezangu. Ubarikiwe Sana sister
Twende Marekani ❤❤❤❤
Asnte Dada Mungu atafanya wepesi wake tutafika kikubwa tumuombe Mungu tu.
@@enemtatuka5863 Amen
@@Devota_life marekani NO hahaha
Safi sana kaka yetu
😊😊😊😊
❤❤❤
Dar ofisi Iko sehemu gan Dar kubwa
Naomba umfollow Instagram
Yake EBM SCHOLAR
sister devote Bado uja fungua office Yako Tz tuje
Devota uwe wakala uweze kusaidia wengi pia fungua ofisi Dar ongereni sana na mzee wakazi makulilo ongereni sana
Da Devota nina kijana wangu ana degree ya nursing na anafanyakazi mwaka wa 3 sasa anatafuta kazi huko.Naomba msaada afanyeje??
Leo umemleta gwiji mwenyewe
Devo nilikutumia email kama siku chache zilizopita sasa , sijui kama ulifungua?
Hello brother ngoja nicheki
Baada ya muda gani nikifika ughaibuni naweza pata kazi?
Kwamambokama haya unatufanyia ...mungu akubariki d jamani
Amen na kwako zaidi
Wow! Asante Devo kutuletea huyo bro, je ofisi yake ipo sehemu gani Dar? Na je haiwezekani akanifanyia vyote hivyo nikifika guko ughaibuni nikiwa nimepata kazi nimlipe hela yake, na je ni USA tu au anaweza pia kunifanyia na mpango wa News Zealand au Australia. Na ni kiasi gani cha fedha natakiwa kuwa nacho kukamilisha huo mchakato wote? please naomba msaada wa majibu hapo.
Niandikie email yako nikuconnect nae
@@Devota_life shida iko kwenye mawasiliano na hawa ndugu zetu wanaokaa ughaibuni, wengine wanadhani tunahitaji msaada was fedha nooo, sisi tunahitaji connection tu, kama wewe Devota unavyofanya ni mfano halisi wa kuigwa na hao wwnzako wanaoishi ughaibuni. Unayo spirit ya kusaidia. Tunayo mifano mingi hatuwezi taja yote humu ya wenzetu wenye roho mbaya waliotoka bongo tena marafiki zetu wa karibu mno ,hawataki mawasiliano yetu kabisa. Kama anavyosema bro Ernest wenye " roho mbaya"
Umri unakimbia tupeni njia ya kuondoka bana...kiasi gani cha fedha nikiandae kwa ajili ya flight, matumizi kwa muda nikiwa ughaibuni na process za kuandaliwa documents?
Ofisi ya Ernest iko wapi?
Mfollow Instagram EBM SCHOLAR
so kaka ebm kama huna assets ya kiwanja au chochote labda ndo umeanza kazi inakuaje ?
Nikujipanga tu kwanza kabla ujasafiri
Kogoma moja hiyoooo❤
Devotha naomba kuuliza vip kwa mtu anayetaka kuja huko kujitafutia pesa lakini hana elimu yoyote kuna kazi gani kwa wasio na elimu na walipaje kwa saa kwa siku kwa wiki au kwa mwezi
Je hana mialiko ya conferences kwa nchi zingine...marekani hapana
Hello brother leo saa Tatu ya Kibongo ntakuwa na Mtu kutoka Sweden na tutaangalia jinsi ya kujibu maswali yote
Kama mtu unanyumba na viwanja havina hati inakuwaje kwenye kuonyesha strong ties
Maisha yalivyokaza hivi hapa bongo inawezekana kweli kuwa nimeenda UK, German na kurudi nyumbani wakati hizo fedha umetafuta kwa kujikamua hadi tone la mwisho...kwa mfano umeweka budget ya 8m hiyo hiyo ni nauli na gharama ya kuishi nikifanikiwa kuondoka bongo, then nije nyumbani halafu nifanye tena application ya kuomba tena visa kwenda USA? Tupeni njia rahisi hata wewe Devo na Brother Ernest mtufanyie fervour kwani mnajua maisha ya bongo yalivyokaza.
Find me too I can help you. Your welcome
Nimekutumia email Devo