KUNGWI DUME sehemu ya Kumi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • "KUNGWI kakupa mzungu huujui maana yake mfate akakwambie maana ili uondokane na usungo, Siku zote mwanamke mazingira jambo la kwanza ni kujipenda na ndio maana ya pambo la nyumba"

Комментарии • 197

  • @user-gg2jq8mp9d
    @user-gg2jq8mp9d Год назад +21

    😂😂😂😂😂Jmn asanteni sana KUNGWUI DUME mwenye akili na kama umemuelewa Huyu kungui Gonga like😂😂😂

  • @happinesserick3552
    @happinesserick3552 Год назад +15

    Gonga like kama unaikubali na kufatilia kungwi dume😍

  • @ramadhanmnembuka1408
    @ramadhanmnembuka1408 Год назад +20

    Respect for team kungwi dume 👈

  • @aishakassim75
    @aishakassim75 Год назад +12

    😂😂😂 bibi enzi za usichana wake alikua mcharuko

    • @almerquen8910
      @almerquen8910 7 месяцев назад +1

      𝐵𝑎𝑛𝑎𝑒𝑒😀😀𝑎𝑚𝑒𝑓𝑎𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑤𝑒 𝑚𝑖𝑒

  • @wardawarda6109
    @wardawarda6109 Год назад +6

    Hapa hapa kwenye WiFi free niitie uzuuri nafasi ya kufundwa, sina laki mbili za kumpa mama love kungwi LA mama, Mungu wabariki maboss wangu Wasipungukiwe. Wapendwa mafunzo haya yawekeni akilini na moyoni.

    • @frdosr5794
      @frdosr5794 4 месяца назад

      Ma shaaa Allah! Hongera Kaka kungwi dume kwa kazi safi,unamafunzo murwa kabisaa ❤

  • @maryamthabiti
    @maryamthabiti Год назад +3

    Hii imetoka haraka,,hongera kungwi wetu🥳🥰zile zengine uwa zakaa sana mpaka twasahau

  • @Farthun
    @Farthun Год назад +1

    Yaan hadi raha haya mafunzoo hongereni san washitiki wote 👌👌👌👌👌👌🤗🤗🤗🤗🤗👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @benjaminbutala
    @benjaminbutala Год назад +13

    Aminia kungwi najifunza baadhi ya mambo kupitia wewe

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Год назад +3

    Kungwi dume ni mmoja tuu Ibra the Don nakukubali sn najifunza mengi sn kupitia wewe Mungu àkubaliki uzidi kutuelimisha

    • @bakarifatuma5004
      @bakarifatuma5004 Год назад

      Kungwi dume ni mmoja tuu lbra the don nakukubali sn najifunza mengi sn kupiti wewe mungu akubaliki uzidi kutuelimish

  • @SamiraGodfreyMushi
    @SamiraGodfreyMushi Год назад +5

    Tunajifunza mengi ongera zako ❤❤❤❤

  • @RizikiQueen
    @RizikiQueen 26 дней назад

    Uyu bibi jamani nimempenda kwakweli 😂❤

  • @Ramlati-pw1jy
    @Ramlati-pw1jy Год назад +8

    Asant kaka kwa kutupa soma najifunza meng allah akupe maisha marefu kaka 🥰🙏

  • @bintimarkan5898
    @bintimarkan5898 Год назад +4

    Mashaallah mafunzo mazur sana kaka ibrah

  • @ireneachieng7428
    @ireneachieng7428 Год назад +3

    Oyaaaa kungwi leo ni 🔥🔥🔥🔥🔥 bibi ameuwa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ShakiraIsmail-t4l
    @ShakiraIsmail-t4l 20 дней назад

    Nimecheka bibi mkono wake ❤❤❤❤

  • @bintimarkan5898
    @bintimarkan5898 Год назад +3

    Asante kaka ibrah kwa mafundisho yako matamu Allah akubarik

  • @rehemachedi6615
    @rehemachedi6615 Год назад +2

    Nimeipenda sana 😢 mafuzo yako is nice thank you 😊 🙏 ♥️💖❤️💙🙏

  • @ladyaishaoloo-rd3ns
    @ladyaishaoloo-rd3ns 10 месяцев назад +1

    Akuna mwenye ana enjoy mafundisho kama mimi apa😂😂 na venye kwetu amna mambo haya na ejoy sana keep up kungwi dume❤❤

  • @jacintahsulubu5602
    @jacintahsulubu5602 11 месяцев назад +1

    Kaka Ibrah mm haya mafunzo nilishaahi anza kujifunza tangia msimu wa kwanza na bado iyo ndoa sasa mana style n ka hyo ya da siki2 jamani watoto wawil na hakuna ndoa afadhali sasa kwa kuona single mother akiolewa ninatamaa sasa asante sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ilove u from kenya

  • @rahmatyhijja3286
    @rahmatyhijja3286 Год назад +3

    Nakukubari sana na kukufuatiriya unajuwa sana 💋😘

  • @internetmwadila7613
    @internetmwadila7613 Год назад +2

    nzuriiii nimeipenda saana

  • @SaumuBakari-t2h
    @SaumuBakari-t2h 28 дней назад

    Hongera sana kugwi letu

  • @monamaskari2175
    @monamaskari2175 Год назад +2

    Mashaallha yani mm najifuzA sana kabisa

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 Год назад +2

    Tangu nizaliwe sijawai kufunzwa baadhi ya vitu napata kwako In Kenya haya mambo hayapo kabisa Live long Don nazidi kujifunza

    • @aminasaid4174
      @aminasaid4174 Год назад

      Yapo dear labda hutokako wewe ndio amna

    • @fatimejamal1686
      @fatimejamal1686 Год назад

      Kabsaa.. Coast twafunzwa hapa tunaongezea na kujifurahisha😂

    • @aishakassim75
      @aishakassim75 Год назад

      😂😂 utayapata wapi na yaonesha wewe n mtu wa bara

    • @shyllahnekesa216
      @shyllahnekesa216 Год назад

      @@aminasaid4174 Kweli mm ni Mbara na nimesema kweli

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 Год назад +1

    Mashllha nakukubali kaka unasikuliza na kujifunza kila kitu kimetuliya ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-os7go1bk2u
    @user-os7go1bk2u Год назад +3

    Kazi nzur sana

  • @ZawadiAley-dk7dx
    @ZawadiAley-dk7dx Год назад +3

    Namimi pia Leo watatu kwa mara ya kwanza

  • @user-tl8fd6cm9h
    @user-tl8fd6cm9h 9 месяцев назад

    Ahsante kungwi unatuerimisha vzur mungu akujaarie ❤❤❤

  • @zakia4169
    @zakia4169 Год назад +1

    I love your lectures❤❤❤❤ kungwi dume 🎉🎉🎉🎉

  • @agathajuma4827
    @agathajuma4827 Год назад +1

    asante sana kwayo hizi tamsili this is very educational bless y'all

  • @user-py5sn3sx2h
    @user-py5sn3sx2h Месяц назад

    Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @user-ez2ps2qq4h
    @user-ez2ps2qq4h 6 месяцев назад

    Mashaallah tumpeni laki km zote kungwi ndume❤ . Mashaallah

  • @SuleimanShaib-r1z
    @SuleimanShaib-r1z Месяц назад

    Move ip vzr

  • @user-py5sn3sx2h
    @user-py5sn3sx2h Месяц назад

    Asante sana kaka chukua ❤❤❤

  • @zainabuhamisi6740
    @zainabuhamisi6740 Год назад +1

    Asante Kwa mafundisho unaelimisha vizur kaka

  • @AnnaMkiwa
    @AnnaMkiwa Месяц назад

    Hatariiii❤️

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 Год назад +1

    Wanatuambia tuwatukanie mama zao wengine wakiwa juu😅😅😅😅

  • @MwanajumaShaban-z2x
    @MwanajumaShaban-z2x Месяц назад

    Kungwi Ana maneno huyu ahsante ❤❤❤❤😂😂😂

  • @sudiomari9396
    @sudiomari9396 Год назад +1

    Mashallh tupe ya kumi na moja plz❤

  • @DannChafuaa
    @DannChafuaa 7 месяцев назад

    Kungwi jaman mungu awe pamoj nawe katika kazi Yako mam unatupa mafunzo mazur

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 Год назад +1

    Jamani niko mimi halima kenya😂😂 nimefurai sana

  • @franciscajumwa8207
    @franciscajumwa8207 3 месяца назад

    Nakutaka Kenya 2025

  • @GrateKomba
    @GrateKomba 4 месяца назад

    Bibiiiiiiiii chezea bibi weyeeee

  • @rehemachedi6615
    @rehemachedi6615 Год назад +4

    Mash Allah 💙

  • @zaitunwanjiru9048
    @zaitunwanjiru9048 Год назад +1

    Nmejifunza mengi sana ,

  • @user-iv8nb7wt3f
    @user-iv8nb7wt3f 3 месяца назад

    Huyu bibi daaah😂😂😂😂😂😂

  • @xnxbxb7289
    @xnxbxb7289 Год назад +1

    Nakubali baba ngosha ukosaw kumfunza mwanao

  • @user-cu3lq3ib1f
    @user-cu3lq3ib1f Месяц назад

    Jamn nani kamkubali bibi huyu Yuko vizur sio poa

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ mashallhhh mafunzo mazur

  • @user-gb2np2bw8v
    @user-gb2np2bw8v 6 месяцев назад

    Huyu bibi yumo jamani😂😂😂 hapo baada ya shooting kiuno kiliuma balaa😅😅😅 ila nimempenda hatari

  • @MwanajumaShaban-z2x
    @MwanajumaShaban-z2x Месяц назад

    Maa shaa Allah bibi mafunzo mazuri😂😂😂

  • @OmanOman-lt8se
    @OmanOman-lt8se 23 дня назад

    Mimi nataka tu namba zake kungwi dume

  • @billylovebillybillylovebil580
    @billylovebillybillylovebil580 Год назад

    Shukran Ibrah mwendelezo jomon movie nzuri

  • @munahmusa9922
    @munahmusa9922 Год назад +3

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @user-py5sn3sx2h
    @user-py5sn3sx2h Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂bibi asante

  • @user-ju1dg4xt4l
    @user-ju1dg4xt4l 6 месяцев назад

    😆 hahaha hahaha hahaha hahaha bb umeua. Wewe unastahili maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 😆 😂😂😂😢😢😢😅😅😅😮😊❤❤❤❤❤

  • @agnessabuni9641
    @agnessabuni9641 8 месяцев назад

    Kungwi kiboko et kojo co lako loh😂

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 Год назад +1

    Waah nimependa kweli

  • @Zaina403
    @Zaina403 Год назад +1

    Bibi hatareee 😂😂😂😂

  • @user-py5sn3sx2h
    @user-py5sn3sx2h Месяц назад

    Huyu baba wa bwana harusi ana sitahili zawadi ❤❤❤❤

  • @user-jy3iy8de4l
    @user-jy3iy8de4l Год назад +1

    From kenya nimependa sana

  • @yousouph8792
    @yousouph8792 Год назад +2

    Cast ya Baba yake Sengo imetulia sana, Brother huyo mzee usimuache kwenye kazi zako, ukiachana na uigizaji huyo mzee anaongea Kwa vituo na fact Hadi raha

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Год назад

    Najifunza mengi kupitia ibra❤nsimkubali kwanini🎉❤

  • @FikiriniMohammed-ib1zy
    @FikiriniMohammed-ib1zy 3 месяца назад

    Asalam alaykum mimi ni mgeni

  • @fare7720
    @fare7720 Год назад +1

    GOOD JOB IBRA

  • @Zuulito
    @Zuulito Год назад +2

    Bibi kiboko🤣🙌🏾

  • @ireneachieng7428
    @ireneachieng7428 Год назад +1

    Kungwi dume hoyee👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @MmOo-xo5dg
    @MmOo-xo5dg 4 месяца назад

    Bib Shikamoo hongera 🎉🎉

  • @omankafa1555
    @omankafa1555 Год назад +1

    Jaman ni 🔥🔥🔥

  • @didaranks
    @didaranks Год назад +6

    I love your lectures❤

  • @OmarAbdalla-ro9ep
    @OmarAbdalla-ro9ep Год назад

    Kazi nzuri sana hongreni

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 12 дней назад

    Asante sana ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @nuruheartaman5925
    @nuruheartaman5925 Год назад +1

    Nimewai leo

  • @glaysuneytvkenyansingulf7818
    @glaysuneytvkenyansingulf7818 Год назад +1

    Thanks u God bless u bro🙏

  • @user-zk4vj6yj2q
    @user-zk4vj6yj2q Год назад +1

    😢hongera❤️❤️

  • @user-ri9su4ty3o
    @user-ri9su4ty3o Год назад

    ❤❤❤ nmpenda sna nangja ingine

  • @minaa1488
    @minaa1488 Год назад

    Nimempend Bab wabwan Haris🥰🥰

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 Год назад

    Waambieee bibi😂😂😂 kushnei. Nikifanyiwa hivi nauza shamba la baba 😂😂😂😂

  • @user-gb2np2bw8v
    @user-gb2np2bw8v 6 месяцев назад

    Yani Mungu akulipe na akulipe tena kaka yng

  • @binabuu2477
    @binabuu2477 Год назад

    Kazi nzuri kaka ibra

  • @AgnesDeo
    @AgnesDeo 3 месяца назад

    Bibi wa kilemba nae nimemkubali

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 4 месяца назад

    Good nice one story 🎉🎉❤

  • @lidiasaumu7116
    @lidiasaumu7116 Год назад

    namkubali ibrah sana yuanifundisha😂😂

  • @user-sn1gc9id5i
    @user-sn1gc9id5i Год назад

    Aide nimeipenda sana

  • @NiyonkuruJeanne-ur2yz
    @NiyonkuruJeanne-ur2yz 2 месяца назад

    nc

  • @user-vw8cr7mr7f
    @user-vw8cr7mr7f Год назад

    Naipenda san

  • @nuhsalehe5937
    @nuhsalehe5937 Год назад

    From Kenya I like you so nice

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Год назад

    Nakubali mafunzo mazuri sana

  • @fau60norbert66
    @fau60norbert66 9 месяцев назад

    Uko vzr broo😂😂

  • @user-ke6ft9or5x
    @user-ke6ft9or5x 7 месяцев назад

    I love you kungwi dume 💕💕💕💕💕💕💕

  • @rehemaandasoni6832
    @rehemaandasoni6832 Год назад

    Jmn nikiolewa sijui Kam nitafeki asanteni kwa mafunzo mazur

  • @SuleimanShaib-r1z
    @SuleimanShaib-r1z Месяц назад

    Me naamin km engekua wanawake wa sasa wanapata mafunzo km hay na kuyazingatia ktk ndoa zao bs engekewa ndoa hazivunjik kirahs

  • @RukiaMwakupairwa-yr7pe
    @RukiaMwakupairwa-yr7pe 7 месяцев назад

  • @mariamndugu1519
    @mariamndugu1519 Год назад

    Hongera

  • @SUZANASUZANA-ku3jk
    @SUZANASUZANA-ku3jk 4 месяца назад +1

    Huyu Bibi katisha ana taka majaribio haaa

  • @user-pp6gz2zy5q
    @user-pp6gz2zy5q Год назад

    Bibi upo vizuri

  • @CathfrankKamala-fy8ri
    @CathfrankKamala-fy8ri Год назад

    Kungwi wew fundi

  • @kandykuden6022
    @kandykuden6022 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @zaitunibendera7988
    @zaitunibendera7988 11 месяцев назад

    Much love kungwi dume ❤❤

  • @user-mm4ru7sj8o
    @user-mm4ru7sj8o Год назад

    ♥️