KUNGWI DUME: JIFUNZE KUSAFISHA UKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Karibu ujifunze namna ya kusafisha UKE wako na kuepuka na harufu mbaya zinazotoka ukeni.

Комментарии • 317

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 4 месяца назад +18

    Mashaallah kungwi Kwa mafunzo Yako kwel wengi tulikuwa atujui kuusafisha uke ila sah tumejua from Kenya ❤

  • @sinawsinaw6201
    @sinawsinaw6201 3 месяца назад +11

    Maashaallaah tujuze jinsi ya kumliza mwanaume sio kila siku tunalia sie tuh ni mama raidina hapa nipo omani nakupata vema kungwi dume

  • @user-zi1or6xh2w
    @user-zi1or6xh2w 4 месяца назад +10

    Iyi yampaka kinashindwa kuingiya ukiwa unajisafisa huaga inanichanganya Kumbe ndio imetakata tayàli 😊 Asante baba

  • @saunanzige3329
    @saunanzige3329 3 месяца назад +8

    kaka unafundisha vizuri sana sichoka kukusikiliza mungu aku maisha marefu kaka

  • @LisiKambale
    @LisiKambale 4 месяца назад +60

    Nimepima nikaweza kufinyia kwa ndani ivi ananiambia nimetia nini😂😂❤ nikamuambia mambo ya kungwi ayo 😂😂😂😂😂❤ Asante 😂

  • @trufenaodongo7999
    @trufenaodongo7999 4 месяца назад +5

    Nashukuru kungwi kwa mafunzo yako sana
    Kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Aishabankhadil
    @Aishabankhadil 4 месяца назад +7

    Naomba uniunge kwenye grp lako kungwi tafadhali👏❤️🎉

  • @SaumNdale
    @SaumNdale 4 месяца назад +4

    Mashaallah kungwi mm mgeni nimekipenda kipindi mungu akuzidishie from kenya

  • @kuruthumumkalawa2786
    @kuruthumumkalawa2786 4 месяца назад +8

    Asante Sana kwingi kwa mafunzo. Ila kiukweri hakuna ki2 kinaniuzi kama Hawa wadada wanoreta umaraya eti wanamtamani Kungwi waboresheni waume zenu wawe kama uyo kwungi acheni umalaya tusikilize masom bc😏

  • @user-py5sn3sx2h
    @user-py5sn3sx2h Месяц назад +4

    Hongera sana kaka yangu ❤❤❤❤❤ maneno mnzuri

  • @user-gn6mo2hy3q
    @user-gn6mo2hy3q 16 дней назад +1

    Asante kungwi dume wew kwli fundi

  • @zainabsaidbotea9792
    @zainabsaidbotea9792 4 месяца назад +3

    Asante kwa mafunzo mazuri hakika tunajivunia uwepo wako

  • @user-su7uo3eu5b
    @user-su7uo3eu5b 4 месяца назад +3

    Kwanza yeye kashaowa kaka angu mambo ya tanga hayo wewe najivunia kuzariwa tanga jamani ❤🎉 thanks you so much my brother ♥

  • @agripinajastini-kh3bt
    @agripinajastini-kh3bt 2 месяца назад +13

    Kungwi dume naomba kuungwa kwenye group💕

  • @user-ur4tz9xs7e
    @user-ur4tz9xs7e 4 месяца назад +3

    Mafundo mazuri kweli Asante sana

  • @user-og4mq8ph4y
    @user-og4mq8ph4y 4 месяца назад +5

    Habari yako kungwi, nimekuskia vzur sana na Ahsante kwa funzo ila naomba unisaidie kitu niko na kama siku 4 kufikia leo huku chini kwenye (K) kuna kitu kimefura kwa ndani kidgo ila hakiumi hicho kitu kilichofura ila nina was wasi sijui km ni shida gani naomba uniambie tafadhali

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 4 месяца назад +2

    Asante kungwi wetu kwa kufunguka,tunajifunza mengi❤

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +3

    Waaah nmependa sana mafunzo yako kaka

  • @zuhurahussein4738
    @zuhurahussein4738 4 месяца назад +1

    Asante kaka kwa mafundisho yako. Nakufuatilia kutoka Kenya

  • @FatnaAlly-oo7tz
    @FatnaAlly-oo7tz 4 месяца назад +1

    ❤ napenda kufatilia kipind chako nataman siku moja uwe kungwi wangu kabisa siku ikikaribia ndoa yangu

  • @user-ez2ps2qq4h
    @user-ez2ps2qq4h 3 месяца назад

    Mashaallah kungwi dume unafiza vzr sn mungu akueke

  • @user-fq2sg6yy7y
    @user-fq2sg6yy7y 4 месяца назад +1

    ❤❤🎉Asante kungwi dume kwa mafunzo yako

  • @Sweetlady22-cr5fm
    @Sweetlady22-cr5fm 3 месяца назад +8

    Shukraan xnaa kaka...Nakufatilia xnaa kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @noorramadan8156
    @noorramadan8156 4 месяца назад +1

    Asante sana kungwi kwa mafunzo🙏

  • @user-mb9dv9os2k
    @user-mb9dv9os2k 4 месяца назад +1

    shukraan kungwi dume Allah akubaariki

  • @ArafaSaid-oy9pe
    @ArafaSaid-oy9pe 4 месяца назад

    Asante Kwa elimu kung'wi, naomba utufundishe kuusu pipi za kifuaa na matumizi yake katika tendo.

  • @aishaomary6307
    @aishaomary6307 3 месяца назад

    Mashaallah kungw naomb uniadd kweny group

  • @fatmahemedi3252
    @fatmahemedi3252 4 месяца назад +3

    barikiwa sana kakaa

  • @MwanaidShadhil
    @MwanaidShadhil Месяц назад +2

    Kungwi dume naomba kuungwa kwenye group

  • @assa4862
    @assa4862 3 месяца назад

    Nashukuru sana tenasana I'm from Uganda

  • @MoiseMutokambali-f2d
    @MoiseMutokambali-f2d 24 дня назад

    Barikiwe Kaka kwa somo

  • @user-jg6en3kd3j
    @user-jg6en3kd3j 22 дня назад +1

    Warah allah akuripe

  • @user-xn4fy1df3f
    @user-xn4fy1df3f 4 месяца назад +7

    Asante sana kungwi ila wakati mwingine ufundishe wanaume kuusu matumizi ya shanga mana tunavaa shanga kama urembo tu lakini mwanaume ajui jinsi ya kuzitumia

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂haki tena sa sijui ulembo anaona nani kama hautumiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-jg6en3kd3j
      @user-jg6en3kd3j 22 дня назад

      Nikweri

  • @user-rs9eo7qs8s
    @user-rs9eo7qs8s 4 месяца назад

    Asante kaka yangu nimejifunza mengi sana

  • @neemamwinami6487
    @neemamwinami6487 4 месяца назад +6

    Kungwi naomba niunge kwenye grupu lako!

  • @ommylau
    @ommylau Месяц назад +1

    Kungwi dume Naomba kuungwa kwenye group

  • @user-qp5gh9eq4t
    @user-qp5gh9eq4t 4 месяца назад +2

    Asante San

  • @luckylucky7153
    @luckylucky7153 4 месяца назад +1

    Mashallah kungwi

  • @OdetteKahambu
    @OdetteKahambu 4 месяца назад

    Papa, Nakusii sana, Uwe mu wazi.
    Ama ufunguke kwani una wafunza wengi. Salamu kwwako papangu

  • @peacechristopher5152
    @peacechristopher5152 4 месяца назад +7

    Msisahau kunawa mikono kwa sabuni na maji safi kabla ya kuingiza kidole, itasaidia kuepusha maambukizi ya magonjwa kama PID

  • @DorcasKendahassan
    @DorcasKendahassan 4 месяца назад

    Nakubali mzee mungu akupe maisha marefu mimi naishi congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Somoo220
    @Somoo220 Месяц назад +2

    Asnte kungwi kwa mafunzo
    Ila naomba uonge na wanaume nao kwenye kuandaa wake zao kabla ya tendo wengi hawajui

  • @OdetteKahambu
    @OdetteKahambu 4 месяца назад

    Aksante sana kwa ushauri wako Kaka.
    Mimi natoka Congo DRC.
    Sasa utamaduni wetu haufahamu shanga.

  • @user-yi9yv8sr3j
    @user-yi9yv8sr3j 4 месяца назад

    Mashallah kungwi najifunza mengi kwel

  • @user-rc7bu8yu4d
    @user-rc7bu8yu4d Месяц назад

    abali kongue dume naomba nijiungue na grupo lako napenda sana kusoma niko msubiji.

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p 25 дней назад +1

    Mashallah

  • @mgazamwachupa4918
    @mgazamwachupa4918 4 месяца назад

    Mashallah kungwi dume kwa masomo yako

  • @zaituniabdul2222
    @zaituniabdul2222 Месяц назад

    Jman mpk raha naomba uniunge kungwi Mashalah

  • @bintimrope
    @bintimrope 4 месяца назад

    Asante sana kungwi wetu❤❤❤🎉

  • @NamshituRamadhani
    @NamshituRamadhani 3 месяца назад

    Nakupenda Sana,

  • @renypaultv8342
    @renypaultv8342 21 день назад

    Asante kaka

  • @user-jg6en3kd3j
    @user-jg6en3kd3j 22 дня назад

    Asante papa

  • @khadijaabubakar2330
    @khadijaabubakar2330 4 месяца назад +7

    Mashalllah kungwi dume tumepokea mafunzo na tunaendelea kujifunza ila natamn niwe mke wako na ww uwe mume wangu dah😢😢🎉🎉😂😮😅❤

  • @HafsaHamad-b6r
    @HafsaHamad-b6r 19 дней назад

    Kungwi dume naomba uniuge na group

  • @emilyKay8
    @emilyKay8 4 месяца назад +4

    BABA mrezi wangu ❤❤❤swali langu leo ni hili wenye hawapo ndani ya ndoa tuna uwezo huo wakujisafisha kutumia hizo dawa unazo tuambia?❤kama kenya utaweza kufika na Burundi pia tunakuitaji baba wetu mimi sija olea ila nathami nikifanikowa unifunze tukiwa pamoja 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Afuaynamuharami
    @Afuaynamuharami 27 дней назад

    Kungwiii dume naomb uniungeee kwenyee group

  • @Shafiipamba
    @Shafiipamba 4 месяца назад +1

    Kaka natak nimtek mume wangu nifangaj❤🎉

  • @user-no4sn5ww6p
    @user-no4sn5ww6p 15 дней назад

    Asalam alaykum kaka nimependa sana daresay lako japo ndio mara ya kwanza asante sana mungu akupe maisha marefu

  • @zuhuraramadhani
    @zuhuraramadhani Месяц назад

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh . mashaallah mafunzo mazuri sanaa m
    .naomba mniweke Kweny grp
    Zuzu from Burundi

  • @JulePrince-ex7tz
    @JulePrince-ex7tz 3 месяца назад

    Kwa Kweli wwwe Una tufunza Mengi kaka tuna penda sana 💋💋na itwa Adija kutoka Congo baraka

  • @RahelMakoye
    @RahelMakoye 2 месяца назад

    Nimependa mafundisho yako

  • @user-ey3gj2qo7u
    @user-ey3gj2qo7u 10 дней назад

    Nashukur san kaka yang najifunza meng kupitiya kwako

  • @AgnessLeonard-ug5oq
    @AgnessLeonard-ug5oq 27 дней назад +1

    Naomba niunge kwenye group lako kaka angu

  • @FatumaSaid-w3o
    @FatumaSaid-w3o 4 месяца назад +16

    Kungwi nami niunge kwenye group tafadhali

  • @KabulaMalimi-es1jm
    @KabulaMalimi-es1jm 4 месяца назад +1

    Asante

  • @NASRAMATUMBO
    @NASRAMATUMBO 6 дней назад

    Natka uniunge kwenye grupu

  • @MaryamHawa-e4n
    @MaryamHawa-e4n 8 дней назад

    Na mm naomba niungwi kweny group jmn

  • @user-xd1wu4tu3n
    @user-xd1wu4tu3n 4 месяца назад

    Mashallah tabarakallah

  • @sharifasalum5176
    @sharifasalum5176 4 месяца назад +2

    Kungwi dume nimependa mafunzo yko mam makungw wa ckuiz ni matusi tu na mm naomb uniunge

  • @katanaajonathan6987
    @katanaajonathan6987 4 месяца назад +1

    kutoka Kenya 🇰🇪 ukosawa kumbi ila unatuweka sana kwa mafundisho yako

  • @user-ke5ik9kq3w
    @user-ke5ik9kq3w 4 месяца назад +1

    Asalam Alaikum kak yet Allah akurip kwamafunz unay tup nirikua naomb uniwek kweny groupe mery from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @maryah4601
    @maryah4601 4 месяца назад

    Ahsante kwa mafunzo kaka

  • @user-nr5di2yw2s
    @user-nr5di2yw2s 3 месяца назад

    Asalam kaka karibu sana Kenya 🇰🇪 ❤❤ ni zawadi

  • @SaidiChonanga
    @SaidiChonanga 12 дней назад

    Na Mimi niunge kungwi Mana nimekuelewa

  • @user-jk4ct2ld2r
    @user-jk4ct2ld2r 3 месяца назад

    Kungwi nipo kenya naomba kujiunga na group

  • @ZuhuraMohammed-sq6ql
    @ZuhuraMohammed-sq6ql 6 дней назад

    Mwanaume kumnyonya uke nirahis sana mwanaume kupata ugonjwa wa saratan

  • @queenestherjoviale5919
    @queenestherjoviale5919 19 дней назад

    Asante 🙏 kwa mafunzo ila sasa kungwi kama mashavu ya uke ayajaongezwa unawezaje kufinyiya kwa ndani?

  • @ZuhuraMohammed-sq6ql
    @ZuhuraMohammed-sq6ql 6 дней назад

    😂😂😂😂😂nkiwa tayali nitaktafta unifunde

  • @missyt343
    @missyt343 4 месяца назад +2

    Kaka. Nakupenda bure. Asante kwa kunijibu. Ivi kuungwa kwa group ni vipi vipi. Mimi pia naitaji. Kungwi wangu

  • @ZiadaHussen
    @ZiadaHussen Месяц назад

    Mashaallaa kaka

  • @LatifaMsuya-e3x
    @LatifaMsuya-e3x Месяц назад

    Naomba uniunge kwenye grup lako kugwi nimependa daras lako

  • @user-nn3dh3jv2j
    @user-nn3dh3jv2j 4 месяца назад

    Kungwi naomba namimi uniunge kwenye grip napenda Sana kazizako

  • @zuenaNkeramihigo
    @zuenaNkeramihigo Месяц назад

    Naombaa uniunge kwenye groupe lakoo kungwiii pls

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 месяца назад

    Kungwi nimependa Sana mafunzo yako kutoka 🇰🇪

  • @tanzanianhappy60
    @tanzanianhappy60 4 месяца назад +2

    Kungwi.naomba.kuuliza.kwa.wanawake.yale.maji.huwa.yanatokana.na.nini

  • @HawaUmuhoza
    @HawaUmuhoza 3 месяца назад

    Asante namba

  • @ZuhuuraSalmu
    @ZuhuuraSalmu 4 месяца назад +1

    Niunganishe

  • @mwanajaajuma9042
    @mwanajaajuma9042 4 месяца назад +1

    Nakupata nikiwa anga za 🇸🇦

  • @Ivanjr-u2v
    @Ivanjr-u2v 2 месяца назад

    Axanteee kungwiiii❤❤❤❤

  • @DayanaRaj-e3p
    @DayanaRaj-e3p 4 месяца назад +4

    Mbona mm nikifanya mapenzi nawashwa sana jaman

  • @rithalucas7547
    @rithalucas7547 4 месяца назад +1

    Kungwi NAMi naomba uniunge kwenye group

  • @AshuraMagwiza
    @AshuraMagwiza Месяц назад

    Yan Hadi raha

  • @petfridapius-sb8dw
    @petfridapius-sb8dw 3 месяца назад

    Jamani najifunza mengi sana ambayoo sikuyajua assant

  • @VictoriaAlex-n4l
    @VictoriaAlex-n4l Месяц назад +1

    Naomba niungee kwenye glop

  • @AminaBakari-ew1qr
    @AminaBakari-ew1qr 4 месяца назад +1

    Naomb uniung kweny group

  • @MarthaKabango-rh7lo
    @MarthaKabango-rh7lo 4 месяца назад +1

    Kungwi naomba uniadd kwenye group lk tafadhal

  • @user-lo4sf3jl8c
    @user-lo4sf3jl8c 20 дней назад

    Naitaji shanga

  • @AthmanMasini
    @AthmanMasini 3 месяца назад

    Much love from Kenya ❤

  • @barkaoman-ub6ko
    @barkaoman-ub6ko 4 месяца назад +1

    Asalam alaykumu kungwi dume niunge kwenye group tafadhali

  • @leahmaziku2888
    @leahmaziku2888 4 месяца назад +2

    nimewahi jmn😅😅