YANGA WANA KIBURI KWASABABU WANA TIMU| YANGA WANA WACHEZAJI WENGI LAKINI WANA KIKOSI CHEMBAMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 116

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 6 месяцев назад +29

    Ki uhalisia ni Kwamba Yanga haikucheza na Mamelody, Bali Yanga walicheza na Timu ya Taifa ya Africa Kusini, Bravo Yanga, Bravo Tanzania 💪🇹🇿💪

    • @luwanda03
      @luwanda03 6 месяцев назад +1

      Kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa....

    • @omarmohamedriko4597
      @omarmohamedriko4597 6 месяцев назад

      Kweli kabisa bro Yanga kama klabu ilicheza na timu ya taifa ya south africa coz wachezaji tisa ni sehemu ya kikosi cha bafana bafana kilichocheza afco 2023 takriban miezi miwili iliopita bro

    • @musaalfred1207
      @musaalfred1207 6 месяцев назад

      Bravooo

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 6 месяцев назад +18

    Kiukweli kama Yanga wangekuwa na striker ambao ni clinical finisher kama Mayele,Yange angeshinda. --- Mzize anatatizo la kuchelewa kufanya maamuzi na kutojua kufanya maamuzi sahihi.

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 6 месяцев назад +1

      Nakubaliana tu kwamba Yanga inahitaji mmaliziaji mzuri. Lakini sioni kama Mayele ni mfano mzuri...! Misimu miwili aliyokaa hapa bongo alishindwa kuchukua moja kwa moja ufungaji bora na akiwa ana wastani wa kucheza karibu kila mechi katika ligi!

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 6 месяцев назад +1

      Tukimpata Kam dube ama mastriker mengine ila sio mayele mayele ni Kam mzize tu kwa nafasi 6 anaweza funga goli 1 2

    • @ikrahtune
      @ikrahtune 6 месяцев назад

      Dunduk umeanza ngonjela zko mayele kashapit wakat wak acha ujinga n ss wananch mtu yeyote anashinda nenda kajadili uwezo wa wzee wenzio

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 6 месяцев назад +1

      ​@@malietamalietDuh sio kweli mdau Mayele hafanani na Mzize kbs maji na mafuta kbs ndugu tumsichukie kwa haya yanayoendelea sasaivi mitandaoni hayo tuyaache kama yalivyo tu ila Mayele yuko juu sana mpambanaji analijua goli sana tu

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 6 месяцев назад

      @@checkchannel3876Wewe Ni Kolo Nn Unamkataa Mayele😂😂

  • @guccij6236
    @guccij6236 6 месяцев назад +7

    Nyie sindo mlisema tutafungwa😂Ila wachambuzi wa bongo bhana

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 6 месяцев назад

      Hayaeleweki haya machambuzi michosho tu😂

  • @allyr.mavura7878
    @allyr.mavura7878 6 месяцев назад +4

    Mwacheni mwalim Gamond afanye kazi yake. Hayo ni maoni yenu tu

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 6 месяцев назад

    Nyinyi wchambuzi hamjui mpira simba.wamecheza na.tim.kubwa kuliko mamellod lakini hamuoni Performance.yao wajinga.tu nyinyi

  • @neziajoseph9726
    @neziajoseph9726 6 месяцев назад +5

    Baba levo unaujua mpira tena Sana Sana kwanza upo vzur Sana kama edo kumwembe yani hauna tofaut na akina oscar huwa hauborongi kbs...kuhusu Guede na clement umewaelezea vzur

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 6 месяцев назад

    Hivi na ninyi wachambuzi wetu kweli mnaujua mpira? Mbona hata mamelod walipiga shut likazuiliwa kwa mkono na bek wa yanga lakin hamsemi? ilakama ingelikua kwa yanga magazet yote yangemwatak mwamuz, kwan mamelod hapa walikuja kujilinda tu nakuwazuia yanga wasiwafunge subirini leo ndipo mtaamini ninyi wachambuz hamuujui mpira mko sawa tu na mashabiki wayanga akina babalevo

  • @abdilahinjopeka3053
    @abdilahinjopeka3053 6 месяцев назад +2

    Mimi sikubaliani na Oscar, lazima kuwe na first eleven hawawezi kuchezi wachezaji wote, unaweza kuwa na timu 2 lakini kila timu na timu mechi yake

  • @martinhaule2827
    @martinhaule2827 6 месяцев назад

    Huo ni ushamba wa kigoms wewe si mchambuzi ila unamapenzi ya uyanga na ni ushamba unakusumbua ujaujua mpila umeuvamia uzeeni ndio unaokusumhua

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 6 месяцев назад

    Huyo Oscar awe anaacha edo anachambua mpira yeye analeta siasa

  • @AmidaMangota
    @AmidaMangota 6 месяцев назад +2

    Wachambuzi wa mchongooo

  • @mathewdickson8891
    @mathewdickson8891 6 месяцев назад

    Okrah ana spidi lakini anafanya nini asipokuwa na mpira??

  • @maikoluwondo3205
    @maikoluwondo3205 6 месяцев назад +1

    Baba levo unaangalia mpira kwa jicho la tatu u are clear

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 6 месяцев назад +2

    Oscer ni kigeugeu mpaka na shindwa kumuelewa kabla ya mechi alikuwa haipi yanga nafasi kabisa😢

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi 6 месяцев назад +10

    I WISH 1 day yanga icheze na Timu ya Taifa Ya Ufaransa

    • @elimringimoshi590
      @elimringimoshi590 6 месяцев назад

      Wewe ni chizi huijui unachoongea

    • @GodfreyKunambi
      @GodfreyKunambi 6 месяцев назад

      @@elimringimoshi590 Uchz wang ni Nin

    • @leonardkinanda3284
      @leonardkinanda3284 6 месяцев назад

      Hayo ni matamanio na ndoto isiyokuja kutokea! Club kucheza na National Timu si kitu rahisi

    • @GodfreyKunambi
      @GodfreyKunambi 6 месяцев назад

      @@elimringimoshi590 Sijui Nnachoongea na hcho nlichoongea ni Nin

  • @AldofNyankena
    @AldofNyankena 6 месяцев назад +1

    Yaan baba levo uko sahihi Hilo la Kocha wetu kuchelewa kufanya sabu linaniumiza moyo kweli hapo kwa Okra na sio mechi Moja angalia mechi Berzdad nusu wapate goli wanafanya sab ye katulia angalia mechi ya mashujaa alichelewesha sab alafu akafanya sab ya hovyo ni Mungu alisaidia na ni mechi nyingi yaan Kuna mda unataman mpaka uingie kwenye tv utokzee uwanjani tena sio kwa mashabik kwenye benchi umwambie huon,.

  • @AnnaMzava-o2j
    @AnnaMzava-o2j Месяц назад

    Oscar nimekuelewa unaongea vzr

  • @HAKHASH312
    @HAKHASH312 6 месяцев назад +2

    Wana nafasi zaidi kama vile yanga anacheza peke yake 😂

    • @godfreybeatus8396
      @godfreybeatus8396 6 месяцев назад

      Aisifiaye mvua south siyo bongo utopolo anapigwa nying

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 6 месяцев назад +2

    Yanga Wekeni Dube pale mbele tumalize shughuli

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 6 месяцев назад +2

    Akuna asiyefungwa ila ata simba imefanya, vzur simba msikate tamaa ila mungu yupo, unaemzarau, mungu anajitukuza

  • @MohammedAli-sd8ji
    @MohammedAli-sd8ji 6 месяцев назад

    Ww kaka muimu kupewa mauwa yako

  • @ashrafadam4629
    @ashrafadam4629 6 месяцев назад

    Oscar ww mbabaishaj kwn Yanga unawaponda ata kabla ya mechi ya Mamelody ulkua unasema tunapoteza ila leo unafanya nn acha tuwe na kbur ww ni shabik wa simba kabis

  • @rubenmsimbe934
    @rubenmsimbe934 6 месяцев назад

    Wachambuzi wa kitz mh,yaani hawachambui kiufundi wao wanachambua kimahaba,anazungumzia mamelod timu ya kawaida kabisa,kigezo ni kwa kutoa sare na yanga...

  • @SafariMagesa-hw6kt
    @SafariMagesa-hw6kt 6 месяцев назад +1

    Wachambuzi miyeyuxho nyieee kasoro babalevoo

  • @hamzachiute619
    @hamzachiute619 6 месяцев назад

    OSCAR SI UMTAJE FARID MBONA UNAZUNGUKA KUTAJA AKINA OKRA ..MAUYA ..MKUDE...NENDA KWENYE POINT...KWANINI FARID APAT NAFAS😂😂😂

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 6 месяцев назад

    Kwanin kila mchezaj aendelee kufananishwa na mayele? Wakati hawa wakina mzize na musonda timu nyingi hazina washambuliaji wa aina hii

  • @AbdullyCharles
    @AbdullyCharles 6 месяцев назад +1

    Oscar oscar wataka upana wakikosi gani mkuu mbna juzi kaonyesha upana wake

  • @EzronEmanuel
    @EzronEmanuel 6 месяцев назад +2

    Oscar Oscar ata nabi alianza ivyo ivyo mpe mda ata gaamond

  • @Nyamkolajumanne
    @Nyamkolajumanne 6 месяцев назад

    Tunatoboa.sauzi

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 6 месяцев назад

    Yanga tuna kikosi kizur cha kufanya vizur sehem yyte ila tunahitaji kupata straika wa kutumia kila chance inayopatikana basi

  • @williamwarioba6099
    @williamwarioba6099 6 месяцев назад

    Nchi Kuna mambo ya kijinga sana watu wameshsau Yanga juzi TU wamefungwa misri wanajisaulisha

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 6 месяцев назад +2

    Yanga haina ugenini hapa Afrika

  • @makatajumaa4298
    @makatajumaa4298 6 месяцев назад +1

    Hahaaaa kwamba wanasubiri kukusoa tu na sio kusifia😂

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 6 месяцев назад

    Hili Oscar linafiki tu yanga hawana kikosi kwani mlishamuongelea mkude liini nyie c mpk amecheza ndio mnasema acheni basi kifinyu ni cha timu yko MAKOLO fc achana na sisi

  • @MarietaJohn
    @MarietaJohn 6 месяцев назад

    Iv we oscs osc uwaga mshsbiki wa tm gan mbn kama uerewekag naonag upo upand wapil kweny uot wasili 😮😮😮

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 6 месяцев назад

    Kasoro babalevo wengine ni wanafki wakubwa kabla ya mechi mlisema hatoki Kwa mamelod Leo mnaipamba ...
    Kwenden zenu

  • @mlalikwabiswalo7804
    @mlalikwabiswalo7804 6 месяцев назад

    Oscar umenena vzr yanga inakikosi kikubwa ila mwalimu amekifinya ana watu wake kadhaa na mfumo huu unauwa wachezaji yani wachezaji wengine kucheza mpaka wachezaji wake anawapenda yeye waumie hii sio sawa maana kila mchezaji aliyopo yanga ni bora.

  • @rweyemamurweyemamu680
    @rweyemamurweyemamu680 6 месяцев назад

    Mnaomsema Ocra aanze mnataka tufungwe,ni kweli ana mbio na ni mzuri lkn issue inategemea ni mechi gani atumike maana shida yake harudi kukaba na sio tafu kugomgana na beki kama Mzize,tusimlaumu Mzize bali tuwaambie viongozi waache siasa watafute watu wa maana sio akina Guede

  • @NuruBoazHomoke
    @NuruBoazHomoke 6 месяцев назад

    Wachambuzi munakosea munaisifia yanga ilicheza kama Iko ugenini imecheza bila kushambulia ngoja wakapigwe na nyie mtabadorika hapo hapo

  • @jumaseseme1654
    @jumaseseme1654 6 месяцев назад

    Nipo na wewe Baba levo gwede anajua kufunga kuliko mzize

  • @AbdallahNguvumali
    @AbdallahNguvumali 6 месяцев назад

    baba levo ulinifuraisha sana kipindi kabla yanga ijacheza ile kauri yani akuna kuziwia kushambulia yaani vurugu mara penati kitaeleweka daa ase ulinifuraisha sana na tumejitaidi

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 6 месяцев назад

    BABA LEVO KWA GWEDE HAPO NAKUKATAA HUJAWAHI KUINGIA CHAKA KWENYE CHAMBUZI ZAKO TANGU UANZE HIKI KIPINDI CHA JANA NA LEO ILA KWA GWEDE HAPANA HAPANA

  • @sulebest4457
    @sulebest4457 6 месяцев назад

    Kwani nyinyi yanga mumesahau km mulisema mutmfunga mamelod na watapgana km walivyopgana waarabu

  • @hamzachiute619
    @hamzachiute619 6 месяцев назад

    Baba levo hapo yupo kama mchambuzi wa Mpira au yupo kama Shabiki ....

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 6 месяцев назад

    makolo bwanji wanaumia kuckia yanga inasifiwa

  • @AtanasioDaffa
    @AtanasioDaffa 6 месяцев назад

    Hamli"Hamlali mnaongelea Yanga tu""Mara mnaiponda Mara muisifie..Nyie ongeeni vyovyote..Lakini matokeo ya Yanga hata maadui ,zake watashangilia tu...Hata simba WANAJUA

    • @CharlesSeleli-to2un
      @CharlesSeleli-to2un 6 месяцев назад

      Oya yanga ni kama maji tu usipoyaoga lazima utayanywa kwa lazima uyazungumzie tu

  • @iddiharidimohamedi5517
    @iddiharidimohamedi5517 6 месяцев назад

    Fainali ni Yanga na Al Ahly, mark my words 🎉🎉🎉

  • @AldofNyankena
    @AldofNyankena 6 месяцев назад

    Baba levo anajua kufunga hana nguvu mipira mingi anatukaba, hapo mzize aanzie nnje msonda striker na Okra aanze

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 6 месяцев назад

    😢😢ila watanzania wachambuzi wetu niwashenzi sana penye ukweli hawakubali
    Sasa angalia jinga linavyotumia kauli za ovyo eti wanakiburi tumia lunga nzuri

    • @ananiambalai4783
      @ananiambalai4783 6 месяцев назад

      huwa anafanya utani unachukulia serious

  • @dicksoncyprian9511
    @dicksoncyprian9511 6 месяцев назад

    BABA LEVO ANACHAMBUA VIZURI,KULIKO HAO WACHAMBUZI WENYEWE

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 6 месяцев назад

    Edo unakunywa konyagi studio😂😂😂😂😂

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 6 месяцев назад

    HIVI NYIE SINDO MLISEMA TUTAFUNGWA KWA MKAPA??

  • @ellymzalendo4517
    @ellymzalendo4517 6 месяцев назад

    Msisahau na wao memelod walikosa wachezaji wanne wa muhimu😂😂

    • @mirajiali3926
      @mirajiali3926 6 месяцев назад

      Muongo wewe walikosa mchezaji mmoja tu

  • @MuhinaCharse-gt7og
    @MuhinaCharse-gt7og 6 месяцев назад

    Kama huy oska nimnafiki Sana Sana Yani mtuwakubadilika Kama kinyonga

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 6 месяцев назад

    Mpira mchezo wa maisabu

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 6 месяцев назад

    Mtu wa kigoma safi ukweli umeusema

  • @JumaHUssi
    @JumaHUssi 6 месяцев назад

    hata huyo jirani Yako ana kiburi. lijamaa linakunywa maji mbele ya kamera mwezi huu..

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 6 месяцев назад

      Acha uchoko wewe kwani kosa nini

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 месяцев назад +1

      Mfungo wa maonyesho,kulazimisha kushinda njaa.. kila moja aishi maisha yake

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂​@@josephlorri431

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 6 месяцев назад

    Nyie mnaliwa mtako

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 6 месяцев назад

    Wambea nyie Hadi unakunywa maji hadharam mwezi mtukufu😂😂😂😂

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 6 месяцев назад

      Choko Kwan unaona wote tunafiata dini ya kiislam??? Nyie watu mna matatizo gani?

    • @petermpoma9022
      @petermpoma9022 6 месяцев назад

      Kama ungekua Islamic p using mtukana mtu.

  • @SaidSaid-uz3wk
    @SaidSaid-uz3wk 6 месяцев назад

    Kiburi ni vazi la mungu Oscar,sema Yanga wana jeuri.

  • @EmmaMtusi
    @EmmaMtusi 6 месяцев назад

    Baba levo yuko wapi Adelah

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 6 месяцев назад

    Baba level nakuona leo umeimprove sana

  • @AldofNyankena
    @AldofNyankena 6 месяцев назад

    Sijui uongoz hua hawakai nae,.

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 6 месяцев назад

    Unashindaje wakati unapaki basi ktk uwanja wa nyumbani? Ukifika ugenini utanyeshewa subirini tuone

    • @AtanasioDaffa
      @AtanasioDaffa 6 месяцев назад +2

      Hilo dua la kuku""na kwa taarifa yako itawachukua miaka mingi sana kufikia kiwango cha Yanga..Bila shaka wewe shabiki wa madunduka..Pooole kwa ahly ushatoka kitaaaambo.

    • @SomoeIssa-ft6ml
      @SomoeIssa-ft6ml 6 месяцев назад +1

      Km ndio hvyo bora na simba ingepaki ikatoka sare kuliko kufungwa nyumban😂😂😂

    • @CharlesWilliam-q7j
      @CharlesWilliam-q7j 6 месяцев назад

      Mechi za mtoano zinachezwa kwa mikakati.huna taaluma yoyote ya mpira ya kumzidi Gamondi.

  • @SafariMagesa-hw6kt
    @SafariMagesa-hw6kt 6 месяцев назад

    Yangaa kikosi kazii wazeee

  • @barakmzee2563
    @barakmzee2563 6 месяцев назад

    Baba levo tia neno hapo

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 6 месяцев назад

    Yeeees,tutaendelea kuwanyoaaaa

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 6 месяцев назад

    Hapo uko sahihi

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 6 месяцев назад

    Zipo redio baadhi wachambuzi wao niwahajabu sana walitutisha mpaka basi,,ipo redio moja Yanga walipotoa kikosi chao kwa mkapa yani wachambuzi wote waliachia kicheko mpaka nikatetemeka.

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 6 месяцев назад

    BABA LEVO KWA GWEDE HAPO NAKUKATAA HUJAWAHI KUINGIA CHAKA KWENYE CHAMBUZI ZAKO TANGU UANZE HIKI KIPINDI CHA JANA NA LEO ILA KWA GWEDE HAPANA HAPANA

  • @ashorass4431
    @ashorass4431 6 месяцев назад +1

    Nice baba levo

    • @andrewmcha-jf3go
      @andrewmcha-jf3go 6 месяцев назад

      hapo kwa guede nakuunga mkono baba levo

  • @scorehouse3174
    @scorehouse3174 6 месяцев назад

    Tuliwa heshim Sana ndio kosa kubwa tulilofanya

  • @NuruBoazHomoke
    @NuruBoazHomoke 6 месяцев назад

    Hawa mashabiki ni waongo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 6 месяцев назад

    Mbona Club bingwa hawajawahi kushinda nje ya Nchi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 месяцев назад +3

      Muone daktariiii una Al alhly fevers ..... Ikipanda kichwani ni ngumu kutibikaa , hayo ni maradhi mabaya kwa afya ya akili 😅😅😅

    • @FatmaRajab-ll8gw
      @FatmaRajab-ll8gw 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂rudi shule ndugu yangu

    • @HAKHASH312
      @HAKHASH312 6 месяцев назад

      ​@@mwanangusanasema kashinda game ipi acha kuongea ubwabwa

    • @benedictsaulingi8229
      @benedictsaulingi8229 6 месяцев назад

      Kwani el-marreck alipofungiwa Rwanda ilikuwa ni ndani ya nchi?

    • @sayman158
      @sayman158 6 месяцев назад

      ​@@HAKHASH312 simba alimfunga As vita kwao 1-0 msimu wa 2020,pia alimfunga el.mereikh kule kwao ,,kama unakumbuka.msim huo simba akaongoza kundi Akiwa na point 13 na Al ahly nafasi ya pili.point 10