Kweli kabisa bro Yanga kama klabu ilicheza na timu ya taifa ya south africa coz wachezaji tisa ni sehemu ya kikosi cha bafana bafana kilichocheza afco 2023 takriban miezi miwili iliopita bro
Kiukweli kama Yanga wangekuwa na striker ambao ni clinical finisher kama Mayele,Yange angeshinda. --- Mzize anatatizo la kuchelewa kufanya maamuzi na kutojua kufanya maamuzi sahihi.
Nakubaliana tu kwamba Yanga inahitaji mmaliziaji mzuri. Lakini sioni kama Mayele ni mfano mzuri...! Misimu miwili aliyokaa hapa bongo alishindwa kuchukua moja kwa moja ufungaji bora na akiwa ana wastani wa kucheza karibu kila mechi katika ligi!
@@malietamalietDuh sio kweli mdau Mayele hafanani na Mzize kbs maji na mafuta kbs ndugu tumsichukie kwa haya yanayoendelea sasaivi mitandaoni hayo tuyaache kama yalivyo tu ila Mayele yuko juu sana mpambanaji analijua goli sana tu
Baba levo unaujua mpira tena Sana Sana kwanza upo vzur Sana kama edo kumwembe yani hauna tofaut na akina oscar huwa hauborongi kbs...kuhusu Guede na clement umewaelezea vzur
Hivi na ninyi wachambuzi wetu kweli mnaujua mpira? Mbona hata mamelod walipiga shut likazuiliwa kwa mkono na bek wa yanga lakin hamsemi? ilakama ingelikua kwa yanga magazet yote yangemwatak mwamuz, kwan mamelod hapa walikuja kujilinda tu nakuwazuia yanga wasiwafunge subirini leo ndipo mtaamini ninyi wachambuz hamuujui mpira mko sawa tu na mashabiki wayanga akina babalevo
Yaan baba levo uko sahihi Hilo la Kocha wetu kuchelewa kufanya sabu linaniumiza moyo kweli hapo kwa Okra na sio mechi Moja angalia mechi Berzdad nusu wapate goli wanafanya sab ye katulia angalia mechi ya mashujaa alichelewesha sab alafu akafanya sab ya hovyo ni Mungu alisaidia na ni mechi nyingi yaan Kuna mda unataman mpaka uingie kwenye tv utokzee uwanjani tena sio kwa mashabik kwenye benchi umwambie huon,.
Oscar ww mbabaishaj kwn Yanga unawaponda ata kabla ya mechi ya Mamelody ulkua unasema tunapoteza ila leo unafanya nn acha tuwe na kbur ww ni shabik wa simba kabis
Wachambuzi wa kitz mh,yaani hawachambui kiufundi wao wanachambua kimahaba,anazungumzia mamelod timu ya kawaida kabisa,kigezo ni kwa kutoa sare na yanga...
Hili Oscar linafiki tu yanga hawana kikosi kwani mlishamuongelea mkude liini nyie c mpk amecheza ndio mnasema acheni basi kifinyu ni cha timu yko MAKOLO fc achana na sisi
Oscar umenena vzr yanga inakikosi kikubwa ila mwalimu amekifinya ana watu wake kadhaa na mfumo huu unauwa wachezaji yani wachezaji wengine kucheza mpaka wachezaji wake anawapenda yeye waumie hii sio sawa maana kila mchezaji aliyopo yanga ni bora.
Mnaomsema Ocra aanze mnataka tufungwe,ni kweli ana mbio na ni mzuri lkn issue inategemea ni mechi gani atumike maana shida yake harudi kukaba na sio tafu kugomgana na beki kama Mzize,tusimlaumu Mzize bali tuwaambie viongozi waache siasa watafute watu wa maana sio akina Guede
baba levo ulinifuraisha sana kipindi kabla yanga ijacheza ile kauri yani akuna kuziwia kushambulia yaani vurugu mara penati kitaeleweka daa ase ulinifuraisha sana na tumejitaidi
Hilo dua la kuku""na kwa taarifa yako itawachukua miaka mingi sana kufikia kiwango cha Yanga..Bila shaka wewe shabiki wa madunduka..Pooole kwa ahly ushatoka kitaaaambo.
Zipo redio baadhi wachambuzi wao niwahajabu sana walitutisha mpaka basi,,ipo redio moja Yanga walipotoa kikosi chao kwa mkapa yani wachambuzi wote waliachia kicheko mpaka nikatetemeka.
@@HAKHASH312 simba alimfunga As vita kwao 1-0 msimu wa 2020,pia alimfunga el.mereikh kule kwao ,,kama unakumbuka.msim huo simba akaongoza kundi Akiwa na point 13 na Al ahly nafasi ya pili.point 10
Ki uhalisia ni Kwamba Yanga haikucheza na Mamelody, Bali Yanga walicheza na Timu ya Taifa ya Africa Kusini, Bravo Yanga, Bravo Tanzania 💪🇹🇿💪
Kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa....
Kweli kabisa bro Yanga kama klabu ilicheza na timu ya taifa ya south africa coz wachezaji tisa ni sehemu ya kikosi cha bafana bafana kilichocheza afco 2023 takriban miezi miwili iliopita bro
Bravooo
Kiukweli kama Yanga wangekuwa na striker ambao ni clinical finisher kama Mayele,Yange angeshinda. --- Mzize anatatizo la kuchelewa kufanya maamuzi na kutojua kufanya maamuzi sahihi.
Nakubaliana tu kwamba Yanga inahitaji mmaliziaji mzuri. Lakini sioni kama Mayele ni mfano mzuri...! Misimu miwili aliyokaa hapa bongo alishindwa kuchukua moja kwa moja ufungaji bora na akiwa ana wastani wa kucheza karibu kila mechi katika ligi!
Tukimpata Kam dube ama mastriker mengine ila sio mayele mayele ni Kam mzize tu kwa nafasi 6 anaweza funga goli 1 2
Dunduk umeanza ngonjela zko mayele kashapit wakat wak acha ujinga n ss wananch mtu yeyote anashinda nenda kajadili uwezo wa wzee wenzio
@@malietamalietDuh sio kweli mdau Mayele hafanani na Mzize kbs maji na mafuta kbs ndugu tumsichukie kwa haya yanayoendelea sasaivi mitandaoni hayo tuyaache kama yalivyo tu ila Mayele yuko juu sana mpambanaji analijua goli sana tu
@@checkchannel3876Wewe Ni Kolo Nn Unamkataa Mayele😂😂
Nyie sindo mlisema tutafungwa😂Ila wachambuzi wa bongo bhana
Hayaeleweki haya machambuzi michosho tu😂
Mwacheni mwalim Gamond afanye kazi yake. Hayo ni maoni yenu tu
Nyinyi wchambuzi hamjui mpira simba.wamecheza na.tim.kubwa kuliko mamellod lakini hamuoni Performance.yao wajinga.tu nyinyi
Baba levo unaujua mpira tena Sana Sana kwanza upo vzur Sana kama edo kumwembe yani hauna tofaut na akina oscar huwa hauborongi kbs...kuhusu Guede na clement umewaelezea vzur
bravo baba yake levo
Hivi na ninyi wachambuzi wetu kweli mnaujua mpira? Mbona hata mamelod walipiga shut likazuiliwa kwa mkono na bek wa yanga lakin hamsemi? ilakama ingelikua kwa yanga magazet yote yangemwatak mwamuz, kwan mamelod hapa walikuja kujilinda tu nakuwazuia yanga wasiwafunge subirini leo ndipo mtaamini ninyi wachambuz hamuujui mpira mko sawa tu na mashabiki wayanga akina babalevo
Mimi sikubaliani na Oscar, lazima kuwe na first eleven hawawezi kuchezi wachezaji wote, unaweza kuwa na timu 2 lakini kila timu na timu mechi yake
Huo ni ushamba wa kigoms wewe si mchambuzi ila unamapenzi ya uyanga na ni ushamba unakusumbua ujaujua mpila umeuvamia uzeeni ndio unaokusumhua
Huyo Oscar awe anaacha edo anachambua mpira yeye analeta siasa
Wachambuzi wa mchongooo
Okrah ana spidi lakini anafanya nini asipokuwa na mpira??
Baba levo unaangalia mpira kwa jicho la tatu u are clear
Oscer ni kigeugeu mpaka na shindwa kumuelewa kabla ya mechi alikuwa haipi yanga nafasi kabisa😢
Hana akili
I WISH 1 day yanga icheze na Timu ya Taifa Ya Ufaransa
Wewe ni chizi huijui unachoongea
@@elimringimoshi590 Uchz wang ni Nin
Hayo ni matamanio na ndoto isiyokuja kutokea! Club kucheza na National Timu si kitu rahisi
@@elimringimoshi590 Sijui Nnachoongea na hcho nlichoongea ni Nin
Yaan baba levo uko sahihi Hilo la Kocha wetu kuchelewa kufanya sabu linaniumiza moyo kweli hapo kwa Okra na sio mechi Moja angalia mechi Berzdad nusu wapate goli wanafanya sab ye katulia angalia mechi ya mashujaa alichelewesha sab alafu akafanya sab ya hovyo ni Mungu alisaidia na ni mechi nyingi yaan Kuna mda unataman mpaka uingie kwenye tv utokzee uwanjani tena sio kwa mashabik kwenye benchi umwambie huon,.
Oscar nimekuelewa unaongea vzr
Wana nafasi zaidi kama vile yanga anacheza peke yake 😂
Aisifiaye mvua south siyo bongo utopolo anapigwa nying
Yanga Wekeni Dube pale mbele tumalize shughuli
Umenena
Akuna asiyefungwa ila ata simba imefanya, vzur simba msikate tamaa ila mungu yupo, unaemzarau, mungu anajitukuza
😂
😂😂😂😂😂😂 Daaaah nimecheka sanaaaaa
Ww kaka muimu kupewa mauwa yako
Oscar ww mbabaishaj kwn Yanga unawaponda ata kabla ya mechi ya Mamelody ulkua unasema tunapoteza ila leo unafanya nn acha tuwe na kbur ww ni shabik wa simba kabis
Wachambuzi wa kitz mh,yaani hawachambui kiufundi wao wanachambua kimahaba,anazungumzia mamelod timu ya kawaida kabisa,kigezo ni kwa kutoa sare na yanga...
Wachambuzi miyeyuxho nyieee kasoro babalevoo
OSCAR SI UMTAJE FARID MBONA UNAZUNGUKA KUTAJA AKINA OKRA ..MAUYA ..MKUDE...NENDA KWENYE POINT...KWANINI FARID APAT NAFAS😂😂😂
Kwanin kila mchezaj aendelee kufananishwa na mayele? Wakati hawa wakina mzize na musonda timu nyingi hazina washambuliaji wa aina hii
Oscar oscar wataka upana wakikosi gani mkuu mbna juzi kaonyesha upana wake
Oscar Oscar ata nabi alianza ivyo ivyo mpe mda ata gaamond
Tunatoboa.sauzi
Yanga tuna kikosi kizur cha kufanya vizur sehem yyte ila tunahitaji kupata straika wa kutumia kila chance inayopatikana basi
Nchi Kuna mambo ya kijinga sana watu wameshsau Yanga juzi TU wamefungwa misri wanajisaulisha
Yanga haina ugenini hapa Afrika
Hahaaaa kwamba wanasubiri kukusoa tu na sio kusifia😂
Hili Oscar linafiki tu yanga hawana kikosi kwani mlishamuongelea mkude liini nyie c mpk amecheza ndio mnasema acheni basi kifinyu ni cha timu yko MAKOLO fc achana na sisi
Iv we oscs osc uwaga mshsbiki wa tm gan mbn kama uerewekag naonag upo upand wapil kweny uot wasili 😮😮😮
Kasoro babalevo wengine ni wanafki wakubwa kabla ya mechi mlisema hatoki Kwa mamelod Leo mnaipamba ...
Kwenden zenu
Oscar umenena vzr yanga inakikosi kikubwa ila mwalimu amekifinya ana watu wake kadhaa na mfumo huu unauwa wachezaji yani wachezaji wengine kucheza mpaka wachezaji wake anawapenda yeye waumie hii sio sawa maana kila mchezaji aliyopo yanga ni bora.
Mnaomsema Ocra aanze mnataka tufungwe,ni kweli ana mbio na ni mzuri lkn issue inategemea ni mechi gani atumike maana shida yake harudi kukaba na sio tafu kugomgana na beki kama Mzize,tusimlaumu Mzize bali tuwaambie viongozi waache siasa watafute watu wa maana sio akina Guede
Wachambuzi munakosea munaisifia yanga ilicheza kama Iko ugenini imecheza bila kushambulia ngoja wakapigwe na nyie mtabadorika hapo hapo
Nipo na wewe Baba levo gwede anajua kufunga kuliko mzize
baba levo ulinifuraisha sana kipindi kabla yanga ijacheza ile kauri yani akuna kuziwia kushambulia yaani vurugu mara penati kitaeleweka daa ase ulinifuraisha sana na tumejitaidi
BABA LEVO KWA GWEDE HAPO NAKUKATAA HUJAWAHI KUINGIA CHAKA KWENYE CHAMBUZI ZAKO TANGU UANZE HIKI KIPINDI CHA JANA NA LEO ILA KWA GWEDE HAPANA HAPANA
Kwani nyinyi yanga mumesahau km mulisema mutmfunga mamelod na watapgana km walivyopgana waarabu
Baba levo hapo yupo kama mchambuzi wa Mpira au yupo kama Shabiki ....
makolo bwanji wanaumia kuckia yanga inasifiwa
Hamli"Hamlali mnaongelea Yanga tu""Mara mnaiponda Mara muisifie..Nyie ongeeni vyovyote..Lakini matokeo ya Yanga hata maadui ,zake watashangilia tu...Hata simba WANAJUA
Oya yanga ni kama maji tu usipoyaoga lazima utayanywa kwa lazima uyazungumzie tu
Fainali ni Yanga na Al Ahly, mark my words 🎉🎉🎉
Baba levo anajua kufunga hana nguvu mipira mingi anatukaba, hapo mzize aanzie nnje msonda striker na Okra aanze
😢😢ila watanzania wachambuzi wetu niwashenzi sana penye ukweli hawakubali
Sasa angalia jinga linavyotumia kauli za ovyo eti wanakiburi tumia lunga nzuri
huwa anafanya utani unachukulia serious
BABA LEVO ANACHAMBUA VIZURI,KULIKO HAO WACHAMBUZI WENYEWE
Edo unakunywa konyagi studio😂😂😂😂😂
HIVI NYIE SINDO MLISEMA TUTAFUNGWA KWA MKAPA??
Msisahau na wao memelod walikosa wachezaji wanne wa muhimu😂😂
Muongo wewe walikosa mchezaji mmoja tu
Kama huy oska nimnafiki Sana Sana Yani mtuwakubadilika Kama kinyonga
Mpira mchezo wa maisabu
Mtu wa kigoma safi ukweli umeusema
hata huyo jirani Yako ana kiburi. lijamaa linakunywa maji mbele ya kamera mwezi huu..
Acha uchoko wewe kwani kosa nini
Mfungo wa maonyesho,kulazimisha kushinda njaa.. kila moja aishi maisha yake
😂😂😂😂😂😂😂@@josephlorri431
Nyie mnaliwa mtako
Wambea nyie Hadi unakunywa maji hadharam mwezi mtukufu😂😂😂😂
Choko Kwan unaona wote tunafiata dini ya kiislam??? Nyie watu mna matatizo gani?
Kama ungekua Islamic p using mtukana mtu.
Kiburi ni vazi la mungu Oscar,sema Yanga wana jeuri.
Swadaqta
Baba levo yuko wapi Adelah
Baba level nakuona leo umeimprove sana
Sijui uongoz hua hawakai nae,.
Unashindaje wakati unapaki basi ktk uwanja wa nyumbani? Ukifika ugenini utanyeshewa subirini tuone
Hilo dua la kuku""na kwa taarifa yako itawachukua miaka mingi sana kufikia kiwango cha Yanga..Bila shaka wewe shabiki wa madunduka..Pooole kwa ahly ushatoka kitaaaambo.
Km ndio hvyo bora na simba ingepaki ikatoka sare kuliko kufungwa nyumban😂😂😂
Mechi za mtoano zinachezwa kwa mikakati.huna taaluma yoyote ya mpira ya kumzidi Gamondi.
Yangaa kikosi kazii wazeee
Baba levo tia neno hapo
Yeeees,tutaendelea kuwanyoaaaa
Hapo uko sahihi
Zipo redio baadhi wachambuzi wao niwahajabu sana walitutisha mpaka basi,,ipo redio moja Yanga walipotoa kikosi chao kwa mkapa yani wachambuzi wote waliachia kicheko mpaka nikatetemeka.
BABA LEVO KWA GWEDE HAPO NAKUKATAA HUJAWAHI KUINGIA CHAKA KWENYE CHAMBUZI ZAKO TANGU UANZE HIKI KIPINDI CHA JANA NA LEO ILA KWA GWEDE HAPANA HAPANA
Nice baba levo
hapo kwa guede nakuunga mkono baba levo
Tuliwa heshim Sana ndio kosa kubwa tulilofanya
Hawa mashabiki ni waongo
Mbona Club bingwa hawajawahi kushinda nje ya Nchi
Muone daktariiii una Al alhly fevers ..... Ikipanda kichwani ni ngumu kutibikaa , hayo ni maradhi mabaya kwa afya ya akili 😅😅😅
😂😂😂😂😂rudi shule ndugu yangu
@@mwanangusanasema kashinda game ipi acha kuongea ubwabwa
Kwani el-marreck alipofungiwa Rwanda ilikuwa ni ndani ya nchi?
@@HAKHASH312 simba alimfunga As vita kwao 1-0 msimu wa 2020,pia alimfunga el.mereikh kule kwao ,,kama unakumbuka.msim huo simba akaongoza kundi Akiwa na point 13 na Al ahly nafasi ya pili.point 10