Bahati Bukuku feat Bony Mwaitege - Dawa Yangu (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 19 июл 2023
- Music by Bahati Bukuku performing "Dawa Yangu" track number (3) from the Ep (DAWA YANGU).
Follow now Bahati Bukuku on Social Media
Instagram: Bahatibukuku_tz
#BahatiBukuku #DawaYanguEp - Развлечения
Kama unapenda🥰 sauti ya bahati bukuku kama mimi gonga like apo tujuane🤝
💯
Wanaoipenda Sauti ya Bahati Bukuku kama mimi...like zenu hapa tujuane🎶🎤👍
Much love from Kenya
Kama kuna dawa ya kuleta amani ya ndoa basi nipewe.... kama Yesu ndio dawa basi watu wapewe🎉
Dada yangu mama yangu upo vizuri sana sauti haija wahi kuchuja so karibuni sana SMART MUSIC 🎶 RECORD tupo kimara korogwe nyuma ya kituo cha mwendo kasi
nice one my sister welcome back our legend ❤
Thanks brother
Brother nice
🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
😂Amina amen😂 mungu ni mkweli tenasana❤🔥🇰🇪🇺🇬
M balikiwe sana watumishi wa MUNGU
finally she's back with new hits , kama unaskia kweli nyimbo zake zinakuuinua kama mm drop like tukisonga
Aminaaa Mum❤️❤️🇰🇪🇰🇪 Kenya tulikumiss Sanaaa, Welcome Back,Dawa Ni Yesu🔥🔥🔥🔥🔥
Bahati bukuku nyimbo yako iko juu, kuna jamaa alikuwa anapita karibu na duka langu akapenda hii nyimbo. More commentes
Hakika Yesu ni dawa ya ndoa🙏 Barikiwa mtumishi wa Mungu
WALIO SUBIRI VIBAO VIPYA KUTOKA KWA MAMA TUKUTANE HAPAA.❤
Woooow!! Wimbo mtamu sana.. hirisi yangu kweli ni maombi. 😍😍😍😍
Barikiwa sana , nyimbo nzuri mno 🥰
Nawapenda Sana dada Bahati bukuku na Mr mwaitege hakika picha ya mama na baby imenitoa machozi nawapenda Sana mungu awape uhai mrefu.
In kenya 🇰🇪 😂haki hizo nyimbo tatu zote sister Bahati bukuku ziko powerful.
Nani anacheza huu wimbo usiku akirudia kama mimi,aah dawa yangu ni yesu 😂💃💃💃
We need more of your beautiful voice,and amazing lessons in your songs Mama❤❤Much love ktoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤
very Intelligent. Huyu mama kila anapotoa wimbo huwa baraka tu. nashukuru kwako Mama Bahati Bukuku. Mwenyezi Mungu akuongezee na nehema zake huzidi kutumikia watu wake. baraka tele na Kenya 🇰🇪 twakuoenda na kukutambua sana
Kwakeli kabisa île nimaono kutoka Mungu ubarikiwe saaana Mungu aendeleye kupa ujnjuzo kama ivi
Siri yangu maombi..dawa yangu ni Yesu...hirisi yangu maombi..woow❤❤ barikiwa Mama kwa ujumbe mzuri and welcome back we love you.
This one is so sweet, Bahati Bukuku wewe ni mamangu...dawa yangu ni Yesu, dawa yangu ni mafungo, hirizi yangu ni maombi, acha nijivunevuneeee 🔥 ❤
Hakika maombi ukiwa na Imani,kuna makuu zaidi
AMEN KUBWA SANA, DAWA YANGU NI YESU CHRISTO🙏🏾
Mu barikiwe wa tumushi wa Monkonzi Yesu
Mungu akubaliki na akufunguliye milango ya mbingu ili uzidi kutupatiya neno la Mungu kupitiya gospel zako.Barikiwa Dada
🔥🔥🔥🔥 babie wanasema nimekupa hirisi, dawa yangu ni yesu❤❤🇰🇪🇰🇪
Good combination listening from zambia beautiful song.
Karibu tena bahati,napenda nyimbo zako sana
💐hinikali sana bahat chukua mauwa yako mungu akupe maisha marefu
barikwaa san mtumishi wa MUNGU
Nabarikiwa Sana na nyimbo zako mama
Ulitutelekeza kitambo Sana katika huduma
Napenda huduma yako Da BAHATI
Ubarikiwe Sn Kwa Kazi Nzuri Mamy Nyimbo Zako Nzuri Sn. Hakika Dawa Yangu ni Yesu
Love love love my bukuku, ubarikiwe mama, nipo mbeya mama jonh
Jembe Gospel ya Jembe Fm, inajivunia kupata muziki mzuri toka kwako mtumishi......
Nyimbo zuri sanaa MUBARIKIWE Sanaa❤❤❤
Amem ❤❤ Yesu nidawa yakila kituu jamani nampenda bure Mama bahati na Bonny mwaitege
Bon retour notre légende de la musique chrétienne,nous les congolais nous t'aimons beaucoup 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
You always inspired me my sister,Mungu azidi kukutunza gwa kukagha ❤❤❤
Nakwambia Ivi Uliitwa Tokambali Ninakukubali vibaya Mno Yesu Akutunze 🔥🔥🔥
Bahati we nimkali sister, hirizi ni maombi. Hii nyimbo tam sana. Nacheza tu. ❤
Amen,dawa yangu ni yesu am blessed. ❤😊
Aisee Bwana wee Mama bahati bukuku hii sauty inaupako sana MUNGU akuinue sana
I missed this voice, thank you for blessing us again.
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzur😍
Hakika bado upo vizuri sana,hujachuja kamwe
The voice of gold.... you're very unique Bukuku....much love from Nairobi 👏👏🔥💞
napenda nyimbo zako kwasababu zinanifundisha na kunifanya nufurahi kusikiliza muziki wa injili
Wooow,dawa yangu maombi,hirizi yangu magoti
Sifa kwa Mungu❤
Mungu awabariki dawa ni yesu 🥰🔥🙌
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩Wanawake wa vale mzuri suluwali apana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
wimbo mtamu sana sauti nyororo sana Mola azidi kukuonekania
Eeh... Mum bukuku Asante b blessed
Kwakweli Siri yangu Ni maombi❤ maombi tosha Amina 🙏🙏🙏🙏
🎉🎉🎉wow I love this my God be with you always 😇😇
Mungu azidi kukuinuwa zaidi mama yangu, udumu milele wengi tunaufuraiya uwepo wako
Ubalikiwe sana siyokazindogo nimabi kweli
lovely song mama,ubarikiwe❤
Hi mum nyimbo nzuri dr kwanza napenda nyimbo zako sana zinanipa matumaini na amani kwa mungu be blessed
Karibu Tena,5yrs ago....n muda murefu sana
Thx sana nitamsikilizisha my wife wimbo huu!!
Barikiwa sana mama angu nyimbo naipenda san
Amen 🙏 mungu akulinde sana dada yetu, much love from Kenya
Mungo aendelee kubariki kazi ya mikono yako
Ubarikiwe ❤❤❤
❤❤❤❤❤❤🎉🎉aki ifanye download,big up from gulfee
Siri yangu maombi ❤
Thank you for blessing us again with this powerful song 🙏
Tutolee video mummy nakupenda kutoka kenya
Siri YANGU ni maombi fireee
❤❤ am in love with the voice,,, congratulations mama,,
Nampenda Sana bahati bukuku❤️❤️❤️❤️
Nimekuelewa my wangu ❤sister
Ubarikiwe sana mtumishi 🙏🙏🙏
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. We love you our sisters and brothers from Tz
Napenda sana uduma yako......just sing
Sawa yangu ni Yesu kristo ❤
Toko Norway 🇳🇴 Mimi ni mutume kaholly nabarikiwa sana « irizi yangu ni Yesu» 😂😂😂😂😂😂
Dawa yangu ni Yesu!
The beat Eish!!!! Live long mama BAHATI
Mungu awabaliki sana ❤❤
Dawa yangu ni Yesu Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
barikiwa sana mama😘
Bahati Bukuku 🤩🤩🤩
The E. A super legend welcome back
Oooh touching. Be blessed mummy. ❤
Eishhhh hatari
Karibu back legend ❤
Ameeeeen dawa yangu ni yesu tu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wanasema nimefanya nini,nimeamini na akajibu,dawa yangu ni yesu
Dawa yangu ni Yesu
love this ...dawa ni yesu
Nzuri San dad
Nice voice mama barikiwa🎉
Bahati never disappoints.... your songs are so inspirational. Much love from 🇰🇪, unatubariki🙏
Vipenzi Vyangu❤
Aione mtoto wa mama mkwe 😆❤️💕🔥
Me naikubali sana sauti ya dada bahati jmn 🥰
Amen ubarikiwe sana mama yetu
YESU dawa... Love 😘😘 you from Kenya
Very good inspiration song welcome again to the gospel world