NYIMBO ZOTE ZA KWARESMA ZILIZOIMBWA NA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.Mratibu- Aloyce Kipangula
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- KARIBU TUTAFAKARI PAMOJA NYIMBO ZA VIDEO ZA KWARESMA 2023 ZILIZOIMBWA NA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS. PAROKIA YA CHANG'OMBE JIMBO KUU DAR. NYIMBO HIZI ZITAKATAFAKARISHA VEMA KUHUSU UHUSIANO WAKO NA MUNGU.#kanisakatoliki #kwayakatoliki #nyimbozainjili #nyimbozakatoliki #nyimbozakatoliki#kwaresma
Am an Anglican but these songs are my source encouragement having gone through so much in life God bless you the composer
Tulikuwa tunaimba kwaya kipindi icho TYCS tujuane hapa kwa like
Naupenda huu wimbo Sana unanifariji sana
❤
Tuzidi kumwimbia kiristu maana bila yesu sisi wenyewe atuwezi
Wimbo unanisaidia kujihimiza kumrudia Mungu katika toba ya kweli katika msimu huu wa Kwaresma
Huu wimbo hauchuji kila siku ni mpya kila unapousikiliza,Mungu awabariki sana waimbaji wote na kuwatia nguvu mtunge nyimbo nyingi zenye kugusa mioyo yetu
Napenda sana... Tuzidi kufunga na kuomba sana... Yesu atatuhurumia
Good choir .When i listen to your songs i feel encouraged and may you continue praising God and preaching to christians all over the world thanks ❤
Hongereni team Chang'ombe kwa kazi safi,mwalimu Aloyce Goden nyimbo zako za kwaresima hazina mfano,zanibariki sana.Mola azidi kukubariki katika uinjilishaji.
Asante Sana Denis Tunashukuru
@@AloyceKipangulayaani kwa siku hizi arubaini za mfungo nyimbo zako zanisaidiabkwa tafakari ya kila siku,nikiuliza kuna ule wimbo Bwana tulekee,mbona umeandika Tradition?
Beautiful touching and emotional lent songs. Proud Catholic!
Huu wimbo unanitafakarisha sana MUNGU awabariki sana🙏🙏🙏🙏
Asante
Nice song God bless you all
@@naamulesuzy6913 wimbo huu ni wa matumaini na unatukumbusha kujinyenyekeza kwa Mungu.
Beautiful song 🤩🤩
@@AloyceKipangula Mungu awabariki kwa uimbaji uletao wito wa kumtiì Bwana wetu Yesu Kristo.
This song has blessed my first Sunday of Lend. We sang it in our choir St. Mary's Miambani Parish - Kitui Diocese. Kenya.
Thanks to the Composer.
A very nice song❤
Thank you
Tuzidi kumsifu yesu kristo
Thanks to the lord
Nyimbo hizi zinanibariki sana
Arc. Aadio
Amen
B@@gracekahawa6415
Amen Amen, Mungu aturumie yote tunayo kosa.
Hongera Sana Kwaya ya Chang'ombe Catholic Singers na Mratibu wenu Aloyce Kipangula. Nyimbo hizi zimenisindikiza sana wakati huu wa Kwaresma. Mubarikie Sana. Natoka Kenya
Asante Sana Ndugu Gregory Musembi kutoka Kenya.Endelelea Kutufuatilia Tutakuletea nyimbo nyingine nyingi hivi karibuni. Naitwa Aloyce Goden Kipangula Mtunzi wa Nyimbo na Mratibu wa huduma hii ya uinjilishaji
Kwa wale ambao hatujui. Maashairi ya wimbo a kwanza yapo katika Bibilia- Yoeli , surah 2, Ayah12-17. ''Lakini hata sasa asema BWANA, Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kulia , na kwa kuomboleza'' . ''Rarueni mioyo yenu wala sio mavazi yenu, mkamrudie BWANA, Mungu wenu, kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema naye hughairi mabaya''...................................
Asante Antipas kwa kunisaidia katika jukumu hili la uinjilishaji. Ni Mimi Aloyce Kipangula Mtunzi wa Wimbo
@@AloyceKipangula Ahaa. Asante sana. nashukuru . Ayah hizi zote ni tafakari kuu hasa kwa Kanisa la nyakati zetu na hasa saumu hii.Nipo hapa Nairobi
Umenena
❤❤
Kwa kweli nyimbo izi zime activate mood zangu za kwaresma..Mola awabariki
True zinaniguza mpaka nalia pia
How I love this song it really touch my heart,,,, thanks for uploading
S
It really touch my heart
OKEY
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kuinjilisha kwa njia ya uimbaji
Kila mwenye pumunzi na amsifu Bwana.
Nyimbo hizi zinanigusa mno mpaka natokwa na machozi kujua kua dhambi zangu ndizo zilizosababisha kifo cha Mwokozi wangu. Mungu bariki kwaya hii kwani pia wanaimba kwa roho ya unyenyekevu mno....!
Amina
Zina mafundisho mazito nazinatusogeza karibu na mungu maana tukizisikiliza tunalshi matendo mema naofu ya mungu
Mungu awabariki sana walmbaji nawaandaaji wanyimbo lzo zenye mguso wakipekee
@@olympiaurio3029 asante sana mimi muumini julius mbuya
Mungu awabariki san napenda kusikiliza nyimbo zenu wapendwa
Hongers Wana choir!
Nyimbo tamu,!
Classic songs!
Changombe hoiye!❤❤❤
Hongera sana Pd.Prosper Kessy Mungu akulinde na kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho.Asante sana
Mimi ni riziki kyalondawa francois, kwa inchi ya Congo Sud Kivu/mwenga kamituga paroikia yamutakatifu François xavier tangila
I like the song especially this period of lent
Wow, this is so beautiful, you hold the Lenten season jaman na Nyimbo zenu. Asante Sana, Ashukuriwe Mungu
Asante Nathan Banda
Nyimbo mzuri zanifundisha kutubu makosa yangu kwaajili mwokozi aenda kusulubiwa bila kosa Kristu nihurumie
All glory to the Almighty God for the grace of life. Give thanks to the Lord all the dayf of your life
Mbarikikiwe waimbaji kwa kujitoa katika uimbaji mmeacha vingi mmsali kwa kuimba Mwemyezi Mungu, awakumbuke kwa utume wa uimbaji wenu.
Mungu abariki huduma yenu.
Wimbo mtamu ajabu. Zidi kubarikiwa!🙏
Hongereni kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuinjilisha kupitia kwaya!
Asant San kwa uijilisahaj wenu mung azidkuwalid
Amina
Nice song
Nyinyi m’invalidiez tou mes île Kanisa y’a Vatican Bwana Roho y’a Mungu Ina Sema na Nyie wa TEULE Ha Mutaki Ku Sikiya a lakini my Na Tim a Vizuri
🙏
Mungu awabariki mnaotuhubiria kupitia nyimbo hizi
Nami kwa niabaya Waimbaji wenzangu Tunakushukuru. Aloyce Goden Kipangula Mtunzi wa Nyimbo na Mratibu
Mungu awabaliki sana kwa kueneza injili kwa njia ya nyimbo.
Mubarikiwe sana waimbaji wetu munapo nikumbusha nyumbani kwetu hapo Congo
Congratulation we call it healing songs
Good songs
🙏
Jaman mnayoyaimba muyaix 6:48 h kwa vitendo
🙏
Ongera Kwa nyimbo zuri
Asante Sana Ndugu
🙏
Mungu ni mwema Kila wakati amina
🙏
Shukrani kwa wimbo nzuri
Asante Sana Aristote
20:00 i love this song 🙏🙏
Very weii sung. 🙏🙏🙏
Mungu Awabari sana kwa nyimbo nzuri
Wimbo huu unanifariji Mimi Yani naupenda nausikiliza kila mara
Endelea kubarikiwa
Mungu wimbo huuu mungu unikumbuke
Mungu awabariki sana
Hongeni Sana nyumba nzur
Tupunguze dhambi tussfishe njia ili tuweze kumwona yesu kristo
Mungu ni mwema
Huu wimbo unatafakarisha sana pia nakumbuka msiba wa first born wangu Briton apumzike kwa Amani
Im listening this song in Good Friday
Mungu aendelee kuwapa nguvu kuinjilisha na kuwatafakarisha watu wote
Nyimbo poa sana
Mungu ni muweza wa yote
Aksanti baba Aloyce.
Asante Pia Ndugu Lazare Fabrice. Tumshukuru Mungu. Je wewe uko nchi Gani?
Ama kweli kinachotoka kwa moyo kinagusa moyo mwengine, mumeumba kutoka kw moyo na hisia hadi imenielekeza kutubu. Tumrudieni kw miyoyo yetu yote.
Amen
Mungu Yu mwema wakti wowte
🙏
KAZI MUSURI SANA 💙💙💛💕💯
🙏🙏🙏
Mungu awabaliki sana
Amina
Mun gu
Awabariki
Sana
Mbarikiwe sana wanakwaya nyimbo nzuri zakuvutia kweli
Kwaresma njema
wimbo mzuri sana
Asanteni Kwa kutuliwaza
Tumshukuru Mungu
Moyo mnyovu ndani ya utulivu mkuu.
SHUKURANI kwa mtunzi wa nyimbo hizi❤❤
Amina
Haswaaa....huo ndio utamu wa kanisa katoliki.
Hki kibao kitamu sana.
Huu ndio uhondo wa kanisa takatifu.....katoliki
..la.....
Hongera sana mtunzi
Na azid kubalikiw ,kwa utugaji wake maan sis tukio weng tunatengemea hulum ya mung
Mungu hawajaze nguv Kwa utume huu
Hakika nyimbo ni nzur sana
Tumtukuze Mungu
@@AloyceKipangula tuko pamoja kwenye safari ya kwenda mbinguni tujitaldi unyenyekevu mbele ya mungu
I feel revealed with heavenly angles
tuna kila sababu kusikiliza huu wimbo ktk kipindi hiki cha kwalesma.
Wimbo mzuri sana mungu awabariki 🙏🙏
Bila mungu hakuna liwezekanalo🙏
Nice songs
Amina
Mungu ni mwema kila wakati, tumrudie true, mbarikiwe sanaà
Amen glory to Jesus
Amen 🙏🙏
Kazinzuri.
🙏
Ameen
Baba tuhurumie
Kwaresima njema Mimi nafarajika kuliko chochote , baba nihurumie
Barikiweni sana wanakwaya wa hiz nyimbo zinatuvutia kweli sana
Wakati huu wa kwarezma nimulmu kufunga nakumlili mungu atusamee kwakila jambo namamboyote tunayo tenda ambayo ayampendezi mungu nakujitaldi kwalasiku zamalsha kulshi malsha matakatifu
Safi mwakipangula
🙏🙏
Amina 🙏
Mungu wa mbinguni awabariki sana wa imbaji wote sina chakuwapa bali nitawaombe mungu awalinde wote amina
mungu ni mwema
Nilazima kumusifu Bwana Lila siku
Amina.
We love you Jesus
Kila wakat ni mwem
Thanks lod
How can i download these mixtapes to my external memory
Kila mmoja amekosa kuzidi kutubu makosa yetu
🙏🙏🙏
😀
Na zani katoliki kama sija ji danganya 😢😮😅😂
Ngo yabaye ngo muri FDLR ? Uyu se utamubona ko ari muri za zindi zatorejwe mu rugo kwa Rwigara bigishwa kubaga abantu nyine no kubateka ! Nonese abica abantu bose nabinjiye mu nkotanyi muri 1993 cyangwa mbere yaho ntanabarimo kuhinjira ubu ? Ubundi se ko nta myirondoro ye muzi mwabwiwe niki imyaka ye ko numvise afite imyirondoro irenze ikenewe ?!