DIAMOND ALIVYOSOMA MISTARI YA BIBLIA KWENYE MTOKO WA PASAKA, APIGIWA SHANGWE NA WAKRISTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • DIAMOND ALIVYOSOMA MISTARI YA BIBLIA KWENYE MTOKO WA PASAKA, APIGIWA SHANGWE NA WAKRISTO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 45

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Год назад +2

    Ndio mkulugenzi🙏🙏🙏

  • @juliusisack4090
    @juliusisack4090 Год назад +1

    Najua kuna siku utawaita wachungaji waje wasikie kile utakacho taka kuwaambia...
    ilaa nakuombea sana Sana Kwa mungu akupe maish marefu sana ukiachilia music pia unatoa ajira kwa vijana unawapa watu platform za kufahamika na kutumia majina yao hayo kupata kipato... GOD BLESS YOU MR NASIBU 🙏

  • @delimachesa5007
    @delimachesa5007 Год назад +3

    God bless you chibu

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 Год назад +2

    Ximbaaa 🔥🔥 much respect

  • @StevenCarlos-ho1wv
    @StevenCarlos-ho1wv Год назад +2

    Tunakukubali Sana Diamond

  • @jamexmalaki
    @jamexmalaki Год назад +1

    Amen

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 Год назад

    Barikiwa Domo 🙏🙏

  • @Africanhandsomeboy
    @Africanhandsomeboy Год назад

    Amen amen ❤❤❤❤❤

  • @perpetuaishika2574
    @perpetuaishika2574 Год назад +1

    Nice👏👏

  • @Pleaselikeansubscribe
    @Pleaselikeansubscribe Год назад

    rudia mungu kijana siku zako zishawadia

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад

    Nimekupenda diamond

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Год назад +2

    Genius

  • @gogybushi9736
    @gogybushi9736 Год назад +1

    Hii nchi haina udini! Tanzania ni moja ✊

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 5 месяцев назад

    بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
    قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾
    1. Sema: Enyi makafiri![1]
    لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾
    2. Siabudu yale mnayoyaabudu sasa.
    وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾
    3. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule ninayemwabudu sasa.
    وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾
    4. Na wala mimi sitoabudu yale mliyoyaabudu nyuma.
    وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾
    5. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule Ninayemwabudu.
    لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾
    6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

  • @ceciliaathanas3135
    @ceciliaathanas3135 Год назад

    Diamond I love you kwakweli

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Год назад +6

    Kwakuwa wewe ni mfanya biashara sio mbaya kwa hicho unachofanya lakin kama wew ni kijana wa kiislamu na unaijuwa dini Yako vizuri basi haujatenda sawasawa na miongozo ya mtume wetu (S.W) kama alivyotuelekeza katika Quran hvyo kama unaipenda dini Yako Kaa chini na mashekhe wako wakupe miongozo sahihi yakuisha katka uislamu hata kama kwa asilimia chache itakusaidia tofaut na hapo utakuwa unatapatapa Iman Yako haijatuama mahali pamoja

    • @mohammedyahya972
      @mohammedyahya972 Год назад

      Kweli hii ni makosa tena ramadhan

    • @erastomwakalukwa3946
      @erastomwakalukwa3946 Год назад +1

      Kwahiyo Injili haitakiwi katika uislam? Waarabu wa tanganyika Bwaaaana 🤣🤣🤣 anyway kwani kakwambia amekua muislamu? Sheikh ndicho kinini?

    • @herbertnzowa8657
      @herbertnzowa8657 Год назад

      Asante kwa kuonesha nia ya kulinda Imani yako,weka kwanza wazi mafundisho ya Mtume kuhusiana na hicho alichofanya huyo msanii tuone makosa yapo wapi,asante

    • @diluxsinihayo1231
      @diluxsinihayo1231 Год назад +1

      Huna hoja ndugu , Huyo ni Rais wa wasafi ,ni kiongozi wa taasisi kubwa hivyo anasimama kwaajiri y Dini zote ,kwani nyie hakuna miongozo ya uongozi kwenye Dini??

    • @danpaul1381
      @danpaul1381 Год назад

      Ok

  • @yohanasport5929
    @yohanasport5929 Год назад

    Umetisha simba

  • @AdelaJastini-yq8wp
    @AdelaJastini-yq8wp 8 месяцев назад

    yohana 3:16 kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili Kila mtu amwaminie asipoteee.bali awe na uzima wa milele.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 5 месяцев назад +1

    Waache kumshambulia Diamond, ni dhambi kusoma neno lá Mungu; amealikwa ni festival yeye ni msanii, na ameenda kijana taasisi ya wasafi. Mbona Viongozi wakubwa wakialikwa wanahudhuria na wanatoa ujumbe wa Bíblia , mbona hamuwashambulii???? Tutabaguana kidini hadi lini???? Serikali msifumbie macho ubaguzi huu, kemeeni kila mtu dini hizi zijenge umoja, ziheshimiane, waumini waishi kama ndugu

  • @isayajoram2434
    @isayajoram2434 Год назад +2

    Ila jamaaa ameka kama mchungaji flani ivi

  • @StevenCarlos-ho1wv
    @StevenCarlos-ho1wv Год назад +1

    Diamond tuimbe Gospel tu

  • @mukrimmohd8954
    @mukrimmohd8954 Год назад

    Kama unamini iyo aya unayosoma basi unapingana na quran 4:157

  • @mildredachiengi4518
    @mildredachiengi4518 Год назад

    Diamond kimbia kabla jioni haijakufikia.
    Kwa maana huyo YESU ayarudi kutuhukumu walio hai na waliokufa njoo tumlaki anaporejea waliotenda mema kwa Ufalme wa mbinguni.TOKA MBIO

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Год назад +1

    Diamond platinums unajua kucheza na akili za watu pia piga pesa bro

  • @ALIKANIMWEGELINGOHA
    @ALIKANIMWEGELINGOHA 5 месяцев назад

    Wewe ni mkuu WA taasisi na Kuna wakristo humo ko umefanya vema

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад

    Diamondplatnumz awe mkristo tu tunamwita Joseph josefuuuu kuanzia sasa

  • @islamicnooruBurundi
    @islamicnooruBurundi Год назад

    mimi kivyangu huu sio uislam huwu ni ukafiri huku nikupenda dunia mpaka unafanya mzaha kuhusu iman yako utajikuta unaitwa abdoul kumbe uko matayo ushatoka uislam mapema huu ni ukafiri si wislam

    • @robatimartini4452
      @robatimartini4452 Год назад

      Ninyi mbona mnakuwa kama msio mjuua Mungu, yani wakristo t ungekuwa kama ninyi TZ kungewaka moto

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 5 месяцев назад

      Kafili ni yule jamaa alieoa Mtoto wa miaka sita na kulala nae akiwa na miaka 9

  • @marymgort1160
    @marymgort1160 Год назад

    1day utaokoka

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Год назад

    ni upumbavu mtupu