DIAMOND ALIVYOSOMA MISTARI YA BIBLIA KWENYE MTOKO WA PASAKA, APIGIWA SHANGWE NA WAKRISTO
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- DIAMOND ALIVYOSOMA MISTARI YA BIBLIA KWENYE MTOKO WA PASAKA, APIGIWA SHANGWE NA WAKRISTO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ndio mkulugenzi🙏🙏🙏
Najua kuna siku utawaita wachungaji waje wasikie kile utakacho taka kuwaambia...
ilaa nakuombea sana Sana Kwa mungu akupe maish marefu sana ukiachilia music pia unatoa ajira kwa vijana unawapa watu platform za kufahamika na kutumia majina yao hayo kupata kipato... GOD BLESS YOU MR NASIBU 🙏
God bless you chibu
Ximbaaa 🔥🔥 much respect
Tunakukubali Sana Diamond
Amen
Barikiwa Domo 🙏🙏
Amen amen ❤❤❤❤❤
Nice👏👏
rudia mungu kijana siku zako zishawadia
Nimekupenda diamond
Genius
Hii nchi haina udini! Tanzania ni moja ✊
بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾
1. Sema: Enyi makafiri![1]
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾
2. Siabudu yale mnayoyaabudu sasa.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾
3. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule ninayemwabudu sasa.
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾
4. Na wala mimi sitoabudu yale mliyoyaabudu nyuma.
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾
5. Na wala nyinyi hamtoabudu Yule Ninayemwabudu.
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾
6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Diamond I love you kwakweli
Kwakuwa wewe ni mfanya biashara sio mbaya kwa hicho unachofanya lakin kama wew ni kijana wa kiislamu na unaijuwa dini Yako vizuri basi haujatenda sawasawa na miongozo ya mtume wetu (S.W) kama alivyotuelekeza katika Quran hvyo kama unaipenda dini Yako Kaa chini na mashekhe wako wakupe miongozo sahihi yakuisha katka uislamu hata kama kwa asilimia chache itakusaidia tofaut na hapo utakuwa unatapatapa Iman Yako haijatuama mahali pamoja
Kweli hii ni makosa tena ramadhan
Kwahiyo Injili haitakiwi katika uislam? Waarabu wa tanganyika Bwaaaana 🤣🤣🤣 anyway kwani kakwambia amekua muislamu? Sheikh ndicho kinini?
Asante kwa kuonesha nia ya kulinda Imani yako,weka kwanza wazi mafundisho ya Mtume kuhusiana na hicho alichofanya huyo msanii tuone makosa yapo wapi,asante
Huna hoja ndugu , Huyo ni Rais wa wasafi ,ni kiongozi wa taasisi kubwa hivyo anasimama kwaajiri y Dini zote ,kwani nyie hakuna miongozo ya uongozi kwenye Dini??
Ok
Umetisha simba
yohana 3:16 kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee ili Kila mtu amwaminie asipoteee.bali awe na uzima wa milele.
Waache kumshambulia Diamond, ni dhambi kusoma neno lá Mungu; amealikwa ni festival yeye ni msanii, na ameenda kijana taasisi ya wasafi. Mbona Viongozi wakubwa wakialikwa wanahudhuria na wanatoa ujumbe wa Bíblia , mbona hamuwashambulii???? Tutabaguana kidini hadi lini???? Serikali msifumbie macho ubaguzi huu, kemeeni kila mtu dini hizi zijenge umoja, ziheshimiane, waumini waishi kama ndugu
Ila jamaaa ameka kama mchungaji flani ivi
😅😅😅
Diamond tuimbe Gospel tu
Kama unamini iyo aya unayosoma basi unapingana na quran 4:157
Diamond kimbia kabla jioni haijakufikia.
Kwa maana huyo YESU ayarudi kutuhukumu walio hai na waliokufa njoo tumlaki anaporejea waliotenda mema kwa Ufalme wa mbinguni.TOKA MBIO
Diamond platinums unajua kucheza na akili za watu pia piga pesa bro
Yeah jamaa mjanja sana anatumia akili
Wewe ni mkuu WA taasisi na Kuna wakristo humo ko umefanya vema
Diamondplatnumz awe mkristo tu tunamwita Joseph josefuuuu kuanzia sasa
mimi kivyangu huu sio uislam huwu ni ukafiri huku nikupenda dunia mpaka unafanya mzaha kuhusu iman yako utajikuta unaitwa abdoul kumbe uko matayo ushatoka uislam mapema huu ni ukafiri si wislam
Ninyi mbona mnakuwa kama msio mjuua Mungu, yani wakristo t ungekuwa kama ninyi TZ kungewaka moto
Kafili ni yule jamaa alieoa Mtoto wa miaka sita na kulala nae akiwa na miaka 9
1day utaokoka
ni upumbavu mtupu