ALIYEKUWA MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI[SUGU[ NDANI YA MEDANI ZA SIASA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Комментарии • 145

  • @josephlossy1808
    @josephlossy1808 3 года назад +7

    DUH WAJINA UMETEMA MADINI KWELI KWELI BIG UP

  • @claverysugauli1522
    @claverysugauli1522 2 месяца назад

    Le mwenyekiti Nyasa land zone ✌🏽🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @FrankMichael-tg4vz
    @FrankMichael-tg4vz Месяц назад

    Sugu moto chini ❤

  • @sendisteve7981
    @sendisteve7981 6 месяцев назад

    Sugu hilo la wasanii kuwa wanasiasa au kuonyesha mahaba kwa vyama tofauti ni changamoto kubwa.Nadhani kwanza ni haki yao ya kikatiba,pili wanao uhuru binafsi wafuate itikadi gani.Na hilo lipo duniani kote.Ni vema tukawaelewa kuwa ni binadamu ti wa kawaida.Tuwahukumu zaidi kwa kazi zao kuliko ufuasi au itikadi zao za kisiasa.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 3 года назад

    Asante Sana sugu kwauwazi Sasa mweshimiwa tupiganiye katibampya majambazi waccm wasipate nafasi zakupotosha

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 3 года назад +2

    Safi Sugu, ni kamanda mwanamapinduzi.

  • @lucasjames2102
    @lucasjames2102 3 года назад +5

    Duuuuuuh nimemuelew mno sugu kwel kbs kwaupand wa dai yupo sahihi

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 года назад +2

    Kwel niga mh hakutoa kauli yoyote kuhusu lissu
    Kama amili jesh mkuu😉😭😭

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 3 года назад +1

    One love mbunge ulishinda ila kuna MTU aliamuru usishinde walipora kura zetu

  • @ibrahimdamas9445
    @ibrahimdamas9445 3 года назад

    Nimekwelewa sana mzee mungu akulinde akuongeze siku zakweshi

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus2477 3 года назад +8

    😂😂😂😂 huyu jamaa hakwepeshi maneno yani kweli nimeamini Hip Hop ni sehemu ya uwazi

  • @masterdaveprojections
    @masterdaveprojections 3 года назад +2

    Yes of course, ni kukataa UPUMBAVU

  • @lucasjames2102
    @lucasjames2102 3 года назад +1

    Wanamwit sugu sugu sugu big up mkuu damu zawatu na namuonekano wanch bora nin hii inamahanish kwamb nchi ikiwa bora lkn hain watu saram je nan ataish ktk hyo nchi yan mim ndo nilivyo muelew sugu samahan kam nimekosea cna maan mbay nasitaman watu walichukue jambo hlo liwe kam njia yakumuelew sugu hpn nimtazamo tu

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 года назад

      Wenye fikra finyu kama wewe wameelewa hivyo

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda9704 3 года назад

    Asante sugu.

  • @aggyhezron1853
    @aggyhezron1853 3 года назад +2

    I am very impressed with your talk bro sugu

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 3 года назад

    Peter Gamba Asante ,hivi lilivojenga Hotel kwa ruzuku za chama chake na Kodi za waliolichagua lilikumbuka kujenga hata kaofisi ka Chadema huko kwenye Jimbo au lilichumia tumbo tuu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 года назад

    Magufuli,hakupenda Sana siasa ktk kazi.hawa walikuwa wanakwamisha maendeleo.viwanja vya ndege sehemu nyingi.kujenga chato ni kosa?j.p.m alifanya kazi.nawe sugu hatukuchukii kwa sababu unamchukia marehemu Una sababu zako.

    • @marymakoi8604
      @marymakoi8604 3 года назад

      Kama hukubali alivyovifanya mzee wetu Magu.bac huns.maana wewe.tena wewe ni mpinzani feki. Na tutaendelea kumtukuza Raisi Magu. Mama yako alifariki kwa siku zake tu. Umekosa hekima.kimsema.mwendazake..kumbuka nawe siku yako yaja. Tena mwogope Mungu sana huna hofu ya.Mungu.

  • @justusmasige4170
    @justusmasige4170 3 года назад +1

    Sugu: yea ofcoz ni kukataa upumbavu
    Mwenyekipindi: 😷😷😷😷😷

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 3 года назад +3

    One of the best interview of this yr

  • @jitulakalemastr7636
    @jitulakalemastr7636 3 года назад

    Pamoja sana sugu boy

  • @herisophisticated9275
    @herisophisticated9275 3 года назад +1

    MA Niqqa Jongwe

  • @nicolausmwandumwandu222
    @nicolausmwandumwandu222 3 года назад

    Uko vzr Sugu

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 3 года назад +1

    sugu muhuni sana. 🤣

  • @daudmwaijumba7953
    @daudmwaijumba7953 3 года назад

    mungu amtupi mjawake tujitahid kuana imani namungu atafanyanjia pasipo nanjia

  • @thomaskiponda9704
    @thomaskiponda9704 3 года назад +1

    Sugu wewe ni sugu kweli msema kweli ni mpenzi wa mungu umechana live.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 3 года назад +2

    Mwendazake Hii Nchi Aliifanya Kama Familia Yake Vile, Kesi Za Uchochezi Haziskiki Tena Siku Hizi😁😁

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 3 года назад

    Big up Sugu

  • @hassanfundi893
    @hassanfundi893 3 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 3 года назад +3

    Tyrant leadership which were employed during medieval period, was a bit practiced in our state five years past.

    • @gasperelasto8208
      @gasperelasto8208 2 года назад

      Hahaha hahahahahahahaha good message but hidden in language.

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 3 года назад +2

    TUNAKUKUBALI SANA MH.JOSEPH MBILINYI (SUGU)

  • @grysonbrown7380
    @grysonbrown7380 3 года назад +2

    shusheni full mahojiano ndugu zanguni star tv

  • @liziwanishemzigwa3473
    @liziwanishemzigwa3473 3 года назад

    🙏

  • @stn4873
    @stn4873 3 года назад +2

    😂😂😂😂😂SUGU BWANA😂😂😂😂😂😂😂 anaongea kama ana rap!

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 3 года назад +4

    CCM NA VIONGOZI WAKE WALIKUWA WANATENGENEZA TATIZO NA KULITATUA WAO WENYEWE ILI WAJISIFIE

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 3 года назад

      Na walishindwa, ndio maana leo, wanaibika, baada ya jpm, kuondoka, eti yote yale ilikua uonevu

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 3 года назад

      Ndivyo Ulivyokua Kipindi Cha Mwendazake na Tim yake yakumuabudu Nakumsifu.

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 года назад

      Wembe ni uleule ngoja tumewalegezea ili muingie ndani ya 12 tuwalipue tambeni kwanza.

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 года назад

    😂😂😂😂 ya gangster nicca🙌🙌🙌🙌

  • @ramadhanbakarimtambo2024
    @ramadhanbakarimtambo2024 3 года назад

    Huyu bwana ni kamanda halisi hakika hip hop imemjenga kweli

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo981 3 года назад +3

    Sugu hana jipya

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад

    Sugu ni Jembe kweli kweli

  • @willymahali4818
    @willymahali4818 3 года назад

    We mtanzania muogope mungu.

  • @arinestaanton9895
    @arinestaanton9895 3 года назад

    Sugu mkweli sana

  • @bukurujohnmary8016
    @bukurujohnmary8016 3 года назад

    Haabari ningependa kuuliza siku ya kipitindi cha MEDANI ZA SIASA kinacho pitika kwenye STAR TV

  • @franciseliaskaboja3932
    @franciseliaskaboja3932 3 года назад

    ©√√√=% $••¥$ Big up

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 2 года назад

    Sugu ni mbunge halali wa mbeya huyo mama ni kanjanja tu

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 3 года назад +1

    Sugu si kwamba umemtaja mwenyekiti kwa sababu pia system ya chama inakutaka ufanye hivyo?

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 3 года назад +2

    Tumsamehe jamani,yalishapita,ili kazi iendelee

  • @chidjosh6056
    @chidjosh6056 3 года назад +2

    Mungu ameisimamia chadema kwakweli,

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 3 года назад +1

    Huyu mtangazaji mjinga Sana.

  • @charquemwanga9598
    @charquemwanga9598 3 года назад +2

    Ndugu yangu Sungu unastahili kupewa pongezi kwa kuwa na maono chanya Kama unavyotolea maelezo juu ya hoja mbaliX2 ambazo zinawagusa viongozi wetu katika kuwakosowa na kuwapongeza.

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 года назад

      Wewe nae ni ziro. Kwa clip hii hujaona ana mapungufu.kwani alifungwa kwa makosa kisheria waliyotunga bungeni au alifungwa na Rais?

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 3 года назад

      @@pitargamba9208 wacha maboya wasifiane

    • @charquemwanga9598
      @charquemwanga9598 3 года назад

      Na wewe ndio mwerevu unaejua Sheria kwa kuwa bunge limetunga Sheria kandamizi za kuwafunga hata wasiokuwa na hatio hongera kwa elimu nzuri uliopata ingawa Ni kwa manufa yako peke yako na sio kwa ajili ya umma.

  • @yusuphmagetta7969
    @yusuphmagetta7969 3 года назад

    Sugu uko vizur kwa kupangua hoja

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 3 года назад

    Huyu jamaa ni mbishi sana

  • @pendopendokimathkimath1218
    @pendopendokimathkimath1218 3 года назад

    Mbunge wetu tunakupenda Jimbo bado lipo wazo

  • @mohamedmatata8075
    @mohamedmatata8075 3 года назад +1

    Nakukubali sana

    • @ericmwaisemba5860
      @ericmwaisemba5860 3 года назад

      Sugu hapo sawa mbowe nikiongozi mvumilivu sana ni mfano wa kuigwa

  • @willymahali4818
    @willymahali4818 3 года назад +1

    Mama sasa unampaka mafuta kwa mgongo chupa, sasa ndiyo unataka cheo kwa mama.

    • @adrophntabalizo8634
      @adrophntabalizo8634 3 года назад

      Mama anapofanya mambo mazuri unataka asipongezwe? Au akianzisha utaratibu wa kunyanyasa watu bado utataka apongezwe?

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 3 года назад +1

    Mwandishi hapo unatwanga maji kwenye kinu.

  • @jipozeonline3983
    @jipozeonline3983 3 года назад

    Ni kukataa UPUMBAVU duuuh sugu anakuchana waziwazi kwa kutumia HIP-HOP hakika sugu 5 tena

  • @zillah9750
    @zillah9750 3 года назад

    sugu rais wa mbeyaa

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 3 года назад +1

    Sugu dhamira ya kazi za maendeleo zilizoletwa na Hayati Magufuli imemsuta,tumeshindwa kumponda!

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Год назад

    Odemba.huyo.ndio.sugu.sio.akina.msukuma.ndugai.

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад

    Siyo kisheria, ni pale tu Rais inspompebdeza.

  • @yusuphsalehe4890
    @yusuphsalehe4890 3 года назад

    Hizi ni siri nzito, da hatari

  • @alexngelezi9864
    @alexngelezi9864 3 года назад

    Chadema kwanza

  • @bernardburton6886
    @bernardburton6886 3 года назад

    Kweli umekomaa kisiasa unatambua anachofanya mama pia mama wasikilize Hawa watu tutafika mahari siyo machizi hawa

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 3 года назад

    Sugu ni kichwa

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 2 года назад

    CHADEMA HAMJAWAHI KUNIANGUSHA.

  • @babasamir2682
    @babasamir2682 3 года назад

    Sasa mbona walikua hawasemi kabla ya mwenda zake, na nyie mlikua hamuwaoji Hilo swala la kununuliwa

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo981 3 года назад +1

    Hata nyinyi chadema mutamukumbuka JPM tu pamoja na ubishi wenu kwa maendeleo aliyoyafanya

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 3 года назад +1

      Maendeleo hayana maana kama unawanyima haki na uhuru raia wako

    • @philimonndinadyo2120
      @philimonndinadyo2120 3 года назад

      Tunamkumbuka kwa kutuua

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад

      Maendeleo ya kuwa watu tatizo siyo baba yako Wala mama yako aliyepata na mzira ya magufuli

  • @francismnara5730
    @francismnara5730 3 года назад

    kwakweli umenena

  • @evaristoscyprian5743
    @evaristoscyprian5743 3 года назад

    Mwongo tuwewe angekuwapo magu ungesema hivi?

    • @kamanda007
      @kamanda007 3 года назад

      Huna akili wewe, waliongea ndio maana wakafungwa na kudhurumiwa Mali zao.. mnapenda udikteta subiri uguse familia zenu ndio mtatia akili

  • @danielndone8109
    @danielndone8109 3 года назад

    Huyo sugu nijembe

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 3 года назад

    Mbinyili

  • @afrikajahazitv3133
    @afrikajahazitv3133 3 года назад

    Hii kipindi ilikuwa Moto haswaa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 года назад

    Mh.Sugu umeshinda mbinu chafu za ccm kurubuni upinzani ufe,hakika wewe ni Kamanda kama wavumilivu wengine,Heche,nk

  • @saidmuhama9846
    @saidmuhama9846 3 года назад

    Hahaaaa

  • @tumainisosteness5782
    @tumainisosteness5782 3 года назад +1

    hukosawa sugu hatammi simuungi mkono hanatugawa sana huyu msanii

  • @colinmhema530
    @colinmhema530 3 года назад +1

    Da kweli maajabu star TV nao leo wanaongea na watu Wa chadema

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад

      Kumbe umegundua haya maajabu ya star TV

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 3 года назад

    Alafu kawa mbaya !!!aiseee kazeeka luzuku za bure kwishaaaa miaka mitano ikijaisha ulo Domo litamwaika

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 года назад

      Kuzeeka kila mtu atazeeka hata awe hana shida, hata wewe utazeeka. Kuzeeka na kufa ni lazima kwa kila mtu. Na ndio maana hata yule mliyemfanya mungu alizeeka na pia amekufa.

    • @michaelobunde753
      @michaelobunde753 3 года назад

      Magu mliyekuwa mnamwabudu yuko wapi

  • @sakaramasaigana9616
    @sakaramasaigana9616 3 года назад +2

    Usitudangenye Sugu Mbona wewe umepata Ubunge Hotel zako umejenga Kwenu hakuna anayesema ungeenda kujenga Tabora labda tungefikilia hilo Wazo lako. MUACHENI MZEE MAGUFULI APUMZIKE KWA AMANI. Rudi kwenye Bongo Fleva Tutakuelewa.

    • @enockniko9270
      @enockniko9270 3 года назад

      Amejenga kwa hela yake au serikali kuwa na hakili wewe

    • @nyamizibema6078
      @nyamizibema6078 3 года назад

      Acheni umbea mbona chadema hawana jipyaaa, Haina akili hiyo michadema inatumia Barbara xilizojengwa na Mzee baba Haina shukrani hiyooooo,

  • @jacobmsola4491
    @jacobmsola4491 3 года назад

    Muongo wewe ndo ulitamani na hadi ulimshawishi mh rais sikuzile kwenye mkutano wa hadhara ukasema mh rais naomba unipe kazi nikusaidie lakini alikataa leo ndo unamponda kweli maneno hayo nimaneno ya mkosaji.

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 3 года назад

    You my brother wewe dio Simba not damodi not

  • @gotshape5475
    @gotshape5475 3 года назад

    Hivi Ccm walifanya uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa kwa Mara ya mwisho mwaka gani maana tangu tupate UHURU mwaka 1961 sijawahi kuona wala kusikia Uchaguzi huo !!! Utaitaje Uchaguzi wakati cha kuchagua HAKIPO mgombea ni MMOJA??! SHAME ON CCM #

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 года назад

      Uziro wenu upinzani usifikiri nasi tunao funua mtandao katiba ya ccm uisome utakubali kuwa ni chama dume.kama hujui kupekuwa niulize nikusaidie

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 3 года назад

      Akisha chaguliwa raisi ndio anapewa uwenyekiti wa chama huwa hapingwi

    • @gotshape5475
      @gotshape5475 3 года назад

      siku Ccm wakikosa Rais ndo Mwenyekiti Ccm Taifa atachaguliwa ? Duuuu ! Kifungu gani cha katiba ya Ccm ?

  • @florencekimotho887
    @florencekimotho887 3 года назад

    Huyu ni tambi la supu na vikuku!

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 3 года назад +3

    Eti hawa nao wanaomba uongozi wa nchi kwa ufala huu. Lilifungwa kwa makosa yake hakufungwa na Rais.mbona halisemi ya kibiti wana CCM waliochinjwa kama kuku yana ubaguzi sana haya majitu hayatufai

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 года назад

      Alifungwa bila ya makosa. CCM gani alichinjwa?

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 года назад

    Mnazingua bhana wekeni yote

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 3 года назад

    Wadanganye wajinga wenzio mafisadi ss wtz wa sasa tulishafunguliwa macho na Magu.R.I.P Mfalme wetu

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo981 3 года назад +3

    Ulifungwa kwa kiburi chako tu

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 3 года назад

      Afadhari kiburi kuliko kuwa zwazwa kama wewe

  • @eunicelango608
    @eunicelango608 3 года назад

    Lakini kumbukumbu ipo palepale

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 года назад +2

    Hahahahaha kamjambia nani

    • @zillah9750
      @zillah9750 3 года назад

      2proud tunajidaia mbeya kuwa na rais kama wewe...

  • @harounmaarufu4433
    @harounmaarufu4433 3 года назад

    Barabara za lami labda kwenu .nenda kitunda huko mwanagati magole barabara hovyo kabisa.mvua ikinyesha watoto wafanyakazi wafanyabishara wagonjwa hawatoki.halafu unaongea nini wewe.

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 3 года назад +2

    Mbona hukuongea hapo kabla Sugu.

  • @lwitikomwagundama6757
    @lwitikomwagundama6757 3 года назад +1

    Hata msemeje wema wa Jpm haufutiki umeandikwa kwa kalamu ya chuma

  • @edwinmaruchu5566
    @edwinmaruchu5566 3 года назад

    Mahojiano ni matam kweli yamepangwa yakapangika.

  • @mpoyokapictures1405
    @mpoyokapictures1405 3 года назад

    Mmekata mlipokuwa mnamzungumzia tualia.
    Kumbe bado waoga star tv!!!?

  • @charlesmwilima5548
    @charlesmwilima5548 3 года назад +1

    Duuh huyu jamaaa ni muongo Sana wakushawishi kwa kipi au kwa uwezo gani ulionao

  • @minyarothomas8167
    @minyarothomas8167 3 года назад

    Sugu anafanya propaganda

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 3 года назад

    Ulikuwa ufungwe umalize miaka yako yote bwege wewe

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 3 года назад

    Danganya wapumbavu wewe.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 3 года назад

    Mama Samia anashiriki tendo la ubadhirifu kwa kufumbia macho waliofukuzwa chama Chadema, wameingia bungeni bila ridhaa, halafu serikali inawalipa. Wanalipwa kodi za watanzania bila stahili, hakuna chama kilichowapeleka. Mambo ya ovyoooo!

  • @eunicelango608
    @eunicelango608 3 года назад +2

    Kwa hiyo mamako ulitaka aishi miaka mingapi?

    • @rosesanford73
      @rosesanford73 3 года назад

      Mwogope Mungu usilete masihara na mzazi wewe wakwako unataka waishi muda gani ukipata jibu ndo hivo

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 3 года назад

    Akili zoote mpaka mishipa inawatoka kisa aliye lala 🤣🤣🤣 his legacy will live forever.

  • @fortinatuswangubo981
    @fortinatuswangubo981 3 года назад +2

    Chadema wote nipumba tu

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 3 года назад

      Wew huna lolote nchi ni wanasiasa ,wew mbona hujapata mtangazaji yoyote kwa kuwa huna mchango kwa nchi.

    • @saidhussein5212
      @saidhussein5212 3 года назад

      Hata ww pumbavu

    • @jumasalumu3456
      @jumasalumu3456 3 года назад

      Shukurani. Huna kaka

    • @athumansuphian5891
      @athumansuphian5891 3 года назад

      Hapo bungeni hao wabungewa chadema wanalipwa pèsa zetu za kodi wamewekwatu halafu wewe waongea pumba

    • @kiteleluhanzu4182
      @kiteleluhanzu4182 3 года назад

      ✌️💯🔥