Mahojiano Maalum na Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe hayajachochewa kisiasa
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.
Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake.
Aidha katika suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wana uhuru wa kutosha.
#bbcswahili #Tanzania #siasa
R.I.P MAGUFULI
Mama haijui Marekani kabisa.Marekani kuna vurugu za kisiasa kila siku.
Sipendi na ninajisikia vibaya sana mama huyu kutumia mifano ya nchi za ulaya na marekani, hapa nchini hakuna vurugu yeyote sema kinachosumbua ni kwamba viongozi wa tz mna mambo yenu fulani fulani tu ambayo siyapendi ohooo!
Mwisho wa ubaya ni aibu Kama Leo mbowe ni gaidi mungu atakuona na usisahau hii kauli mbowe ni gaidi na ameujumu uchumi Sina la kusema zaidi ya shukrani #freembowewewesiogaidanimtuwawatu
Siku hizi sijivunii kabisa kuwa mtanzania. Nachukia utawala huu usio haki kuliko sjui nn.
Ety.. sijivuniii kuwa mtanzania
Unajivunia kuwa nani?
Kama Mimi tu
Uchaguzi uliowaweka sure sahii
Kweli wewe ndio boya kabisa wewe unatakaje inaonekana we hata shule hujasoma vurugu zikitokea utafaidika nini.!?
Huyu baba nilikuwa namwamini Sana kwenye kazi yake lakini kwa hili alishaandaliwa na alishaambiwa usisubutu kuuliza maswali ya msingi, ila mungu yupo mama samia hii serekali unaikosea Sana mwachieni mbowe sio gaidi ishu ni kudai katiba tu
Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya wote mbona tuzo haingelewi
Bado siasa za vyama vingi Tanzania hazieleweki,kama kiongozi mwenyewe hajui itakiaje kwa wananchi wa kawaida hasa wasio na uelewa mpana?
Nchi zetu bado zina safari ndefu sana ya kutoka katika giza hili.
Umeshalewa madaraka dada nakuonea huruma uislam unauweka pembeni angalia umat MUHAMAD miaka 63
Yan mm saiv nikiiona bendera ya taifa najikuta moyo unauma nikiliona neno serikali presha inapanda najiuliza cjui leo watapitisha Sheria gani?
Mama tunakupenda.wasiokupenda shauli yao.wachimbe shimo watumbukie.
Tozo mbona hujafanyia kazi?
Yaani tozo inatukera sana.
Amesema. Tumekubari tozo mama. Bhn.. anatisha
Ukisema unamtanguliza mungu kwa kila jambo bas unapaswa uwe mkweli pia ila kwa ilipofikia tz bas mladi kunakucha tu kuhusu siasa labda mungu ashuke amuadabishe kila mmoja kwa maovu yake
Mbowe kwangu si wa maana sana maana anamanufaa binafsi. Wewe Samia toa tozo za simu maana ni kandamizi kwa wanyonge
Mama lisu nafasi kwenye serikali yako ili tuone uwezo wake na yeye
@@lucassamwel5544 saw j
Mama tatizo huwa hatumii tigo pesa ndio maana yanamtoka tu
Mungu atusaidie Bado Sanaa kupata ukombozi Mbinguni watafika wachache sanaa
Raisi gani haelewek maguli hakua Kama huyu mamA
Unalinganisha malekani natanzania we unapenda kuig yanjee we kwer hakuna kitu
BBC hujauliza maswali ya msingi au uliandaliwa? Mbowe kashikwa na makongamano yamezuiwa swali fujo imefanyika wapi au maandamano yalifanyika wapi?
Safi kabisa
😭😭😭😭😭😭
Mungu tusaidiye 😭😭😭😭
Kinakuliza Nini Sasa mungu kashatusaidia rais kafa tumepita salama adi Sasa tunapambana kuijenga Nchi yetu.
Mama Mimi naamia Burundi kama alivosema mwigulu nchemba so naenda kuwa mkimbizi Burundi
Tozo ziko juu Sana, hivi mbona tulifanya maendeleo kipindi Cha jpm bila misaada Sasa huu utawala na misaada juu na tozo juu na mafuta juu , mbolea ya mkulima juu, jamani wananchi atutaki siasa tunataka haki.
Hivi unajuwa Kama ali ngumu lakini hata siku kusikia kwa nini mnapandisha vitu onyo hatusikii dah.
Hii interview imeandaliwa hiii
Kaza buti Madame President.....
Umefeli sana mama
Sanaaaaaaaa
Kweli kabisa mama. Lamuhimu, mama achana nao. Wasikutie pressure. Ukiwafuatilia sana hawa watakuwa da kichwani. Jaribu kuwa mkali. Wasikupotezee dira yako ya uongozi.
.
Kikeke na kaenda kuuza sura,ungeuliza ana mpango gani na tozo za miamara,
Ameuliza tafuta interview zote
Tanzania itajengwa na wa Tnzania. Majinga nyie.
Mama bure kabisa
Mheshimiwa raisi uhuru wa habari sio kumtukana mtu hayo matusi yao ni kama chuki binafsi. Hata maskini asiejua leo nitakula nini huwezi kumtukana akakubali.ni lazima kieleweke kwamba kwa nini unanitukana kwa nini unanikashifu. Uhuru wa vyombo hivyo sio kuvunjia.viongozi heshima. Sasa kama hawawataki viongozi wetu basi wawalete baba zao watuogoze kama wana hizo sifa zakuongoza .uongozi ulitoka kwa mungu
Yupo sahihi
sina furaha na tanzania
NENDA MSUMBIJI KWA ALSHABAB!
"Wanaongea mpaka wanavuka mipaka saa ingine inabidi Kiongozi uvae ngozi ngumu....". Hongera Mh kwa kukiongezea kiswahili misamiati. Hakika kila mahojiano na hotuba zako walau kiswahili kina vuna kidogo kidogo.
Mimi ni tozo tu,, kuhusu Mboe sina cha kupinga maana mboe siwezi mwamini ngoja tusubiri mahakama tu..
Mama maisha yamekuwa magum sana Aisee.tuonee huruma vijana wako
Kikeke katika interview alizoboronga ndio hii
huyu mama nani arimpa hii nchi
Katiba
Naichukia nchi yangu kwa sasa
Tupo pamoja Jeshi
Kama ningekupata nafasi ya kusaidia kutoa maoni kuhusu kesi ya mboye mama ni Bora ungesema hiyo kesi iko mahakama,tunasubili maamuzi ya mahakama lakn kusema upelelezi polisi amekamilisha mi cjawahi ona Wala sikia kesi ya ugaidi wakadili nayo polise wakt polisi ni wizala ya Mambo ya ndani nijuavyo Mimi ugaidi ni wizala ya ulinzi polisi na ugaidi wapi na wapi jamani.😭
Mama kama unahitaji Mungu ebu fanya kitu katiba mpya mengine baadae
mtamfunga mbowe Ila ukweli ni kwamba upinzani hauwezi kuisha kamwe
Bado sijaelewa kabisa
Ongera mama kazi nzuri tunakupenda Sana mama yetu
Mmmh.. mbn hii hongera tuna wasiwas nae
Like uliza miaamala bwana
Hongera kwa uthubutu , ila umeuliza maswali mepesi sana na ulivyokuwa unajibiwa hata kama unajua sio kweli hukuuliza tena.
Angeng'oka alishapangwa maswali ya kuuliza na asirudie viva magufuliiiiiiiiiii hakuna Kama mjomba
Mama tunaomba utusaisdie huku simanjiro maeneo yamsitu wa tembo barabara mbovu kabsa miondo mbinu sio tukumbuke na as mama yetu mlezi was tanzania
@@dianjophfrey5389 Hahahaha.. 😂😂😂😂.. OLE SENDEKA na kitambi yake Yuko wapi.. asije wasaidia
Daah tumekwishaaaa
Kama mmemkamata mwenyeketi wa chama kwa ugaidi tafsili yake chama Cha chadema ni magaidi? mnalichulia kawaida swala la ugaidi lakn uko nje tunatia doa taifa na tunaenda kupoteza watalii 😭😭
Wewe ni mama lazima ujuwe wajibu wa mama ,lakini weww unakubali watoto wako kuitwa gaidi hivi Tabzania kuna gaidi hii enakuingia vizuri kweli,,ila Mungu yupo na hili Analiona sana ,sasa muwe na hofu ya Mungu
Jambo kama nibaya kwako usimfanyie mwenzio
Mh Rais tuone na sis ambao hatuna chama...💯
Sikupende ww mamá mungu atakuazibu
Uyuu Bibi muongo sana, ninashaka nahiyo hijdabu namuomba amwokope mwenyezi Mungu.
yani huku tanzania hamna usawa kbsa hamna maneno ya kurizisha watu wakati wanaumia tozo hamna aliyekubali kabsaa,na vifurushi vinapandishwa kla cku,na kingne vitu vyote havishikiki sokoni wafanya biashara wanashindwa kutokana pesa hamna huduma zimepanda tunaelekea wap
Kujishushia heshima madam...
Mama we ni muislam kweni
Neno nadhani.. Limeniachia mfadhaiko sana nafsini mwangu ila mungu ni mwingi wa rehema. Na dunia ni njia
Amen atajibu soon
Salim hapo unamtihani nauona ila usingeogopa kuendelea kuhoji na kukataa majibu hayo hatakama muda hautoshi. Badala yake umeamua kukubali uongo ilimradi tu umalize muda wako na uchukue kile kisichoeleweka. Hivi unahakika majibu yake yameeleweka kwako ukiachana na sisi wasikilizaji na watazamaji kwa hyo mifano ya umeme?!
Duuuh nchi imekodishwa unaburuza ulimi na maneno ya uongo
Mama Samia oye mkizimkazi mwenzangu
Huwezi kulinganisha Marekani
Hakiamungu urais ni kazi! Ila ni Bora ile ya kupigiwa kura Ina nzuri
Mwachieni baba wawatu mungu anawaona
Kiukwel mama nnch huiwez kanyoneshetu maana Kila kitu mmepandisha Bei wanawake umejizihilisha kabsa hamuwez kutuongoza
Nimemussi Raisi Magufuli maana alituonea huruma sisi wa hali ya chini
Mm samahanini hy siyaelewi nipo nje ya mada hiyo ila nimeona hii ndo sehemu muafaka kupatiza nitoe maoni yng naombeni BBC musome huu ujumbe wng naomba, Rais Mama Samia Sulukhu atusaidie maji mwananyamala huu unafika mwezi maji hayapatikani na makato ktk CM kwakweli namuomba rais atusaidie apunguze tena naombeni tupeni chance yakuongea malalamiko na changamoto tunazo pitia tunaoga maji chumvi kunywa
yani tumepata rais wa hovyo ambae ajawahi kutokea, huyu mama ni hovyo kbs
Wa hovyo alikuwaMeendazake. Uhovyo wa Mama ninini?. Jinga sana, halafu mnasema hakuna demokrasia,wakati wa Mzee Mwenda zake ungeongeahivo?
Inna lillahi wainnailaihi rajiun.
Mungu hapendi mwongo
Tuna lalamika sana kuhusu tozo hatuja kubali jmn msidanganye kwa Hilo na kuhusu mbowe mungu yupo atamtetea
Mhuuuuu mama hapo ni uongo mangapi mmefanyia kazi ambayo wananchi wamelala mika na umetolea suruhisho kiukweli tumemmisi mjomba
Kamfukue
@@kisokimhagama9526 ANZA wewe Ningekua na uwezo ningesema wewe Sawa na Makapi au pumba sasa sina uwezo wa kuambia hivyo nimekusamehe
Mama mtoe mbowe kwenye kesi hizo
Kikeke, unapoteza uweledi wako wa uandishi habari
Mie naona kama vituko tuu Tazania ,daa
Hamna ulichokijibu hapo unajenga au unaangamiza watanzania
Mh Rais unajishushia heshima kabisa haitakiwi kuhojiwa na wenye maswali kama hawa
Duhiii
Mbowe kafanya ugaid gan Kwan maandamano ndo ugaid
Au mikutano ndo vurugu
Na suala la tozo za miamala vp mbona mumelifumbia macho
Na kweli maguful alisema tuta mkumbuka nikweli wengi tusha mkumbuka sio siri
Duh marekani gani unaizungumzia hapa?
Aise🤔
Katiba ya marekani ni clear tofauti na ya tanzania
Mungu tunaomba utusaidie watanzania tunakutegemea.Mjalie rais wetu mama Samia Suluhu Hassan uwezo wa kutosha kuisimamia nchi hii na watu wote waridhike na kuifurahia nchi yao.tuondolee manunguniko kila kona, tujalie roho ya kuomba na kuiombea nchi yetu kwa moyo wa upendo.usituache maana tutaangamia bila wewe Mungu wetu.katika jina la Yesu Kristo Wanazareti AMEN.
Lipi wanalo kutaka Ni nchi Gani inayo wajaali wananchi wake HEBU tuwe Wakweli uwongo WA Nini?
mama Samia hilo siokweli mwuogope Mwenyezimungu fahamm kwamba wewe ni MUISLAM NAUJUWE SIKU YA KIAMA utaulizwa na jua maisha ya ulimwengu ni mafupi kuliko ya akhera hutokua na sababu ya kujitetea hooo ni litumikishwa aoo walinidanganya, mimi wangu ushauri tuu.
YAANI TZ USITOFAUTISHE HASWA NA USA AMA EUROPE KABISAA.. UMETOWA MFANO WAKITOTO KABISAA.
Kiukweli kama ni uongo sasa umekua wazi kabisaaaa. Kufanya mikutano ni vurugu za kisiasa. Ni bora angekaa kimya. Ila kipengele cha yeye kuapishwa kilikua sawa. Vyama vinafanya vikao, mikutano, pamoja nakudai katiba ni kwa mujibu wa katiba. Imeeleza hvo. Ni aibu sana.
donald trump na maandamanoo yake mwaka huu
Mashallah mama allah akupe afya, imani, nguvu, hekma na uwezo inshallah utuongoze vizuri wtt wako katika njia ilionyoka..
Fala ww
Amna kitu hapa
Kabisa mama umenena maana watu wanataka siasa za kushinda barabarani, na kuzuia wengine kujitafutia mkate wao wa kila siku."
mama usiogope kivuli chako hakuna gaidi tz Wala maandamano waruhusu tuone Basi hiyo vurugu ili tuwazuie kabisa
Mhhh Mungu anakuona, Mbowe sio gaidi, na unajua vizuri. Ila umeamua kumtesa Mungu atakulipia.
Samia tumuongope Mwenyezi Mungu leo hii hata kutowa sala ama MAOMBI yeyote hiyo hakuna Ndio Maana Mwenyezi Mungu ameikata Mvua. Yani jua litatuchoma.
Halaf kumbuka hatuja kuchagua umerithi sasa ujue muda wowote hukumu itainuka juu yako huna lolote maendeleo gan unatufanya tuish Kama njiwa
Ilikuwa wakati wenu kula ma kusaaza wakati wa Mjombaenu. Basi sasa ni zamu ya wengine sio lazima uwe wewe. But nakushauri tii mamlaka.
Hivi Nani aliwai kusikia Gaidi MCHAGA?? 😀
Mweshimiwa Rais unajenga nchi ambayo maisha ya Watanzania yanazidi KUINGIA Gizani? Uchumi unaujengaje law mfano, watangulizi wako wote MFUPA (uchumi) uliwashinda ....! Umetathimini maisha ya wakulima yalivyo... ? Kwa tathimini ndogo tumekwenda mbele au tumerudi nyuma ? Sera yako ni ya maendeleo ya vitu au ya watu ? Nchi hii mfumo wake ni wa ujamaa au ubepari? Daaah naona maswali ni mengi bila majibu
Sijaelewa Ila itabd tuforce kuelewa
Nc
Sheria ya vyama vya siasa haisemi hivyo Samia, inasema vyama vinayo haki ya kufanya vikao au mitutano yao ya ndani pasipo kuomba kibali cha polisi, haisemi kwamba wafanye tu vikao vilivyoainishwa na katiba ya chama husika, wanaruhusiwa kufanya mikutano kwa lengo la kuongeza wanachama wao .
Uchaguzi unapomalizika, ndipo vyama vilivyoshindwa vinaanza kujiimalisha kwaajili ya uchaguzi ujao , ikiwa ni pamoja na kuongeza wanachama wapya.
QQQQQQ
QQ
ccm mnawapa nguvu wapinzani wenu bila kujijua mtamfunga huyo ataibuka mwingine na atatokea ccm mnasemaje bona R P magufuli hakua hivyo alikua mtu wawatu
tatizo Tanzanian unakuka kiongoz mkubwa ni muongo sanaa
Ongela mama sisi shida kwako ni tozo tu kwenye simu zetu na mahakama police imekua maduka ya watu na sisi tumekua biza zao Wana siasa hatuna ni chawa tu
Sasa mbona tunakamatwa
chapa kazi mama
Ndio maana sio mfuasi wenu
Mmmmmh
Jaman mm naomba mwenye namba ya mbunge wa chalinze(RIZIWANI KIKWETE) anitumie nataka nimuulize hv kweli Hawa wananchi wa chalinze walikubali aunge mkono hii Sheria ya tozo za miamala??? Km hawajamtuma bas naomba ajitokeze na apinge,Mana ckuhiz hatuwatumii ela wazee wetu tunazigiza kweny tashrifu.BRAZA HALI NI TETE wadogo zako tunalumiwa hatutumi hela za kusagia
Etii wenziee walishapewa sentence zaoo????? Sasa hao watatu ambao kesi inaendelea ni akina naniii???
hadi karne hii bado tunajilenganisha na Marekani kweli? Africa needs to liberate itself from this supremacy belief of the US