Ndoa kati ya Mkenya na Mreno: Watoto wazungumza lugha gani?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 138

  • @junia_254
    @junia_254 3 года назад +47

    Tushazoea intermarriages za continents ata Stella alikuja na Japanese,the only kitu new kwangu hapo ni kujua Portugal kwa kiswahili ni Ureno.

    • @njogukimani5244
      @njogukimani5244 3 года назад +1

      😂😂😂

    • @dynnohz
      @dynnohz 3 года назад +2

      gotea hio story

    • @bellaolum9768
      @bellaolum9768 3 года назад +1

      😄😄😄

    • @LolaBugzy85
      @LolaBugzy85 3 года назад +3

      Imagine. A story like this makes national headlines. What's the big deal?

    • @robrob6719
      @robrob6719 3 года назад +1

      Hhhhh

  • @benardmakori6924
    @benardmakori6924 3 года назад +18

    Ntv surely is that news now !

  • @dijitekst254
    @dijitekst254 3 года назад +17

    02:22 - The guy says : "Wareno Wenzetu..." Meaning that the wife has converted him to a Portuguese?

  • @jimfast-official
    @jimfast-official 3 года назад +7

    You can never improve or grow in hatred...good news.nice couple

    • @jimfast-official
      @jimfast-official 3 года назад

      @Eye Opener hello...did i say am looking for a mzungu.mahn...eti Waafrica...in the whole of that vid.sioni kitu y kkuudhi

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 3 года назад +8

    Maisha ni magumu popote.......maneno mazito kweli

  • @omodesigner
    @omodesigner 9 месяцев назад

    ❤❤

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 3 года назад +15

    sisi wafrica niwanjinga sana kila mara nikushangaa wazungu ila wazungu awajawahai shangaa kuhusu mwafrica ila ni kumtharau tu kwasababu wafrica wanao ongea lugha nyingi za kigeni na kuowa wazungu na kuishi nao ulaya hawajawahi washanga ila kuongea kawahusu wao kwenye television uku uzunguni kabisa

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад +2

      Yesu mzungu aliwaroga. Akili mbovu wanaabundu adui wanajichukia.

    • @kajaymopao1672
      @kajaymopao1672 3 года назад +4

      @@cytkl Wazungu niwabaya sana hawapendi wafrica kabisa ila ni kupretend ukiishi nao kwa inchi yao ndio utajua ukweli wamzungu awapendi wafrica kabisa ili wanapenda raslimali zilizoko africa siomwafrica

    • @asiimwejuma8511
      @asiimwejuma8511 3 года назад +1

      Ukweli mtupu!

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад +2

      @@kajaymopao1672 nanjua nimeishi nao lakini waafrika nyumbani ata mbwa ana akili kuwaliko sababu ukimtesa anakuuma.

    • @vincentndonye7989
      @vincentndonye7989 10 месяцев назад

      Kweli buda

  • @izackom5202
    @izackom5202 3 года назад +2

    It's good to intermarry. Give your kids the best of both worlds

    • @manguutv596
      @manguutv596 3 года назад

      @Eye Opener why do you despise wazungu so much

    • @izackom5202
      @izackom5202 3 года назад

      @Eye Opener i never said a mzungu. In fact the idea in my head was an indian or latina. Their girls are hot🔥 🔥 🔥 I know you may argue that they are also racist but i have interacted with several indians and most are nice people. Wachanga kiherehere, "mzungu worshipper" ni wewe juu umefikiria "the best" ni wazungu. Idiot!!!

  • @justkibet1125
    @justkibet1125 3 года назад +2

    Woi. You can see they were uncomfortable. 😂😂

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 3 года назад +1

    Will Kenya ever love itself?

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 3 года назад +2

    Kweli maisha ni ngumu worldwide *Mzungu sio ATM*

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 года назад +6

    Lofty hata BBI ni kireno

  • @fridahmwanzia9921
    @fridahmwanzia9921 3 года назад +1

    What's new here..

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 3 года назад +5

    Huku ndio tunafaa kutafuta mabibi Hawa WA kuitisha 2k ya gas tushachoka😜

  • @Som-Hanoolaato
    @Som-Hanoolaato 3 года назад +1

    Who are Wareno ?
    Thanks for sharing

  • @lfckenya05
    @lfckenya05 3 года назад +1

    Hata Diogo Jota ni kiswahili 🤣🤣🤣

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 3 года назад +4

    That's a non issue period by Steve Irungu Jermaine

  • @yasin5093
    @yasin5093 3 года назад +12

    This is how africans are despised when they marry a white inaonyeshwa kutoka kwa media is it a miracle jiulize ingekuwa ulaya ingeonyeshwa kwa media

    • @LolaBugzy85
      @LolaBugzy85 3 года назад +2

      I am also wondering what's the big deal with this story? Yani waafrika we need help

  • @daprince7545
    @daprince7545 3 года назад +4

    Pia Mimi nimeoa mkikuyu na watoto wanaongea Kikuyu

  • @patriciawere1252
    @patriciawere1252 3 года назад

    How is this news?

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +1

    WOW NITAANZA KUFUNZA WANGU KISWAHILI

  • @moonermuhammad420
    @moonermuhammad420 3 года назад +1

    Is this news?

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 3 года назад +5

    Sasa wewe unashangaa wareno waarabu wameingia east Africa miaka 2000 iliyopita na kiswahili ni 60% kiarabu

    • @Som-Hanoolaato
      @Som-Hanoolaato 3 года назад

      Are Wareno, Portuguese or Arabs ?
      Some people are saying the wareno ni Portuguese, nawe unasema ni Arabs ? 🤔

    • @wambui4590
      @wambui4590 3 года назад +1

      @@Som-Hanoolaato soma tena hujaelewa

  • @lizkimani9576
    @lizkimani9576 3 года назад +2

    Say no to colonization...Portugese ni wakoloni...remember that...🤔....what are they adding to the Kenyan Economy...ama they are also running away from their country....

    • @susanmachayo8845
      @susanmachayo8845 Год назад

      🤣🤣🤣 wakenya tunakimbia kutoka Kenya aty Hali ni mbaya n wareno wanarenorun from there country 😂😂😂 what a confused generation

  • @rosemarbot5703
    @rosemarbot5703 3 года назад +1

    Wacheni story nyingi, portuguese wana shinda sana kwao,hata heri sisi Wafrika, mimi nafanya kazi na wao hata wengine hawajui kusoma vizuri.

  • @mzaledomwary2968
    @mzaledomwary2968 3 года назад +1

    Very shameful!! Kenya's media focusing on nonsense....kama hamna news fungeni channel

  • @christineokwiri4720
    @christineokwiri4720 3 года назад

    Earth 🌎 is hard 😂😂😂

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 3 года назад +1

    Mm wacha nitafute mme ananifaa

  • @sshem
    @sshem 3 года назад +5

    Mumekosa news ya kutangaza

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад

      Ujinga wa mwaafrika. Kuabundu wanaimdharau

  • @marymata8977
    @marymata8977 3 года назад +3

    Gikuyu gitu najivunia kuwa masaai kikuyu

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад +1

      Umeamka huna minyororo ya akili

  • @bellini2535
    @bellini2535 Год назад

    Ureno ni wapi?

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen8999 3 года назад +1

    Wacha hata lugha wangu hata chai kupika hawajui🤔

  • @sallysally9011
    @sallysally9011 3 года назад +1

    Nonsense

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад

      Fools

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 3 года назад +3

    Nyinyi waafrika muone tu waupe mkafikiria ni wazuri wote hawa ni portugees njaa wa europe hawana chochote hawa naona hata asha kuvutiya mila yake mpaka una kunywa wine kesho atabadilisha dini yako mkafikiria wazungu wana mali hati wareno wenzetu lini umekua mreno mwacha asili ni mtumwa

    • @MrMaboboz
      @MrMaboboz 3 года назад +3

      Wewe shida yako nini si ujipe maisha, oa anayekufaa wewe, achana na wenzako wajivinjari wanavyotaka.

    • @suleymanali431
      @suleymanali431 3 года назад +2

      @@MrMaboboz mimi sina shida wala simuhitaji kama namhitaji naishi europe kwa hivyo mimi nawajua wareno ni ma mjaa wa ki europe na nynyi naye mkisikia wazungu kuma nyeupe tu na hiyo rangi ndiyo shida yenu mimi natapika nikawaona wareno waliwatawala waafrika mpaka waka wavukisha kuwapeleka brazil njaa wareno hao hata afadhali niwe na mke mweusi hata kama hana chochote.

    • @MrMaboboz
      @MrMaboboz 3 года назад +1

      @@suleymanali431 Vile nilivyokueleza awali, jipe shughuli, anayenifaa mimi ntamuoa, anayekufaa wewe basi mchukuwe muoane. Mbona unataabishwa na mambo ambayo hayakuhusu??

    • @cytkl
      @cytkl 3 года назад

      Yesu mzungu aliwaroga waafrika. Akili duni na wengine wahindi wachina na wazungu waarabu wanawatesa weusi.

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 3 года назад

    Also Nana's ni Anananas

  • @alfanm.8221
    @alfanm.8221 3 года назад +3

    Kama mzungu akona pesa twende tukiendanga kama hana nimtumie kupata visa tukifika nimtoke kwani ni kesho.

  • @mithamowaithaka2796
    @mithamowaithaka2796 3 года назад +2

    5 minutes of sheer nonsense

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 года назад

    Upendo hauna ubaguzi. Ilhali ni mume na mkewe. Na wote wawili watakuwa kitu kimoja. Mungu awabariki sana.

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад

    Toba

  • @zipporahwangui7581
    @zipporahwangui7581 3 года назад

    Tuleeni wakenya na wafrika inchi zingine. Wakenya na wa Ghanaians,black Americans, Rwandans, Guinean na pia humu inchini.

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 3 года назад

    Tukishajifunza tutapana wapi sasa tuskume gurudumu sio wasome alaf mtu ukose 😂

  • @KilifiKing
    @KilifiKing 3 года назад

    Hehehehehehe ❤️

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 3 года назад

    Pera pia tunasema fruit pera

  • @marycleo7165
    @marycleo7165 3 года назад +1

    Sasa wangu ni born Tao they can only speak English n Kiswahili tumeelewana

  • @yasin5093
    @yasin5093 3 года назад +4

    Retain the African blood wacheni kubabaikia wazungu ati nijifunze kireno kuna madem wazuri hapa kenya this is the reason why africans they run away from their own people and appreciate other people shit

    • @ckb7878
      @ckb7878 3 года назад +1

      Wacha wivu bro

    • @yasin5093
      @yasin5093 3 года назад +1

      @@ckb7878 wivu ya nini you mean mimi naonea wivu ati mwafrika anaoa mzungu sio hivyo bali naskia vibaya nikiona ikionyeshwa kwa media kwa mzungu ni special kiasi gani imagine ingekuwa ni mzungu anaoa mwafrika kule ulaya wafkiri ingeonyeshwa kwa media za kule hata haingeshughulikiwa oa lakini usituonyeshe umeoa mzungu

    • @ckb7878
      @ckb7878 3 года назад

      @@yasin5093 got your point

  • @robertchesaka9352
    @robertchesaka9352 3 года назад

    Nani ywajua Cristiano Ronaldo ametoka Cape Verde' ?

  • @WaweruG
    @WaweruG Год назад

    That's lies.. Reporting the word Pesa, Meza (Money, Table) have the same meaning both in Swahili & Portuguese languages is misleading.

  • @Harriet94
    @Harriet94 3 года назад

    Hii ni? Ebu leta news this is not news,.....maga

  • @ednanyangarisamamakealex6571
    @ednanyangarisamamakealex6571 3 года назад

    Pia mimi natafuta wale wakisii wareno 🙋‍♀️

  • @bellaolum9768
    @bellaolum9768 3 года назад

    Is this newsworthy really? And where is this Reno 🤔

    • @bantuqueen1406
      @bantuqueen1406 3 года назад +1

      We celebrate stupidity yaani 🥵🥵

  • @ksgrmdsdl2383
    @ksgrmdsdl2383 3 года назад

    I thought Ureno ni Ukraine? Lol!

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 года назад

    Basi sasa ni talaka baada yakuona mfano wa mauaji za wa Palestinians wakiuliwa na wa Israili

  • @kimberlytv7895
    @kimberlytv7895 3 года назад

    Kitu unishinda kuelewa ni kua,kwa mfano mtu akioleka nchi yenye sio yake,na kibaati baya bwana akufe,bibi anarudigi kwa nchi yao na watoto wake,though kila kitu iko na uzuri na ubaya

    • @susanmachayo8845
      @susanmachayo8845 Год назад

      Mila na desturi za Kenya kama bwana ni mkenya watoi niwakenya bwana akifa watoi watabaki tu Kenya bbi kama anataka kuenda kwao yeye afike tu salama roho safi

    • @kimberlytv7895
      @kimberlytv7895 Год назад

      @@susanmachayo8845 wengi ubeba watoto na wanaenda nao,nimeona hio mara nyingi haki

  • @imranndal9493
    @imranndal9493 3 года назад

    Hata ugali ni lugha ya kireno

  • @katecaddy7556
    @katecaddy7556 3 года назад

    Okay now that you are covering nonsense,kujeni pia m cove yangu...pure nonsense ntv

  • @FelixToo
    @FelixToo 3 года назад

    Huyu mama alikuja Afrika akajifuza lugha yetu na akaolewa na Mwafrika. Bilashaka yeye sio mkoloni. NTV, when was the last time you did such a report on inter African marriage (Ethiopia-Kenya, Nigeria-Kenya etc)? Waafrika, kwanini tunaendelea kuwa na inferiority complex miaka sitini baada “uhuru”?

  • @adriankenyan7938
    @adriankenyan7938 3 года назад

    Sasa Ni ajabu kubwa????? Interracial marriages has been on for decades sasa ni ajabu Kubwa kWa KTN

  • @susanmugo6570
    @susanmugo6570 3 года назад

    Rubbing stories..what's different here?????