FRIDAY NIGHT LIVE - Msodoki asema bado ana beef na Young Dee

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2017
  • Mbali na marapa hawa wawili kukutanishwa kwenye #FNL ili wamalize tofauti zao Msodoki ameonyesha bado kutotaka kumsamehe Young Dee kwamadai kuwa alivyo mtukana hajapenda.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 468

  • @mikehjackson2277
    @mikehjackson2277 6 лет назад +59

    Kuhusu kufunikwa siwaz ila kuhusu janjaro na young dee mm ndo mkubwa wao wa kazi
    Shikamooo msodoki

  • @mikehjackson2277
    @mikehjackson2277 6 лет назад +59

    Killer moto wa kuotea mbali ukisikiliza ngoma zake unaweza kuunguza chakula kwa utamu wa mistari yake shikamooo msodoki.

  • @eliaspaschal6625
    @eliaspaschal6625 6 лет назад +36

    Mtoto wa kihuni 😅😅😅 || Killer hatari sanaaaa

  • @himatwallahcngam5894
    @himatwallahcngam5894 6 лет назад +69

    Young Dee aache mamb ya kununa kama demu... Young Killer ndo baba yao hanaga mamb ya kishamba.. DEE Hutaki kufananishwa au huna cha kufananishwa na madogo, Huna Tuzo, Battle huwez unaogopa, Mtonyo huna, Demu mkal huna, hata kujitupia huwez famba we... YOUNG KILLER & DOGO JANJA MOTO WA KUOTEA MBALI.

  • @allanausi5099
    @allanausi5099 6 лет назад +8

    hip hop iz nt only rap even talking skill....jaman youngkiller ni noumaaa sana....gonga like basiiii

  • @kelvin_mnene.6215
    @kelvin_mnene.6215 6 лет назад +99

    gonga like apa kama unamkubali hendsom boy asiyekuwa na matunzo. young dee anasema hataki kifananishwa sasa anaulizwa kwa kipi alichonacho hana kitu chochoteee tena amshkr sana mr t.touuch angekua yuko mtaani hana llt huyo young killer mpambanaji bhana alf anaga skendo za kijinga kama unamkubali young killer gonga like.

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +35

    WOTE WAKALI KWA NAMNA YAO..! MSODOKI MKALI KWENYE LYRICS..

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад +4

    *Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*

  • @khalfanmohd5807
    @khalfanmohd5807 6 лет назад +26

    #youngkiller ndio habari ya mjini

  • @jallymsemwa
    @jallymsemwa 6 лет назад +60

    KILA MTU ANA UKALI WAKE DEE YE MKALI WA KUIGA SWAGGA ZA MBELE NDO MANA YUKO BONGO BAHATI MBAYA...KILLER MKALI WA LYRICS....JANJARO MKALI WA MAVAZI

  • @solalegahinfo4407
    @solalegahinfo4407 6 лет назад +18

    we killer unakoelekea n kuua ukwel ukwel ao watoto kweny michano n machoko tu

    • @johnjp2322
      @johnjp2322 5 лет назад

      Solalegah Info young de kashindwa kuchana kwaiyo kapata aibu

  • @mohammedsariko9095
    @mohammedsariko9095 6 лет назад +11

    Dee hamuwezi msodoki. Akubali tuu alishindwa kutumia muda vzr

  • @mapenzitz
    @mapenzitz 6 лет назад +9

    Ila interview imeharibika sam umeshindwa kuwa control kam host

  • @mnonline5661
    @mnonline5661 6 лет назад +25

    sam acha uboya kwan we ujui kama killer mkali au

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery6877 6 лет назад +10

    Young dee huyu dogo mshamba sana, aiseeee

  • @williamchembo2014
    @williamchembo2014 6 лет назад +20

    Killer 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shamsmussa194
    @shamsmussa194 6 лет назад +12

    killer is killer hawezi kufananishwa na hyo mla ngada,wap na wap young dee na young killer wawe sawa!,au kisa sinaga swaga na bongo bahati mbaya!😠😠😠😠😠hahaha hahahaaaaaaaaaa young killer unatisha mbaya big up sana kaka,achana na hyo mla sembe😅😅😅😅😅😅

  • @salumallymngumba
    @salumallymngumba 6 лет назад +19

    msodoki noma sana

  • @georgeludakulo2118
    @georgeludakulo2118 6 лет назад +27

    Aaaaah young d ucpanic young killer habar nyingine uwe mpole ww

  • @samwelkiondo8305
    @samwelkiondo8305 4 года назад +1

    🔥🔥🔥msodoki ni Moto wakuoteambali we kipusa nipitiembali yamusa mpe Musa hayamuhusu kaisali.😊😆😂🤣.wanangue young killer saluti kwake au mnasemaje? Kama2kopamoja gonna like ok.big up Sana kwake

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 6 лет назад +4

    Freestyle is a special talent, not every rapper knows to do so .

  • @frankjully5457
    @frankjully5457 6 лет назад +10

    hapo kweli haina kushindanishwa muziki yao ni tofauti young dee ana chana kiswaga swaga ndomaana anajiita bongo Bahati mbaya young killer ana chana hip hop ngumu ni sawa na kumshindanisha joh makini na fid q

  • @lolanimals7206
    @lolanimals7206 3 года назад +2

    Amber Lulu hapa alikua mtamu balaa. ❤️ Siku hizi kanenepa sana sijui amekuaje dooh!

  • @mikehjackson2277
    @mikehjackson2277 6 лет назад +15

    Tena young dee hajakosea hataki kushindanishwa coz hana cha kushindanishwa na msodoki killer anatuzo yeye hana so anaona aibu anaishia kutukana kama wew rappa unakataaje kupiga bato

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 6 лет назад +12

    Sam acha kumkuza young dee wakati hana lolote, young killer ni zaidi ya ma young wote bongo

  • @kelvinngogo1819
    @kelvinngogo1819 3 года назад +5

    Young killer kanirudisha tena huku🔥🔥🔥

  • @cholokanji7139
    @cholokanji7139 6 лет назад +17

    kuhusu kufunikwa me siwez kuhusu janjaro na young dee me ndo mkubwa wao wa kazi killer

  • @pendoyahaya1292
    @pendoyahaya1292 6 лет назад +23

    Young dee leo kapatikana

  • @arasojahiphopculture8056
    @arasojahiphopculture8056 6 лет назад +18

    Young killer Uko perfect

  • @simondaudi4197
    @simondaudi4197 6 лет назад +21

    Kutangulia kwenye game haimaanishi wewe ndo mkali unaweza ukaanza zamani wakaja wengine nyuma wakakufunika.. Killer ni zaidi ya dee na janjaro.. Kwanza hajisikii na kutukana Kama dee..

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 лет назад +2

      hiyo ni tabia ya MTU halafu kiubora young killer ana chana sawa kuwazidi ila muziki wake ni wabongo hapa hapa kama kina stamina mistari mingi muziki wao unaishia bongo young dee na dogo janja wana muziki ambayo unaweza vuka mipaka ya nje kama joh makin darasa yaani mistari michache nyimbo inachezeka

    • @illuminetthedon9267
      @illuminetthedon9267 6 лет назад +1

      True lakini hata killer vilevile asha anza kutoboa

  • @djtinny2694
    @djtinny2694 6 лет назад +16

    Killer till i die.....🔥🔥🔥🔥

  • @dullahmmbai9357
    @dullahmmbai9357 6 лет назад +6

    young killer hatareeee young deee unakosea tuu na matusi yko

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 6 лет назад +9

    Huu niujinga unajuwa wote wana ma beef alafu unawaleta pamoja chapili sasa ule uzembe wakuto kujuwa nani mkali sasa unajuwa sasa umefaidi nini

    • @mustafaluziga5196
      @mustafaluziga5196 5 лет назад

      Sijapenda watakuja kuwatia hasara maana chupa zinatosha kumaliza vita una hakili sam

  • @officiallynomi73
    @officiallynomi73 6 лет назад +5

    Youngkiller the perfect one 👌❤

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 6 лет назад +10

    Sam unaboa unajua nan mkali watu

  • @khafidhunchonkoly8775
    @khafidhunchonkoly8775 6 лет назад +3

    Young killer ndo kichwa cha habar hao wengine habari tu mzee baba killer is always kill it

  • @simbavevo7318
    @simbavevo7318 6 лет назад +13

    Jaman ya killer level zingine

  • @godfreykanelela9448
    @godfreykanelela9448 6 лет назад +41

    young d kapatikana hahahahahhaha chezea killer

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 6 лет назад +8

    Young Dee hovyo kabisa yaan huyu, Unga umemuharibu mbwa koko huyu

  • @mickskillstechnology7511
    @mickskillstechnology7511 6 лет назад +5

    Nyuma mm nafila wao mbele wana Nike,, hahahhahahaha. Ila young killer kwa michano ni mkali bt kwa battle kuna watu wake wa kubattle na wamuheshimu young d kama braza wao kwenye game! Issue ya kumdharau kisa sembe siyo mpango

  • @nonenone4954
    @nonenone4954 4 года назад +2

    Young D akubalii tu kuwa young killer ni mkubwa wake wa kazi yaishe.

  • @ivanmbilinyi6593
    @ivanmbilinyi6593 6 лет назад +4

    Kila huyo mla sembe achana nawe mmalize kwa mic tu

  • @ahmedallynative8510
    @ahmedallynative8510 6 лет назад +15

    dee umebwela chalii

  • @babsidesimba659
    @babsidesimba659 6 лет назад

    always young killer ts a young 4 future nd never make a judge 2 dat
    young killer big up:!!

  • @mishijuma6326
    @mishijuma6326 6 лет назад +1

    Hanaga swagger kabisa. Killer killing the lyrics

  • @eliassmyamba4430
    @eliassmyamba4430 5 лет назад +1

    hahaha! Mla unga huyo analopoka nn this is a time to workup salute kwa young killer msodooooookiiii

  • @kulwacharleskatabi8105
    @kulwacharleskatabi8105 6 лет назад +6

    Killer achan na Huyo kina

  • @davidtumwesigye7340
    @davidtumwesigye7340 3 года назад

    Presenter is on point.Best of the best.Whats his name guys?

  • @kingzed7763
    @kingzed7763 6 лет назад +6

    young dee toka mwanzo ashaxema diss afanyi saiv so sixhangai pesa ndo kila ktu.....

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 6 лет назад +2

    music aujifichi muziki upate mafanikio kwakile unachokifanya ..sasa dee wee ni wazaman sawa muziki umekufaidisha nini? usichukue MTU akikwambia unalala ustudio pambana kutoka Kwenye iyoo kitu .Kwa michano umuwezi killer ipo wazi zaid utapanic tuu kukosa tuzo Kwa dully ww hakukusaidii wala uyoo blue. tunataka ww ujisifie ukubwa wko mafanikio yko ulinganshwe na hao unaowaita madogo. uyoo necha unaesema hana tuzo sijui kama unakumbukumbu vzur mi nasema anayo na kapata nje ya nchi ukipata time nenda halisi record utaiona tuzo yke na anaishi kwake kwaiyoo muzik umemfanya aishi kwake acha misifa mzee komaa usilale studio ....

  • @yakuzamoko1127
    @yakuzamoko1127 6 лет назад +10

    huyu dee ni boya anaogopa battle anasingizia hatak kufananishw juz kwenye dakika kumi za maangamizi pia kazingua

    • @mnyakitz2007
      @mnyakitz2007 6 лет назад

      hahahahhah mavi yko chukua kaka yko amechemka apo manina

  • @mapenzitz
    @mapenzitz 6 лет назад +17

    Young dee kajinunisha et 😀😀

  • @moshimoshi6096
    @moshimoshi6096 6 лет назад +4

    Young Daresalama kavurugwa mpeleken sober

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 6 лет назад +11

    Dee kapanic tiyar

  • @aziziseleman7173
    @aziziseleman7173 6 лет назад +7

    young d sembe ina msumbua

  • @doreenijakobo8590
    @doreenijakobo8590 3 года назад +2

    Mmependeza sana 🤘🤘🤘

  • @nassorlido9380
    @nassorlido9380 6 лет назад +8

    killer MTU mbaya jamani

  • @sadockalypto10
    @sadockalypto10 6 лет назад +1

    Real hip hop mc anajibu kwa kuchana,sio kupanik,af unatukana matusi on air,Young Killer kills

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy738 6 лет назад +1

    young killer nakukubal sana ila kilchonichosha kukataa beat ya ma Broh joh makn kwan bdo MNA tatzo

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад +2

    Nimeirudia tena hii show leo 7/4/2023 Killer hana maringo kama Young D. Ila uhalisia Killer yupo juu zaidi ya Young D

  • @jafarieliasa8667
    @jafarieliasa8667 6 лет назад +4

    Hakuna k2 nitakuja nifrahi sana kama kukutana na young kellar daaah sitoamini penda sana huyo kijana please call me 0713354647

  • @boazmuhoya759
    @boazmuhoya759 6 лет назад

    Uyu young d mamae anajiona special afu anajkuta mbabe sana kmbe hana lolote mafanikio ya madogo wengne yanampa stress anaishia kula sembe

  • @jaguarcomed6320
    @jaguarcomed6320 Год назад +1

    Msodoki The sun 🌞

  • @mwiluduuma6603
    @mwiluduuma6603 6 лет назад

    m nampenda young kiler Atari..Mungu amlinde milele

  • @muniyrkingsheronsheron4857
    @muniyrkingsheronsheron4857 6 лет назад +12

    young killer msodoki jamani aaaaachiwe best handsome boy alkosa matunzo halafu mtanashirt genius kwenye ubongo tallent miusation rappes

  • @sadickramadhan3496
    @sadickramadhan3496 4 года назад +1

    Young killer ndio kusema Kwani iko nene

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 6 лет назад +6

    young killer umejibleach aisee .amna msukuma wahivooo🐭😂😂😂🐭
    😁

  • @godrichmwatindila5690
    @godrichmwatindila5690 6 лет назад +5

    hahahhaahha.dee kapanic brother😂😂😂

  • @damasbarnabas2753
    @damasbarnabas2753 6 лет назад

    Young dee unataka respect kat kwenye interview unatukana pumbavu youngkiller mstarabu sana

  • @swalloonpoint2306
    @swalloonpoint2306 6 лет назад +3

    Dj dea ungempa Youngkiller beat ya Edu boy

  • @frankdotto1006
    @frankdotto1006 6 лет назад

    Nakuubali sana young d, ww ni zaid ya rappers

  • @samwelimponda719
    @samwelimponda719 6 лет назад

    Mnatumalizia Mb Kwa Vtu Vya Kishamba BYThWay Mnawezqa Tusiwa

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 6 лет назад +1

    sasa young D We Unao Mziki Gani Mpka Ujione Upo Juu

  • @mohammedyjshemweta1390
    @mohammedyjshemweta1390 6 лет назад +1

    cocain haijawah kumuacha m2 salama ukimuangalia dee hana tofaut na chidy maana hana busara kabisa anaongea vi2 upuuz m2pu... killer waonyeshe hao mayoung nn wanatakiwa wafanye kwenye hil game pga bakora hao MAPAKA

  • @verlentinsolomon6025
    @verlentinsolomon6025 6 лет назад +8

    Daaaaa wote mabumunda2 wanazingua aooo wshikaji

  • @issajohn8983
    @issajohn8983 5 лет назад +1

    We ndo mkubwa wao wakazi killer hatali kwa michano noma unaondoka mzee

  • @emmaleejr6670
    @emmaleejr6670 6 лет назад +3

    killer we muuaji😂😂🔥🔥

  • @farajamtono1450
    @farajamtono1450 6 лет назад +2

    young killer dam dam nakukubali miaka buku

  • @dalizotz9802
    @dalizotz9802 6 лет назад +4

    Young killer ndo Baba lao dee fara tuuu

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 лет назад

      kila MTU ana staili yake bro na kila MTU ana muziki

  • @amiryamse2729
    @amiryamse2729 6 лет назад +2

    Young killer umetisha

  • @alexpatrick6780
    @alexpatrick6780 6 лет назад

    Kiukweli young killer ni mwandishi mzuri ila in music young dee kafanya kazi kubwa sana kuliko ana zile ngoma zilizo chukua headlines in tz kwa mwaka

  • @ivanokillerfadhili525
    @ivanokillerfadhili525 3 года назад

    Nakubali Killer unajiamini ki Noma mukubwa wg

  • @guezvoncruz3361
    @guezvoncruz3361 6 лет назад +2

    #KILLER ndo fund mzey babaa

  • @ansimelody4040
    @ansimelody4040 4 года назад +3

    killer msodokiiiiiii 🔥

  • @kweyambamswadiku7033
    @kweyambamswadiku7033 6 лет назад +2

    Hakuna zaidi ya mxodock

  • @mchoxclever3251
    @mchoxclever3251 6 лет назад +3

    Pambana na hali yako 😂😂😂😂

  • @thomasndumila4382
    @thomasndumila4382 6 лет назад

    Young killer msodoki ni nouuma saana,Young Dee kapaniki na jani halijawahi kumuacha mtu salama. Young Dee kaharibu shoo.

  • @abdulkalim2033
    @abdulkalim2033 6 лет назад +2

    sio level yako kweli msodoki mkali kuliko wewe

  • @okoamsite4857
    @okoamsite4857 6 лет назад +1

    wote mmezingua kuanzia sam coz naiona hii session ya killer na dee imepelekwa kiwaki

  • @husnahassan4771
    @husnahassan4771 4 года назад +1

    Woyooooo kelele kwa killer akee🤗🤗🤗

  • @seedmbegu4567
    @seedmbegu4567 6 лет назад

    Me ningekuwa msanii nisingekubari utoto hata kama ni Young ,Hey young's Act Mature

  • @johink3831
    @johink3831 6 лет назад +1

    Hakuna wa kumfunika Young D

  • @hemedsalum8208
    @hemedsalum8208 4 года назад

    Msodok wew nishda mwanang nakukubal sana huyo boya atakujielezea awez nyau

  • @baashehassan8135
    @baashehassan8135 6 лет назад +6

    Young killer umetisha big up sana

  • @shedyplatinumz4853
    @shedyplatinumz4853 3 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nime iona mwaka 2020

  • @davboimkali2857
    @davboimkali2857 6 лет назад +2

    Young dee umepaniki brooh

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 6 лет назад

    mtaongea yote lakn young killer ni killer kwel Kwel.. namkubali na pia naheshimu sana fikra zake.. in short we young dee kwa killer ujipange sana!! young killer ni mkali, tena sana... one love killer!!

  • @sujaramazani1181
    @sujaramazani1181 6 лет назад

    killer mwanza mwanza anajizimia ndo maana anameremetaaaaaàaàa 💯💛💛💛💛💜💜💜💜💕💕💖👍

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад

    *Nani mwengine anakujaga kuu dhibitisha ukali wa young killer msodoki huku*

  • @musasadiki3898
    @musasadiki3898 6 лет назад

    Hahaaaaaaaaaa, Lazima akimbie hapoooo. Mzaramo kakutana na michano ya kisukuma 😅😂😂😂😂😂