FRIDAY NIGHT LIVE - Msodoki asema bado ana beef na Young Dee
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2017
- Mbali na marapa hawa wawili kukutanishwa kwenye #FNL ili wamalize tofauti zao Msodoki ameonyesha bado kutotaka kumsamehe Young Dee kwamadai kuwa alivyo mtukana hajapenda.
Развлечения
Kuhusu kufunikwa siwaz ila kuhusu janjaro na young dee mm ndo mkubwa wao wa kazi
Shikamooo msodoki
Killer moto wa kuotea mbali ukisikiliza ngoma zake unaweza kuunguza chakula kwa utamu wa mistari yake shikamooo msodoki.
Mikeh Jackson wwwwww ninomaa killer
Mtoto wa kihuni 😅😅😅 || Killer hatari sanaaaa
Young Dee aache mamb ya kununa kama demu... Young Killer ndo baba yao hanaga mamb ya kishamba.. DEE Hutaki kufananishwa au huna cha kufananishwa na madogo, Huna Tuzo, Battle huwez unaogopa, Mtonyo huna, Demu mkal huna, hata kujitupia huwez famba we... YOUNG KILLER & DOGO JANJA MOTO WA KUOTEA MBALI.
Hahhhhaaa
@@boazmasinde2764 hahaha hatari man kamchana kinomaaa
hip hop iz nt only rap even talking skill....jaman youngkiller ni noumaaa sana....gonga like basiiii
gonga like apa kama unamkubali hendsom boy asiyekuwa na matunzo. young dee anasema hataki kifananishwa sasa anaulizwa kwa kipi alichonacho hana kitu chochoteee tena amshkr sana mr t.touuch angekua yuko mtaani hana llt huyo young killer mpambanaji bhana alf anaga skendo za kijinga kama unamkubali young killer gonga like.
sana young dee
Msodokiiiii
WOTE WAKALI KWA NAMNA YAO..! MSODOKI MKALI KWENYE LYRICS..
Killer bad man
*Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*
#youngkiller ndio habari ya mjini
KILA MTU ANA UKALI WAKE DEE YE MKALI WA KUIGA SWAGGA ZA MBELE NDO MANA YUKO BONGO BAHATI MBAYA...KILLER MKALI WA LYRICS....JANJARO MKALI WA MAVAZI
udaku tanzania killer nomqqq
Ndiwoooooooo
Hna 6 not 60 v
4rly
% €*£9;
0v . Y p o
c 08 c uuki nn0898nlvp 9 87
we killer unakoelekea n kuua ukwel ukwel ao watoto kweny michano n machoko tu
Solalegah Info young de kashindwa kuchana kwaiyo kapata aibu
Dee hamuwezi msodoki. Akubali tuu alishindwa kutumia muda vzr
Ila interview imeharibika sam umeshindwa kuwa control kam host
sam acha uboya kwan we ujui kama killer mkali au
msodoki mkali mkali achaneni na mla unga uyo
+Ester Mmbaga usipende kuhukumu
Uyu jamaa yup wap
Young dee huyu dogo mshamba sana, aiseeee
Killer 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
killer is killer hawezi kufananishwa na hyo mla ngada,wap na wap young dee na young killer wawe sawa!,au kisa sinaga swaga na bongo bahati mbaya!😠😠😠😠😠hahaha hahahaaaaaaaaaa young killer unatisha mbaya big up sana kaka,achana na hyo mla sembe😅😅😅😅😅😅
msodoki noma sana
Aaaaah young d ucpanic young killer habar nyingine uwe mpole ww
🔥🔥🔥msodoki ni Moto wakuoteambali we kipusa nipitiembali yamusa mpe Musa hayamuhusu kaisali.😊😆😂🤣.wanangue young killer saluti kwake au mnasemaje? Kama2kopamoja gonna like ok.big up Sana kwake
Freestyle is a special talent, not every rapper knows to do so .
hapo kweli haina kushindanishwa muziki yao ni tofauti young dee ana chana kiswaga swaga ndomaana anajiita bongo Bahati mbaya young killer ana chana hip hop ngumu ni sawa na kumshindanisha joh makini na fid q
🙏🙏🙏🙏
Amber Lulu hapa alikua mtamu balaa. ❤️ Siku hizi kanenepa sana sijui amekuaje dooh!
Tena young dee hajakosea hataki kushindanishwa coz hana cha kushindanishwa na msodoki killer anatuzo yeye hana so anaona aibu anaishia kutukana kama wew rappa unakataaje kupiga bato
Sam acha kumkuza young dee wakati hana lolote, young killer ni zaidi ya ma young wote bongo
Killer
Young killer kanirudisha tena huku🔥🔥🔥
kuhusu kufunikwa me siwez kuhusu janjaro na young dee me ndo mkubwa wao wa kazi killer
Young dee leo kapatikana
Young killer Uko perfect
Wazi killer babalao
Kutangulia kwenye game haimaanishi wewe ndo mkali unaweza ukaanza zamani wakaja wengine nyuma wakakufunika.. Killer ni zaidi ya dee na janjaro.. Kwanza hajisikii na kutukana Kama dee..
hiyo ni tabia ya MTU halafu kiubora young killer ana chana sawa kuwazidi ila muziki wake ni wabongo hapa hapa kama kina stamina mistari mingi muziki wao unaishia bongo young dee na dogo janja wana muziki ambayo unaweza vuka mipaka ya nje kama joh makin darasa yaani mistari michache nyimbo inachezeka
True lakini hata killer vilevile asha anza kutoboa
Killer till i die.....🔥🔥🔥🔥
On point
young killer hatareeee young deee unakosea tuu na matusi yko
Huu niujinga unajuwa wote wana ma beef alafu unawaleta pamoja chapili sasa ule uzembe wakuto kujuwa nani mkali sasa unajuwa sasa umefaidi nini
Sijapenda watakuja kuwatia hasara maana chupa zinatosha kumaliza vita una hakili sam
Youngkiller the perfect one 👌❤
Sam unaboa unajua nan mkali watu
Young killer ndo kichwa cha habar hao wengine habari tu mzee baba killer is always kill it
Jaman ya killer level zingine
young d kapatikana hahahahahhaha chezea killer
Killer noma
Msodoki big up
Young Dee hovyo kabisa yaan huyu, Unga umemuharibu mbwa koko huyu
mabo
Killer babalao
Nyuma mm nafila wao mbele wana Nike,, hahahhahahaha. Ila young killer kwa michano ni mkali bt kwa battle kuna watu wake wa kubattle na wamuheshimu young d kama braza wao kwenye game! Issue ya kumdharau kisa sembe siyo mpango
Mick Skills TV fala ww
Young D akubalii tu kuwa young killer ni mkubwa wake wa kazi yaishe.
Kila huyo mla sembe achana nawe mmalize kwa mic tu
dee umebwela chalii
yan nyambu kabisa uyu d
always young killer ts a young 4 future nd never make a judge 2 dat
young killer big up:!!
Hanaga swagger kabisa. Killer killing the lyrics
hahaha! Mla unga huyo analopoka nn this is a time to workup salute kwa young killer msodooooookiiii
Killer achan na Huyo kina
Presenter is on point.Best of the best.Whats his name guys?
young dee toka mwanzo ashaxema diss afanyi saiv so sixhangai pesa ndo kila ktu.....
King Zed latoszhal
Lylu
music aujifichi muziki upate mafanikio kwakile unachokifanya ..sasa dee wee ni wazaman sawa muziki umekufaidisha nini? usichukue MTU akikwambia unalala ustudio pambana kutoka Kwenye iyoo kitu .Kwa michano umuwezi killer ipo wazi zaid utapanic tuu kukosa tuzo Kwa dully ww hakukusaidii wala uyoo blue. tunataka ww ujisifie ukubwa wko mafanikio yko ulinganshwe na hao unaowaita madogo. uyoo necha unaesema hana tuzo sijui kama unakumbukumbu vzur mi nasema anayo na kapata nje ya nchi ukipata time nenda halisi record utaiona tuzo yke na anaishi kwake kwaiyoo muzik umemfanya aishi kwake acha misifa mzee komaa usilale studio ....
huyu dee ni boya anaogopa battle anasingizia hatak kufananishw juz kwenye dakika kumi za maangamizi pia kazingua
hahahahhah mavi yko chukua kaka yko amechemka apo manina
Young dee kajinunisha et 😀😀
Young dee nugu
Young Daresalama kavurugwa mpeleken sober
Dee kapanic tiyar
young d sembe ina msumbua
Mmependeza sana 🤘🤘🤘
killer MTU mbaya jamani
Real hip hop mc anajibu kwa kuchana,sio kupanik,af unatukana matusi on air,Young Killer kills
young killer nakukubal sana ila kilchonichosha kukataa beat ya ma Broh joh makn kwan bdo MNA tatzo
Nimeirudia tena hii show leo 7/4/2023 Killer hana maringo kama Young D. Ila uhalisia Killer yupo juu zaidi ya Young D
Tuko kimoja 🎉
Hakuna k2 nitakuja nifrahi sana kama kukutana na young kellar daaah sitoamini penda sana huyo kijana please call me 0713354647
Uyu young d mamae anajiona special afu anajkuta mbabe sana kmbe hana lolote mafanikio ya madogo wengne yanampa stress anaishia kula sembe
Msodoki The sun 🌞
m nampenda young kiler Atari..Mungu amlinde milele
young killer msodoki jamani aaaaachiwe best handsome boy alkosa matunzo halafu mtanashirt genius kwenye ubongo tallent miusation rappes
Young killer ndio kusema Kwani iko nene
young killer umejibleach aisee .amna msukuma wahivooo🐭😂😂😂🐭
😁
Ujaeleweka
hahahhaahha.dee kapanic brother😂😂😂
Young dee unataka respect kat kwenye interview unatukana pumbavu youngkiller mstarabu sana
Dj dea ungempa Youngkiller beat ya Edu boy
uchokozi huo
Nakuubali sana young d, ww ni zaid ya rappers
Mnatumalizia Mb Kwa Vtu Vya Kishamba BYThWay Mnawezqa Tusiwa
sasa young D We Unao Mziki Gani Mpka Ujione Upo Juu
cocain haijawah kumuacha m2 salama ukimuangalia dee hana tofaut na chidy maana hana busara kabisa anaongea vi2 upuuz m2pu... killer waonyeshe hao mayoung nn wanatakiwa wafanye kwenye hil game pga bakora hao MAPAKA
Daaaaa wote mabumunda2 wanazingua aooo wshikaji
We ndo mkubwa wao wakazi killer hatali kwa michano noma unaondoka mzee
killer we muuaji😂😂🔥🔥
young killer dam dam nakukubali miaka buku
Young killer ndo Baba lao dee fara tuuu
kila MTU ana staili yake bro na kila MTU ana muziki
Young killer umetisha
Kiukweli young killer ni mwandishi mzuri ila in music young dee kafanya kazi kubwa sana kuliko ana zile ngoma zilizo chukua headlines in tz kwa mwaka
Nakubali Killer unajiamini ki Noma mukubwa wg
#KILLER ndo fund mzey babaa
killer msodokiiiiiii 🔥
Hakuna zaidi ya mxodock
Pambana na hali yako 😂😂😂😂
Young killer msodoki ni nouuma saana,Young Dee kapaniki na jani halijawahi kumuacha mtu salama. Young Dee kaharibu shoo.
sio level yako kweli msodoki mkali kuliko wewe
wote mmezingua kuanzia sam coz naiona hii session ya killer na dee imepelekwa kiwaki
Woyooooo kelele kwa killer akee🤗🤗🤗
Me ningekuwa msanii nisingekubari utoto hata kama ni Young ,Hey young's Act Mature
Hakuna wa kumfunika Young D
Msodok wew nishda mwanang nakukubal sana huyo boya atakujielezea awez nyau
Young killer umetisha big up sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nime iona mwaka 2020
Young dee umepaniki brooh
mtaongea yote lakn young killer ni killer kwel Kwel.. namkubali na pia naheshimu sana fikra zake.. in short we young dee kwa killer ujipange sana!! young killer ni mkali, tena sana... one love killer!!
killer mwanza mwanza anajizimia ndo maana anameremetaaaaaàaàa 💯💛💛💛💛💜💜💜💜💕💕💖👍
*Nani mwengine anakujaga kuu dhibitisha ukali wa young killer msodoki huku*
Hahaaaaaaaaaa, Lazima akimbie hapoooo. Mzaramo kakutana na michano ya kisukuma 😅😂😂😂😂😂