YOUNG KILLER: Young D na Dogo Janja nitawafanya vitu vibaya Sana
HTML-код
- Опубликовано: 5 июл 2018
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com Развлечения
killer mwamba wa mistar kama unamkubar killer gonga like hapa
mm mkongo hapa,
ozabien ,
kama unamkubali lilommy Kama ninavyo mkubali, like hapo bana.
kama unamkubali young killer gonga like hapa kama mm
KAMA UNAMKUBALI YOUNG KILEER GONGA LIKE
Anajua Young Killer
Dogo kilah ukopowa sana
pao yang kila ña kuunderxtend cana broo m mcanii toka mbeya citiez nataka kuja kuchana kweny kumi za maangamiz unanixaidiaje 0784139909
msodokiii
Young killer wendo jembe la majembe.big up sana.dogo janja ni bahau
nyie wawili nawaelewa Sana killer Vs ommy
Kama unamkubali killer like hapa
Fund
Xana killler
Shio kulike tu ata kometi nawesa kuadika
Kama unamkubali killer ongeza like hapo👍
Killer noma na mm naham nimuone
killer ni king wa madogo wote watulie
nakusubli
Msodoki Wee mkali saana bro
Asikudanganye fala 💪💪😂😂👏
Sema dogo unaongea ukweli yong dee na dogo janja umewazidi kimuziki Ila madogo wanajisifia sana
Young Killer ndo master wa Hii Game ya Hip Hop Kwa madogo
killer nnachokuelewaga hujibu maswali kwa kupindisha maneno
uko pw saaaana killer
Sawa kk nakubali ngoma zako zpo kuntu"
Sajatoka walio toka uwezo wao Bado kabisa young killer bad Moto 🔥🔥🔥🔥🔥unawaka ndan ya maji
Killer yupo juu 2 anaandika miatar ya kueleweka gonga like kama wote tuna mkubali killer
Young killer noma
Msodoookiiii namkubali sanaaa keep it up
Hii Top Yake Noma Uko Na MVP Na MasteOf Rhyms Boooom..😊🙌🏽♥️🇰🇪♥️
Msosoki The Son, keep on with that spirit, to teach and to reach out to the young one's. Mzuka
UnaAnzajE kukoxA sHow y kiZaz kmA hii..... MambO kmA yotee..... 🔥 🔥 🔥 WataPata TabU SanAa WasiO like.....
@11:52 #SisterP anakulaum kwahilo pia..
Nakukubali sana #YoungKiller ponchlines zako zakibabe sana...
A lot of inspiration unto me brother from Kenya, shabiki mkubwa.
killer uko njema mzeee
killer mwisho wa matatizo
kama unamkubali young killer nipee like zangu wanangu?
Gonga like hapa kama unamkubali KILLER
Ommy lliy tz one
Young killer ni noma
Sungura young killer we jamaa unajua na unajua kujielezea yani unajiamini naamini unaposema kabla ya kukubali umeshajikubali na pia ni mganga unaejiganga kaz kaz unajua na naamini utazidi kutuhakikishia ujuzi wako much respect Sungura.... instagram follow me @smartclassic696
Huyu dogo ni hatari Sana
Yeah ni Hatari mno
Huna mpinzan
xo nice young killer,,,
MSODOKI THE SON!! 🙌
Benson Frank hahq
Cha muhim watoe ngoma moja, young d, killer n janjaro .afu humo ndan sijui nan atakalisha. Ndicho nacho kisubr
Kama una mkubalii young killer like hapa
sijawai kukosa shoo yako broo
achana na wasanii fyatu ombaomba njaa 2 ambao wakifanikiwa hawapokelei cm wa,2
🔥🔥🔥ukomakini unajua kujizugunzia kwa umakini sana brow
killer huwa nakukubali upo vizurii sana ktk kujieleza
lilomy show zako Kali bro cjui nitakupata vp nahitaji ushaur toka kwako bro
Younkiller mwanz mwanza
#YOUNGKILLER🔥🔥
Killer 👑🔥🔥 of hip hop
Kesi ya mauaji hahaha nimekusoma msodoki
Young tisha Sana man we nimkali zaid ya killer ki2.
Killer Msodoki 🔥🔥
Nakbaliiiiii,,,we mkali young killer mwanza mwanza
Young killer ni bonge la rapper....
Game unaliweza #Msodoki
aliye fanya young killer afanye mzuki ni young de na country weezy
Mtu mbaya mtu atariii mtu fundiii w michanoo ni xhidaaa like y kibabe ukidondoxh cyo kesiii
Mkali sanaaaaa @ killer msodikiiiii
Waueeee
HIV AO MADOGO BADO MNAMFANANISHA NA KILLER TUU DOH?? KILLER NI FIRE
xna2
Young kille hakika kuhusu young D na DOGO janja sure wewe ndo mkuu wa kazi
Daaah interview kali saaaana
uko juu brathee
ha ha ha et sungura
poa sana msodoki
nice killer show love
Noma sana killer the young
Young killer we ni mkali kaka
Fid Q so wakujilinganisha na wasanii viaziviazi
nimeekaa kama daika mbili kutafakari hilo jibu lako la "sungura " then nmekuta nacheka kwa sauti
Tbwaymitindo 360 kizazi sanaa
nakubali mwana
Young killer kwel w mkubwa wao broo wakimbize
Uyu bro wamuachiy tu
Mwela sana
top killer nimekubali
nakubali sana bro nipo mombasa Kenya 254 lakini home tanga Tz
Salim Siri kar kwenu wewe seem gani ndani ya hili jij kk 18 ndonilipo
Namkubali sana young killer
naamu ommy
Tatizo la wana hip hop ni kujiamini kupita mipaka sasa #killer Y , anamzidi wapi Y. Dee kwa mitindo kwa muziki au kwakuandika. Kiukweli walau kidogo zamani alikuwa anaandika vzur ila kwa sasa aaah hana lolote ndio mana anaandika sina swagah mara tatu. Kaone show kwa stage. Ndo utagundua kuwa Bongo bahati mbaya(BBM)
Oyo dogo mipango ya mungu sio mkosane sijui nimungu gni unayemzungumuzia
Killer uko juu☝️👊🏻
Respect kwako killer
pwaaaaaaaaaa
Nakubali
killer ni noma xanaaaaa
Killer noma
mazee hichikichwa young killer dah ninavomkubali yani achatu kamaanaipatahii angejuwa kama Mimi nimshabiki wake mkubwa sana
Nice
❤❤
nakubali mwana
Nakukubal sana killer kwel ww n muuaj mdogo
🔥🔥🔥🔥🔥
killer moto msimfananishe na mdogo
Killer noma sana
Kweli man
Upande wa 2 tuna comment wap😀😀😀
#UMakeMeSick😂😂😂😂🙌
Kaliiii
💪 NAKUBLII 🎙️
Mwanza watuachatu vchwa kama vyote kila unaweza homboy
Young ller ndo baba yao
huyu jamaa saivi namkubali sana anafanya hiphop..ndo aliebaki kaka zake.wote wanapodoa
Ujuwe atapirau ukilitiasana ujuzi linakuwa uchafu mbonauku ulikuwa unauwasana kuliouko wcb japokuwa kimunekano kunaonekana vzuli Ilashoo siokari
msodoki yuko vzr
Novatus Nolasco hauna jipya killer
noma sana
Young ller noma
Nice chaliangu
Mwelevu sana dogo
Hii kwel utaweka mawigi lakn kichwa ni kile kile
killer
Young killer waueeee
killer noomaaa sanaaaa