Jmn anko J 🥰🥰🥰🥰 na dada lissa bigup sanaaa ✌️❤️❤️❤️ story ya jina langu nmeipenda sanaa nmejifunza thanks 🙏 🙏🙏 simuliz mix ✌️✌️so amizing sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰
MashaAllah Anko jay kiboko👏na kujisifu jmn leo nimepata funzo wakati mwingine jisifu jipongeze mwenyewe angalau moyo ufurai 😍sio kusubiri usifiwe wakati hao wasifuji hawapo🤣🤣
Asante sana anko jey kwa simulizi nzuri ya mafunzo nimejifunza kitu. Napenda simulizi zako zenye unasimulia zinakuanda za maana sana naisikiliza nikiwa Kenya 🇰🇪 napenda sana kusikia
Nilipoiona simulizi masaa saba nilisema ah acha IKAE!!! Ilipoanzishwa kwa madakika nikaifwatilia....si nimerudi mwenyewe huku kwa masaa 7. I can't wait for the bits and pieces ni mwendo wa mfululizo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimejifunza kutoamini friends na pia niliwahi jifunza nvr to trust men who look innocent na pia mume akijua umejua mabaya yk ndio hufanya dhahiri.mungu awe pamoja na ss wanawake tunapitia mengi
Kwa hakika hii simulizi nimeisikiliza kwa umakini wa hali juu ingawa ni yakutunga lakini walahi nimejifunza kitu kwamba dunia hii ina neema nyingi sana zilizotuzunguka sisi wanadamu neema ambazo huwezi kuzijua mpaka neema hizo zikutoke
Amen 🙏, n kweli always God's time is always d best,Lissa dada n smix ,tunashkru sana km wana u tube,nimejifunza mengi hadi naona sometimes nisijingize kwenye mausiano,but nafarijika nikiwa ndani ,n huwa hizi simulizi hunitolea strezz,kaka Jay long life are trying
Asee pole yake Irene ama kweli Simba mweda Polie ndye mlaa nyama wanahume jaman Anko j unapeda kuwasifu sana washikaji ona sasa asate sana Anko j sim tamu nimejifuza kitu💕💕💞
Maisha yasiyo na msimamosiyapendi,,,,,tabia ya Irene siipendi hata kidogo,maisha yako unaendeshwa na rafikibadala ya moyo wako nyoooooh,nimechukizwasaaaana
kila mda nasikiriza simuridhi zinanipoteza mawazo na enjoy mno najifunza kwny izi simuridhi zenye kuelimisha na kujifuza kuusu maisha yetu sisi binadamu ❤
Daaah jmn wakati wa Mungu ni wakati sahihi japo tunapitishwa kwenye magumu tusiache kumlilia. Pamoja na yotee ya irene amejua kuniliza huku mwisho hii story ilikua inanitia uvivu kuisikiliza leo nikajilipua😂 nimejifunza mengi mnoo. Mbarikiwe ndugu zetu anko jay,simulizi mix na kipenz chetu lissa mwalla❤❤
Jaman Leo mwenzen nimechanganyikiw mhhh😜😜😜😜😜nicheke kwanza maana hii simuliz nimeona zaman ila cjuw kwan sijaisikiliza adi kufikia saiv mm wa mwisho ANKO JAY like kama zote juu yko wacha nipate utamu wa IRENE bye kdg🇲🇬🇲🇬🇲🇬🇲🇬🇲🇬
Jmn anko J 🥰🥰🥰🥰 na dada lissa bigup sanaaa ✌️❤️❤️❤️ story ya jina langu nmeipenda sanaa nmejifunza thanks 🙏 🙏🙏 simuliz mix ✌️✌️so amizing sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰
Ila anko wewe unajua. Acha 2 tuseme ukwel hii simuliz inamengi sana ya kujifunza masaa 7 ya halali kabisa yani i like it and i love guys simuliz mix
kudadeki, wanaume jaman watakuwa wakeanza kwenda jehanam kwahali hiii duuuuu!!! amakwel majuto nimjukuuu , pole kipenz mungu atawalipia hao wapuuiuz
Thanks alot msimulizi na mwandishi simulizi nzuri sana,nimefurahi sana pia inanifunza katika maisha.be blessed.
Irene marafik zko wote walikusaliti pole snaa dear, ila Mungu akipang lake lazima litimie,asante sna ankojay ❤❤
Nashukuru nimeimaliza salama nzuri na inamafunzo pia nimeipenda sana
Waaaah much love Kwa mtunzi pia na msimulizi I'm in Saudi Arabia but simulizi hizi zimekua zikinipa furaha sana
Asante sana akojay kwa simulizi nzuri sana nimjifunza.na sitaacha kumwomba mungu God bless you all
MashaAllah Anko jay kiboko👏na kujisifu jmn leo nimepata funzo wakati mwingine jisifu jipongeze mwenyewe angalau moyo ufurai 😍sio kusubiri usifiwe wakati hao wasifuji hawapo🤣🤣
Anko jay na lisamwala asantee sana chukueni maua yenu🎉🎉🎉menu
Anko J, nkmekuvulia kofia. Lov uuuu🔥🔥🔥🔥❤❤❤umenitendea haki sanaaaaa
Ameweza ameweza ameweza
Nzuri jmn Asante anko j
Wow wow 🙌🙌🥰😻
Asante kwa simulizì nzuri kumbe Lulu ndio alkuwa akiwa roga daah tuwe makini na marafiki
Dooooh
Congratulation dear lissa mwalla na anko J congratulation coz unasimulia vizur sanaaah❤❤🙏
Woow simulizi zuri sana hapa nime jifuza kitu katika maisha🥰
Da!kweli unaweza hisi unapitia changamoto ila kunaaliyepitia zaidi ,ongera sana dada iren mungu azidi kukupigania jaman
Ni nzuri jamani ubarikiwe kaka
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo Rey mungu anakuona hongera dashe.
Asante sana anko jey kwa simulizi nzuri ya mafunzo nimejifunza kitu. Napenda simulizi zako zenye unasimulia zinakuanda za maana sana naisikiliza nikiwa Kenya 🇰🇪 napenda sana kusikia
Aiseeee nimefurah kusikia jina langu uwiiiiih tracy🤸♀️🤸♀️🤸♀️❤❤🙏
Napenda hio background song.anko j umenimaliza
Nmejifunz k2
Nilipoiona simulizi masaa saba nilisema ah acha IKAE!!! Ilipoanzishwa kwa madakika nikaifwatilia....si nimerudi mwenyewe huku kwa masaa 7. I can't wait for the bits and pieces ni mwendo wa mfululizo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wanaume Wanaume wanaume nimesema mara tatu mna uwezo wa kuvaa ngozi ya Kondoo kumbe ndani nguruwe mwituu
Yaaan jaman 😭🙌🏻hapana kwakwel
Nimejifunza kutoamini friends na pia niliwahi jifunza nvr to trust men who look innocent na pia mume akijua umejua mabaya yk ndio hufanya dhahiri.mungu awe pamoja na ss wanawake tunapitia mengi
From Kenya. Nilikuwa namsifu sana Ray kumbe duh ni mbwa. I say men men
😂😂😂😂😂 wuwiiiii mbavu zangu jamani 😂😂😂😂
Hongera sana lisa simulizi zako nzuri sana mama ❤️❤️❤️❤️Ankoj always never disappoint ❤️
Huyu Irene anakishipa cha ngono jamani ila anabahati Man Sha Allah Tabaraka Allah mm huwa nasikiaga tu simu ila bahati sina🤭🤭
Jamani simulizi nzuri saaaana mashallah🥰
Story nzuri sana 🙌
Santii kwa simulizi tamu nimeenjoy sana.💖💖💖
Asante Kwa simulizi nzuli inayotufundisha tusikatetamaa tumwombe mungu balikiwe sana
Yan huyu dasheli mmh anapeleka moto yan akimuowa watapigana mpaka achubuke mapaja
Finally nimepata Simulizi ya jina langu ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Congratulation dear irene😂😂❤
Na mimi pia jamani nimesikia jina langu kwenye hii story nimefurah ety❤❤❤
@@tracymasangula213 hahaah
Simuliz ya jina lako vip na hiyo tabia ya wajina wako?..tabia mbaya mno
Kweli mume mwema huletwa na mungu 🎉🎉🎉🎉
Kwa hakika hii simulizi nimeisikiliza kwa umakini wa hali juu ingawa ni yakutunga lakini walahi nimejifunza kitu kwamba dunia hii ina neema nyingi sana zilizotuzunguka sisi wanadamu neema ambazo huwezi kuzijua mpaka neema hizo zikutoke
❤❤❤❤Nimejifunza kitu shukrn sanaaa ila simuliziii tamu balaa
Shukrani san🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏, n kweli always God's time is always d best,Lissa dada n smix ,tunashkru sana km wana u tube,nimejifunza mengi hadi naona sometimes nisijingize kwenye mausiano,but nafarijika nikiwa ndani ,n huwa hizi simulizi hunitolea strezz,kaka Jay long life are trying
Mungu ni mwema Irene ❤️
Sitori nzuri kweli
Asee pole yake Irene ama kweli Simba mweda Polie ndye mlaa nyama wanahume jaman Anko j unapeda kuwasifu sana washikaji ona sasa asate sana Anko j sim tamu nimejifuza kitu💕💕💞
Daaah story nzurii xaan jomon na inafundisha pia asante xna anko j 🥰🔥🔥
😊😊❤😊Asante sana
Anko inabidi simulizi nyingine uanze kuweka ma épisodes sababu kuna wengine huwa wakifaliya simulizi Zako wakiwa kazini asante bro
Mwaz nilion 7 nikasem siwez kiskiliz daaah Yan Leo najiwek waIm kiskiliz nan kuimaliz sio Leo kbx🤣🤣🤣ACH nill bwan weee 👌kosa la rahisi kweny mpango w Siri kutungeuk limenifany nij ap,🤣🤣🤣sijapend ank j NC voice wew Kak💯💗🇦🇪🇧🇮
Congratulations Irene kwa ujauzito ❤
Simulizi nzuri sana yenye mafunzo haswaa,, prayers is the key
Wow 🥰 jamani mpaka raha yani 😍♥️♥️❤️❤️
Lisa anatunga vizuri saana ongera saana keep ♥️ ❤️
Asante lov
@@lissamwalla501 uko perfect
Lissa mwalla una kitu utafika mbali 😅😅😅😅happy 7:32:10 hour
Story zako zina matumaini mapya❤❤❤
kwa kweli ii story ni zuri kabisa yenye mafundisho
❤❤❤nzuri sana
Irene' unapepo la ngono likutoke😢
Maisha yasiyo na msimamosiyapendi,,,,,tabia ya Irene siipendi hata kidogo,maisha yako unaendeshwa na rafikibadala ya moyo wako nyoooooh,nimechukizwasaaaana
Inakera sana😢😢😢
Waaa hii simulizi ni noma sana
Nikweli kabisa wakati wamungu ukifka lazma akuinue
kila mda nasikiriza simuridhi zinanipoteza mawazo na enjoy mno najifunza kwny izi simuridhi zenye kuelimisha na kujifuza kuusu maisha yetu sisi binadamu ❤
Huyu sio rafiki mzuri amka bado mdogo
umenifurahisha kumwokota hyo mtoto
Jamani frank🎉🎉🎉🎉
Daaaahhh aiseee yn Simulizi zingne mpka raha haziishi hamu kuzisikiliza ❤❤❤
Kweli
Mashallah!!! Nzuri sana,pongezi Simulizi mix
Ankojay mwenyewe
Big up Xana 🤜🤛
umesababisha nalala usikuu mkubwa Xana Asante kwa simulizi nzuri🙏
Weeeeuuuuuuweeeeh inamaana tupo wengi hivi juu kama simulizi ina dawa Sasa hapa imetumaliza Sisi watu walioko gulf heee
@@elizabethmburu2210 nakwambia nihatr 😅😅nimella SAA tisa ya usiku kisa hiyo simulizi nzuri
Mungu ni mkuu sana jamani mwacheni aitwe mungu.
Amaizing🔥🔥
Shukurani anko jay🙏🙏
❤❤❤daaah katika Simulizi nimeickiliza mara kumi kumi ni hii naomba WhatsApp anko jy
Anko jay mwenyewe IRENE haya kafanyanini nasikiliza halafu nitakoment tena like zenu wadau wa simulizi mix🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ulipo nipo 🥰🥰💞💞😂😂
@@jacklinemsafiri5948 waooo kipenzi tupo pamojaa kipenzi 🤣🤣🥰🥰🥰🥰
@@shadyasalum192 🙏🏿🙏🏿
Tabia mbaya saaana ya kuchanganya wanaume
Irene unatukosea sana team Ray mpumbavu wewe
Maisha ni safari ndefu Sana daah, hongera Irene
So nice
Daaah jmn wakati wa Mungu ni wakati sahihi japo tunapitishwa kwenye magumu tusiache kumlilia. Pamoja na yotee ya irene amejua kuniliza huku mwisho hii story ilikua inanitia uvivu kuisikiliza leo nikajilipua😂 nimejifunza mengi mnoo. Mbarikiwe ndugu zetu anko jay,simulizi mix na kipenz chetu lissa mwalla❤❤
Irene kimalaya cha kilokole❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyi simulizi inafanana sana na simulizi 2zote
Mapenz raha san jàman hasa ukimpata anaekupenda
Hii simulisi haina tofauti na Lisa bint kimasai
😱😱😱😲😲😲😲😲😲 7 hours woooooow profit huna listen tu mpaka sikio nili kiri 😂😂😂😂😂😂😂❤
Hhhhhh ukizubaa na sikio litauma ila acha nisikilize kwanza
@@nkurunzizasandrine5091 nita maliza story nzima mpaka sikio nita koma 😁😁😁😁😁
Hhhhh nihatari ila tutasonga nao ivo ivo bwana
hahahahahah ni atareeeeee
wooow Lisa never disappoints big up
Lulu ndio rafiki baana ana mawaidha kama mtu mzima kongole Ankojey big up brooo
Nikiwa mascat oman imekua faraja sana kwangu
Finally nimemaliza kusikiliza hii story🙏
Daaah anko j umetuweza mmmh 7 hrs haya nikianza sai saa saba mpaka mbili usiku...sikio silangu haaaa haa
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ktk simulizi hii imeniliza sana asante dada lissa na anko j 😢nimejifunza mambo mengi sana
Tam tam tam sana❤❤😅
❤❤❤
Ngoja nisikilize kwanza
Nzuri sana
Hii story ninzuri sana
🔥🔥🔥🔥 waiting for more ❤❤
Irene kafanyaje twende nalo🤣🤣🤣🤣🤣
Sauti yako bro ❤
Jaman Leo mwenzen nimechanganyikiw mhhh😜😜😜😜😜nicheke kwanza maana hii simuliz nimeona zaman ila cjuw kwan sijaisikiliza adi kufikia saiv mm wa mwisho ANKO JAY like kama zote juu yko wacha nipate utamu wa IRENE bye kdg🇲🇬🇲🇬🇲🇬🇲🇬🇲🇬
Kudadeki aya like 10 kwa wanasimulizi mix family kubwa one love
Lpppp!!°]°°°[and [construction [on
Ö
@@marianyati7003we
Hakika anko jay upoo juu daima ni da hija nairobi
❤❤❤❤❤❤
Anko j kwa wiki utusimulie ww ata mara tano jamani we like li sauti lako
Asanteee 😍😍😍😍
Jamani ndo maisha yetu tumepitia mule mule wanaume hawa jamani
🥰🥰🥰😘😘😘