KUNDI LA M23 LAMJIBU RAIS TSHEKEDI WA CONGO BAADA YA KUKATAA MAZUNGUMZO NA KUNDI HILO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
    COPYRIGHT VIOLATION
    For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us assengablogtz@gmail.com

Комментарии • 123

  • @omarasif6083
    @omarasif6083 7 месяцев назад +5

    Ni haki gan wanaogombania kama wakongomani...FDLR inawaziwiya nini wao kama sio wanyarwanda....Nima gaidi na hakuna amani yoyote wanaiba Mali ya raiya ovyo

  • @HappyGondola-gs8cg
    @HappyGondola-gs8cg 7 месяцев назад +2

    kongo ina tatizo ina ukabila sana mtu amezaliwa kongo hao viongozi m23 walikuwa ndani jeshi la kongo wakatoka hiyo vita ya kongo haitoisha leo

  • @NasoroMembe
    @NasoroMembe 7 месяцев назад +4

    Rwanda ndiyo tatizo

  • @anzuruniassumani9340
    @anzuruniassumani9340 7 месяцев назад +4

    Hao wa marekani wakatiye Kambi zao kwao alafu wanaita watu magaidi

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 7 месяцев назад +2

    wily ngoma ulingi kufa ndeko mobali oza na motema mabee ukufe leo njo leo ukufe bhote m23

  • @bahomehussein8289
    @bahomehussein8289 7 месяцев назад +6

    M23 sio wakongomani ni magaidi kutoka lwanda haki yako hiko wapi

    • @Usbar-oc1kl
      @Usbar-oc1kl 7 месяцев назад

      Kwanini Antoine Tshisekedi baba wa Felix Tshisekedi pia na Tshisekedi Tshilombo waliungana na hawo M23 miaka iliopita kabla ya Félix Tshisekedi kuwa Raisi?!!

  • @bonneideeomar8808
    @bonneideeomar8808 7 месяцев назад +2

    Ongera sana rais wetu, usiongei nao kwasababu tunajuwa kama ni wazungu njo biko nyuma ya hao wa M23.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 7 месяцев назад

      Ni wanyarwanda hawa M23 ,msiwasingizie wazungu wa watu

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад +2

    Mbona hamuja sema kama America ni inchi yenu ao zingine inchi mulizo kimbiliya emo. MUNA ONEYA TU CONGO

  • @emmanueltwingurenzabanita9967
    @emmanueltwingurenzabanita9967 7 месяцев назад +2

    Am jambo RF?
    Mimi nlitaka niulize Willy Ngoma:
    Amesema yeye anapigana ili ku teteya haki za binadamu ambao wananyanyasika je!
    Hawo binadam ambao wananyanyasika nchini D r Congo wame liliya M23 eti wame nyanyasika?
    Tunajuwa kama m23 ni askari wa Kagame Paul ktoka Rwanda 😢

    • @mubangakoko
      @mubangakoko 7 месяцев назад

      Sisi wa kongomani tuko na M23 tuko na Amani serikali ya kongo hatusaidiyaki barabara hôpital hamuna masomo njala mingi vive M23

  • @BanilaMshoto-fp4iu
    @BanilaMshoto-fp4iu 2 месяца назад

    Mejar Willy ngoma

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 6 месяцев назад +1

    M23 sio waasi ni wavamizi toka rwanda ni bora DRC tutangaze vita rwanda kabisa ili kuleta amani ya kweli drc

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 7 месяцев назад +5

    Magaidi hawa wanafaziliwa nawatu wamagalibi

  • @sekuzoroger1095
    @sekuzoroger1095 7 месяцев назад +2

    Kwani uongozi wa baiden yeye nivita kwadunia nzima very bad

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 4 месяца назад

    Tatizo hapo ni ulaya, hakuna haja ya mazungumzo, weka dili na urusi vita viishe sikumoja.

  • @JacquesKalala-gy9jx
    @JacquesKalala-gy9jx 4 месяца назад

    Ngoma acha ongo muuwaji utarudia kwenu rwada Siku mja

  • @marcelinkamuntu
    @marcelinkamuntu 6 месяцев назад +1

    Dawa yenu iko ku Moto.

  • @YusuphuMakange
    @YusuphuMakange 4 месяца назад

    Tatizo kongo ukabila na uchu wa madaraka ndio chanzo kikubwa cha machafuko nchini kongo vita ya kongo siwezi kwisha ady ukabila na uchu wa madaraka vitu ivyo vife

  • @assaningyoku5948
    @assaningyoku5948 7 месяцев назад +2

    Muko wanyarwanda

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад +2

    Munataka Mugawe Congo. Hamuna Akili kabisa..muko kama nyoka kabisa

  • @SylvieHangi
    @SylvieHangi 6 месяцев назад

    Niuzuni kabisa sisi radical ndoo tunasumbuka hatuko manyama

  • @user-jn6zq7ly8y
    @user-jn6zq7ly8y 7 месяцев назад +1

    Willi ngoma cku moja itakufa
    Acha uongo

  • @GiribathMugisha
    @GiribathMugisha 7 месяцев назад +1

    Wea are together

  • @DavidKiondo-rj1zd
    @DavidKiondo-rj1zd 7 месяцев назад +1

    wanaendeleo kudumu M23 nijuu ni inchi jirani uwa ambie waingie shaba ao Bandundu hawana dakika ya kuishi kwamwisho Congo ita ichukuwa ushindi

    • @sanosanamilele4017
      @sanosanamilele4017 7 месяцев назад

      M23 HAINA SABABU YAKUPIGANA NA WATU WA SHABA AO BANDUNDU HAO NI WANDUGU ZETU,LAKINI INA HAKI YA KUISHI KATIKA INCHI YAO RDC BILA MAOMBI.KWA UBAYO AO KWA UZURI

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 6 месяцев назад

    Tatizo wakongomani hawaelewi cha hiyovita na anayewapigasha ndio maana vita haitaisha,fungeni migodi yote mtamuona adui kamili anawashambulia hao wanaochimba madini wajuen acheni kuuana ninyi kwa ninyi kwa michuki yenu.yupo kinshasa na nje ya Drc ninyi mnaua wamama wasio na silaha eti n wanyarwanda pumbavu zenu kwenye mipaka miingiliano ya lugha na sura ni kawaida acheni chuki,fungeni migodi

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 7 месяцев назад

    M23 ni Magaidi wanafadhiliwa na wazungu wenyewe kupitia Lwanda!!!!waendelee kupora Mali za Wakongomani ..pole sana Afrika kitovu changu!!!!!

  • @mubakeiyadi4820
    @mubakeiyadi4820 2 месяца назад +1

    Nibongo mtupu

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад +2

    Kagame ana wasanganya siku moja mutajuta.

  • @user-rp6tp6gh2m
    @user-rp6tp6gh2m 7 месяцев назад

    Akuna mazungumzo yatakayo fanyika na wanyarwanda mukomae ivyohivyo mutaisha wanyarwanda

  • @Kujason12
    @Kujason12 7 месяцев назад +1

    Tatizo ni monusco siku monusco itaondoka huo mdomo utaisha

  • @omarasif6083
    @omarasif6083 7 месяцев назад +1

    Nivizuri kutokuongra nao maana hawana lolote hao...kazi kuiba2 Mali ya drc inchi za magharib ndio zinazo wasapoti maana Rwanda kama Rwanda haina nguvu yoyote yakukabiliana na drc

  • @MushamukaMastake-yf7wj
    @MushamukaMastake-yf7wj 6 месяцев назад

    Willy Ngoma ana zarau

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 4 месяца назад

    Wewe siomkongo ww nimnyarwanda

  • @josephmutamba7241
    @josephmutamba7241 7 месяцев назад

    Wagaidi hawa Wanyarwanda wa M23, wana Pata musaada ya Rwanda, ya USA, ya UK na wa France. Lakini wajuwe yakwamba hawata weza lolote ndani ya Inchi yetu DRC.

  • @PondoLulinda
    @PondoLulinda 6 месяцев назад

    Will ngoma utarudi kwenu burundi

  • @marcelinkamuntu
    @marcelinkamuntu 6 месяцев назад +1

    Mnakamata vijana wa nyarwanda kwanguvu mna waleta Congo kufatu, wewe Willy endeleya kupotosha tu ipo siku Yako, Msione wanya Rwanda hawasemi mioyo zime toboka zamani, M23 mtabaki Ku jisifu ya Ujinga Na mna kufa kama wanyama. FRDC & WAZALENDO protège la terre promise 🇨🇩🦾🦾🔥🔥

  • @user-qy6kt5bb2w
    @user-qy6kt5bb2w 7 месяцев назад

    Iposiku tuta wa wakibize ata rwanda. Muta ipoteza rwanda yote

    • @muhirefiston83
      @muhirefiston83 7 месяцев назад

      Rwanda unafikilia ninyama unaweka kwamundomo unakura hivyo hivyo

  • @user-uu1wh1jy7t
    @user-uu1wh1jy7t 6 месяцев назад

    Ufaziri ni Congo.

  • @MurielleMitonga-xf9qf
    @MurielleMitonga-xf9qf 7 месяцев назад

    Vraiment tshisekedi n'est pas mon président il est à la base de tous ces qui nous arrivent

  • @user-sr7dv3mu6g
    @user-sr7dv3mu6g 7 месяцев назад

    M23 nyinyi sio wa congo kwasababu wa,asi wote walirudi kwa serikali wazalendo

  • @edouardnsengiyumva1145
    @edouardnsengiyumva1145 7 месяцев назад +1

    Majungumuzo na majambazi

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад +1

    Mutaangaika mwa iyi Dunia muko na laana

  • @user-om1yt8ty8n
    @user-om1yt8ty8n 7 месяцев назад

    Willy ngoma uta hazibiwa namungu weye na kagame ku isumbuwa rahiya ya Rdc, uko mujinga sana wewe na kagame munasumbua wazungu wanawashawishi ilimu mu uwe weusi wenzenu

    • @pavlotz8084
      @pavlotz8084 7 месяцев назад

      willy ngoma ni mucongo hakuna mnyarwanda anaitwa ngoma😅

  • @Leishicirhuza
    @Leishicirhuza 6 месяцев назад

    Hadisi za upuuzi. Acha Wale wakaidi watazikwa wote mwaka juu.

  • @PhilibetLadislaus
    @PhilibetLadislaus 6 месяцев назад

    Joe eleza vizuri demokrasia ya congo ambayo ndani yake kuna wizi wa rasilimali za nchi, Jeshi la UN lilishindwa nini na wamesababisha upotevu kiasi gani cha fedha

  • @chisugimunvanesa2352
    @chisugimunvanesa2352 6 месяцев назад

    Uyu ni Munyarwanda!iyo Kiswahili yake ni ya wa Rwandese

  • @EnockSiva
    @EnockSiva 7 месяцев назад

    Willy ni mazimu mumuulize kama Hao kesho wa Rwanda wanaokuafa katika arzi ya Congo huyu Willy Ana kichaa. n'a muda simurefu huyu ni marehemu Sisi raiya ya Congo hatu yako M23 ni ma gaidi.

  • @bagumaisaac4220
    @bagumaisaac4220 6 месяцев назад

    Mungu atukomboe

  • @peterjamskaila534
    @peterjamskaila534 7 месяцев назад

    Willy ngoma ni kinywa cha kagema hawezi kukiri kwa wanafadhiliwa na Rwanda ...mshenzi kabisa

  • @JacksonBonheur
    @JacksonBonheur 7 месяцев назад

    Sasa 23 ni wakongomani Gani wenye wako natupa ma mbombe mu rahiya APA saké ? Vrmnt miye ninge kuwa raïs kama hamuko ata dju wazu'gu njo bako n'a bapatiya ma arme pa moya n'a Rwanda n'a Uganda tunadjuwa vyote

  • @johnabery-vn7eb
    @johnabery-vn7eb 7 месяцев назад

    Congo kuweni wazalendo m23 inatakiwa wamalizwe nasiyo kuwasaidia

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 7 месяцев назад

    Acheni uelewa finyu. Hao waasi na Rais huyo ana mkono wake ndo maana hataki kuwasikiliza na ni ishara ya Viongozi wa hovyo sana ambao hawafai kuongoza Africa. Sema Congo kiuelewa bado anawahadahaaa wacondo tu huyo

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 7 месяцев назад

    kwa nini boss wa M23, hafanya mazungumzo na FRLR? tunafaham sana mipango ya kagame ananjama za kutafuta tena apate tena vibaraka wake ndani ya serekali ya congo. maana kwasasa ameshapoteza watu wengi aliokua akiwategemea ndani ya serekali ya congo. mheshimiwa rais tshisekedi asiwape kamwe mazungumzo na ao vibaraka wa kagame.

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 7 месяцев назад

    Marekan mkimgusa tu Iran mmeisha watu wanawasubir kwa hamu mtakufa kama sisimiz huk russia, korea kaskazin wanawasubir hap ndio mtaelew

  • @omarasif6083
    @omarasif6083 7 месяцев назад

    Rwanda na Uganda ndio wafadhili
    Yule willy ngoma ni muongo saana wako kwa faida ya Rwanda na hawana nguvu hata kidogo wanapata usaidiz hata kwa wazungu

  • @ISAKWanjalamushimwenda-db9xd
    @ISAKWanjalamushimwenda-db9xd 7 месяцев назад

    Weye Willy ngoma weye uko mkongomani gani wakuuwa wezako wakongomani akuna Siku utakuwa mkongomani kabisaa
    Akuna mkongomani mwenye iko naishi jua mkataba weye ulishauzwa Na wanyarwanda kabisa tuna jua Na ujue akuna mkongomani mwenye ataitika munyarwanda atutawale kabisaa
    Tuko tayari kungombanisha tu

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 7 месяцев назад +1

    Daah hao waasi watawasumbua sana wa Congo

    • @dayasonkibawa274
      @dayasonkibawa274 7 месяцев назад +1

      Waliua wanajeshi wetu wa Tanzania magufuli alisema nendeni mkawapige walipigwa mpka walikimbilia rwanda

    • @dayasonkibawa274
      @dayasonkibawa274 7 месяцев назад

      Wazungu wanyama sana wanatugombanisha waafrica tuuwane wenyewe

  • @kolinbaguma6247
    @kolinbaguma6247 7 месяцев назад +1

    Ule ni njinga mkubwa atakimbia

  • @jepibier
    @jepibier 4 месяца назад

    Hacheni fujo zenu nyinyi. Yote muyasemayo ni propaganda za Rwanda na Uganda .

  • @NewwaltersKamara
    @NewwaltersKamara 6 месяцев назад

    Don't allow someone to paying with your family or your country

  • @petersimba3663
    @petersimba3663 7 месяцев назад +1

    Hawa majama dah kwa kweli congo kazi wanyo m23 inaonekana wanajiamini sana

  • @AkyamsNassor
    @AkyamsNassor 7 месяцев назад

    Hiyo ni dharau kwa wanajeshi wasaliti

  • @tresorbin148
    @tresorbin148 6 месяцев назад

    We are not negotiating with Terrorists…

  • @ZaireMudeba-lx8pt
    @ZaireMudeba-lx8pt 7 месяцев назад

    Unashangaa nini sasa wewe unaye pigana unaitaji nini wewe kibaraka utatafuta sehemu ya kujificha umekuwa kama telecomande utasikia aibu wewe mujinga weeee

  • @AlexMakungu
    @AlexMakungu 7 месяцев назад

    Sasa nyie Marekani huko munafata nn si mtulie na inchi yenu

  • @HashimTibahwa-gl1jy
    @HashimTibahwa-gl1jy 7 месяцев назад

    Ni wakati sasa ma Rais wa Afrika kuacha uoga na unafiki, kumpiga kibaraka wa wakoloni KAGAME

  • @nizigiyimanabaruani4590
    @nizigiyimanabaruani4590 7 месяцев назад

    Huyo bwana anafkiri wakongo ni wajinga wasiokuwa na akili, hao ni wauwaji wasiokuwa na imani ya wakongo.

  • @peterjamskaila534
    @peterjamskaila534 7 месяцев назад

    Huyu ni mpambavu sana ...Willy ngoma ni mbwa ya kagame

  • @didoniwa4206
    @didoniwa4206 7 месяцев назад

    kama ni hivio basi honesha hiyo mikataba ambayo mulisahini na rahisi wa congo, na kwa nini rwanda ikataye maana jeshi la rwanda njo limeteketezwa kwenye shamba la vita? na bahadhi ya macomando mahiti zawo simepatikana kwenye mapambano wakiwa na sare la jeshi la rwanda? kagame haja wayi kuku bali chocho te.

  • @nshimiyimanaaaron1347
    @nshimiyimanaaaron1347 6 месяцев назад

    M23❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PandaKakozi-n9i
    @PandaKakozi-n9i 7 месяцев назад

    Sasa kama ni wa Congo mbona wanahuwa wa Congo simbongo hiyo.

  • @shukurukaheja8605
    @shukurukaheja8605 6 месяцев назад

    Ninyi ni wavamizi hamna wacongomani hapo

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад

    Tena wily Ngoma wewe una kanusha Kagame siyo anaye wasapoti. Unataka kumudanganya nani aside kuwa na Akili?

  • @humanrescue7946
    @humanrescue7946 7 месяцев назад

    Wongo mpupu, siku moja utalipa weye ngoma

  • @user-qp5tv1sc9d
    @user-qp5tv1sc9d 6 месяцев назад

    Willy ngoma nimutu wa bongo

  • @uwezojaninosgospelartist1432
    @uwezojaninosgospelartist1432 7 месяцев назад

    Wataisha wote M23 na Kagame kibaraka wa wazungu.

  • @assaningyoku5948
    @assaningyoku5948 7 месяцев назад

    Willy wewe na wenzako ni wanyarwanda .ulikuja kama mkimbizi

  • @ngematv7900
    @ngematv7900 7 месяцев назад

    Kama nyie ni wakongomani kwa nini kupigana na jeshi la Kongo? Mazungumzo gani mnapenda nyie raia gani mnaotetea kama sio wanyarwanda

  • @Faizimalembe
    @Faizimalembe 7 месяцев назад

    Kama uyo ni mu Congomani kwanini washihishi kama wa Congomani?, kitakuwa aje mu Congomani ata ongeya na mucongomani mwenziye, munyarwanda Acha kuongeya uongo

  • @omarymachela5298
    @omarymachela5298 7 месяцев назад

    Marekani si muondoke katika Nchi za watu wavinja Amani wakubwa nyinyi

  • @assaningyoku5948
    @assaningyoku5948 7 месяцев назад

    Maimai itawamaliza

  • @Askari22
    @Askari22 7 месяцев назад

    Hawa Jama wasenge wanaua watu eti wanataka amani acha mda wao unahesabia

  • @PandaKakozi-n9i
    @PandaKakozi-n9i 7 месяцев назад

    Nyiye iko siku tutawabiga mpaka Rwanda

    • @muhirefiston83
      @muhirefiston83 7 месяцев назад

      Kwani hio siku hai fiki ?😂😂😂 Wazairwa mbule kbx.

    • @muhirefiston83
      @muhirefiston83 7 месяцев назад

      Sisi tunawagoja mujarimbu tu kuja kwetu Rwanda mutaona majambu mujawai ona .

  • @ismailiramazhani3570
    @ismailiramazhani3570 7 месяцев назад

    Hawa wazungu ndo mashetani wa kubwa

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 7 месяцев назад

    M23 nyinyi ni wahuni tu hamna lolote.

  • @MutabaziKahota
    @MutabaziKahota 7 месяцев назад

    rais akatale kabisa kuongeya namagaidi

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 6 месяцев назад

    Maliza M23 hao

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад

    Kwa nini wa hutu wa Nyarwanda hawasemi kama Congo ni yao

    • @sanosanamilele4017
      @sanosanamilele4017 7 месяцев назад

      Inaonekana haujuwe kile unacyo sema; Rucyuru na Masisi kuna muungano ya wacongamani kutoka kabila la wahutu,na serkali yenyewe inajuwa huyo mukutano;na wenyewe wanajijua kuwa wa congomani,na katika m23 kuna majeshi mengi kutoka kabila la Wahutu.Ndungu yangu shida kubwa ni ukabila,hawa wapiganaji wa m23 na serkali ya congo inafahamu vizuri yakuwa ni wa congomani.Serkali hijawayi kusema yakuwa jeshi la 23 siyo wa congomani.Na waliyo kata mipaka wakati wa ukoloni wanajuwa vizuri ya kuwa rucyura Masisi na Mulenge kuna wacongomani ambao wananena kinyarwana.

  • @taremwageorge8167
    @taremwageorge8167 7 месяцев назад

    M23 itarekebisha kisekedi tu

  • @solidground2045
    @solidground2045 7 месяцев назад

    Wewe mujinga, subiri kabisa saha yako iko mfupi

  • @user-lf6jq9rp7y
    @user-lf6jq9rp7y 7 месяцев назад

    Bamwizi auna muko,gomani nyama

  • @omarasif6083
    @omarasif6083 7 месяцев назад +1

    Mm naona bora drc ijiunge na urusi ili wapate uwafueni maana wale ma beberu ndio wanasaidia wale magaidi kuendelea kuiba mali ya drc

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 7 месяцев назад

      Unaweza kutoa ushahidi? Mbona msemaji wa M23 amesema hawafadhili na mtu? Adui wa Africa hayuko nje, yuko ndani. Africa usimtafute mchawi. Mchawi ni wewe mwafrica…

  • @joycekundo-uu5su
    @joycekundo-uu5su 7 месяцев назад

    Mume uwa wa kongomani wengi saaana na kubaka wa Mama na wa dada wa kongomani. Na kupora Mali za Congo. Nyinyi ni watoto wa shetani kabisa

  • @apolovhk5549
    @apolovhk5549 7 месяцев назад

  • @b-brightakapella7734
    @b-brightakapella7734 7 месяцев назад

    Na bado mtokwisha nyooote

  • @user-rp6tp6gh2m
    @user-rp6tp6gh2m 7 месяцев назад

    Kumanyoko zenu

  • @benedictmtiganzi3532
    @benedictmtiganzi3532 7 месяцев назад

    Majo William Ngoma anajiamin sana na tena wanajiita wao n professional hawaogopi chochote
    M23 songa mbele endeleen kudai haki zenu bhana.!?

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 7 месяцев назад

    Wily utakimbia haujaona vita wewe nigaidi

    • @Askari22
      @Askari22 7 месяцев назад

      Hajuwi Jama watakaangwa naskia fununu kua Wagner wanataka kulamba diri

  • @jean-pierrebatumakongo4957
    @jean-pierrebatumakongo4957 7 месяцев назад

    Tu es un menteur. Tu finiras très mal. Si tu dis que le Rwanda ne soutient pas le M23 et pourquoi il bcp de deuils au Rwanda des officiers? Il y a des entrées massives des ougandais, viennent-ils aider qui?