Bongo Star Search 2021 Audition Arusha Ep1 FULL SHOW
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Been eagerly waiting for this ,,,,, but finally its here ...lets do it ....KENYA REPRESENTING 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kucheka mutiye mbali munawarudisha nyuma sana wabwenge nyiye bora wa marikani wakisema nono wakisema yes yes wabingo shida
Madame Rita barikiwa kwa kujitolea kusaidia selekari ya Tanzania kulea watoto wa inchi,,
I am a great fun from Kenya. I looove the new host, she is such a vibe!
Haya makazi sio makande banaa hujasikia fresh
Mze wa sambusa nimempenda sana sana
Mimi nimependa kizazi Katili Hapo ''Shuka baba la baba la mababa, vibe yao imetisha
Keep on updating guys i laughed in while bong star search never die from 🇧🇮🇧🇮
Wamagitaa mmetisha mpo vzr aise kazeni buti
For me master J is more black and white than the others 🙌🏾🙌🏾
WONDERFULY SANA MNAINGIAJE NA ALA ZA MUZIKI KAMA MAPAMBO INASHANGAZA SANA.MUNGU AWABARIKI SANA.
Hawa judges hawana chills 😂😂😂 yaani hapo hapo wimbo haina mvuto 😂😂😂😂 much love from 🇰🇪🇰🇪
RITHA MADAM YOU ARE A GOOD DECISION MAKER MASTER J ANAJIBU KIENYEJI SANA ,HAJIBU KITAALAMU LAZIMA MUWAPE NJIA WANAKOSEA WAPI NA WAFANYE NINI?
This should be a comedy show😂😂😂too funny
Mashallah madam Rita kila siku u look young 👍
Weeeeee mbn mzeee
Wao wanamuogopa sana Salama na Mr J
Nilichokigundua BSS ukienda na Guitar 🎸 chance ya kupita mchujo ni kubwa sana kuliko ukienda mkavu
I love this all the best to judges and upcoming singer
254 well presented looove the vibe miss mina
Tunafurahia kwa kuanza kutupostia hapa RUclips Episodes za BSS... Thanks and much love
🥰🥰🥰me pia
If you miss Idris piga hii comment a like
Yaani nacheka ivi vituko umu
Yule baba mwenye matatzi ya macho anajua kuimba anaimba kama Pro. Jay ila wamemkatili
Jamani hapa nilipo nimecheka vyakutosha
jamaa wa sambusa anajuaa,.
Wooyoooooo idrisss bhn😂😂😂😂anachekesha
I really liked the sambusa guy. Wangempa chance
Salama upo vizuri
Abdalla Oyeeee🤣🤣🤣
ARUSHA MNATUTIA AIBU SANA KUIMBA HAMUWEZI NI SHIDA SANA.MSI TAKE EASLY JAMANI HAMUWEZI MBONA TUNA SEHEMU NYINGI ZA MAZOEZI.HONGERENI KWA KUJARIBU.
Uyu mwengine sasa...Duuuh....Halafu kuingilia maisha binafsi hayakuhusu🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Washindi tunaweka wap mizigo😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Nmecheka kifalaa😁😁😁
Tunaomba muwe mnatuekea youtube hizi episodes @Bongostarsearch
naangalia kwaajili ya salama jabir
😂😂😂tuko pamoja
Minah Ally I love yuuuu forever
kachukue begiii😂😂😌da salam nacheka
Dah... Jamaa kaitwa bikira bana😂😂
Would love to say that this ain't really a talent search show but more of a time management gig.... 😊😊str8 outta 254
Arushaaaaa
Mbona watu wengine wanaweza lakini mnawaacha
THE GUY WITH DE GUITAR WAS OKAY!!!
"Sambusa me nnayo sna haja ya sambusa" 😅😅 salama
Mkaanga sumu salama Jabir
Huyo salama anazengua kabisa
Kenyans take this as comedy🤣🤣🤣....cant take Tanzanian's seriously ong🤣🤣🤣been laughing for 30 mins straight
kwa yule mdau wa nerea, aliemuita bikira, salama ndo amezingua, alitakiwa aendelee kuzungumza hata kama mchizi ameonesha kuchekeshwa na kauli zake kwa sababu hata wao huwa wanawacheka sana vijana wanaofanya perfomance hapo hatakiwi kupaniki kwa sababu yeye ni jaji ili asije poteza ndoto ya mtu.
Salama jalank utaua watu hahahahah nimecheka sana
Mbona mnawatoa watu wanaojua
Awa Judges awana vigezo vyakuwa ma judges...... Upuuzi mtupu.
Anamuona Salama
Kumbunguza ukali
Ila wabongo bana. Sasa unaulizwa swali badala ya kujib unaomba chance. Alaf jaman confidence ndio kila kitu Salama hana shida ni uoga tu wa watu
Salama is just a vibe🤣🤣🤣
Nimefurahi kuwaona tena
Dogo janja 🥰🥰🥰🥰 kaweza mnooo
place to relieve my stress🙄oooh thank you🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Master J unazingua sana
Ntalaaaaa naaaaa aweeeeeee
Mamuombea salama atoweke kwa kipindi hiki
The sumbusa guy is very Humble
👌👌👌👌👌
Mmmh Hutu atakuwa mchaga tu kaja na godoro. Atakua tu ameamua kuhamia kwa master J
Ommy you have a good heart 🥰
washindi tunaweka wapi mizigo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
For what I know salama sio kuwa ana gubu ni magonjwa wa psychological problem hii inasababishwa na msongo mkubwa wa mawazo "salama please try to have fun do things you really like in this world kupunguza hasira watu watazid kuogopa kuja kuonesha uwezo wao"
🤣🤣🤣🤣
Sasa mtu anakuja na tauro unategemea umjibu nn achen kulalama
Idriss yuko wapi jmn,maana alifurahisha sana
Moto moto
Thnx zote tuwekeeni
Vipi
Jamani wasambusha yupo vizur mpeni kura yake Tu
Master J ni comedian aliyejificha..! Comments zake nazifuatilia sana
❤️🙏🙏💪💪❤️❤️❤️💯💯🔥🔥
ASHA short film (teaser)
Majaji hawakumsikiliza vzuri hassan
Lakini ujama wasambusa anaweza
Mnachelewa jamani kuweka video
Yaaan meena Ally ,,,apo sudy brown wa Arusha nae akhajhaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Guiter i love you😞❤❤❤
Salama. Umeuwa ulivyopiga simu na kumwambia akapumzike nyumbani
Master unaogopa kurogwa??mbona mikono kwenye koti,hata kuwapa tano mashabki👋👋
Salama sio wewe tu unofurahi mimi hucheka mpaka jamaa wanafurahisha
Ila salama😂😂😂😂
Kumekucha uku
Dar Arusha kuna vichekesho dar atari hakuna waimbaji aise mmefeli
0137 YUKO VIZURI ANAJITAHIDI WAAMUZI HAWANA UTULIVU HATA KIDOGO.KUWENI MAKINI WATIENI MOYO.>AMEN
James abraham
Haki vile mmenimalizia bandle langu sijapendra😂
hapa hakuna majaji, yupo mtu anaitwa inonccent nganyagwa kwangu ndo best kwwa ujaji
Weee salama wee sambusa unayo !!!???
Judges😃😃😃😃
funika katumbo kabaya akoo
Kingreza
Amna majaji apo yn majaji wenyewe mikundu tu maana kuna waatu mmewatoa na wametisha na mmewapitisha mambege
Mzm ww jaman nikuone kidogo bas ata picha nitumie picha yako ya wasap ipi ndog kubwa sanaa umeolew
Washindi tunaweka mizigo wapi?😄😄😄😢
Huyo Dada anae ita walinzi anajiskia nahana lolote bureee
Master anasema hakuna haja ya kuwa na magita matatu namna hiyo
TIZAMA HAPA SEASONI ZA LOVE STORY KWA KISWAHILI SINA MAMBO MENGI GUSA HAPA ruclips.net/video/nY6Rn2x9JVo/видео.html
Salama hana muhali anakupiga tu
SALAMA ni MKOROFI Even kuliko hata masterjay ila huwa yuko kwenye upande sahihi maana huwa ampitishi mtu kwa mihemko
41:00 salama😂😂🤦♂️