Bongo Star Search 2012 EP 5 DAR ES SALAAM
HTML-код
- Опубликовано: 1 дек 2021
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Развлечения
....ila host wa saivi ni moto aisee! Idris alikua poa ila naona Meena Ally iko natural zaidi ambayo inafanya iburudishe zaidi! Keep it up aiseee
Gonga like za mina❤️, BSS ya ths round ni moto, nikiwa Qatar na burudika tu na bss
Yupo vzr minaa kiukwel
Meena ally big up kwako unajua mpk unaudhiiiii ♥️♥️♥️♥️♥️
Me nimpenz xn wa bss naangalia Ep kwa kupitia RUclips kutokana na kukosa mda wakuangalia kwenye tv, but mnachelewa xn kuziweka mnatunyima raha kwakweli maana tunasubiria mpk bc, ndio kwanza Ep ya 5 nawakat kwenye tv mko mbali now, natumai mtatuangalia nasisi ahsante.
This woman makes this season look good....Meenah Ally
Big
So true yupo vzr
🇨🇦Host Mc ni high level sanaaa…✌🏿
Ahahahahahaha!! Mweny roho mbaya yupo 🤣🤣 assistant mweny roho mbaya 🙌🙌
Mwendo wa buruuu buruuuu ... Madam rita is soo unexpectedly funny 😀😁
The last guy his going to be the new Joel lwaga ❤️🥰🙏🏾
Salama na kihindi😂😂😂❤❤❤.
Bangi za tanzania ni another level duh
Natoka kenya,napenda BSS sana
Asa mbona mmeweka mwaka 2012????
si tupo 2021
Madam Rita mbona huwaga na heshima Sana
Nimempenda uyo dada bure @ “Mamylo acha tu kazi n kazi siunajua”🤣🤣🤣
Ila salama na omy dmpoz 😅😅
Ommy nampenda mm haboeshi kwa hii show😂😂😂😂😂
Gasper is a humble Big Star na atawasumbua mtaniambia
Hiyo nyimbo aliyoimba inaitwaje broo jina lake na kaimba nani
Kwema
Majudge mnakosea sana … hamuwapi washikilishi nafasi … kazi yenu kuwasema out of point …. Msikilize washiliki … mnawaondolea confidence … kuweni serious … mjitahidi kuencourage participants … I submit
Meena Ali with the '' ching channnhuuuu kwenye nguo yako cninnnnn nhauooo jaky chan''' 🤣🤣🤣🤣🙌Damn I just love her vibe!!❤
Aliyeimb kihind kanikosh
Koba mwandishi......na juma kauwa. i wanna see juma again katika dakika ya 48 kwenye hii video.........Baada ya bss... Nitamdhamini dogo kurekodi hiyo nyimbo au huo wimbo kwa producer of his choice... nitafute kwa email au reply kwenye hii comment. i love the song, i wanna hear it on a record.
Congratulations keep it up good job ❤
Aslay mwengine huyu hapa let's gooo Abdul kadili one love baby brother ✌
An mpk salama kpig makofi
Mwendo wa buruuu buruuu😂😂😂😂 bongo sihami
Wooow uyo abudul Ana juwa saana ❤️❤️❤️❤️❤️🇨🇩 narudiya apo Mara 4
Mbona kama izi video mnarudia rudia
Bryson is a hella handsome
Kumbe nyinyi km mimi sipendi mtu mwenye kuburuza miguu. Hiyo ni dalili ya mtu mvivu! Manake ht miguu yake anaona mizito
Has nothing to do with the Music … hayo n maisha ya mtu binafsi …. Hyo ni attack … na unamnyima mtu haki na aman ya kukuonesha kipaji chake ….
Gasper ni handsome 😍
Salama unaswaga za kitom lakini ningekuwa karibu wewe mke kabisa!
Unavijimambo flani kama katoto hv…😘
Jamani
Jamani wimbo wa huyu mtoto ungetakiwa uwe kwenye radio
Majaji sometimes wanapotezea mwelekeo washiriki mtu anaimba anakatizwa anaanza kuongeleshwa kisha anaambiwa endlea khaa!
Salama ckuiz Anachemka had raha😆😆
Host unanifurasha sana😹😹nimekupenda bure🥰
Nampenda Sana brayson jamn jamn
Shetani killed me😹😹😹😹🚼🚼🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Huyu madam hebu muwe mnachukua video full tuone banaa ana miguu fulan hivi amazing kama anashawishi sometimes 🤗🤗
Ujaji kz jaman some times ujui ata uamue nn.mm nicngewez kweliii
Gasper remind me hart the band
Mmeandika bongo star search 2012 badala ya kuandika 2021
The last guy is a star🔥🔥🔥
Nmestuka 2012 khaaaa
🤣🤣🤣🤣😂😂Madamu Rita eti shika hii hapa ufanye Tango😅🙌🙌
Ila salama et chupa imeamka na chai hii binti wa 56:00 😁😁😁🙌🏻
Idris sultan ndo tunamtaka
Acha kukatish tamaaa watu bas nenda kahost ww mbona mina anafny vzr ko unataka mina akale kwenu 😏😏😏😏
Leo salama ana mood nzuri😅😅🤣
This show could have gone far but with this kind of judges, apart from Rita the rest are jokers tbh🤦 and BSS will remain only in TZ.
Just judge & do your work, stop body shaming and speaking ill to contestants .
You took the words right out of my mouth. they are bunch of bullies with no talent what so ever.
Jamani wimbo wa huyu mtoto ni mxuri
There is a small mistake , wrote 2012 instead of 2021
hii nyimbo 49:03 inaitwaje dogo anaimba vizuri kinoma
Watoto wa Dar pasua kichwa
Ommy huyo Dem wa Gari mmemuonea
anasound kama nandi tu
2012 au 2021 editor umevuta bangi ya wapi
Wapi Idris muna zingua
Hii nchi inavijana wa hovyo sana
Shetani alifuata tu elfu 10 😂😂😂😂
Dogo n Moto nyimbo Kali alafu yake nomaaa sn
😕😕😕…MTAONA HIYO TAREHE 11 😌😌😌 .., Red Arrows wame wapapasa ni tuta wakuna
The girl at 45:05 she's special😍
Yeah , binafsi nimemkubar pia … ndio best performer wa hii EP 5
Why 2012
Kihindi cha Salama nime🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sana
Shangazi ujambo? Mbn unabuluza viatu ivyo shekhee😂😂😂😂
akii🤣🤣🤣🤣kwenye hii dunia kuna wa2 wana usubutu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣53:28
Sio kwamba kuna shida pahara 😂
How ilove salama😍
sasa ata kama ndo amerudi ndo avae nguo zile zile jmn 35:20
Rita u re Right
The last one is the real definition of crazy
Abdul remind me of aslay
Awo ambao Wamechagulia kuliko uo kijana Gaspa ni wanani? Kijana anajua
huyu gasper ndo mshindi labda muibe tu..... the guy is very talented
Hiyo nyimbo aliyoimba inaitwaje
Bss iletwe Kenya nmechoka kujugde nikiwa mbali
Dar mizinguo sana vipaji vichache mnooo
49:20 kaka anaimbaaaaaa
2012 JAMANI MBN HVYO
2012 au season 12
2012?
Madam litha una roho nzur unajielewa
Kwa kweli ata mimi mburuza viatu Simpendi mtu unatembea kama unasukumwa
Meena Aly nakupenda Bure tyuu
Nani kaona muandishi kaandika 2012 hahahahahah
But then the babe in yellow😂😂😂😂😂tumpe A for confidence.
Dakika 50:40 Wekeni Mcheke😂🤣 Hivi Vijana wako sawa kweli jamani.. Daahh...
Ngoja nicheke 😂
Tunavijana wahovyo sana 😂😂😂
😅😅😅😅Salamaa Huishiwi maneno
Yaani angekuwa judge hapa marekani na hiyo kiburi, dharau, na kutosikiliza watu huyo salama angekuwa kashapigwa risasi.
Bss 2012 tenaa 🙄🙄
mina♥
the last one anaimbaa mpk basiiii
Hii nchi ina vituko nyie🤣🤣🤣🤣
Hawa wakuvaa green na matyre miguuni wamenichekesha sana
58:39 this guy from UDSM😲😲😲😲
Ni student !
Nishamkumbkaa nlumuonagaa kwnyee show na ww udsm nn ?
Duly umetisha
Ommy amecheka taa taa🤣🤣🤣
Kindly edit 2012 to be 2021
mimi nakuja tu kuondowa stress apa🤣🤣
mbona ommy hajamwambia masai asimsalimie jmn ommy wew??!🤣🤣🤣
Ila shetani 😂😂😂😂😂😂😂
Ila tango jaman😂😂😂😂😂
2012???