Bongo Star Search 2012 EP 5 DAR ES SALAAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 дек 2021
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 183

  • @enockmakere1185
    @enockmakere1185 2 года назад +15

    ....ila host wa saivi ni moto aisee! Idris alikua poa ila naona Meena Ally iko natural zaidi ambayo inafanya iburudishe zaidi! Keep it up aiseee

  • @l.hphotography6648
    @l.hphotography6648 2 года назад +19

    Gonga like za mina❤️, BSS ya ths round ni moto, nikiwa Qatar na burudika tu na bss

  • @nicholausjackison7729
    @nicholausjackison7729 2 года назад +6

    Meena ally big up kwako unajua mpk unaudhiiiii ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @abdulrahmanjuma6805
    @abdulrahmanjuma6805 2 года назад +1

    Me nimpenz xn wa bss naangalia Ep kwa kupitia RUclips kutokana na kukosa mda wakuangalia kwenye tv, but mnachelewa xn kuziweka mnatunyima raha kwakweli maana tunasubiria mpk bc, ndio kwanza Ep ya 5 nawakat kwenye tv mko mbali now, natumai mtatuangalia nasisi ahsante.

  • @sambusession
    @sambusession 2 года назад +18

    This woman makes this season look good....Meenah Ally

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 2 года назад +7

    🇨🇦Host Mc ni high level sanaaa…✌🏿

  • @magrethhenry7197
    @magrethhenry7197 2 года назад +4

    Ahahahahahaha!! Mweny roho mbaya yupo 🤣🤣 assistant mweny roho mbaya 🙌🙌

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 года назад +6

    Mwendo wa buruuu buruuuu ... Madam rita is soo unexpectedly funny 😀😁

  • @ElinaErasto17
    @ElinaErasto17 2 года назад +13

    The last guy his going to be the new Joel lwaga ❤️🥰🙏🏾

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 2 года назад +9

    Salama na kihindi😂😂😂❤❤❤.

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 2 года назад +3

    Bangi za tanzania ni another level duh

  • @nickmutorospecialist1772
    @nickmutorospecialist1772 2 года назад +5

    Natoka kenya,napenda BSS sana

  • @silvermediatz
    @silvermediatz 2 года назад +3

    Asa mbona mmeweka mwaka 2012????
    si tupo 2021

  • @MULLAMUSICWORLDWIDE
    @MULLAMUSICWORLDWIDE 2 года назад +9

    Madam Rita mbona huwaga na heshima Sana

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 2 года назад +1

    Nimempenda uyo dada bure @ “Mamylo acha tu kazi n kazi siunajua”🤣🤣🤣

  • @doreenmathew165
    @doreenmathew165 2 года назад +6

    Ila salama na omy dmpoz 😅😅

  • @halimahashim9891
    @halimahashim9891 Год назад +1

    Ommy nampenda mm haboeshi kwa hii show😂😂😂😂😂

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 2 года назад +8

    Gasper is a humble Big Star na atawasumbua mtaniambia

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter 2 года назад +5

    Majudge mnakosea sana … hamuwapi washikilishi nafasi … kazi yenu kuwasema out of point …. Msikilize washiliki … mnawaondolea confidence … kuweni serious … mjitahidi kuencourage participants … I submit

  • @sashapendo4907
    @sashapendo4907 2 года назад

    Meena Ali with the '' ching channnhuuuu kwenye nguo yako cninnnnn nhauooo jaky chan''' 🤣🤣🤣🤣🙌Damn I just love her vibe!!❤

  • @jasminealmasy9666
    @jasminealmasy9666 2 года назад +3

    Aliyeimb kihind kanikosh

  • @mr45king01
    @mr45king01 2 года назад +1

    Koba mwandishi......na juma kauwa. i wanna see juma again katika dakika ya 48 kwenye hii video.........Baada ya bss... Nitamdhamini dogo kurekodi hiyo nyimbo au huo wimbo kwa producer of his choice... nitafute kwa email au reply kwenye hii comment. i love the song, i wanna hear it on a record.

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 4 месяца назад

    Congratulations keep it up good job ❤

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 2 года назад +4

    Aslay mwengine huyu hapa let's gooo Abdul kadili one love baby brother ✌

  • @furahakalase5368
    @furahakalase5368 2 года назад +4

    Mwendo wa buruuu buruuu😂😂😂😂 bongo sihami

  • @fimdasar5742
    @fimdasar5742 2 года назад +1

    Wooow uyo abudul Ana juwa saana ❤️❤️❤️❤️❤️🇨🇩 narudiya apo Mara 4

  • @khimfarawaytz6910
    @khimfarawaytz6910 2 года назад +4

    Mbona kama izi video mnarudia rudia

  • @gracelee61
    @gracelee61 2 года назад +3

    Bryson is a hella handsome

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 года назад +9

    Kumbe nyinyi km mimi sipendi mtu mwenye kuburuza miguu. Hiyo ni dalili ya mtu mvivu! Manake ht miguu yake anaona mizito

    • @elimuvisioncenter
      @elimuvisioncenter 2 года назад

      Has nothing to do with the Music … hayo n maisha ya mtu binafsi …. Hyo ni attack … na unamnyima mtu haki na aman ya kukuonesha kipaji chake ….

  • @123naenaee
    @123naenaee 2 года назад +3

    Gasper ni handsome 😍

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 2 года назад +2

    Salama unaswaga za kitom lakini ningekuwa karibu wewe mke kabisa!
    Unavijimambo flani kama katoto hv…😘

  • @salmaally430
    @salmaally430 2 года назад +5

    Jamani

  • @karenkingu5938
    @karenkingu5938 2 года назад +1

    Jamani wimbo wa huyu mtoto ungetakiwa uwe kwenye radio

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 2 года назад +2

    Majaji sometimes wanapotezea mwelekeo washiriki mtu anaimba anakatizwa anaanza kuongeleshwa kisha anaambiwa endlea khaa!

  • @vestinathobias1698
    @vestinathobias1698 2 года назад +4

    Salama ckuiz Anachemka had raha😆😆

  • @mercybeibee1961
    @mercybeibee1961 2 года назад +1

    Host unanifurasha sana😹😹nimekupenda bure🥰

  • @user-rn7kd5ul7u
    @user-rn7kd5ul7u 8 месяцев назад

    Nampenda Sana brayson jamn jamn

  • @shamsamwantum2106
    @shamsamwantum2106 2 года назад +1

    Shetani killed me😹😹😹😹🚼🚼🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @arafatsanj1287
    @arafatsanj1287 2 года назад +1

    Huyu madam hebu muwe mnachukua video full tuone banaa ana miguu fulan hivi amazing kama anashawishi sometimes 🤗🤗

  • @saidshabani7740
    @saidshabani7740 2 года назад +3

    Ujaji kz jaman some times ujui ata uamue nn.mm nicngewez kweliii

  • @yumyumtreaties2092
    @yumyumtreaties2092 2 года назад +4

    Gasper remind me hart the band

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 2 года назад

    Mmeandika bongo star search 2012 badala ya kuandika 2021

  • @tummkwawa1148
    @tummkwawa1148 2 года назад +1

    The last guy is a star🔥🔥🔥

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад +1

    Nmestuka 2012 khaaaa

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda5181 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣😂😂Madamu Rita eti shika hii hapa ufanye Tango😅🙌🙌

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +1

    Ila salama et chupa imeamka na chai hii binti wa 56:00 😁😁😁🙌🏻

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +8

    Idris sultan ndo tunamtaka

    • @rashidjoseph2624
      @rashidjoseph2624 2 года назад +3

      Acha kukatish tamaaa watu bas nenda kahost ww mbona mina anafny vzr ko unataka mina akale kwenu 😏😏😏😏

  • @RUFUS_97
    @RUFUS_97 2 года назад +1

    Leo salama ana mood nzuri😅😅🤣

  • @frahatv8613
    @frahatv8613 2 года назад +15

    This show could have gone far but with this kind of judges, apart from Rita the rest are jokers tbh🤦 and BSS will remain only in TZ.
    Just judge & do your work, stop body shaming and speaking ill to contestants .

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 2 года назад +1

      You took the words right out of my mouth. they are bunch of bullies with no talent what so ever.

  • @karenkingu5938
    @karenkingu5938 2 года назад +1

    Jamani wimbo wa huyu mtoto ni mxuri

  • @nickyciza
    @nickyciza 2 года назад +3

    There is a small mistake , wrote 2012 instead of 2021

  • @jean-claudegowelle6910
    @jean-claudegowelle6910 Год назад

    hii nyimbo 49:03 inaitwaje dogo anaimba vizuri kinoma

  • @producermikmer8283
    @producermikmer8283 2 года назад +3

    Watoto wa Dar pasua kichwa

  • @burudikanamaruma8950
    @burudikanamaruma8950 2 года назад +4

    Ommy huyo Dem wa Gari mmemuonea

  • @petersume2780
    @petersume2780 2 года назад +3

    2012 au 2021 editor umevuta bangi ya wapi

  • @mwamitimote4539
    @mwamitimote4539 2 года назад +4

    Wapi Idris muna zingua

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe8280 2 года назад +1

    Hii nchi inavijana wa hovyo sana

  • @Jomba-lao
    @Jomba-lao 2 года назад +4

    Shetani alifuata tu elfu 10 😂😂😂😂

  • @angelmfinanga2354
    @angelmfinanga2354 2 года назад

    Dogo n Moto nyimbo Kali alafu yake nomaaa sn

  • @khamiskusaga263
    @khamiskusaga263 2 года назад +1

    😕😕😕…MTAONA HIYO TAREHE 11 😌😌😌 .., Red Arrows wame wapapasa ni tuta wakuna

  • @abdihakimaden362
    @abdihakimaden362 2 года назад +5

    The girl at 45:05 she's special😍

    • @elimuvisioncenter
      @elimuvisioncenter 2 года назад +1

      Yeah , binafsi nimemkubar pia … ndio best performer wa hii EP 5

  • @dagomuller2369
    @dagomuller2369 2 года назад +2

    Why 2012

  • @brownsebastianmwibi5647
    @brownsebastianmwibi5647 2 года назад +2

    Kihindi cha Salama nime🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sana

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +3

    Shangazi ujambo? Mbn unabuluza viatu ivyo shekhee😂😂😂😂

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 2 года назад +5

    akii🤣🤣🤣🤣kwenye hii dunia kuna wa2 wana usubutu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣53:28

  • @shufaaabdulhakim7311
    @shufaaabdulhakim7311 2 года назад

    How ilove salama😍

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 2 года назад +2

    sasa ata kama ndo amerudi ndo avae nguo zile zile jmn 35:20

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 2 года назад +1

    Rita u re Right

  • @alicewaruhiu111
    @alicewaruhiu111 2 года назад +1

    The last one is the real definition of crazy

  • @yumyumtreaties2092
    @yumyumtreaties2092 2 года назад +2

    Abdul remind me of aslay

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 2 года назад +1

    Awo ambao Wamechagulia kuliko uo kijana Gaspa ni wanani? Kijana anajua

  • @mwamakeladavid3650
    @mwamakeladavid3650 2 года назад +1

    huyu gasper ndo mshindi labda muibe tu..... the guy is very talented

  • @selinakioko3085
    @selinakioko3085 2 года назад +1

    Bss iletwe Kenya nmechoka kujugde nikiwa mbali

  • @gtunewaves2867
    @gtunewaves2867 2 года назад +3

    Dar mizinguo sana vipaji vichache mnooo

  • @sonnierloise3351
    @sonnierloise3351 2 года назад +2

    49:20 kaka anaimbaaaaaa

  • @AH-RHON
    @AH-RHON 2 года назад +1

    2012 JAMANI MBN HVYO

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 7 месяцев назад

    2012 au season 12

  • @winjy2k
    @winjy2k 2 года назад +2

    2012?

  • @fatumajumanne4453
    @fatumajumanne4453 2 года назад +3

    Madam litha una roho nzur unajielewa

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 2 года назад +1

    Kwa kweli ata mimi mburuza viatu Simpendi mtu unatembea kama unasukumwa

  • @aminazuberi7165
    @aminazuberi7165 2 года назад

    Meena Aly nakupenda Bure tyuu

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 2 года назад +2

    Nani kaona muandishi kaandika 2012 hahahahahah

  • @tummkwawa1148
    @tummkwawa1148 2 года назад +1

    But then the babe in yellow😂😂😂😂😂tumpe A for confidence.

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 2 года назад +2

    Dakika 50:40 Wekeni Mcheke😂🤣 Hivi Vijana wako sawa kweli jamani.. Daahh...

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j 2 года назад +1

    😅😅😅😅Salamaa Huishiwi maneno

  • @lehanilezo8059
    @lehanilezo8059 2 года назад

    Yaani angekuwa judge hapa marekani na hiyo kiburi, dharau, na kutosikiliza watu huyo salama angekuwa kashapigwa risasi.

  • @mwendwamjukuu9468
    @mwendwamjukuu9468 2 года назад +1

    Bss 2012 tenaa 🙄🙄

  • @Zawadi-1
    @Zawadi-1 2 года назад +2

    mina♥

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 2 года назад

    the last one anaimbaa mpk basiiii

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 2 года назад +1

    Hii nchi ina vituko nyie🤣🤣🤣🤣

  • @jacklinemzenge6076
    @jacklinemzenge6076 2 года назад

    Hawa wakuvaa green na matyre miguuni wamenichekesha sana

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo 2 года назад +4

    58:39 this guy from UDSM😲😲😲😲

  • @mdentertainmenttz124
    @mdentertainmenttz124 2 года назад

    Duly umetisha

  • @mikiboy4057
    @mikiboy4057 2 года назад +1

    Ommy amecheka taa taa🤣🤣🤣

  • @evaristmunaku5526
    @evaristmunaku5526 2 года назад +1

    Kindly edit 2012 to be 2021

  • @estherbebe2303
    @estherbebe2303 2 года назад

    mimi nakuja tu kuondowa stress apa🤣🤣

  • @rosemaryyahwe5887
    @rosemaryyahwe5887 2 года назад +1

    mbona ommy hajamwambia masai asimsalimie jmn ommy wew??!🤣🤣🤣

  • @marthamshana6942
    @marthamshana6942 2 года назад +3

    Ila shetani 😂😂😂😂😂😂😂

  • @sarakawawa8272
    @sarakawawa8272 2 года назад +1

    Ila tango jaman😂😂😂😂😂

  • @celestineasifwe9659
    @celestineasifwe9659 2 года назад

    2012???