Mocco Genius feat Alikiba - Mchuchu (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 17 апр 2024
- Music by Mocco Genius featuring Alikiba performing ''Mchuchu" (c) 2024 Imagination Sound & Kings Music Recoords Label.
Stream/Download:ziiki.media/Mchuchu-MoccoGenius
All Profile link Click here:linktr.ee/moccogenius
Listen to Mocco Genius on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/moccogenius
Apple Music: / mocco-genius
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / moccogenius
Spotify:open.spotify.com/artist/0qR7J...
Deezer:www.deezer.com/us/artist/4998...
Connect with Mocco Genius on Social Media:
Instagram: / moccogenius
Facebook: / moccogenius
Twitter: / moccogenius_
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
Record Label:kingsmusicrecords.com
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2024 Imagination Sound.All rights reserved.
#MoccoGenius #Alikiba #Mchuchu - Видеоклипы
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri kingsmusic
Daah tamu sana hii
I wont force my kids to love alkiba ,,they have to choose between listening or leave the house ❤❤ love it gonga like hata 10
😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Let me go to check where I saw the similar comment dropped.
Twin comments😂😂😂😂
😅😅😅
In Africa,, East Africa their is only on King,,, And the king is Alikiba..... Kama kuna mtu ywakubaliana na mm gonga like hapo
Mimi sikubaliani nawewe
In Africa,, East Africa thier is only One King,,,, And the king is Alikiba... Kama unakubaliana na mm Gonga like hapa.....Big up to Mocco Genius..You are a Legend.
Sikubaliani nawewe
Daaah Kiba ana melody kali sana mpaka sana tena.....yan hili jitu lingeamua kindaki ndak daaah mond angesubir sana....ila ndo ivo vitu vizur vinaonekaga kama havina maana ila mimi nakupa maua yako Broo🌹🌹🌹🌷🌺🌺
Sikupingi kak
Kiba ashindani na mtu anafanya mziki fans zake tuenjoy ayo ya fulan angesubiri unajua ww
Mwanangu,, me haya maneno nimeshayasema mpaka nimechoka yan,, kiba analaana sana daaah
Kama Unamkubalia Na Mimi Mocco Genius Ana Baya Nipeni Likes Zake 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sema hana baya sio ana baya😂😂😂😂😂
Piga
Kaka mkubwa Kiba umeweza nipeni like zenu from Qatar 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Alikiba hajawahi kukosea duh umeelewa like
Jamani anawakuli moco na ali nipeni like 👍 from south africa 🇿🇦 😊
🔥🔥🔥kama umeregelea kipande cha king Kiba gonga like moko tuzidi kuskiza Muzik mzuri
THOSE WHO ARE ERE FOR #ALIKIBA 🖐🏾🖐🏾 hii kitu ni moto sana #mocco genius is a genius 🔥🔥🔥 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
nipeni likes
Huyu jamaa anajua sana,,King kiba pata Sign yake awe kwenye Label ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Yani mocco genius amilikiwe na kiba 😂
@@qwirinishao1003 sasaje
king kiba on fire#hii tamu bwana.
Haya twendeni tuipeleke no 1 🇰🇪
Wa kwanza kwenye comment, nipeni likes za 254 🇰🇪
Mbona hata mama alinia mbia kirakitu nchangu ni nchakwako wewe na kupa mchuchu moyo wngu wote na kupa mchuchu moyo wangu wotee💯💯💯🙏🙏🙏🙏
Dah. Mfalme wa bongo flevor alikiba miaka inapo zidi kusonga anazidi kukua kimziki hiyo ni hali ya hatali sana kwa dimondi
Kama una kubali yana na mimi ngoma iyi kwenye ma arusi ita ruka kwasana 🎉🎉🎉🎉
King zile harmonise..zako za juu mbona huzitumii sana sana..zile uliweka katika wimbo wa topc ulofa..🔥🔥
Kama una enjoy ili dude gonga like apa🎉🎉🎉🎉
Hii tamu bana
Nimesikiliza Kwa sekunde 30 tuu imetosha kujua kuwa hii ni bonge la Hit 🔥🔥💯💯
Daah jaman nyieee aaaah team mziki mzuri tunaenjoy sanaaa
Alikiba ni King kwa bongo. Amedumu sana kwa hii industry na bado yuko strong.
❤❤❤❤ nyimbo itafanyaa vzr sana Kali naona watoto wazur wakijimaliz
Mocco mtu hatari kabisa fundi 🔥🔥🔥👑 KINGKIBA 👑🔥🔥🔥🔥🔥
Nimeikubal san hio ngoma hongera King kiba zidi kufanya vizuri🎉🎉
King 👑 hujawai kufel, mwenye music 🎶 wewe ndo music wenyewe
Alooooo Hii Tamu Bwanaa...Mbona hata mama aliniambia Kila kitu changu Cha kwako Wewee.....🔥🔥🔥🔥
Kama unakubali kiba gonga like
Alaaah kopa kopaaa najikuta nacheza wallah.Big up ♚ kiba 254 twakupenda buree
🔥🔥🔥🔥🔥 Kama unamkubali Mocco dondosha Like
King 🤴 kiba mkali wa mziki mzuri
Ngoma kali sana duhhhhh nimependa sana
Nakupa mchuchu moyo wang wote, nyimbo bora sn
Nice job hamjawahibkutuangusha mkiwa na kiba
Ont apprécié beaucoup au Congo roi kiba
Nyie maboya mnaimba kama hamuimbi tena hatariiii sana wazeee hii song haichoshi
Ngoma Kali sana mmetisha mno mchuchu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ufalime wa crown media 👑👑👑 ninyumbani ni hatarifaya 🔥🔥
HUJHAWAI NIANGUSHA KAKA MKUBWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Wamekutana mwanafunzi na inspire wake🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🎧🎧🎧🎧
Bonge moja la Zuju flavor.. nyie kaeni mkijua Ally kiba ipo siku atafanya watu tufe kwa kuinjoy Mziki wake... 🔥 🔥 Mocco wee pia ni King music Members brother amini nachokuambia...
nampenda Alikiba kupitiliza yaani🥺🎶❤🇰🇪
High guys kipindi 2namsapot mocco genias tusimsahau na can gitaa maana na yeye ni team Kiba kindakindaki ❤❤❤❤Kiba ni km mdogo wake yule twende 2kamsapot chupa tumejipata
KUBABABAKE MOCCO UNAJUA KOTEKOTE MZAZI NA NIMELUDI SANA SANA SANA
Huyu kaka anaimba jamani dah!! This time nikija dar, nataka nitafute wapi anashow niende zangu nikaburudike mie. Dah huku sio kuimba bhana❤❤❤❤❤❤❤❤
Mocco unakua kimuziki mdogomdogo na utakua mzuri sana siku za usoni kwasababu uko karibu na fundi wa muziki @alikiba🔥
Huyu kiba anajua nomaaaaa✌✌✌✌✌✌✌✌
Huu moco na King wan combination nzuri sana duh❤❤❤❤❤
Very Nice
Ngoma kali sana🎉 Mocco feat. King Kiba 🔥🔥🔥 Hongera 💫
Ngoma Kali Xana 🇲🇿😮
Wasanii wangu❤
Kamauna mkubali alikiba au yoo au kingiba like hapa ❤❤❤
Bonge la ngoma Ladha haswa
KING KIBA MFALME 🎉🎉🎉🎉🎉 I REALLY LOVE THIS SONG
Hii ngoma inabidi serikali waipitishe iushwe farmacy maana inatibu homa mbali mbali❤❤❤
Hii combo album ifate
Like za King kiba hapa....❤
Daaaah ila King bhana acheni tu uyu jamaa...🔥🔥🔥🔥
My king kiba nakupenda rafiki yake wa ukweli
Wapi mauwa ya mocco na kiba
Kumbe nyimbo yenyewe ninzuri zaidi ivi Mara yakwanza niliipuziya lakini sasa imekuwa favority song yangu hongera sana mocco na mufalme APA ni nyumbani
Brother mocco baada ya hiii naomba muandae album ya Ngoma 10 two ukiwana na Tem king's music maana huku Dah Ni MCHUCHU KILA KONA ❤️❤️❤️
Kiba depuis la 🇨🇩🇨🇩
Ngoma kali
Nyani mzee mapafu yakijana hongera king
Mocco nakukubali.....
King Kiba the champion🇨🇩
Saaaaaaaaafi
King kama King yeeeaaa mahaba yako mazito ukiyapima❤
Wow nice
Kiukweli Kiba waga unamaneno matamu saaana
Wamekutana mwanafunzi na inspire wake🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🎧🎧🎧
Nilijua rayvanny ft alikiba
Kiba ameuwa sana❤❤❤
Massive massive 💪
King ni mmoja tu 💥💥🔥🔥🔥
Good music alive, hii tamu bwana🔥🔥🔥
Chuma kingine kwa hewa king kiba for good music na producers wangu mwenye kazi zake nzuri
Hii tamu sana
Mocco ameua sana humu ndani🔥🔥🔥
Ngoma kali sana kaka
alikiba anaimba hatar
Ngoma kali sana
Hii nayo Moko kat ya mia
Sina lá kusema,❤, king Kiba, noma
Aujawai niangusha king kiba🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Nakubal sana mocoo ukw namfalme wabongo king ,yeebabaa
Mwendo kasi
Moto
Nyimbo ya motoo haswaa❤
King ni mmoja tu🔥🔥🔥💥💥
Kiiiiing kiibaaaa the king 👑 of music no skendo no nini Musikinstrument 🥁 guitar 🎸 daahhh nouma sanaaaa
ngoma tamu king hakosei
Nikali sana
Aahaa
Yeah
Hii tamu bwana
Kompa kompa
Busu tu nazima
Mahaba yako mazito
Ukiyapima
Oooh uwezo sina
Ningekuonga madinar🎉🥰🔥
Good music
Melody💯
Combination💯
Audio💯
Verse💯
Quality💯
Idea💯
Watu wanavipaji aise
Huyo ndiye Chris Brown wa Africa 🌍