Bytar beast x Marioo x Jaivah - Ndembendembe
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2023
- Out now: Byter Beat x Marioo x Jaivah - Ndembendembe
Prod by 𝐒𝐜𝐨𝐭𝐭𝐲kay_rsa & jaymusic_za
Subscribe:
‘The Kid You Know Deluxe' out now: africori.to/thekidyouknowdeluxe
Follow Marioo:
/ marioo_tz
/ marioo_bad
/ tz_marioo
open.spotify.com/artist/4ZTqT...
/ artist .
/ thisismarioo
More from Marioo:
Tomorrow - • Marioo - Tomorrow ( Of...
Lonely (ft. Abbah) - • Marioo & Abbah - Lonel...
Dear Ex - • Marioo - Dear Ex (Off...
Naogopa (ft. Harmonize) - • Marioo & Harmonize - N...
Mi Amor (ft. Jovial) - • Marioo x Jovial - Mi A...
#marioo #ndembendembe #byterbeat #jaivah - Видеоклипы
Daa niliandika ngoma inafanana hivi hivi hiyo chorus
Nomaaaaa
Jaivah anajua atafika mbali mwamba ana sound unique 🔥🔥🔥🔥💯💯
Mario tuma video ukiwa unakata gogo
broooo🤣🤣🤣hilo GOGO
Hatari na nusuuu..🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🤣
Tunataka uno dembedembe
😊
Ngoma Kari nakubali
We marioo we daaah 😫😅 mpaka naisi kuchanganikiwa kwa hii miodoko🎉🎉🎉
Mario ww ni fala sana heti tuma video huku unakata gogo😀😀😀😀😀😀🫵🏿 hila ngoma kali sana
hiyo kali sana kweli atupe picha akiwa anakata gogo hapo penyewe
❤❤❤wakwanza. Show love p
Zzz
Yoh @marioo kak, Utatuua Bahnaa! Trending sahv inakua ya kwako, No pressure Peace and Love amn Cha mkubwa Wala mdog wote mnajua! Mziki Upigweeeeeee 🗣️🗣️🗣️🗣️ Trending +1 Mamae!
Ngoma kubwa sanaaa,congratulations 🎉
Love from Burundi 🇧🇮 All the Way in Fizzo Fans Family and BantuBwoy Entertainment
Bad ni mazishi kila siku
Hatari🎉
Ndembendembe☄️
WE bad Aujuiii
unyama badddiiii
BADI BADI BADI🕺🏾🕺🏾👑🔥❤️🇰🇪🙌🏾
Goma Kali Kuliko ❤❤❤❤
Wueeh hii moto🔥🔥
This song will never be old if u are with me I need your like 🙏
Marioo ❤❤ from Malawi Janvier
Mwamba hajawah kufeli❤❤❤
Marioo fundiii jamaniii day
Abbah Abbah Abbah 😢😢😢
gogo tena mazee
Mariooo to the world🔥🛫...haloooo...pure love from Mombasa🇰🇪
Mimi ni Moja yawatu ambao hii ngoja mbovu sana shida ya wabongo sio wasema kweli sana jmn mapiano basi tumechoka daaaah
Alafu matusi tu dah😢😢😢wasanii hawa wa siku izi mhhm
Goma kali limeweza sana gonga like kama tumeelewa hii kazi
Oyaaa weee hiii noma kuliko zote
Kali sana Bad💥💥💥
😂😂😂😂 tuma video tukuone unavyo kuwaga ukikata gogo🤣🤣🤣Alooooo🙌🙌🙌
Good nice one job ❤❤
Alooh ft Beast ft Aweeeee jaivah😂😂😂...sema jaivah kaua😂🙌
Kama umekubali kipande Cha kukata gogo like Kwa hapa❤❤
Suala la kukata gogo ni kubwa liheshimiwe😂😂
Sijaielewa😮😮
Viewer wa kwanza hii sasa moto🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
Ngoma Kali sana hii
Marioo King of amapiano in Tanzanie
Shiiiiiiiiiii bad💯
poa sana umeweza💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Ngoma mbovu saana,...rudi enzi zile za kwanza marioo
Gonga like twenzetu💥
Umeuwaaa🔥🔥🔥
Sana
Jaivaaaa
Mamaee nilikuwa nalisubili kwaamu sana😂😂😂
Hiii najua NI ya kuzima Whozuuuuuuuu na Mbosso na Bilnas😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tanzania my country
Kila mtu ako na nafasi yake. Sasa mtu asitoe mziki wake
Bongo mnapoteza mziki wenu kwa kuiga,,Amapiano ni za Zulu mnawaeka juu international #MUMEZIDI
The Kid we know....❤❤🇰🇪🇰🇪
Jaivaahhhhh!! Mnyama sanaaaa!!
Kama umelielewa Goma gonga likee🚀❤️🔥🥵
Ahh huyu jamaa hajawah kosea 🙌🙌🔥
Mtu Amshauri Marioo,Apunguze Amapiano Zimekuwa mingiii sanaa!!!
Em tulia
Tuma picha ukiwa unakata gogo😂😂😂😂🙌🙌🇲🇿🇲🇿🇲🇿🫶
Gonga like hapa kama UNAMKUBALI marioo
Ngoma kaliiiiii
Mziki Gani huu, mbovuuu😏
Nakupenda shemeji yangu marioo na mpenda dada pau
Mambo ni🔥🔥🔥🔥
Alooo wee 💥💥🔥💯 ngoma iyoo
No 1
ruclips.net/video/PfBaI4qYAP4/видео.htmlsi=Tym0ssL7I1omrdWj
Baaad wanyooshe broo💥💥💥💣
Baddeeee Haloooo
Yoh G genje 🔥🔥 kenya asapa
HAKUNA WIMBO HAPA MARIOO HAPA HAJAPIGA HIY😂😂😂
kama unamkubali marioo gonga like hapa tujuane 👍 baaad
Baaadi ❤❤❤noma🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Zikowapi like za marioo🎉❤
Oa,huyo BAD atengwee wazee ,likes hapa🎉
Uyu jaivaaaaaaaa mamaaaeee❤❤
Gonga like hapa👍kama kaz ni unyamaa💯🙌💯💥💥 na unamkubali baddest, #jaivah💥💯
Congratulations ndembendembe
Javial voice is amaizing🔥🔥
toka lilongwe city ❤❤
Marioo kawabebaa
The Beat though 🙌💯🔥🔥..... another masterpiece from aaaaloooooooh!!!💯🙌
🎉Nc❤
Jaivaa kaua
soup , yesa ,pita kule,ndembendembe
Jaivah❤️❤️❤️❤️❤️💖💖💖
Mtu Mbad 🎉🎉🎉
Big up sana naelew bana bad hajawah kufanya makosa I wish na kupata sapoti na me kuonesha vizur kipaj na ufundi nilionao katika mziki 🎉🎉🎉🎉❤
Bongofleva aiwez fika mbali kimataifa kama nyimbo zitaendelea kuwa hizi.
This day should be a national holiday 📌👌🏽
Hapa tume pigwa la kichwa😂😂😂
ABAH🤣🤣🤣🤣STOP IT!!..That bounce heavy
My man Byter. 🙌🙌🔥🔥
Hiyo seng'eng'e ni Kali na iko juu tu mbaya... like kama kawa
Toto bad huna baya❤❤
Wimbo wa Taifa
Marioo fundi kmkee walai
Byter Beast 🔥🔥🔥
Kalaiiiiiiiiii
Kenya🇰🇪 agreed 💯🎹
💥🏝💥
Ndembendembe
Kuna wengine wana Big Nyaaaash kuna wengine wana Mikeka kuna wengine wana mac book
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
tutumie pichaaaa