Mara nyingi Tunapoanza kufahamika tunaimba nyimbo zenye maudhui mazuri ya kuijenga jamii , baada ya kufahamika tunaimba nyimbo za kuibomoa na kuipoteza.(Tunaimba nyimbo za kuhamasisha ngono na ulevi) utadhani tumetumwa na Mpinga maadili mazuri!. Na Kwa bahati nzuri wanaosikiliza zaidi Muziki wetu ndio wale tunaowaita taifa la kesho...Nadhani Ni Vema ifikie wakati Tujiulize itakuaje kesho yao kabla ya kuiharibu Leo yao.
Leo nmekuwa wa kwanza nipeni like zangu😂😂😂😂Mkinga ambae sina Duka hapa #AMEYATIMBA😎
kama na msitu huna nyumbani, Omba uhamisho ukawe ata mnyakyusa
Whozu na bllnass naomba like zenu hapa chupa kali xanaaaaaaa gonga like hapa wa kwanza Leo ❤❤
Whozu and Bilnass aren't pregnant but they always deliver 🔥🙌 Banger!!!
Oyaaaaaaaaa Tanzania 🇹🇿🇰🇪 🇳🇬 let's work together
The chemistry between Whozu and Bilnass is always magic 💯💫💫💫💫
❤❤❤
@@yuzoclassic8923 OFKOZI
Oyaaa weeee ngom n kalii….mtoto kajichanganya danger day
Nengaaaaaaa nipe like 😅
Music and comedy in one place Whozuu nakutambua likes hapa kama pia yu feel me...🎉❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From Kenya 🇰🇪 😍 napenda sanaaaaa
Unapenda nin 😂
Lizwa unapenda nini
From mozambique get yours likes here🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
I'm proud of Tanzanians,they are the best at music.
Hapo kwenye aaa aaa kuna jamaa anasikika kwa mwisho ameua ❤
Nimeirudia hii ngoma mara 10 kama imenigusa vile ndomaaana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥whozu umeuwa
Si nikajua video bwanaaa aaaah
Lamotoooo mbizoooo😄
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
S2kizzy on one of his madest amapiano beat🔥🔥🔥
Bwanake wema sepetu na bwanake nandy mumeuwa wanangu nipeni like japo 10
😅
Kenya
Kwa iyo kwa Sasa tumeshakubaliana bongo ni amapiano tu! 🏃🏃🏃🏃
Sema hako kafilimbi kanakolia piripipripiiiii ni katamu kana feeling hatari nani kama unakubaliana na mimi gonga like hapa😄
Hako kafilimbi🔥🔥
Hako kafilimbi kakiiba kwenye move ya kihindi😂😂😂
@@patrickmahimbi7694❤❤❤❤❤
Hako kafilimbi kameilembesha ngoma
Kafirimbi ni kikali Mimi ndo nilimpeaga hii filimbi
this is lit..whozzu ue guud...i feel ue in trending
The song is lit🔥but the beat goes harder🎯 skizzy to the world 😇
Kubwa zaidi ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Woooiiiii woooiiiii sio poaaa🎉
Nategea nikiwa kenya malindi moto kama pasi ji song bro 🎉🎉🎉
When two legends come together we expect a banger🎉🎉🎉❤
Acha kuita hawa watoto legend ,unawakosea kina q chila
Wee hujui music sasa hapo kuna legend yupi😅😅
Mmewezaaaaaaaa maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Whozu umeyatimba kwer this is another hit.....🔥🔥🔥
Bonge la goma🇧🇮🙏🔥🔥🔥🔥
bilnas ameua sana humu ndani dah😊😊😊😊😊
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Iko sawaa keep it up
Nenga Killer I'm Proud Of You 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 , Whozu Good Job 🎉🎉🎉🎉
#Whozu ft #billnass nenga ni balaaa ⭐🔥👑✈️🌎🛫
Ngoma kali sana hiii,,nice truck 🔥🔥
Nengaaaa nakubaliii
Imetisha iyooo👌
Oyaaa goma Kali 🎉🎉🎉🎉🎉
Nyieeee naombeni like
Chuma hatari 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀🚀🚀🚀
Life iz Amayetimba
Nengaaa 🥳
❤❤❤💚💚💚💚❤❤ nyimbo kali mr whozu I love more 💚❤❤❤
Wapeni mauwa Yao jmn atareeeeeeee izo ndo vaibu sas🎉🎉🎉
Itoshe kusema this man is king of this style
Nice songs hatutoi tatzo niinii huu Wimbo hawa basataNjaa kweli
Mara nyingi Tunapoanza kufahamika tunaimba nyimbo zenye maudhui mazuri ya kuijenga jamii , baada ya kufahamika tunaimba nyimbo za kuibomoa na kuipoteza.(Tunaimba nyimbo za kuhamasisha ngono na ulevi) utadhani tumetumwa na Mpinga maadili mazuri!. Na Kwa bahati nzuri wanaosikiliza zaidi Muziki wetu ndio wale tunaowaita taifa la kesho...Nadhani Ni Vema ifikie wakati Tujiulize itakuaje kesho yao kabla ya kuiharibu Leo yao.
ohh shu marooi 🎉 nn piga pipii
Zombie eeeeeeeeh 💥
ukisikia tu "chupa limeamka na chai au sio" jua kitu kinachokuja hapo mjomba sio poa 🔥🔥🔥
What a banger🔥🔥🔥
YEZZAMAN👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻 NINGIIIAAAA😅😅
Another banger from Whozu❤️🔥
Imeenda iyooooo❤
Nakukubali mya Bro Whozu
This chemistry imeshinda vitu nilikua na mix nikiwa chuo na nilikua na mix ma concoction ngori ngori ⚗️🧪
tokoto to kototoo❤❤❤❤
tokoto to kototoo❤❤❤❤❤
Nipeni maua yao niwapekekee Kwa njia likes 🌺🌺🫂 upendo mwingi sanaa
Goma kali I say ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
tokototoko tokotoo❤❤❤❤
Kali san
Between Ameyatimba na Nyoo.. Gani Kali😂😂❤🔥💀
Ameyatimba
Nyoo😅😅😅😅😅😅😅
Noma sana
Kazi nzuri vijana wangu watanzania wenzangu
Nenga mtoto kaona geng kadhania konde😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaliiiiii....
Whozu like yo vibes big broo more love🔥🔥🔥🔥
Tunda ameachika aaaah
From mozambiq pls like for whozu🙏🔙
From Kenya: good vibes👍👍
Much luv from satafrikaaa
I see, mzigo co poa kbs...!
Whozu ngoma kali
Good vibes .....✊✊
Ngoma Kali sana, pigeni promo wazee dah
Kwa jins alivyoitendea haki hii ngoma apewe billnas
Nengaaaa 👀
Banger 🔥🔥🔥🔥
Hatareeeee
Leo nimewahi naomben ata like 10😎💯💥💥
Wa kwanza mimi like at 10 jmn
Kilimanjaro finest
Yes good DJ ❤❤❤❤❤
Whozu Kali kinoma kinoma 🔥🔥🔥
From🇰🇪❤❤
😘😘😘 ww nibora
Yeza man yeza yeza🎃
mmeuwa 💥💥💥💥💥💥
Good vibes ✊✊✊
Ameyatimba big up brothers
🔥🔥🔥🔥🔥umeua chibabaa
banger🔥🔥🔥🔥
Ya moto iyoooooooo
Watoto wa mjini tujuane na likes 🇶🇦🇹🇿
Wagwan G
Sisi HAPA hands UP 🤸🤚twaogopewa ile mbaya
Safi sana
Good song whoze 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Noumaaa ❤🔥
Whozu ft bill nas 🔥🔥🔥🔥 good vibes only 🪐🪐🥷🥷📺
another bangaaa