Yeah! Hiyo ya reli ya dar Dodoma imekamilika tunataka kujuwa hali ya ujenzi makotopora tabora kasi ikoje ubora na lini itakuwa tayari?pia tabora isaka muhimu sana .
Hongera trc hongera Tanzania lakini he reli ni priority kwa sababu umasikini iko juu sana jana nime ona report imf sisi ni nchi 31 duniani kwa umaskini ata zambia na Ethiopia watu wana hali nzuri kuliko sisi,,,,na uliza priority zetu ziko sawa
Wewe unataka kufanya nini tukope pesa , halafu tuwape Watanzania Mkononi kila mtu na zake au iweje..?...mimi ninavyoelewa hii miradi ya Reli kama unavyoiona kote Africa inaendana na AFRICAN UNION AGENDA 2063 , Ambayo lengo lake kubwa ni kuhakikisha miji mikuu yote ya Africa imeunganishwa kwa Reli nahivyo kufanya , malengo yaliyopo kwenye African Continental Free Trade Area (AcFTA) yaweze kufanikiwa nikiwa na maana Nchi za Afrika kufanya biashara zenyewe huku ndani badala ya kutegemea nje, Biashara ya ndani ya Africa ni 15% tu, ya export zote hiki ni kiwango cha chini sana, biashara haiwezi kufanyika kama huuna miundo mbinu ya kusafirisha bidhaa, usiangalie Tanzania pekee yake angalia Africa miaka 40 mpaka 50 kuanzia sasa hivi.
God job angalizo asije kutokea mtu akataka kuujumu huu mladi.
Mchongoko amtest mmekalia maneno tuuu
Yeah! Hiyo ya reli ya dar Dodoma imekamilika tunataka kujuwa hali ya ujenzi makotopora tabora kasi ikoje ubora na lini itakuwa tayari?pia tabora isaka muhimu sana .
Safi sana TRC munaweza anzisha kiwanda cha kujenga Train na ijini pia Mabewa hapa TZ inawezekana tuna wahandisi wengi na misimamiebvizuri.
Mnaanza usafirishaji lini?
Hongera trc hongera Tanzania lakini he reli ni priority kwa sababu umasikini iko juu sana jana nime ona report imf sisi ni nchi 31 duniani kwa umaskini ata zambia na Ethiopia watu wana hali nzuri kuliko sisi,,,,na uliza priority zetu ziko sawa
Thibitisha
Wewe unataka kufanya nini tukope pesa , halafu tuwape Watanzania Mkononi kila mtu na zake au iweje..?...mimi ninavyoelewa hii miradi ya Reli kama unavyoiona kote Africa inaendana na AFRICAN UNION AGENDA 2063 , Ambayo lengo lake kubwa ni kuhakikisha miji mikuu yote ya Africa imeunganishwa kwa Reli nahivyo kufanya , malengo yaliyopo kwenye African Continental Free Trade Area (AcFTA) yaweze kufanikiwa nikiwa na maana Nchi za Afrika kufanya biashara zenyewe huku ndani badala ya kutegemea nje, Biashara ya ndani ya Africa ni 15% tu, ya export zote hiki ni kiwango cha chini sana, biashara haiwezi kufanyika kama huuna miundo mbinu ya kusafirisha bidhaa, usiangalie Tanzania pekee yake angalia Africa miaka 40 mpaka 50 kuanzia sasa hivi.