Jipige pige kifua sema "Hata mimi ni tajiri kwasababu ninao uhai, ambao ndio chemchem ya mambo yote ya mwilini". Ukiwa hai hakuna linaloshindikana, muombe tuu mwenyezi Mungu akupe hekima kabla ya mali, ili ukishakuwa nayo hekima hata mali atakayokupa utaitumia kumtukuza Yeye na kuwaheshimu wale ambao wakati wao wa kubarikiwa haujafika !! Endelea kuchapa kazi muweke Mungu mbele na umheshimu naye atakupa heshima unayoistahili, wala usifedheheshwe na anachomiliki mtu mwingine kile ni chakwake kwa wakati alicho nacho, na wewe amini kuna wakati utakuwa nacho !! Amin Amin Amini nakwambia wewe unayesoma hii na una muamini Mungu na kufanya kazi kwa bidii !!
Sasa wale ambao wanamkejeli Harmonize wao wako na nini, wanafaa kuenda kwanza kuenda kubishana na Harmonize wakimshinda ndio wakuje hapa kusema ati kua yeye hana kitu
Mbn hiyo gari iko tofauti sana na Roll Royce ninazoziona kwenye miatandao. Hiyo imekaa kama Rava4. Asante Simba kwa kumodify Rava4 ukawaambia manufactures wakuandikie jina la Roll Royce
@@zakayomepuyinywe1400 kuna jmaaa jana nilimsikia akihojiwa huyo ni wakala wa magari Tanzania alisema hiyo RR inagharimu dola laki 6.5,ambayo ni sawa na b 1.5
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
Tafteni pesa na nyie punguzeni kujieleza maisha yenyewe ndo aya msishangae mtu kuwa na pesa nyingi ana nunua magari ya kifahari pesa ningumu jaman kuzitafta achen tu..........
@@ultimatekelzy617 Kwa hivyo, hilo gari jipya la Diamond ni haramu TZ? Nimeona steering wheel iko upande wa kushoto kumaanisha linafaa kuendeshewa upande wa kulia.
kama unamkubali diamond piga like
Napiga kelele kwa mond wanguu uuuweeeeeeeeeeeee
Weweeeeeeeeeeeeeeee
Wadau washasema Rolls-Royce hiyo feki. Twataka original kama lile la Davido
Sanaaaaah
@@samueloduor8138 mwambie mama ako ampe og kuma mayoo
Mlinzi ni mungu tu ..ona mlinzi alitoka mbio kiasi ya kumfikia boss wake kama n kitu kibaya c ashafanyiwa
unajua ukipendezewa na mafanikio ya mwenzako ..hata wewe mungu atakunyoshea baraka
Sio kupata Kwa njia ya ambayo Mungu anachukia,,,,
Nikweli
Piga kelele kwa diamond wake weweeeeeee
Oyoooooooooooooooooooooooooooo
Nampenda Diamond
Aliyesikia Harmonise akambake Linah 😅 Gonga like hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Imeskika iyooo
😂😂😂
😁😁
Huyo Mwamba fala kweli kweli 😂😂
Acheni kumwonea wivu diamond .yuko vizuri,
Hhhhh hata mm nimeskia
Kabisa nakubali
Anaetaka Ukose Chapaa Ukipata Unampa Akumbuke 🙌 KOMESHA BABAA UMEPAMBANA
Mungu nisaidie kuelewa jinsi msafara huu umejengwa na kipaji Cha sauti tu
Acha Jamaa aenjoy kwa raha zake, amesota sana kuzisaka...big up sana Jamaa D
Wala si mshamba anakula mema aliepewa
Bodaboda mnanivunja mbavu mtaends nae hadi wapi
😂 😂 😂
Rolls royce... big up simbaa👍💥
Nilikua sijui kutamka rolls Roy's hila toka imekuja bongo hainishindi tena
😂😂😂😂 umeua
Jipige pige kifua sema "Hata mimi ni tajiri kwasababu ninao uhai, ambao ndio chemchem ya mambo yote ya mwilini". Ukiwa hai hakuna linaloshindikana, muombe tuu mwenyezi Mungu akupe hekima kabla ya mali, ili ukishakuwa nayo hekima hata mali atakayokupa utaitumia kumtukuza Yeye na kuwaheshimu wale ambao wakati wao wa kubarikiwa haujafika !! Endelea kuchapa kazi muweke Mungu mbele na umheshimu naye atakupa heshima unayoistahili, wala usifedheheshwe na anachomiliki mtu mwingine kile ni chakwake kwa wakati alicho nacho, na wewe amini kuna wakati utakuwa nacho !! Amin Amin Amini nakwambia wewe unayesoma hii na una muamini Mungu na kufanya kazi kwa bidii !!
Hongera sana kwa kuwa experience ya hali ya juu.
Namuona simba anendesha kavua shat au power staring mbovu
kazi ya mungu ni kuinua vinyonge,big up simbaaa
Sasa wale ambao wanamkejeli Harmonize wao wako na nini, wanafaa kuenda kwanza kuenda kubishana na Harmonize wakimshinda ndio wakuje hapa kusema ati kua yeye hana kitu
Ukweli kabisa... wanaongea na piki piki ya mkopo
Ni chuki na roho mbaya tu
Mungu akujalie akulinde pia
Very nice 👍 amuniza
Maskini akipata lazima atambe na si ushamba tamba simba
Wivuuuu hahaaa fanya kazi bhana
Una wivu
Mwacheen mond ndio muda wake mow
Naskia hamo mchumba tu
Za kukodi hizo! Ndo maana hajasajiri! Awadanganye wajinga! Mzee wa kiki huyo! Mwambie azisajiri tuone!
@@danieljoseph1610 mwambie mamaako nae akodi basi tuvimbe au vp
@@danieljoseph1610 kafanya hivyo kuzima tuzo za bet aibu alijimwamba fai sana kuwa atachukua kakosa kaona aje na style hii
Mbn hiyo gari iko tofauti sana na Roll Royce ninazoziona kwenye miatandao. Hiyo imekaa kama Rava4. Asante Simba kwa kumodify Rava4 ukawaambia manufactures wakuandikie jina la Roll Royce
Hiyo Ni type mpya ya RR inaitwa RR cullinan zile unazofahamu Ni phantom,ghost,wreith.
Kutojua kumbe Kweli usiku wagiza ya rolls Royce na rav 4 kweli wapi na wapi,😂😂😂😂simakosa Yako
Roho inakuuma eeh🤣
Una kaasili ka uchawiuchawi
mm nimshabiki wa alikiba ila kwasasa dogo nakukubali nasubili unipigie nyimbo hata 1 brother lil wayney hapo nasaini kuja kwako
Kula maisha mdgo wangu mond, ss ngoja tunywe kawa2
Africa ni Africa tuu..Christiano Ronaldo analo RR lakini huoni ivi vitu but wanyamwezi ni shidah.
Uyu bodaboda wanampakua sijui sa Harmonize kqingia VP Apo 😂😂
Kumamako unapakuliwa wewe na harmonaizi msenge
@@hakizimanafiston3589 🤐
💪
Boda ye hajioni kazi kusifia wenzake
Mmmmmh. Jaman haya tunayaacha dunian. Tulinde roho zetu kwa kutubu dhamba zetu na kuokoka
Kwa wale wanao sema eti nifeki wambie baba zao waka wanunu leye nao gari feki diamond wewe noma sana 👌👌👌❤️❤️🔥🔥🔥🔥
Enyewe huyu ni star🤗nakubali kbsa
I think Harmonize he may never think of competing with Simba
I don’t think Harmo is that stupid 🤣🤣 Diamond is untouchable period 🥰🥰love from 🇨🇦
Watz kizungu inawalemea haha
@@joelkoross7476 ;)
Underground 🤣🤣🤣🤣🤣
Gari nzuri kabisa
Huyu anayemtaja vibaya Harmonize anafirwa
Simbaa baba lao
Diamond namkubali bana
Cruiser Vx mbili mil mia6, +Prado Tx moja mil250,+ Cadillac Mbili Mil 900+ Rolls Roys Bil 1.9=
Saws
Umekosea chief prad mil 129, cardiac mil 600+ na RR ndo imefunika mil 8+ siyo 1.9 b no
@@zakayomepuyinywe1400 kuna jmaaa jana nilimsikia akihojiwa huyo ni wakala wa magari Tanzania alisema hiyo RR inagharimu dola laki 6.5,ambayo ni sawa na b 1.5
@@zakayomepuyinywe1400 hiyo 800M ni kabla ya ushuru na takataka nyingine zote.
Zari help diamond to buy thirty car 🚗 rolls royce
Kweli mondi Mungu akishikilie uishimika mingi ili nass tujifunze kupitia ww
🤝🤝
Amaaaaah kwel jiji limezizima
Wa Amma Biniimat Rabikka Fahadith...!!
Mnyama Simba 🦁
Linaha na konde ni Kiki mtateseka Sana mashabiki
Acha kudanganya watu 2.7b unaijua ww hyo gar sio bei hyoo 555.721 think like that
Safi sana kijana onesha mfano kwa vijana wenzako
President of music Africa
Nakubr Sana brother
watu wanaumia sana kwa uyu bingwa ujana maji yamoto ata mimi ningekuanazo ningetamba kudadadeki
XIKIA MJOMBA XXI TUNATAKA ATUONYEXHE VIBALI NARIXITI KAMA ALIVYO FANYA DAVIDO ALIPO NNUA KARI DAVIDO ALIONYEXHA MPKA KAMPUNI ALIO NNU LILEGAR
Kuvikusaidiye.nini
Dunia hiyi haya aca nikae kimwa🤐🤐🏃♀️🏃♀️🏃♀️
poleeee
Simba mwamba wa KG
Much love from Planet Bongo Fashions Kampala Uganda
Diamond platnumz simba baba lao africa
Kuna Boya analazimisha kuongea mambo ya Harmonize...
Tutafute Pesa...
💪
Wa tz hamna kazi kweli .Je mtume Muhammed akija mtafanya ajee
Subili akishakuja ndio utaona ss tzd tutakavyofanya 🙏
kwani mtume ninani Mohamed ninani seem yesu akija
Mohammad asakufa atakuja wapi sema yesu yuaja
Mtume Muhammed ndo kitu gan yeye mwenyewe anasubir ufufuo ni mfu we akija utafanya nn?
Kwa ushamba tuna wakubali wa bongo
#aboi_4rm_makambako hao mangoko mbn wanapelekeshwa kama pia babeki haha njaaa hizi
Ushamba huu haya acha tuone mwisho wake
Mond Makin sanaaa endelea kuwakela tim konde
Unaweza ukatamani hiyo Rolls Royce ikugonge ili uondoe nuksi maana sio kwa kuilingishia huko 😀😂
Kwaiyo m2akitumia chake analinga bas bolakuiba
Ujinga huo,,,
Much love all the way from Liberia bro
Kwetu zanzibar hatuna ushamba kam UW what wanapesa hataree n hawapo ivoooo
Wachapeee kwa vitendoo Simbaaa
Alie sikia harmonize si mchumba tu🙊
Aliyesema harmonize Hana lolote...eti ana mitumba ni MSHAMBA
nahisi hicho ndo kiwanja chake anacho jenga nyumba yake ya ndoto, dondosha like kama tuko pamoja
Nakubaliana na wew
Hisi utahisiwa na wewee
Walinzi kz wanayooo
HAYA NDIO MAISHA YA KISTAR🔥🔥🔥🔥
Sio unamskia star eti anapesa lakini hataki kujionyesha😀😁😁😁😁😁😁😁😁
Gari lenye left hand mmmhh
Kama nimeona escalade SUV kwa nyuma mnymaa simbaaaa salute
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
the convoy it self , its worth a lot.
Masha lavu ndoa
Hatari Simba💥💥
Tafteni pesa na nyie punguzeni kujieleza maisha yenyewe ndo aya msishangae mtu kuwa na pesa nyingi ana nunua magari ya kifahari pesa ningumu jaman kuzitafta achen tu..........
Hana nguo ndo mahana antembea kifua wazi
Wameenda shoot video ya wimbo unaitwa iyo
Gari lenyewe used....
Naona hajabandika Ata plate number
Ako na masifa yaki ushoga 😏😏 akwende zake ata mara mia harmonize 🤗🤗
Much respect
Hivi anapata wapi ruhusa ya kutembeza gari bila number plate.au ndio kinasabaya
Kuna gar za kuweka plate number 😂😂 hizo ni moja moja hakuna tatizo
Kwani TZ mnatumia side ipi kuendeshea gari, right ama left?
Right but RR n left hand
Only left
Sisi tuna tumia zote tu ilimladi kuwa makini usikamatwe na police 😂
@@ultimatekelzy617 Kwa hivyo, hilo gari jipya la Diamond ni haramu TZ? Nimeona steering wheel iko upande wa kushoto kumaanisha linafaa kuendeshewa upande wa kulia.
@@MWENDA-vv5im ni suspect haswa...
Mna hongopa sn harmo yinye
sijui kwasababu sina ela maana naona ni usenge tu
Mbona anaenda uchiii
Asa hapo Harmonize anahusika vp
Ata uwe na gari nyingi aje utaendesha moja pekee at a time
Mbona yakawaida San hakna kigen hapo
Wanyoooshe viherehere hao awakuwezi ata wakikesha wakiimba kwaya
Hana ishu uyoo bado mshamba 2
Uko vizur mkuu
Waah
Za kukodi kwenya yadi hizo mzee! Usturushe! Kama zako ungesha sajiri sku nyingi! Tena pleti namba ungeandika majina yako! Tunakujua mzee wa kiki!
Kakodi na wew kam zimekuuma
Simbaaaa nakubali
Eti gari lenyewe used Alo li use nani???? Baba Ako?????
Kwan Simba kanunua rolls royce
Simbaaaa respect baba lao
Watu wengne bhn Kama unasifia mtu msifie sasa harmonize anaingiaje
Njaa hizi kesho huyo anaye mponda harmonize akipita harmonize atamponda mond
Uyu boda boda takoo anaongea nn ap