Diamond Asimamisha Rolls Royce Mtaani Kusalimia Bodaboda Wamfata Anakoenda na msafara wake

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 391

  • @sadimaliki7811
    @sadimaliki7811 3 года назад +203

    kama unamkubali diamond piga like

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 года назад +18

    Mlinzi ni mungu tu ..ona mlinzi alitoka mbio kiasi ya kumfikia boss wake kama n kitu kibaya c ashafanyiwa

  • @salumumakombo9136
    @salumumakombo9136 3 года назад +43

    unajua ukipendezewa na mafanikio ya mwenzako ..hata wewe mungu atakunyoshea baraka

  • @abdulbagayan614
    @abdulbagayan614 3 года назад +33

    Piga kelele kwa diamond wake weweeeeeee

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 Год назад +2

    Nampenda Diamond

  • @davidmunishi5084
    @davidmunishi5084 3 года назад +123

    Aliyesikia Harmonise akambake Linah 😅 Gonga like hapa

  • @tumainimrema8073
    @tumainimrema8073 3 года назад +24

    Acheni kumwonea wivu diamond .yuko vizuri,

  • @elnabilbentaleb7008
    @elnabilbentaleb7008 3 года назад +35

    Anaetaka Ukose Chapaa Ukipata Unampa Akumbuke 🙌 KOMESHA BABAA UMEPAMBANA

  • @tonyadede2581
    @tonyadede2581 2 года назад +2

    Mungu nisaidie kuelewa jinsi msafara huu umejengwa na kipaji Cha sauti tu

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 3 года назад +24

    Acha Jamaa aenjoy kwa raha zake, amesota sana kuzisaka...big up sana Jamaa D

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 3 года назад +12

    Wala si mshamba anakula mema aliepewa

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 3 года назад +18

    Bodaboda mnanivunja mbavu mtaends nae hadi wapi

  • @viny__
    @viny__ 2 года назад +6

    Rolls royce... big up simbaa👍💥

  • @chazgervas7762
    @chazgervas7762 3 года назад +14

    Nilikua sijui kutamka rolls Roy's hila toka imekuja bongo hainishindi tena

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 2 года назад +7

    Jipige pige kifua sema "Hata mimi ni tajiri kwasababu ninao uhai, ambao ndio chemchem ya mambo yote ya mwilini". Ukiwa hai hakuna linaloshindikana, muombe tuu mwenyezi Mungu akupe hekima kabla ya mali, ili ukishakuwa nayo hekima hata mali atakayokupa utaitumia kumtukuza Yeye na kuwaheshimu wale ambao wakati wao wa kubarikiwa haujafika !! Endelea kuchapa kazi muweke Mungu mbele na umheshimu naye atakupa heshima unayoistahili, wala usifedheheshwe na anachomiliki mtu mwingine kile ni chakwake kwa wakati alicho nacho, na wewe amini kuna wakati utakuwa nacho !! Amin Amin Amini nakwambia wewe unayesoma hii na una muamini Mungu na kufanya kazi kwa bidii !!

    • @vivianedwin2447
      @vivianedwin2447 2 года назад

      Hongera sana kwa kuwa experience ya hali ya juu.

  • @yakubually6654
    @yakubually6654 3 года назад +1

    Namuona simba anendesha kavua shat au power staring mbovu

  • @stellamsokwa7030
    @stellamsokwa7030 3 года назад +16

    kazi ya mungu ni kuinua vinyonge,big up simbaaa

  • @SammyOmari254
    @SammyOmari254 2 года назад +14

    Sasa wale ambao wanamkejeli Harmonize wao wako na nini, wanafaa kuenda kwanza kuenda kubishana na Harmonize wakimshinda ndio wakuje hapa kusema ati kua yeye hana kitu

    • @addifela9309
      @addifela9309 2 года назад +4

      Ukweli kabisa... wanaongea na piki piki ya mkopo

    • @karimhamisi4627
      @karimhamisi4627 2 года назад +2

      Ni chuki na roho mbaya tu

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 3 года назад +2

    Mungu akujalie akulinde pia

  • @carenmikky3230
    @carenmikky3230 Год назад

    Very nice 👍 amuniza

  • @fathiafathia8701
    @fathiafathia8701 3 года назад +13

    Maskini akipata lazima atambe na si ushamba tamba simba

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 3 года назад +4

    Mwacheen mond ndio muda wake mow

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa8695 3 года назад +30

    Naskia hamo mchumba tu

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 3 года назад

      Za kukodi hizo! Ndo maana hajasajiri! Awadanganye wajinga! Mzee wa kiki huyo! Mwambie azisajiri tuone!

    • @mzenjikichaa8695
      @mzenjikichaa8695 3 года назад

      @@danieljoseph1610 mwambie mamaako nae akodi basi tuvimbe au vp

    • @lulually5209
      @lulually5209 3 года назад

      @@danieljoseph1610 kafanya hivyo kuzima tuzo za bet aibu alijimwamba fai sana kuwa atachukua kakosa kaona aje na style hii

  • @alawyyussuf2598
    @alawyyussuf2598 3 года назад +6

    Mbn hiyo gari iko tofauti sana na Roll Royce ninazoziona kwenye miatandao. Hiyo imekaa kama Rava4. Asante Simba kwa kumodify Rava4 ukawaambia manufactures wakuandikie jina la Roll Royce

    • @joseholoo3026
      @joseholoo3026 3 года назад

      Hiyo Ni type mpya ya RR inaitwa RR cullinan zile unazofahamu Ni phantom,ghost,wreith.

    • @edwardiha8018
      @edwardiha8018 2 года назад

      Kutojua kumbe Kweli usiku wagiza ya rolls Royce na rav 4 kweli wapi na wapi,😂😂😂😂simakosa Yako

    • @frankkikambako9281
      @frankkikambako9281 2 года назад

      Roho inakuuma eeh🤣

    • @catherinesamson9239
      @catherinesamson9239 2 года назад

      Una kaasili ka uchawiuchawi

  • @alhamduharuna7985
    @alhamduharuna7985 2 года назад +3

    mm nimshabiki wa alikiba ila kwasasa dogo nakukubali nasubili unipigie nyimbo hata 1 brother lil wayney hapo nasaini kuja kwako

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere2595 3 года назад +12

    Kula maisha mdgo wangu mond, ss ngoja tunywe kawa2

  • @abdulnassir7836
    @abdulnassir7836 3 года назад

    Africa ni Africa tuu..Christiano Ronaldo analo RR lakini huoni ivi vitu but wanyamwezi ni shidah.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 года назад +7

    Uyu bodaboda wanampakua sijui sa Harmonize kqingia VP Apo 😂😂

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 2 года назад

    Mmmmmh. Jaman haya tunayaacha dunian. Tulinde roho zetu kwa kutubu dhamba zetu na kuokoka

  • @jackidi274
    @jackidi274 3 года назад +1

    Kwa wale wanao sema eti nifeki wambie baba zao waka wanunu leye nao gari feki diamond wewe noma sana 👌👌👌❤️❤️🔥🔥🔥🔥

  • @humbleguy3756
    @humbleguy3756 2 года назад

    Enyewe huyu ni star🤗nakubali kbsa

  • @ndtiwepetrus6506
    @ndtiwepetrus6506 3 года назад +14

    I think Harmonize he may never think of competing with Simba

    • @KAlly-dp4yy
      @KAlly-dp4yy 3 года назад

      I don’t think Harmo is that stupid 🤣🤣 Diamond is untouchable period 🥰🥰love from 🇨🇦

    • @joelkoross7476
      @joelkoross7476 2 года назад

      Watz kizungu inawalemea haha

    • @KAlly-dp4yy
      @KAlly-dp4yy 2 года назад

      @@joelkoross7476 ;)

    • @masikareagan5166
      @masikareagan5166 2 года назад

      Underground 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinmoshe6630
    @husseinmoshe6630 3 года назад +1

    Gari nzuri kabisa

  • @yahayamaulana8951
    @yahayamaulana8951 2 года назад +1

    Huyu anayemtaja vibaya Harmonize anafirwa

  • @kaburaakbar7069
    @kaburaakbar7069 3 года назад +3

    Simbaa baba lao

  • @abdulbagayan614
    @abdulbagayan614 3 года назад +3

    Diamond namkubali bana

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 3 года назад +9

    Cruiser Vx mbili mil mia6, +Prado Tx moja mil250,+ Cadillac Mbili Mil 900+ Rolls Roys Bil 1.9=

    • @sanjafarmmachinerystractor4205
      @sanjafarmmachinerystractor4205 3 года назад +1

      Saws

    • @zakayomepuyinywe1400
      @zakayomepuyinywe1400 3 года назад +1

      Umekosea chief prad mil 129, cardiac mil 600+ na RR ndo imefunika mil 8+ siyo 1.9 b no

    • @petershedrack4668
      @petershedrack4668 3 года назад +1

      @@zakayomepuyinywe1400 kuna jmaaa jana nilimsikia akihojiwa huyo ni wakala wa magari Tanzania alisema hiyo RR inagharimu dola laki 6.5,ambayo ni sawa na b 1.5

    • @cneamses3645
      @cneamses3645 3 года назад +1

      @@zakayomepuyinywe1400 hiyo 800M ni kabla ya ushuru na takataka nyingine zote.

  • @benardmamboleo5739
    @benardmamboleo5739 2 года назад

    Zari help diamond to buy thirty car 🚗 rolls royce

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 года назад

    Kweli mondi Mungu akishikilie uishimika mingi ili nass tujifunze kupitia ww

  • @vivianomasawe473
    @vivianomasawe473 2 года назад +1

    🤝🤝

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official9216 3 года назад +2

    Amaaaaah kwel jiji limezizima

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 3 года назад +3

    Wa Amma Biniimat Rabikka Fahadith...!!

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +5

    Mnyama Simba 🦁

  • @zawadimasula6253
    @zawadimasula6253 3 года назад +1

    Linaha na konde ni Kiki mtateseka Sana mashabiki

  • @ommygabdul3367
    @ommygabdul3367 3 года назад +1

    Acha kudanganya watu 2.7b unaijua ww hyo gar sio bei hyoo 555.721 think like that

  • @peridamtweve7152
    @peridamtweve7152 Год назад

    Safi sana kijana onesha mfano kwa vijana wenzako

  • @edwardmdee2002
    @edwardmdee2002 3 года назад +4

    President of music Africa

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 2 года назад

    Nakubr Sana brother

  • @salumsaid8223
    @salumsaid8223 3 года назад +5

    watu wanaumia sana kwa uyu bingwa ujana maji yamoto ata mimi ningekuanazo ningetamba kudadadeki

  • @chamandaayolaiza794
    @chamandaayolaiza794 3 года назад +2

    XIKIA MJOMBA XXI TUNATAKA ATUONYEXHE VIBALI NARIXITI KAMA ALIVYO FANYA DAVIDO ALIPO NNUA KARI DAVIDO ALIONYEXHA MPKA KAMPUNI ALIO NNU LILEGAR

  • @zou7470
    @zou7470 3 года назад +5

    Dunia hiyi haya aca nikae kimwa🤐🤐🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @smokeedaisy2252
    @smokeedaisy2252 2 года назад +1

    Much love from Planet Bongo Fashions Kampala Uganda

  • @issahakizimana1764
    @issahakizimana1764 2 года назад

    Diamond platnumz simba baba lao africa

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 3 года назад +5

    Kuna Boya analazimisha kuongea mambo ya Harmonize...
    Tutafute Pesa...

  • @hadijatambwe9194
    @hadijatambwe9194 3 года назад +2

    Wa tz hamna kazi kweli .Je mtume Muhammed akija mtafanya ajee

    • @asmajamani2967
      @asmajamani2967 3 года назад

      Subili akishakuja ndio utaona ss tzd tutakavyofanya 🙏

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      kwani mtume ninani Mohamed ninani seem yesu akija

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 3 года назад

      Mohammad asakufa atakuja wapi sema yesu yuaja

    • @monicaboniphace15
      @monicaboniphace15 3 года назад

      Mtume Muhammed ndo kitu gan yeye mwenyewe anasubir ufufuo ni mfu we akija utafanya nn?

  • @stephanoedouardkinoissalva4388
    @stephanoedouardkinoissalva4388 3 года назад +2

    Kwa ushamba tuna wakubali wa bongo

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 3 года назад +1

    #aboi_4rm_makambako hao mangoko mbn wanapelekeshwa kama pia babeki haha njaaa hizi

  • @habibuomary1935
    @habibuomary1935 3 года назад +1

    Ushamba huu haya acha tuone mwisho wake

  • @abiyasin3166
    @abiyasin3166 3 года назад +1

    Mond Makin sanaaa endelea kuwakela tim konde

  • @andrewyona2552
    @andrewyona2552 3 года назад +7

    Unaweza ukatamani hiyo Rolls Royce ikugonge ili uondoe nuksi maana sio kwa kuilingishia huko 😀😂

  • @kingdinho9392
    @kingdinho9392 3 года назад +6

    Much love all the way from Liberia bro

  • @abubakarzanzibar4529
    @abubakarzanzibar4529 3 года назад +1

    Kwetu zanzibar hatuna ushamba kam UW what wanapesa hataree n hawapo ivoooo

  • @elizabethkajana9528
    @elizabethkajana9528 3 года назад +1

    Wachapeee kwa vitendoo Simbaaa

  • @Mastoryy
    @Mastoryy 3 года назад +1

    Alie sikia harmonize si mchumba tu🙊

  • @abdiqafarmaalim505
    @abdiqafarmaalim505 3 года назад +1

    Aliyesema harmonize Hana lolote...eti ana mitumba ni MSHAMBA

  • @mabawaplatnumz5139
    @mabawaplatnumz5139 3 года назад +32

    nahisi hicho ndo kiwanja chake anacho jenga nyumba yake ya ndoto, dondosha like kama tuko pamoja

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 года назад +16

    HAYA NDIO MAISHA YA KISTAR🔥🔥🔥🔥

    • @sadikidaudi1223
      @sadikidaudi1223 3 года назад +1

      Sio unamskia star eti anapesa lakini hataki kujionyesha😀😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 3 года назад +1

    Gari lenye left hand mmmhh

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 3 года назад +2

    Kama nimeona escalade SUV kwa nyuma mnymaa simbaaaa salute

  • @yusufhussein6990
    @yusufhussein6990 3 года назад +3

    BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA

  • @Prvssianprince
    @Prvssianprince Год назад

    the convoy it self , its worth a lot.

  • @mohamedmsangi5350
    @mohamedmsangi5350 3 года назад

    Masha lavu ndoa

  • @user-ie6dj9xj5y
    @user-ie6dj9xj5y 3 года назад +4

    Hatari Simba💥💥

  • @yasintasamson9178
    @yasintasamson9178 2 года назад +1

    Tafteni pesa na nyie punguzeni kujieleza maisha yenyewe ndo aya msishangae mtu kuwa na pesa nyingi ana nunua magari ya kifahari pesa ningumu jaman kuzitafta achen tu..........

  • @johnmoses4546
    @johnmoses4546 3 года назад +1

    Hana nguo ndo mahana antembea kifua wazi

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 3 года назад +1

    Wameenda shoot video ya wimbo unaitwa iyo

  • @shaabanimbakana4031
    @shaabanimbakana4031 2 года назад

    Gari lenyewe used....

  • @mohamedabdallah4667
    @mohamedabdallah4667 2 года назад

    Naona hajabandika Ata plate number

  • @Luciana-of6uz
    @Luciana-of6uz 2 года назад

    Ako na masifa yaki ushoga 😏😏 akwende zake ata mara mia harmonize 🤗🤗

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya8911 3 года назад +11

    Much respect

  • @power.truckxd9957
    @power.truckxd9957 3 года назад +1

    Hivi anapata wapi ruhusa ya kutembeza gari bila number plate.au ndio kinasabaya

    • @ramadhanmajji5013
      @ramadhanmajji5013 3 года назад

      Kuna gar za kuweka plate number 😂😂 hizo ni moja moja hakuna tatizo

  • @MWENDA-vv5im
    @MWENDA-vv5im 3 года назад +2

    Kwani TZ mnatumia side ipi kuendeshea gari, right ama left?

    • @kathuri44
      @kathuri44 3 года назад

      Right but RR n left hand

    • @ultimatekelzy617
      @ultimatekelzy617 3 года назад

      Only left

    • @tradamus4158
      @tradamus4158 3 года назад

      Sisi tuna tumia zote tu ilimladi kuwa makini usikamatwe na police 😂

    • @MWENDA-vv5im
      @MWENDA-vv5im 3 года назад

      @@ultimatekelzy617 Kwa hivyo, hilo gari jipya la Diamond ni haramu TZ? Nimeona steering wheel iko upande wa kushoto kumaanisha linafaa kuendeshewa upande wa kulia.

    • @ultimatekelzy617
      @ultimatekelzy617 3 года назад

      @@MWENDA-vv5im ni suspect haswa...

  • @AlainAsumani-hz2qn
    @AlainAsumani-hz2qn Год назад

    Mna hongopa sn harmo yinye

  • @melodious2
    @melodious2 3 года назад

    sijui kwasababu sina ela maana naona ni usenge tu

  • @user-ty8ci5oi9m
    @user-ty8ci5oi9m 2 месяца назад

    Mbona anaenda uchiii

  • @bonifasmassawe9298
    @bonifasmassawe9298 2 года назад

    Asa hapo Harmonize anahusika vp

  • @split6543
    @split6543 2 года назад

    Ata uwe na gari nyingi aje utaendesha moja pekee at a time

  • @meckdonald81
    @meckdonald81 3 года назад +1

    Mbona yakawaida San hakna kigen hapo

  • @maduhumaduh1005
    @maduhumaduh1005 2 года назад

    Wanyoooshe viherehere hao awakuwezi ata wakikesha wakiimba kwaya

  • @aizakally9533
    @aizakally9533 2 года назад

    Hana ishu uyoo bado mshamba 2

  • @denismassawe9646
    @denismassawe9646 3 года назад

    Uko vizur mkuu

  • @isaacikonya397
    @isaacikonya397 2 года назад

    Waah

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 3 года назад +1

    Za kukodi kwenya yadi hizo mzee! Usturushe! Kama zako ungesha sajiri sku nyingi! Tena pleti namba ungeandika majina yako! Tunakujua mzee wa kiki!

  • @ibrahimmohamedibrahimmoham7116
    @ibrahimmohamedibrahimmoham7116 3 года назад

    Simbaaaa nakubali

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 года назад

    Eti gari lenyewe used Alo li use nani???? Baba Ako?????

  • @jacksonmochere9109
    @jacksonmochere9109 3 года назад

    Kwan Simba kanunua rolls royce

  • @shukuruwiliamunicksoni1352
    @shukuruwiliamunicksoni1352 3 года назад +2

    Simbaaaa respect baba lao

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 Год назад

    Watu wengne bhn Kama unasifia mtu msifie sasa harmonize anaingiaje

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 2 года назад

    Njaa hizi kesho huyo anaye mponda harmonize akipita harmonize atamponda mond

  • @amosnnko7792
    @amosnnko7792 3 года назад

    Uyu boda boda takoo anaongea nn ap