LIFESTYLE YA DIAMOND PLATNUMZ NA WATOTO WAKE, WAPANDA PRIVATE JET KWENDA RWANDA, AONGEZA GARI JIPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2023

Комментарии • 108

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 9 месяцев назад +22

    Hamo mavi analilia mapenzi mwenzake anapiga kazi!

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m 9 месяцев назад +17

    Hili jamaa ukiliiga unafilisika au unakufa kabisa Tumor tu mauwa yake🎉🎉

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 9 месяцев назад +10

    Iga ifilisike uishiwe hadi boxer.harmonize fanya kwa level yako mazee utafilisika

  • @NasibSam
    @NasibSam 9 месяцев назад +7

    Diamond platnumz is undisputed champion here in Africa

  • @barakarajabu9751
    @barakarajabu9751 2 месяца назад

    Ebanaee acha mond aitwe mfalme wa Tz ni halali kbx because ameshakua mxanii mkubwa wa kitaifa na kimataifa upande wa pili kaeni hivyo hivy mkimuiga chibu mta lala njaaa platinum hakamatiki c.kwa pesa,kimuziki au kwa kuwekez Salute xan chibu popote ulipo aman xan kwako pamoja na familia yako kwa ujumla

  • @PaulNzima-pd8il
    @PaulNzima-pd8il 9 месяцев назад +6

    Mfalme ni Moja East Africa.... SIMBA La MASIMBA 🦁🦁🦁🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇿🇦🇿🇼🇧🇫🇿🇲🇧🇮🇮🇪

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r 9 месяцев назад +11

    Jamaa level nyingine jamaa hakuna wa kumfananisha na msanii yoyote hapa africa

  • @ChaiboMomade-gd3bk
    @ChaiboMomade-gd3bk 9 месяцев назад +10

    Simba 🔥🔥 ni nomaaa

  • @user-sw8np1pq6w
    @user-sw8np1pq6w 9 месяцев назад +9

    Ivi ndivo msanii mkubwa anatakiwa aishi

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 8 месяцев назад +1

    😮
    Napambana na Hali yangu Sitaki Kumuiga Huyu Simba la Masimba Dangoteee
    Nisije Weka Uhai Wangu Poni Wazazi na Mke Wangu na Watoto wangu Wakabaki Wanataabika
    Hongera Sana Mondiiiii
    Kwa Mafanikio yako ila Usisahau Kama Kuna Kufa 😂😂😂😂😂😂

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 9 месяцев назад +35

    Hii Inaitwaa iga ufulie on spot

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 9 месяцев назад

      Hawa wasanii wasikutishe ndugu. Ukweli wao hutokea baada yakufulia. Nakumbuka prezo wa Kenya alie kua aki enda show zake na helicopter. Kumbe jamaa alikua akikopa hela zaku kodi huku akiumia. Manyumba ya kifahari nairobi alikua ana kodisha sio yake. Baada yaku chapa ndio akaja hadharani kutu umbua tuliio kua tuki mshobokea

    • @kabwelerywamwatumu5078
      @kabwelerywamwatumu5078 9 месяцев назад

      😂😂😂

    • @danieljs4285
      @danieljs4285 9 месяцев назад

      @@bjzee1981 aah tuache uongo bhana mond ana pesa wanaofake ni hao wengine

    • @issackathman850
      @issackathman850 9 месяцев назад

      ​@@bjzee1981tafuta hela ww

    • @Jimmy12692
      @Jimmy12692 9 месяцев назад +2

      @@bjzee1981😂😂😂 Hakuna msanii aliefikia hii lifestyle ya Mondi hapa Africa mashariki ukweli useme jamaa ni superstar kweli kweli😂😂

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 9 месяцев назад +3

    This is a true definition of a Super Star🎉

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 9 месяцев назад +3

    Diamond platnumz 🙌🤴🦁

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 9 месяцев назад +3

    Haya.mpangieni maisha mliosaidia kutafuta pesa.

  • @raphaelkayange9889
    @raphaelkayange9889 7 месяцев назад

    Hongera simba

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo4494 9 месяцев назад +3

    Hala ndioo tunaposemaga daimondi hafananishwi na huyo mavi hamo kupigapiga kelele tuuuu mpuuuzi huyoo

  • @upendoluva2066
    @upendoluva2066 9 месяцев назад

    Hongera zari umekunza watoto,baimond kanza buti upo vizuri baba.❤❤🎉

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 9 месяцев назад +5

    Simbaa🔥

  • @user-zu1wd4hj2v
    @user-zu1wd4hj2v 9 месяцев назад

    Acheni shobo kwasa babu diamond platnumz ni musani mudogo Sana Africa na kama unabisha mufatiliye davido au burna boy njo utajifunza mengi 😊

    • @StephanoMashavu-mw2ij
      @StephanoMashavu-mw2ij 9 месяцев назад

      Mm nkajua utamtaja wamfatilie harmonize au kiba kmbe Burnaby hapo nmekuelewa

  • @TajiriHalisi-ez1tf
    @TajiriHalisi-ez1tf 9 месяцев назад +3

    Simßaaaaahhhh🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 9 месяцев назад +2

    Maji namafuta uwa vinajitenga vyenyewe,huyu mwamba ndio nembo ya mziki wa nchi hii halafu kuna kunguni zinajifananisha na jamaa,ukitaka kufirisika nunua hizi ndinga kama wewe unamsuli kweli kama hujafunga gang🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-fx5gu6xs5o
    @user-fx5gu6xs5o 8 месяцев назад +1

    Diamond is another level❤❤❤❤

  • @user-fj3yf1my6e
    @user-fj3yf1my6e 9 месяцев назад +2

    Simba ndo simna tuu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 9 месяцев назад +10

    Mtangzj mbona husem akiw mpenzi wake Zuchu 🤣🤣

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 9 месяцев назад

      Zuchu na Boss wake wanaekekea kazini.

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 9 месяцев назад +1

      ​@@aaa64sa13tant pis pour toi tu cherches à te réconforter

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 9 месяцев назад +1

      Et vous avez trop mal les détracteurs

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 9 месяцев назад +2

    Simba lamasimba dangote Noma saana aisee 🔥💥💪🎶🎵🎼🔝🖐️💯📷

    • @mcgb5725
      @mcgb5725 9 месяцев назад

      Simbalamasimba Dangote wee zombiiii haujuiii ayayaaa ayaaaa wataelewa tu

  • @user-th5xz1fg5t
    @user-th5xz1fg5t 9 месяцев назад +5

    amebakiza t kuwa mtumixh wa kanixa

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 9 месяцев назад

    E nomaa

  • @MajaxAlp
    @MajaxAlp 9 месяцев назад

    Kuna wa Kaz na mud wa mapenz

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 9 месяцев назад +1

    life is too short vuruga baba unaishi mara moja tu

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 9 месяцев назад

    Super star,Super kabisa ile gumzo ya kitaa

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 9 месяцев назад +5

    Magari yote ninayo hayo na zaidi cjionyeshi tu😊

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 9 месяцев назад +2

    Huyu muha kajipata walahi😂

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 9 месяцев назад +2

    This dude knows how to position himself frfr

  • @vickystephano224
    @vickystephano224 9 месяцев назад +2

    Hela Hz jamaniiii

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 9 месяцев назад +2

    Konde hana pesa bali ana visent vya machungwa ila anatuna sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 9 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm 9 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 9 месяцев назад +8

    MAISHA ALIYOFIKIKIA DIAMOND HATA AKIACHA MZIKI HAFILISIKI TENA ANA PESA NYINGI

    • @flm1530
      @flm1530 9 месяцев назад +2

      Nan kakudangany hela za shetani zinadumu?

  • @user-qi7px6nb8r
    @user-qi7px6nb8r 9 месяцев назад

    Simba la masimba

  • @rajabuhamisi3230
    @rajabuhamisi3230 9 месяцев назад +4

    Msije mkaniambia mr nice alikuwa mkubwa kuliko Simba

    • @happymwaseba5878
      @happymwaseba5878 9 месяцев назад

      Nimeamua nicheke hapana dai hajui kitu alafu Hana ela Wala hajui kuimba nyie aibu naona Mimi sisi tuna maneno

    • @tariqdasulley
      @tariqdasulley 9 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 9 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @SabadopedridoSabadopedrio
    @SabadopedridoSabadopedrio 7 месяцев назад

    Ae

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 9 месяцев назад +1

    Konde hua anasema yko na Hela

  • @kelementbushishi3687
    @kelementbushishi3687 9 месяцев назад

    🦁🦁🦁🙌🙌🙌🙌

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 9 месяцев назад

    Wapi wakazi?!🤣

  • @user-xv8tb2fl5x
    @user-xv8tb2fl5x 9 месяцев назад +1

    Acheni kuiga mtafirisika

    • @issackathman850
      @issackathman850 9 месяцев назад

      haha ndo hvo ka uwezo wako wa marage afu unataka nyama mhhhh

  • @asahdhamza1034
    @asahdhamza1034 9 месяцев назад

    Chibdee chibdee

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar5304 9 месяцев назад

    licha ya mzik kuna kitu chakujifunya

  • @afterx3172
    @afterx3172 9 месяцев назад

    Sasa hao wengine si chawa na dancer na wao wapo kwnye msafara, ni ile tu kutafuta tension no more

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 9 месяцев назад

    We zombie 😂😂😂😂

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 9 месяцев назад

    makalio tu

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 9 месяцев назад +2

    Tatizo wasanii wa bongo mapicha picha mengi mno kwa sas kama huyo diamond anatuonyeshe ana maisha ya kitajili, ikitokea tu....! Amepata changamoto yoyote ya ki afya utaona tunaanza kuoombwa michango

    • @geoufo2858
      @geoufo2858 9 месяцев назад +6

      Ata bakressa akiumwaa miaka kumi ataomba mchango pia acha ushamba

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 9 месяцев назад +3

      unachosema kwa mtazamo wako ni sawa,ila haujaangalia madaraja anaweza akakwama na kuhitaji msaada lkn huo msaada sio kwa levo yako.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 месяцев назад

      ​@@geoufo2858muongo wewe

    • @hassanfigo6175
      @hassanfigo6175 9 месяцев назад +2

      Bro wewe waangalia sana bongo movie ndio maana. Lakini sio mondi kwa level hizo hapo hakuna mchango WCB tu wakitoa michango yao inatosha sio lazma nyote muusishwe

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 9 месяцев назад

      ​@@shahakaisi1920ni hizo hizi mia mia zetu

  • @kilimaone3632
    @kilimaone3632 9 месяцев назад +1

    Hii benz kanunua serikalini bei nyasi tu

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd 9 месяцев назад

      Hata nyasi wewe unamiliki?

    • @kilimaone3632
      @kilimaone3632 9 месяцев назад

      Ndio

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 9 месяцев назад +1

      Usipomuamini unaemdharau kuwa atafanya kitu fulan half akafanya lazim utafute neno la kujipoza na pressure, ungesema hta kapewa bure 😂😂

    • @issackathman850
      @issackathman850 9 месяцев назад

      nunua nww sasa

    • @kilimaone3632
      @kilimaone3632 9 месяцев назад

      @@issackathman850 tayar ninayo

  • @vannyapple3401
    @vannyapple3401 9 месяцев назад +1

    Juma2 Kuna watu wanamawe cyo pumbavu huyu

  • @DigonzaKeimbe-uq1bx
    @DigonzaKeimbe-uq1bx 9 месяцев назад

    🏂🏂🏂🏂

  • @amanikingu2267
    @amanikingu2267 9 месяцев назад +1

    Hivi kwa nn magari yote Simba ni yanarangi nyeusi

    • @masturasudi7394
      @masturasudi7394 9 месяцев назад

      Mmeanza

    • @jacobsanga6118
      @jacobsanga6118 9 месяцев назад

      Roz Roz kwan ni nyeusiii au macho yngu

    • @gabrielmpanda9709
      @gabrielmpanda9709 9 месяцев назад

      Gari yenye rangi nyeusi uonyesha Utawala,Ufalme,Uongozi na Kuheshimika na ndo maana unaweza kuona baadhi Gari nyingi zitumiwazo na Viongozi na watu mashuhuri Duniani ni za Rangi Nyeusi
      Lakini pia nasikia ukikuta zinauzwa Gari za aina moja na kuna nyeusi na za Rangi zinginezo basi yenye Rangi Nyeusi bei itakuwaa juu zaidi kidogo kuliko zenye Rangi nyingine

    • @shanatatrigger6537
      @shanatatrigger6537 9 месяцев назад

      Jibu ni hili kama hujui kaulize ila gari lenye rangi nyeusi ni bei kuliko rangi zinginezo

    • @Berly841
      @Berly841 9 месяцев назад

      Following S R K