Naseeb,,kama utanisikia,mnunulie mzee Abdul kindinga flani hivi,napendekeza iwe Toyota Avensis new model,ili naye afarijike hata kama ni baba mlezi naamini ana KAMCHANGO kwako hata kama ni kadogo.Binafsi nakukubali Sana Mungu kakujaalia nyota Yako inang'aa.💪
Yani dah maisha bwana kweli mungu humpa anae mtaka na humnyima anae ntaka cc wengine hata ile kula ya maramoja nishida dah haya bwana hongera sana mondi simba
Hatujapato kusikia Watu wakikaa n'a kubisha iwapo star wao kafanya vizuri Ila huku kwetu , Léo hili bovu , Jana ni la second hand, yote yanini hayo kanununua kanununua, that's seat hoyiiiii jamani panda diamond wawache waseme Yako yanakunyokea tuuuu WE love you simba
Ndo ivo maisha atulingani bana sie mond anatutisha sababu katupita kifedha lkn huyo huyo mond pia anawatu wake ambao awezi gusa hata pua tu kifedha mfano yule kad b alomzawadia saa mwanae ya milion miatano na uchafu sasa jiulize mond anaweza tia miguu pale hayo ndo maisha ktk dunia hii tupige kazi
WAZARAMO WANASEMA MKULU BULE. (yani mkubwa bule)))mwijaku ww ni MTU mzima lkn bule kbs.......kumbuka uliapa kutembea uchi ...hy tunasubiri majabu ya yako......mi nakuomba punguza ngenga......naww km unaweza kufanya zaidi ya diamond. fanya tuyaone 🤣😂😂😂🤣pole sn blaza kaka
Umaskini wangu faraja yangu usingizi wangu. Mungu nipe ridhiki halali.
Amiin yarbi
Kabisa kila mtu anakiwango chake cha mafanikio Mungu aliyompangia
@@pendolazaro4686 umeonaee.
Umuongo hujapata
K.Mziwada Me Mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila ninakupenda tena Sana. Yani siwezi elezea Aki. Keep it up K.Mziwada.
Naseeb,,kama utanisikia,mnunulie mzee Abdul kindinga flani hivi,napendekeza iwe Toyota Avensis new model,ili naye afarijike hata kama ni baba mlezi naamini ana KAMCHANGO kwako hata kama ni kadogo.Binafsi nakukubali Sana Mungu kakujaalia nyota Yako inang'aa.💪
Diamond wewe ndo simba wa tz unatisha sana tena watasubli mnoo
Cmbaaaaaaaaaaa anaunguruma Tz MUNGU nimwema
Simbaaaaaaaaaaaaa ww unatisha
Asante sana umeleta heshima bongo kwa gari hilo lakifahar
Yani dah maisha bwana kweli mungu humpa anae mtaka na humnyima anae ntaka cc wengine hata ile kula ya maramoja nishida dah haya bwana hongera sana mondi simba
H baba HV yukoje Huko je mwijaku baba levo alisema lakin
Hongera kaka mwichapu atakoma mwaka huu wanyeshe makimba mbwa hao h baba kunya mabc tuone kimba lako
😂😂😂😂😂😂kkkkk ataanzaje
Kila mtu anakiwango chake cha mafanikio so hongera kwake
Big sana mond
Hatujapato kusikia Watu wakikaa n'a kubisha iwapo star wao kafanya vizuri Ila huku kwetu , Léo hili bovu , Jana ni la second hand, yote yanini hayo kanununua kanununua, that's seat hoyiiiii jamani panda diamond wawache waseme Yako yanakunyokea tuuuu WE love you simba
Wewe dada nakukubali kweli sikudanganye mimi sio mtanzania ila....nakukubali
Weee kwl
Ndo ivo maisha atulingani bana sie mond anatutisha sababu katupita kifedha lkn huyo huyo mond pia anawatu wake ambao awezi gusa hata pua tu kifedha mfano yule kad b alomzawadia saa mwanae ya milion miatano na uchafu sasa jiulize mond anaweza tia miguu pale hayo ndo maisha ktk dunia hii tupige kazi
Jamaa ameyaweza masharti ya free mason
kweli
Simba wa Afrika Diamondi
Mungu nilinde na kidogo changu kitokacho kwa jasho langu ya bila miinuko. Sahisi n raha wakati wa sacrifice n vilio hehe heee
Diamondi co wa kumlinganisha na hamo mv
Simbasimbasimbasimba Africa
Simbaaa kama simbaaa
Watanzania jifundisheni Kizungu vizuri mtatuaibisha
Ndiomana zari kamtimua kiben ten wake huyu mondi anamihela Jmn amejua kutufungisha midomo hatuna tena lakusema
Umetishaaaa diamond platinum me it up simbaaaaa
Umetisha Sana diamond platinum kept it up simbaaaaaaaaaaaaa we ndoooo baba laoooooooo
Asante Asante platnumz
Mondi n shida toomuch money mondi anamanoti sii kitoto hakuna msanii wakumfikia bongo hii
Kwani ilo Gari litapita juu au chini 🤣🤣🤣
Noma sana diamond
Naomba mwijako atoe nguo
Nakubalii
Chibu hatar mia ya mia kaka
Love 🦁
👍👍👍💯💯
Mwijako msengee
Simbaaaaaaaaa tumeon ndot yak
Safi mfano wa kuigwa
nguvu za giza end times umeyaweza masharti ya freemason
Wewe utabaki ivo na shida zako umejuaje kama nguvu Za giza
M.j atapatatabu sana huwezi kushindana na Simba
Hiyo gari ya beyonce' sio ya diamond
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ginimbi. Wa tz nakukubali xana
Jm
Magari kama hiyo mengi Kenya !!!! Mbona makelele ????
Diamond no MTU wa ajabu xan ambaye hakuna msanii mwingine zaidi yake
Mhhh, 🤣🤣, mungu Yu pamoja nasi
Hii sio Roy's roys hunajua milango ya Roy's roys inafunguka kutoka nyuma kwenda mbele sio mbele kuja nyuma hiyo sio Roy's roys ni fake
😅😅ushamba mzigo kwan kila kitu chako lazima ukuweke waz😤😤😤
Hayo.nimapambo.yadunia.engekuwa.kapata.pepo.ningemuona.nimtu.lakini.wewe.mungu.tupe.riziki.zahalali
eti sawa nimekaa ni gari! hiyo yako inaitwaje
inawezekana, ni pesa tu
Yaani mtangazaji mzima wa Media unaaibu ndogo eti Roll's Royce yakushinda kusoma 🤣🤣🤣
Piga kazi simbaaaaaaaaaaaa piga kerereeeeeee
Naomba jamani atembee huyo mkubwa wa pua lakini akili zake makasi
Baba watese Sana
Nawanateseka haswaaaaa
salut,mond
Wakomeshe baba lao nabado
Hamo aendelee kukuza mwil
Gali lenyewe bayaaaaaaaa
Wivu tu muone
Una teseka ukiwa wap
Nunua na wewe hilo baya nyau wewe
Unaesema baya hata tail za baiskel hauna
kwni hiyo gari ni tirioni ngapi?
Kwan Gari lenyewe linasemaje
Simba ni chibokoooooooo
Namkubali Simba nataka Anisaport Mimi ni msanii Bado sija weza kurecord juu ya hele
Nautabaki ivo ivo kamaunamusuburi diamontpltnum hahahha
Simba Ni Simba tu
mond mwambieni aseme ukweli wa hiyo gar amepewa na msanii mkubwa sana muulizeni mond aseme ukweli
Mwuulize wewe alaf nenda naww ukapewe acheni jelous wabongo
WAZARAMO WANASEMA MKULU BULE. (yani mkubwa bule)))mwijaku ww ni MTU mzima lkn bule kbs.......kumbuka uliapa kutembea uchi ...hy tunasubiri majabu ya yako......mi nakuomba punguza ngenga......naww km unaweza kufanya zaidi ya diamond. fanya tuyaone 🤣😂😂😂🤣pole sn blaza kaka
Muacheni ushamba
Fuck all hatters 😀😀😀😀😀
Ustadhi Juma na Musoma Mwinijaku na H baba kimyaaaaa .
Harmonize amna pesa kweli ila mondi amenunuwa fake
wewe chawa2 mrangazaji auna abari nyingine?
Ww unarudia tu maneno mengi Sana unaongea Sana vitu vingi
Jembe
Sio gali ni gari, jaribu kuzitumia vizuri L na R...
Zanzibar TX huku achen ishamba
Hiyo ni feki yaan tushaa pigwa
We umewai kuona ata ist feki
Mondi ni bara
Mimi sikuelewi ukomwanaume wala mwanamuke ? Sauti khaaaa kaka wewe
Huon matiti kwan?
Domo weeeeeee
😂😂😂😂😂😂
Nikali sana
Mbn unaongea xn ww
Tuekee hlo Gali tulione maajabu yke
Kama feki na wewe kanunuwe iyo feki kuma wewe na ostazi mla nguruwe
😂😂
Una meemee nyingi!! Sana !! Your title don't match what you say!! I unsubscribe!!!
Fake fake pirate only
Usijione umefik utakuf utaviach
Hayo maneno ya mafukara. Tafuta pesa acha maneno ya shombo. Aliyenacho anacho tu.