TAZAMA MAAJABU YA GARI YA DIAMOND ROYCE ROLLS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 108

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 3 года назад +10

    Umaskini wangu faraja yangu usingizi wangu. Mungu nipe ridhiki halali.

  • @carolmwangi6223
    @carolmwangi6223 3 года назад +3

    K.Mziwada Me Mkenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila ninakupenda tena Sana. Yani siwezi elezea Aki. Keep it up K.Mziwada.

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro 3 года назад

    Naseeb,,kama utanisikia,mnunulie mzee Abdul kindinga flani hivi,napendekeza iwe Toyota Avensis new model,ili naye afarijike hata kama ni baba mlezi naamini ana KAMCHANGO kwako hata kama ni kadogo.Binafsi nakukubali Sana Mungu kakujaalia nyota Yako inang'aa.💪

  • @avitydamian1994
    @avitydamian1994 3 года назад +8

    Diamond wewe ndo simba wa tz unatisha sana tena watasubli mnoo

  • @issamvugusi514
    @issamvugusi514 3 года назад +5

    Cmbaaaaaaaaaaa anaunguruma Tz MUNGU nimwema

  • @saidiramadhani5856
    @saidiramadhani5856 3 года назад +5

    Simbaaaaaaaaaaaaa ww unatisha

  • @michaelmchau6089
    @michaelmchau6089 3 года назад

    Asante sana umeleta heshima bongo kwa gari hilo lakifahar

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 3 года назад

    Yani dah maisha bwana kweli mungu humpa anae mtaka na humnyima anae ntaka cc wengine hata ile kula ya maramoja nishida dah haya bwana hongera sana mondi simba

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад +4

    H baba HV yukoje Huko je mwijaku baba levo alisema lakin

  • @hamisimohamedhamisi3241
    @hamisimohamedhamisi3241 3 года назад +1

    Hongera kaka mwichapu atakoma mwaka huu wanyeshe makimba mbwa hao h baba kunya mabc tuone kimba lako

    • @abelypeter3225
      @abelypeter3225 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂kkkkk ataanzaje

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 3 года назад +2

    Kila mtu anakiwango chake cha mafanikio so hongera kwake

  • @tygerfire9086
    @tygerfire9086 3 года назад

    Big sana mond

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +1

    Hatujapato kusikia Watu wakikaa n'a kubisha iwapo star wao kafanya vizuri Ila huku kwetu , Léo hili bovu , Jana ni la second hand, yote yanini hayo kanununua kanununua, that's seat hoyiiiii jamani panda diamond wawache waseme Yako yanakunyokea tuuuu WE love you simba

  • @officialssimba2181
    @officialssimba2181 3 года назад +1

    Wewe dada nakukubali kweli sikudanganye mimi sio mtanzania ila....nakukubali

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 3 года назад

    Ndo ivo maisha atulingani bana sie mond anatutisha sababu katupita kifedha lkn huyo huyo mond pia anawatu wake ambao awezi gusa hata pua tu kifedha mfano yule kad b alomzawadia saa mwanae ya milion miatano na uchafu sasa jiulize mond anaweza tia miguu pale hayo ndo maisha ktk dunia hii tupige kazi

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 3 года назад +1

    Jamaa ameyaweza masharti ya free mason

  • @borahmlamba5030
    @borahmlamba5030 3 года назад

    Simba wa Afrika Diamondi

  • @personcriticalthinking7162
    @personcriticalthinking7162 3 года назад

    Mungu nilinde na kidogo changu kitokacho kwa jasho langu ya bila miinuko. Sahisi n raha wakati wa sacrifice n vilio hehe heee

  • @adamubatamwaki3945
    @adamubatamwaki3945 3 года назад +2

    Diamondi co wa kumlinganisha na hamo mv

  • @richardsprian7367
    @richardsprian7367 3 года назад

    Simbasimbasimbasimba Africa

  • @SomeOne-wh4yu
    @SomeOne-wh4yu 3 года назад

    Simbaaa kama simbaaa

  • @feiswalmohammad4101
    @feiswalmohammad4101 3 года назад

    Watanzania jifundisheni Kizungu vizuri mtatuaibisha

  • @asyaasya3766
    @asyaasya3766 3 года назад +3

    Ndiomana zari kamtimua kiben ten wake huyu mondi anamihela Jmn amejua kutufungisha midomo hatuna tena lakusema

    • @acrenjulius1675
      @acrenjulius1675 3 года назад

      Umetishaaaa diamond platinum me it up simbaaaaa

    • @acrenjulius1675
      @acrenjulius1675 3 года назад

      Umetisha Sana diamond platinum kept it up simbaaaaaaaaaaaaa we ndoooo baba laoooooooo

  • @kennygiftmalawi20w06
    @kennygiftmalawi20w06 3 года назад

    Asante Asante platnumz

  • @shadrackzablon5983
    @shadrackzablon5983 3 года назад +1

    Mondi n shida toomuch money mondi anamanoti sii kitoto hakuna msanii wakumfikia bongo hii

  • @fatemaligalawa1918
    @fatemaligalawa1918 3 года назад +1

    Kwani ilo Gari litapita juu au chini 🤣🤣🤣

  • @machemkojohn9611
    @machemkojohn9611 3 года назад

    Noma sana diamond

  • @congojohnpius4554
    @congojohnpius4554 3 года назад +1

    Naomba mwijako atoe nguo

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 3 года назад

    Nakubalii

  • @emmanuellamosai5239
    @emmanuellamosai5239 3 года назад +2

    Chibu hatar mia ya mia kaka

  • @kignbrown9559
    @kignbrown9559 3 года назад

    Love 🦁

  • @saidabdallah3737
    @saidabdallah3737 3 года назад

    👍👍👍💯💯

  • @chidytz2851
    @chidytz2851 3 года назад

    Mwijako msengee

  • @uzairikbal5305
    @uzairikbal5305 3 года назад +1

    Simbaaaaaaaaa tumeon ndot yak

  • @babulove_official
    @babulove_official 3 года назад +1

    Safi mfano wa kuigwa

  • @joseckndubi8248
    @joseckndubi8248 3 года назад

    nguvu za giza end times umeyaweza masharti ya freemason

    • @tygerfire9086
      @tygerfire9086 3 года назад

      Wewe utabaki ivo na shida zako umejuaje kama nguvu Za giza

  • @yussufamour6567
    @yussufamour6567 3 года назад

    M.j atapatatabu sana huwezi kushindana na Simba

  • @lm6373
    @lm6373 3 года назад

    Hiyo gari ya beyonce' sio ya diamond

  • @esauedison8136
    @esauedison8136 3 года назад +1

    Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @iwenikigodi4061
    @iwenikigodi4061 3 года назад

    Ginimbi. Wa tz nakukubali xana

  • @eliasmutsumbirwa7415
    @eliasmutsumbirwa7415 3 года назад

    Jm

  • @mosetidaniel2551
    @mosetidaniel2551 3 года назад

    Magari kama hiyo mengi Kenya !!!! Mbona makelele ????

  • @abdulyunusi4983
    @abdulyunusi4983 3 года назад

    Diamond no MTU wa ajabu xan ambaye hakuna msanii mwingine zaidi yake

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 3 года назад +2

    Mhhh, 🤣🤣, mungu Yu pamoja nasi

  • @sheikhmzee4700
    @sheikhmzee4700 3 года назад +1

    Hii sio Roy's roys hunajua milango ya Roy's roys inafunguka kutoka nyuma kwenda mbele sio mbele kuja nyuma hiyo sio Roy's roys ni fake

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 года назад

    😅😅ushamba mzigo kwan kila kitu chako lazima ukuweke waz😤😤😤

  • @fahmaali8945
    @fahmaali8945 3 года назад

    Hayo.nimapambo.yadunia.engekuwa.kapata.pepo.ningemuona.nimtu.lakini.wewe.mungu.tupe.riziki.zahalali

  • @gizakazeno1688
    @gizakazeno1688 3 года назад

    eti sawa nimekaa ni gari! hiyo yako inaitwaje

  • @mwayadickson6044
    @mwayadickson6044 3 года назад

    inawezekana, ni pesa tu

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад

    Yaani mtangazaji mzima wa Media unaaibu ndogo eti Roll's Royce yakushinda kusoma 🤣🤣🤣

  • @richardsprian7367
    @richardsprian7367 3 года назад

    Piga kazi simbaaaaaaaaaaaa piga kerereeeeeee

  • @emmanuelnicholaus2741
    @emmanuelnicholaus2741 3 года назад

    Naomba jamani atembee huyo mkubwa wa pua lakini akili zake makasi

  • @shaybobo4875
    @shaybobo4875 3 года назад

    Baba watese Sana

  • @richadandrew1889
    @richadandrew1889 3 года назад

    salut,mond

  • @barakapeter4105
    @barakapeter4105 3 года назад

    Wakomeshe baba lao nabado

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 3 года назад +1

    Hamo aendelee kukuza mwil

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 3 года назад +1

    Gali lenyewe bayaaaaaaaa

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 года назад

    kwni hiyo gari ni tirioni ngapi?

  • @golder3410
    @golder3410 3 года назад

    Kwan Gari lenyewe linasemaje

  • @sadamkhamis1956
    @sadamkhamis1956 3 года назад

    Simba ni chibokoooooooo

  • @officialelijahjuma7635
    @officialelijahjuma7635 3 года назад

    Namkubali Simba nataka Anisaport Mimi ni msanii Bado sija weza kurecord juu ya hele

    • @officialssimba2181
      @officialssimba2181 3 года назад

      Nautabaki ivo ivo kamaunamusuburi diamontpltnum hahahha

  • @stevemakalicomedy5104
    @stevemakalicomedy5104 3 года назад

    Simba Ni Simba tu

  • @khalimudodoma6045
    @khalimudodoma6045 3 года назад

    mond mwambieni aseme ukweli wa hiyo gar amepewa na msanii mkubwa sana muulizeni mond aseme ukweli

    • @shadrackzablon5983
      @shadrackzablon5983 3 года назад

      Mwuulize wewe alaf nenda naww ukapewe acheni jelous wabongo

  • @samlisili7032
    @samlisili7032 3 года назад

    WAZARAMO WANASEMA MKULU BULE. (yani mkubwa bule)))mwijaku ww ni MTU mzima lkn bule kbs.......kumbuka uliapa kutembea uchi ...hy tunasubiri majabu ya yako......mi nakuomba punguza ngenga......naww km unaweza kufanya zaidi ya diamond. fanya tuyaone 🤣😂😂😂🤣pole sn blaza kaka

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 3 года назад

    Muacheni ushamba

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 года назад +1

    Fuck all hatters 😀😀😀😀😀
    Ustadhi Juma na Musoma Mwinijaku na H baba kimyaaaaa .

  • @officialssimba2181
    @officialssimba2181 3 года назад

    Harmonize amna pesa kweli ila mondi amenunuwa fake

  • @jumanneshego2340
    @jumanneshego2340 3 года назад

    wewe chawa2 mrangazaji auna abari nyingine?

  • @barutbarut3828
    @barutbarut3828 3 года назад

    Ww unarudia tu maneno mengi Sana unaongea Sana vitu vingi

  • @agnesmabula8521
    @agnesmabula8521 3 года назад

    Jembe

  • @AcroBantu
    @AcroBantu 3 года назад

    Sio gali ni gari, jaribu kuzitumia vizuri L na R...

  • @hakimalen712
    @hakimalen712 3 года назад

    Zanzibar TX huku achen ishamba

  • @roddyfawaz8167
    @roddyfawaz8167 3 года назад

    Hiyo ni feki yaan tushaa pigwa

    • @issaausi9038
      @issaausi9038 3 года назад

      We umewai kuona ata ist feki

  • @barakasamweli721
    @barakasamweli721 3 года назад

    Mondi ni bara

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 года назад

    Mimi sikuelewi ukomwanaume wala mwanamuke ? Sauti khaaaa kaka wewe

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 года назад

    Domo weeeeeee

  • @laizakimalokileli8560
    @laizakimalokileli8560 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @mch7434
    @mch7434 3 года назад

    Nikali sana

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 3 года назад

    Kama feki na wewe kanunuwe iyo feki kuma wewe na ostazi mla nguruwe

  • @mickeychui5631
    @mickeychui5631 3 года назад

    Una meemee nyingi!! Sana !! Your title don't match what you say!! I unsubscribe!!!

  • @officialssimba2181
    @officialssimba2181 3 года назад

    Fake fake pirate only

    • @johariboniface7155
      @johariboniface7155 3 года назад

      Usijione umefik utakuf utaviach

    • @raykas9976
      @raykas9976 3 года назад

      Hayo maneno ya mafukara. Tafuta pesa acha maneno ya shombo. Aliyenacho anacho tu.