MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2024
  • MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 116

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 4 месяца назад +40

    Yani Mondi tuta mdisi ila mwamba ana moyo safi sana na ndio maana hawezekani akiamua anakua kenge wa blue ni blue akiamua kua kenge wa njano ni njano kwa hio tz huyu hana mpinzani

  • @KOBABoy-xt6ug
    @KOBABoy-xt6ug 4 месяца назад +15

    Noma saana❤

  • @user-qr5bm9uy1s
    @user-qr5bm9uy1s 4 месяца назад +14

    Simba lamasimba dangote ❣️

  • @ashaali2853
    @ashaali2853 3 месяца назад +1

    Diamond ana roho safi sana mungu amzidishie

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 месяца назад +6

    Mr Bluu ❤

  • @JohnnyFumbo-ml3bx
    @JohnnyFumbo-ml3bx 4 месяца назад +15

    Bongs moja la Ngoma

  • @user-lo9uj7qv4o
    @user-lo9uj7qv4o 4 месяца назад +11

    Nipe❤❤❤❤

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 месяца назад +4

    Blue 💙

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 4 месяца назад +3

    Haujui ❤❤

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga1095 4 месяца назад +37

    Huyu mondi anafanya kazi kweli

    • @ecadiesel2155
      @ecadiesel2155 4 месяца назад

      𝑼𝒏𝒂𝒖𝒍𝒊𝒛𝒂 𝒔𝒘𝒂𝒍𝒊????

    • @user-yu5yk8rv1y
      @user-yu5yk8rv1y 4 месяца назад

      Hakika ni wivu tu

    • @SADICKITHOMAS
      @SADICKITHOMAS 4 месяца назад

      Wivu tz ndio viwanda,,wapo tayari kusapoti lugha ya kinaijeria wasioilewa,,wakati wana wanawakilisha kiswahili safi

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 4 месяца назад

      Video ya alikiba masaa t unashoot , mond unyama sana

  • @user-yf8ij9vi9j
    @user-yf8ij9vi9j 4 месяца назад +1

    Ongera sana mondo big up kwako kaka

  • @bonfilsmassi4686
    @bonfilsmassi4686 3 месяца назад

    Diamond ni mpambanaji.
    kazi haitaki uvivu👏👍👌🤝💪💪

  • @julienbirere8310
    @julienbirere8310 4 месяца назад +4

    Nice ❤

  • @user-ly3ob4vp3c
    @user-ly3ob4vp3c 4 месяца назад

    Hii song inahisia za kweli mzee wa blue blue kauwa kwenye verse 💙

  • @aymanbinyumen3747
    @aymanbinyumen3747 4 месяца назад

    What a perfect re do

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 3 месяца назад +1

    Mr blue ❤

  • @user-vp9gk2dh3y
    @user-vp9gk2dh3y 3 месяца назад

    🎉woosh blue

  • @fpmissguyalbertor209
    @fpmissguyalbertor209 4 месяца назад

    Blue ❤

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 4 месяца назад

    Mr blue nae yuko vizuri

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 4 месяца назад +18

    Kuna watu wako serious na kaz zao

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 4 месяца назад +3

    Yn simba ww ni hazina ya Tz❤❤❤🎉🎉🎉

  • @darlenedada651
    @darlenedada651 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤🎉

  • @othmanmusilm
    @othmanmusilm 4 месяца назад +11

    Byser ❤❤❤

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 4 месяца назад

    Mr blue noma sana

  • @bigletterletter3113
    @bigletterletter3113 4 месяца назад +3

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 3 месяца назад

    Inatakiwa watizedi tupendane sana

  • @shatepsofficial170
    @shatepsofficial170 3 месяца назад

    🎉🎉🎉

  • @GuezBoy
    @GuezBoy 3 месяца назад

    🎉🎉Uyuni Ombi dagote

  • @omarykimamure7656
    @omarykimamure7656 4 месяца назад +6

    Babilon Bz

  • @user-ki5cq5do1v
    @user-ki5cq5do1v 4 месяца назад +2

    simba mungu akubark sana msanii pekee anzania nobar moja kila.pande tz

  • @ETemba21
    @ETemba21 2 месяца назад

    Daaahhh hiyo ni bonge la shoo

  • @msdmambosawa3125
    @msdmambosawa3125 2 месяца назад

    Mrblue

  • @ZainabuIsmail-fm2ey
    @ZainabuIsmail-fm2ey 4 месяца назад +8

    Binadam wana shida yani wanatamani watu wote wamnunie mond kitu ambacho akiwezekani wasanii wenyewe wamejitafakali wameona upuuzi mashabiki mnasababisha wanamziki wasipendane kwa maslai yenu wameshajielewa atabakia yule alieapa kwa mungu kwamba ataongea na mond akijua mond atkia mdogo molele alivyobaniwa midia walifulahia awkujua mungu anamuandalia nn mtu wake kwa vile alikua mjnja katumis mitandao kajuliksna bila tivii atimae kaleta mifia yakwake tunawapongeza wale wote walioamua kuumgsna na mond wanajieleea wengine waliongea maneno mazito wanaona aibu ila wanatsmaniawna jinsi awmeamua kujiweka kwa konde wantamani usafin daimond mungu kakunyima roho mbaya ndio mana unafsnikiwa ongera wcb mboso zuchi lavalava v voic na wale watakao kuja hii ni yetu soteongera mama mond mungu akujazie afya uzidi kumuona manao anapepea asnte wanafamilia ya wasafi atuyumbishwi ngvu moja ongera wafanyakazi nawatangzaji wote wa wasafi usafini raha kumshabikia mtu snaejielewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 4 месяца назад +1

      Umeongea vyema sana Masha biki wa TANZANIA ni tatizo sana, wanashindwa kuangalia jamaa alivyowainua wenzake wanampiga majungu. Kuna shida kwny vichwa vya watu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 3 месяца назад

      Usilolijua nisawa na Usiku wa giza...unamjua diamond kwa nje,ila nyuma ya diamond huijui

  • @belitomanuel6240
    @belitomanuel6240 4 месяца назад +4

    Blue

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p 4 месяца назад +1

    Mapoz#habar ya mjini

  • @ashrafadam4629
    @ashrafadam4629 4 месяца назад

    Nakubal sana simbaaaaa

  • @mattjr4206
    @mattjr4206 4 месяца назад +8

    Byser anaoneka mtu poa sana

  • @highcancara1993
    @highcancara1993 4 месяца назад +10

    Siyo lazima watu wote wampende mond,kiba wala harmonize kila mtu na chaka lake

  • @user-tz9mi8bf4y
    @user-tz9mi8bf4y 3 месяца назад

    Sawa bhana

  • @rajibabalao001
    @rajibabalao001 4 месяца назад +3

    Chibu😮😮 kama 😮😮chibu

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 28 дней назад

    Masimba mawili yanaungurumisha East Africa....Blue anachana sio kidgo ila nadhn mondi alipaswa kuchana nahisi ipikwe season three

  • @user-mp6rx7gm3v
    @user-mp6rx7gm3v 4 месяца назад +1

    Nikwere la baba

  • @vincentmvuyekure5920
    @vincentmvuyekure5920 3 месяца назад

    🎉🎉napenda hii channel🎉😂😅

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 4 месяца назад +5

    Jesus piece

  • @user-yu5yk8rv1y
    @user-yu5yk8rv1y 4 месяца назад

    Simba ni noma

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 4 месяца назад +7

    Buyser

  • @FECFAMILYWORLDWIDE
    @FECFAMILYWORLDWIDE 4 месяца назад +9

    IDEA GANI AMA IO NGOMA NI YA MR BLUE 13YEARS AGO

    • @dicksonmichael5793
      @dicksonmichael5793 4 месяца назад +2

      20 year mzee kwa kifupi ni remix

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 4 месяца назад +2

      Si ndiyo wanyooshe maelezo

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 4 месяца назад +4

      Ni Idea pia ya muendelezo na ubunifu na sio Remix
      Labda kama haujui maana ya remix
      Beats tofauti kabisa
      Arrangements, tone na mpangilio wa kuimba na blue alivyo flow...ila tuuu ni yale maneno ya Mapoz....
      Ndio hivyo mashabiki tulivyo
      Kama haumkubali mtu hata upewe dhahabu.. lkn Simba ni mmoja tuuu...hapa kamrudisha mr.Blue
      Na blue amedhihirisha kuwa bado yupo sana....na J melody kaonyesha kuwa yy ni mtaalam wa hizi beats.. ngoma ni tamu kwa kweli...kama hamuamini subirini matikiti kudondoka au kudondokewa😂😂😂

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 месяца назад +2

    Blou unajua

  • @jackisrael.I.B.E.X
    @jackisrael.I.B.E.X 3 месяца назад

    Blu alitoa wapi jina Bysa jamani 😂nampendaga bure❤

  • @danyakala
    @danyakala 4 месяца назад +3

    Mr blue hazeeki

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 месяца назад +1

    Blue n mkali xna toka zmn...yye ndio kafunika wote...michano ...alafu cwajua Ngoma aliishaiimbaga toka utotoni...xai ilikua anairudia ukubwani...vnye ilikua inafaa atie hio verse

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 4 месяца назад +1

    Bayser

  • @elisafikarigo5978
    @elisafikarigo5978 3 месяца назад

    Byser ndo mrithi wa King Albert Mangwea..aka kaobama

  • @saidissa4741
    @saidissa4741 4 месяца назад

    Simbaaaaaaaaaaaaaa

  • @masoudjuma8974
    @masoudjuma8974 4 месяца назад

    simba apewe nauwa kwaupendo

  • @falialawelole565
    @falialawelole565 21 день назад

    ❤❤❤❤❤😂💐💐💐

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 4 месяца назад +2

    Mtu anakesha alaf akifanikiwa anaitwa freemason mnaujua usingizi wa usiku ulivyo mtamu?

  • @user-np5ry2bf5q
    @user-np5ry2bf5q 4 месяца назад +7

    MAPOZ has stopped counting views on RUclips ⚠️⚠️⚠️⚠️

  • @user-wm6xk1xf1d
    @user-wm6xk1xf1d 4 месяца назад +1

    Mi bana mikono juuu mwendo wa mateka juu ya goma ya mapoz yaan huku mtaan ni fire, made it ni nyimbo ama???

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 4 месяца назад

    Tungekuwa na akina Mond 10 wasanii vijana ambao wangepita mikono yao wangefika mbali sana

  • @marcosgicher7818
    @marcosgicher7818 3 месяца назад

    zawadi zote ni toka huku Uchina....hata akinunua New York, zipo kutengezwa huku napoishi Uchina

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 месяца назад +2

    Huyu dada mwenziwe mchaga anaguna tu yeye hana maelezo

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 месяца назад

    Yani blue umerudi Tena kwenye music? Mmmm

  • @emmanuelpius6387
    @emmanuelpius6387 3 месяца назад

    Diamond acha tu afanikiwe mana kila msanii anamuongeleaga jinsi gani alivyo seriaz kweny kazi zake

  • @yasinikimaro264
    @yasinikimaro264 3 месяца назад

    Kwan uyo dada anashika nn uko😂

  • @berryxmsanii
    @berryxmsanii 4 месяца назад

    Akabysaa anapendeza Sana kwenye mwonekano vile vile majibu yake yamefika cheo kingine

  • @Paris_Dept.
    @Paris_Dept. 4 месяца назад

    6:00 😅😅😅😅😅😅

    • @jee9473
      @jee9473 3 месяца назад

      Kokoto ndio nini 😂

    • @thomasaugust225
      @thomasaugust225 3 месяца назад

      matingas😅😅😂 blue uwaga anapenda Sana pombe kwsas😅😅ila jamaa nimkal kinyama

  • @antibiotic7238
    @antibiotic7238 3 месяца назад

    Diamond alishindikana ako na nyota zake

  • @hyramkusenha
    @hyramkusenha 4 месяца назад +3

    Babylonia bz mikazo mwanzo mwinga

  • @KalenjeMasoud-vg3om
    @KalenjeMasoud-vg3om 4 месяца назад

    Kwan aliyah kaenda wap kwenye hiki kpind

  • @rashididdi5140
    @rashididdi5140 4 месяца назад +5

    kashakua chawaaaaaaaa huyooooo

    • @lumulyimage4826
      @lumulyimage4826 4 месяца назад

      Daa! Mtu akihojiwa akaeleza vile anafeel chawaaa😂😂 hii nchi ngumu sana

  • @user-op7mh5sp4p
    @user-op7mh5sp4p 3 месяца назад

    Anae jua Maana ya Kokoto Msaada jamani😂😂

  • @DeBoy-oy2jg
    @DeBoy-oy2jg 3 месяца назад

    Mwanaume unajiramba rambà midomo alafu unalegeza viungo kama HANITHI

  • @carloskallomo7953
    @carloskallomo7953 3 месяца назад

    Ana roho yake huyo jamaa

  • @EzraCpeace
    @EzraCpeace 4 месяца назад

    Mondi music

  • @CassianMorris-gl2qe
    @CassianMorris-gl2qe 3 месяца назад

    Uwakika

  • @microfirekst3084
    @microfirekst3084 4 месяца назад +4

    Hakuna kitu hapo😅

    • @minabuelysee8
      @minabuelysee8 4 месяца назад

      Wivu😂😂😂😂

    • @microfirekst3084
      @microfirekst3084 4 месяца назад

      @@minabuelysee8 wivu mi sina hila sina imani🤣🤣🤣🤣🫂

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p 4 месяца назад +1

      Masikini wee tafta hela

    • @microfirekst3084
      @microfirekst3084 4 месяца назад

      @@user-pk1yl7zt8p mashabiki wa Mondi bana, ukiwazidi akili wanakuambia tafuta Hela 🤣🤣🤣🫂

    • @user-od7os6gg7n
      @user-od7os6gg7n 4 месяца назад

      Roho mbaya.....tunajua hukuzaliwa hivyo.....Umaskini tu unaokusumbua!!!

  • @user-mp6rx7gm3v
    @user-mp6rx7gm3v 4 месяца назад

    Bongo langoma iyopipi yakijiti nicheche mzebana

  • @ConnectDaily
    @ConnectDaily 4 месяца назад

    SET SIYO NZURI HATA KIDIGO

  • @user-yu5yk8rv1y
    @user-yu5yk8rv1y 4 месяца назад

    Mondi mkali nyie wivu tu

  • @user-lr8vm9yd4l
    @user-lr8vm9yd4l 4 месяца назад +2

    Unaliachaje kokoto wewe😂

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y 3 месяца назад

    tatizo blue umekua kama umechotwa akili mond kawashinda akili mwenzenu anafanya biashara nyie kazi yenu kumsifia ujiulizi zamani mbona alikua afanyi colabo na wasani kutoka tz sasa anafanya na wasani kama wote sasa hivi tz sababu kaona Hana dili tena kaona arudishe game home fasta kuwashika maskio mashabiki

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 4 месяца назад

    Did anyone knew this chap before his collab with Diamond? I bet his own family knew him. When someone tap on your shoulder, show some respect. Same clothes from the vids and you talk trash. I don't understand anyway

  • @neemammbaga227
    @neemammbaga227 4 месяца назад +5

    Kokoto ni familia😂😂

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 4 месяца назад

    Kokoto lile familia😁😅😅😅

  • @britiusrugemela7318
    @britiusrugemela7318 3 месяца назад

    Kokoto ndo nn