MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI"
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2024
- MR. BLUE AFUNGUKA ALIVYOMKIMBIA DIAMOND "NILIMZIMIA HADI SIMU, KANIPA ZAWADI NYINGI KUTOKA MAREKANI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Yani Mondi tuta mdisi ila mwamba ana moyo safi sana na ndio maana hawezekani akiamua anakua kenge wa blue ni blue akiamua kua kenge wa njano ni njano kwa hio tz huyu hana mpinzani
Noma saana❤
Simba lamasimba dangote ❣️
Diamond ana roho safi sana mungu amzidishie
Mr Bluu ❤
Bongs moja la Ngoma
Nipe❤❤❤❤
Blue 💙
Haujui ❤❤
Huyu mondi anafanya kazi kweli
𝑼𝒏𝒂𝒖𝒍𝒊𝒛𝒂 𝒔𝒘𝒂𝒍𝒊????
Hakika ni wivu tu
Wivu tz ndio viwanda,,wapo tayari kusapoti lugha ya kinaijeria wasioilewa,,wakati wana wanawakilisha kiswahili safi
Video ya alikiba masaa t unashoot , mond unyama sana
Ongera sana mondo big up kwako kaka
Diamond ni mpambanaji.
kazi haitaki uvivu👏👍👌🤝💪💪
Nice ❤
Hii song inahisia za kweli mzee wa blue blue kauwa kwenye verse 💙
What a perfect re do
Mr blue ❤
🎉woosh blue
Blue ❤
Mr blue nae yuko vizuri
Kuna watu wako serious na kaz zao
Kabisa
Yn simba ww ni hazina ya Tz❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤🎉
Byser ❤❤❤
Mr blue noma sana
❤❤❤❤❤❤
Inatakiwa watizedi tupendane sana
🎉🎉🎉
🎉🎉Uyuni Ombi dagote
Babilon Bz
simba mungu akubark sana msanii pekee anzania nobar moja kila.pande tz
Daaahhh hiyo ni bonge la shoo
Mrblue
Binadam wana shida yani wanatamani watu wote wamnunie mond kitu ambacho akiwezekani wasanii wenyewe wamejitafakali wameona upuuzi mashabiki mnasababisha wanamziki wasipendane kwa maslai yenu wameshajielewa atabakia yule alieapa kwa mungu kwamba ataongea na mond akijua mond atkia mdogo molele alivyobaniwa midia walifulahia awkujua mungu anamuandalia nn mtu wake kwa vile alikua mjnja katumis mitandao kajuliksna bila tivii atimae kaleta mifia yakwake tunawapongeza wale wote walioamua kuumgsna na mond wanajieleea wengine waliongea maneno mazito wanaona aibu ila wanatsmaniawna jinsi awmeamua kujiweka kwa konde wantamani usafin daimond mungu kakunyima roho mbaya ndio mana unafsnikiwa ongera wcb mboso zuchi lavalava v voic na wale watakao kuja hii ni yetu soteongera mama mond mungu akujazie afya uzidi kumuona manao anapepea asnte wanafamilia ya wasafi atuyumbishwi ngvu moja ongera wafanyakazi nawatangzaji wote wa wasafi usafini raha kumshabikia mtu snaejielewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Umeongea vyema sana Masha biki wa TANZANIA ni tatizo sana, wanashindwa kuangalia jamaa alivyowainua wenzake wanampiga majungu. Kuna shida kwny vichwa vya watu
Usilolijua nisawa na Usiku wa giza...unamjua diamond kwa nje,ila nyuma ya diamond huijui
Blue
Mapoz#habar ya mjini
Nakubal sana simbaaaaa
Byser anaoneka mtu poa sana
Siyo lazima watu wote wampende mond,kiba wala harmonize kila mtu na chaka lake
Kabisa
Sawa bhana
Chibu😮😮 kama 😮😮chibu
Masimba mawili yanaungurumisha East Africa....Blue anachana sio kidgo ila nadhn mondi alipaswa kuchana nahisi ipikwe season three
Nikwere la baba
🎉🎉napenda hii channel🎉😂😅
Jesus piece
Simba ni noma
Buyser
IDEA GANI AMA IO NGOMA NI YA MR BLUE 13YEARS AGO
20 year mzee kwa kifupi ni remix
Si ndiyo wanyooshe maelezo
Ni Idea pia ya muendelezo na ubunifu na sio Remix
Labda kama haujui maana ya remix
Beats tofauti kabisa
Arrangements, tone na mpangilio wa kuimba na blue alivyo flow...ila tuuu ni yale maneno ya Mapoz....
Ndio hivyo mashabiki tulivyo
Kama haumkubali mtu hata upewe dhahabu.. lkn Simba ni mmoja tuuu...hapa kamrudisha mr.Blue
Na blue amedhihirisha kuwa bado yupo sana....na J melody kaonyesha kuwa yy ni mtaalam wa hizi beats.. ngoma ni tamu kwa kweli...kama hamuamini subirini matikiti kudondoka au kudondokewa😂😂😂
Blou unajua
Blu alitoa wapi jina Bysa jamani 😂nampendaga bure❤
Mr blue hazeeki
Blue n mkali xna toka zmn...yye ndio kafunika wote...michano ...alafu cwajua Ngoma aliishaiimbaga toka utotoni...xai ilikua anairudia ukubwani...vnye ilikua inafaa atie hio verse
Bayser
Byser ndo mrithi wa King Albert Mangwea..aka kaobama
Simbaaaaaaaaaaaaaa
simba apewe nauwa kwaupendo
❤❤❤❤❤😂💐💐💐
Mtu anakesha alaf akifanikiwa anaitwa freemason mnaujua usingizi wa usiku ulivyo mtamu?
MAPOZ has stopped counting views on RUclips ⚠️⚠️⚠️⚠️
Mi bana mikono juuu mwendo wa mateka juu ya goma ya mapoz yaan huku mtaan ni fire, made it ni nyimbo ama???
Tungekuwa na akina Mond 10 wasanii vijana ambao wangepita mikono yao wangefika mbali sana
zawadi zote ni toka huku Uchina....hata akinunua New York, zipo kutengezwa huku napoishi Uchina
Huyu dada mwenziwe mchaga anaguna tu yeye hana maelezo
Hahahahaha ila watu
Yani blue umerudi Tena kwenye music? Mmmm
Diamond acha tu afanikiwe mana kila msanii anamuongeleaga jinsi gani alivyo seriaz kweny kazi zake
Kwan uyo dada anashika nn uko😂
Akabysaa anapendeza Sana kwenye mwonekano vile vile majibu yake yamefika cheo kingine
6:00 😅😅😅😅😅😅
Kokoto ndio nini 😂
matingas😅😅😂 blue uwaga anapenda Sana pombe kwsas😅😅ila jamaa nimkal kinyama
Diamond alishindikana ako na nyota zake
Babylonia bz mikazo mwanzo mwinga
Kwan aliyah kaenda wap kwenye hiki kpind
kashakua chawaaaaaaaa huyooooo
Daa! Mtu akihojiwa akaeleza vile anafeel chawaaa😂😂 hii nchi ngumu sana
Anae jua Maana ya Kokoto Msaada jamani😂😂
Mwanaume unajiramba rambà midomo alafu unalegeza viungo kama HANITHI
Ana roho yake huyo jamaa
Mondi music
Uwakika
Hakuna kitu hapo😅
Wivu😂😂😂😂
@@minabuelysee8 wivu mi sina hila sina imani🤣🤣🤣🤣🫂
Masikini wee tafta hela
@@user-pk1yl7zt8p mashabiki wa Mondi bana, ukiwazidi akili wanakuambia tafuta Hela 🤣🤣🤣🫂
Roho mbaya.....tunajua hukuzaliwa hivyo.....Umaskini tu unaokusumbua!!!
Bongo langoma iyopipi yakijiti nicheche mzebana
SET SIYO NZURI HATA KIDIGO
Mondi mkali nyie wivu tu
Unaliachaje kokoto wewe😂
tatizo blue umekua kama umechotwa akili mond kawashinda akili mwenzenu anafanya biashara nyie kazi yenu kumsifia ujiulizi zamani mbona alikua afanyi colabo na wasani kutoka tz sasa anafanya na wasani kama wote sasa hivi tz sababu kaona Hana dili tena kaona arudishe game home fasta kuwashika maskio mashabiki
Did anyone knew this chap before his collab with Diamond? I bet his own family knew him. When someone tap on your shoulder, show some respect. Same clothes from the vids and you talk trash. I don't understand anyway
Kokoto ni familia😂😂
Kokoto ni nn?
Huwezi liacha kokoto lonely...😁😁.
Kokoto ni nini hivi asee kaniacha hapo na mm asee
😂😂😂
I THINK BANGI??@@msafirifabian2143
Kokoto lile familia😁😅😅😅
Kokoto ndo nn