SHK OTHMAN MICHAEL "FREEMASON, HIZI ZOTE NI KAFARA ANATOA" ATOBOA SIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 янв 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Комментарии • 103

  • @nyc5595
    @nyc5595 Год назад +6

    Asalam alaikum sheikh wetu kipenzi ca maneno ya Allah na suna za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na nina maswali mawili naomba utusaidie utengenez darsa kuhusu yanayokua huko Saudia arebia majanga na mafuriko na panazunguuka ma videos ya kuzungmza alama za kiama Na lingine kuhusu ma sheikh na walimu wanasema ukiwapa pesa wanakuombea Dua kwa Allah mlezi wetu je si kosa au na tunaambiwa hakuna mtu anaombea Dua mwenzie inakutia ku kufuru mungu na kumshirikisha tusaidie kwa hayo Asanteni sana na tunawapenda sana na Tv zote unazotumia kutuelimisha Allah akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema akup pepo ya firdawusi na familia yako yote

  • @mohammedmbaruk2034
    @mohammedmbaruk2034 Год назад +2

    mashaallah acha waseme shekhe wangu ndio mwanadamu huyo

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Год назад +1

    اللهـم صّـل وسِـلم وبارڪ ؏ نبينا مُحمدﷺ❤

  • @SindayigayaAhamad
    @SindayigayaAhamad 11 дней назад

    Ni kweli kabisa sheikh kumuswalia mtume kuna siri kubwa sana nami mambo yangu kafunguka tangu nianze kumuswalia mtume

  • @Kaoneka-bt3nj
    @Kaoneka-bt3nj Год назад

    Mashallah Allah akupe Dunia na ahela shekh

  • @aishaz1
    @aishaz1 Год назад +1

    Amin sheikh wetu

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Год назад +18

    Nimemuona mtume Muhammad Mara saba pamoja na sayidina abubakar na sayidina Othman wakiwa kwenye vita ya uhudi nikawa na mie najisemea sijui nijitose sijui nijitose..!!! Allah atusamehe wanawazuoni wakubwa na wacha mungu wameondoka asilimia 98, hawa wengine ni waganga na si masheikh.Waislam tuwe macho na hawa watu si wa kuwafuata.

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 Год назад +4

      Ata mtume s.a.w alikuwa na maadui ambao wanaompinga, sasa sishangai ukimpinga huyu sheikh aliyepewa uongofu na Allah

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Год назад +1

      @@abubakarmpole4000 pole sana!!Allah akujaalie uongofu ukasome dini yako uijue vizuri ili ujue haki na batili.

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Год назад +4

      Acha chuki aliepewa kapewa Shekhe wetu Allah akulipe kwa kutufumbua nakutuelekeza palipo pema nakupenda kwa ajir ya Allah

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 Год назад +1

      @@ramadhanimbulu4941 kwan kakoseya nini

    • @othmanmulendelwa9622
      @othmanmulendelwa9622 Год назад

      Wewe acha kutudanganya wana fana vipi

  • @issakhamis6817
    @issakhamis6817 4 месяца назад

    Asalam walekum sheik this khuthba Is very good jazakallah keri am ISSA HASAN from south Sudan juba capital.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Год назад +3

    Amiin inshallah

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Год назад +2

    Jamani kuna watu wana bahati ?kumuota Mtume (s.a.w)ni bahati kubwa

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Год назад +3

    Shukraan 🙏

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Год назад +2

    Mashaallah ❤❤☝️

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Год назад +2

    Shukrani sn

  • @KhizryKwekajr-jw4ze
    @KhizryKwekajr-jw4ze 6 месяцев назад

    MashaALLAH shekhe

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 4 месяца назад +1

    Kwaiyo waislam wengine hawaswali 😅😅 Kuna Siri kubwa sana kwenye Utajiri 😊

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 Год назад +2

    Jamni amesema kweli tumswali lieni mtume hayo mengine tumuachia

  • @user-rx5jx5wt3t
    @user-rx5jx5wt3t Год назад +1

    Alllahu masali Wa salaam alehaa

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Год назад +3

    WAJABAH WAJABAH WAJABAH

    • @allyshaban4288
      @allyshaban4288 Год назад

      Subhana Allah MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @amrykhamis4482
    @amrykhamis4482 7 месяцев назад +1

    Na uislamu hauruhusu kusemana vibaya

  • @AishaKashora-ud3xg
    @AishaKashora-ud3xg 4 месяца назад

    Shekhe kasema baridi,,mama ana pagawa

  • @rehemamohammed1914
    @rehemamohammed1914 6 месяцев назад

    Allah akbar❤❤

  • @aishahamis1248
    @aishahamis1248 5 месяцев назад

    mashaahllah

  • @DjanatiOrnella-ox2jm
    @DjanatiOrnella-ox2jm Год назад

    Mansha Allah

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад

    nakubali sn nimekushuhudia mara nyingi

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 8 месяцев назад

    Mimi namkubari wallah anaesema nifrimasoni wacha asema

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 2 месяца назад

    Kama kwer free meson moton moja Kwa moja

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 5 месяцев назад

    Wamekua ni wamiliki wa makamera ili wachukuliwe mavideo. Munasema haya lakini ujumbe si unakwendaa

  • @SAIDNYUNGU
    @SAIDNYUNGU 7 часов назад

    Asthaghfirullah

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Год назад +2

    Kweli unayoyasema

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 Год назад +3

    Allah kasingiziwa ana mtoto mtume kasingiziwa ni kuhani vipi sisi tuokoke na ndimi za watu

  • @suleimanbakari9762
    @suleimanbakari9762 17 дней назад

    Tupe dalili ya chenye unaongea Wacha kutufumba macho

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Год назад

    Wajaa mtihani

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 Год назад +1

    Hiyo mada haiyendani na kichwa cha habari

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 Год назад

    Mm Nina mata tizo mengi nitaswali nakuomba msamaha naduwa nikimaliza nitaomba duwa km yeye haombiduwa mm nitaomba shida ikowapi zipo faida hapa hata km yapo makosa

  • @user-lh4dp7if6w
    @user-lh4dp7if6w 5 месяцев назад +1

    Tusidanganyane bwans

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m 8 месяцев назад

    Asalam aleykum shekhe naomba namba yako

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp 5 месяцев назад

    Wallahi ni biashara tuuuuuuu

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 8 месяцев назад +2

    Huyu shekh ndio mara ya kwanza namsikiliza na nimefuatilia mikasa mingi ya watu huyu shekh anaonekana anajihusisha na free mason wazi wazi

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 7 месяцев назад

      Uctuhumu watu Kwa hisia zako ndugu, Allah atuongoze sote

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1i 3 месяца назад

    Mimi niliwahi kuota nakwenda kumuona mtume muhammad makka ile nafika tu maka nakuta mtume amefaliki

  • @geitagewoma7112
    @geitagewoma7112 4 месяца назад

    Doktasule unataka kufeli mbona ulikuwa kiongozi wetu mzuri elezeni imani zaid kulko mali utajiri ni mali.yaduniya. dini ya allah ina poromoka.hamjaliona hilo.ombilangu mkishindwana rudini kwenye corowan nasuna.

  • @SajeedaBilal-hg2ph
    @SajeedaBilal-hg2ph 5 дней назад

    Wacha uongo,mnajiwa na majini, we ulijuaje kama n mtume.wacha uongo

    • @omaar5693
      @omaar5693 День назад

      tatizo wewe hufanyi kitu ndio maana huoni kitu...hebu kaa na mungu mchana mmoja

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 6 месяцев назад

    Sheikh nampenda kukusikiliza lakini nakuuliaa kitu kwanini unapenda kuapa? Kwani ukisema neno tu bila kusema "Wa Llahi" utakua je? Mbona tunakuamini bila ya kuapa apa. Halafu una sema hiii dhikri bora kuliko kubeba matufali kwa hiyo mafundi na vibarua wasema kubeba matufali wataacha kwani hizi kazi hazifai Au la Nani kafaradhiwa kubeba matufali?

  • @nassor6333
    @nassor6333 Год назад +2

    Hamna kitu hapa ,usufi ni ujinga.

  • @user-ml7jz5rf3n
    @user-ml7jz5rf3n 28 дней назад

    story za abunuasi

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 Год назад

    Subhanallah Allah akuifadhi pamoja na ummat

  • @angle3600
    @angle3600 Год назад +3

    Mimi sheik nilimuona mtume issa,nika muadithia mama mmoja akaniambia umeona shetani,lakini la kushangaza mbona niliona baraka ambazo sikutarajia Nae ni shetani?

    • @emmanuellabani5510
      @emmanuellabani5510 Год назад +1

      Huyo ni mtume kweli maana shetani hawezi kujifananisha na mtume.

    • @angle3600
      @angle3600 Год назад +2

      Niliambiwa hivyo sijamuona mtume issa bin mariam nimeona shetani,but baraka nilizozipata baada ya kumuona ajuae ni mungu,hadi natamani nimuote tena

    • @rachaeletoot3577
      @rachaeletoot3577 Год назад

      Shekh kwel mimi sizani utajiri ninema kwangu ukubwa musaliye mutume ishallah,,,,,..Allah Akujariye

  • @ummulkulsum6124
    @ummulkulsum6124 Год назад +1

    Shekh kweli karne hizi unaweza ota anakujia mtume nikweli

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 8 месяцев назад

    Umemuona mtume singida? Usitudanganye

  • @jubail73
    @jubail73 Год назад

    Lisemwalo lipo tuna masaka na wewe Michael Jackson

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 7 месяцев назад

      Ushajiandaa kuliona Hilo jina ulilomuita shekhe ktk daftari lako cku ya kiama?

    • @jubail73
      @jubail73 6 месяцев назад

      Wewe soma jina lako kwanza kabla hujasoma la mwenzako

    • @user-ku7ny5id5z
      @user-ku7ny5id5z 4 месяца назад

      Weye acha kufananisha sheikh na wasani

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 Год назад

    Hzo mara elf1 anazosema naamin hata yeye huwa hafanyi anadanganya tuu watu, tunaomba siku ukae darasan ututajie hzo riwaya km zina usahh wote

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 месяцев назад

      Kwaio ww umeona nyingi hzo labda kma uko mbali na mungu wko na hyo kumswalia mtume nilisomeshwa na mwalimu wng bibi mzee anafika miaka 90 nadhan alikua anatufundisha lkn ilikua sijui maaan yke maana miaka 8

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 7 месяцев назад

      Watu wanafanya zaidi ya mara alfu kumi unashangaa alfu 1?

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar Год назад

    subhanallah. mrongo sana wewe

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Год назад

      Uongo wake nini ss

    • @rahurselektor9850
      @rahurselektor9850 Год назад

      Mrongo ni wewe

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 7 месяцев назад

      Uctaje mashekhe Kwa sifa hizo, Allah atuongoze sote

    • @Alakhyasirabuammar
      @Alakhyasirabuammar 7 месяцев назад

      @@amrykhamis4482 kujuwa kuzungumza kiarabu hakimfanyi mtu kuwa mlinganizi wa daawatu salafiyya . Dini Hino ilitimia haifai kuipaka tope kwa upuuzi wa mashehela na bid'aah zao. Jee arrasul صلى الله عليه وسلم alilingania hivo? Tumche Mola Mlezi wetu

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 Месяц назад

      umeona ee. usufi huu

  • @imammohamedmramadhan5837
    @imammohamedmramadhan5837 Год назад +1

    Wacha uongo bwana

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Год назад

      Uongo wake nini ss

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 месяцев назад

      Kma huna imani yakumswalia mtume kweli utasema watu waongo

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 Год назад +2

    Daah wale wanaoambiwaga usufi hawaelewi hawa ndo masufi sasa... Afu eti anasimuliaaa km vile amefika karama fln,,,, muongo san huyuuu, afu eti swala ya mtume ndo duaaa, daah, ila tusishangae huyu alisilimu kutoka ukristi zile tabia anazo tuuuu

    • @idrissahamis5412
      @idrissahamis5412 Год назад

      Acha husda ndugu

    • @jasminyabdully499
      @jasminyabdully499 Год назад

      Mola akusameh

    • @JumaMtolilo
      @JumaMtolilo 11 месяцев назад

      Tatizo letu wengi hatuna imani thabiti pindi tunapomuomba Allah,maranyingi tunakuwa tunajaribu tunapoomba na kutaka tujibiwe kwa haraka Allah akikucheleweshea kukujibu unakata tamaa.
      Inapokuja mtu amefanikiwa akisema ukweli wake tunamuona muongo.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 10 месяцев назад

      ​@@JumaMtolilowallah watu hawna imani mm mwenyewe nikimswalia mtume mara 50 tu nahis nafsi yng ina utulivu au una wahka wasiwas bs inakupa furaha tatizo watu hawna imani.