A.a ustadh mi nna swali. ni nn hukmu ya alieacha kufunga baadhi ya siku kila mwaka inapokuja ramadhan mpk akasahau hesabu ni ngp aliacha akidai atalipa kibaba. je anafaa afnye nn? tafadhal naomba msaada.
shekhe unamjua ustadh Hamza issa wa tanzania anaye ingia makanisani na ktangaza yesu alikufa na yeye yesu ni muokozi hapo huyo hamza anaye jiita nabii ilyasa unamzungumziaje huyo ni murtad au
Mashaallah Jazakallahu kheri
MashaAllah , Shukran kwa ukumbusho sheikh
MAASHALLAH DARSA ZAKO ZATUFUNZA TUSOYAJUA SHUKRAN
Mashaalah nipo na wewe sana 😭
A.a ustadh mi nna swali. ni nn hukmu ya alieacha kufunga baadhi ya siku kila mwaka inapokuja ramadhan mpk akasahau hesabu ni ngp aliacha akidai atalipa kibaba. je anafaa afnye nn? tafadhal naomba msaada.
shekhe unamjua ustadh Hamza issa wa tanzania anaye ingia makanisani na ktangaza yesu alikufa na yeye yesu ni muokozi hapo huyo hamza anaye jiita nabii ilyasa unamzungumziaje huyo ni murtad au