UKICHAA wa MC MBONEKE😂 | - "NIPE HELA YANGU / IMEISHA HIYO" | HIVI NI KWELI
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- UKICHAA wa MC MBONEKE😂 | - "NIPE HELA YANGU / IMEISHA HIYO" | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
😂😂😂 mboneke mc umetisha sana mdau pamoja na timu nzima ya wasafi
wenginee washavurugwaa na maishaaaaa
mc mboneke msenge kweli yaaana kuanza tu nacheka ngoja tuone adi mwishoo🤣🤣🤣
Mo town Sanya nembo ya mtaa tuko locked up Kenya tunakukubali Sana💯💯🔥🔥
Ila mboneke katisha asee ila ipo siku mtu atapigwa msiamini 😁😁😁
Juzi tu kapasuliwa mdomo mmoja 😂
Hii Ya Kuvamia Watu Ipo Siku Watakutana Na Watoto Wa Mbwa Wachezee Vipanga.
Wallah 😂😂😂
Waje arusha af wafanye ivo kuwavamia watu, mbona watakoma broo!
@@emanuelsamkinda2893 Watajua Hawajui
#Mboneke ana Viewers kumzd wa wiki iliyopita.
Daaaaaaa ila nimecheka sanaaaa🤣🤣🤣🤣
Yaani uyu mkaka kama kweri chizi wallah 😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣watanzania mnakulaga nini nyie?❤️🇧🇮
Hahahaaaaaa
Tunakula Mavi na mikojo
@@Rolemodel_wa_taifa daah nimecheka mbaka nikataka ata kujikojoleya mnakulaga nin?😂😂❤🇧🇮🇧🇮
@@Rolemodel_wa_taifa hahahahahahahahahajah uwiiii nafa wallah
Tunakulaga ugali na mlenda boss?
Mboneka kipaji kipo❤️
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii ni kali sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 unakichaa mboneke kumfanyia mzee Ivo ndo nn
Mzee kakimbia 😂😂😂
Sema we msenge sura yko ngumu na upuuz unaofny inakuwa saw😂😂😂😂
🤣🤣🤣 kiazi hili ila masihara haya kuna siku mtu ata chezea Mambata
😂😂😂😂nimecheka kifala et mtoto wa kaka abed😂😂😂😂
😂😂😂
mbavu zinaumaaaa😂😂😂😂
Ila hiki kipindi ipo siku moja mtu ata kuja apingwe mangumi
Sio Ngumi, Panga
Hahaha daaa wanamuita mwana mchafu
Jamani watu mnawapotezea mda wao angalau mnawapatia ata kitu mana niusubufu hali yenyewe ngumu
Mboneke umeonyesha ukubwaaaaaaa ukubwaaaaaaa respect Go Big
Watu wa bongo movie wampe character ya kichaa kwenye tamthilia zao.😁😁😁
😂😂😂😂😂😂 uyu mwehu sana
😂😂😂😂😂😂😂😂 number one muzote
Uyu kijane aliepiga magoti kaniumiza yaani mpole natamani nimpate awe mchumba wangu yupo wapi??😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
😀😀😀umemwelewa jamaa..nice
🤣🤣SEMA style yake atakuta watu wengine hawaelew wanastres zao , wanamshona kwanza mpaka anakuja kujua kua wanashut ashaachezea vitasa🤣🤣🤣🤣💪
Make hapo kwanza nchee 😂😂😂
Duh!!! Pesa inatafutwa bwana we
Ingelikua ndio Mimi huyo angechezea kichapo chamaana kwenye sec 15 za mwanzo mbona Angekoma😁😁
Watayakanyaga Siku Moja, Waache Tu
Daaaah ira nmecheka ET pand to
Kazi ni nzur so poa
Kwenye setting za camera tyu ndio hamjatundea haki kabsa
Sisi tusiojua tunajionea sawaa tuu😂😂
Ahahahaha sio kwa mauno hayoo mboneke
Ila nimeumia sana yule mwamba aliyeomba msamaha 😥😥
Hahahahahaha na magot juu,hawa sjui watanzania wawap wapole
@@cderamadhan6700 asee mm ningetoa mtu ngeu
Kaka wa watu mpole😅😅😅
Ilike this madnes
Nembo ya mtaa 🔥🔥
Umetishaaa san
Muwe mnawapa Ata vibuku😂😂😂
Kweli 👌👌
Kazi nzuri sana wazee wangu
kuwenii makin sanaa utakujaa pataa hasaalaaaa
🤣🤣🤣🤣 make hapo kwanza ncheke
Umetisha kinoma saa🤪😅😅😅
Video quality haikuwa nzuri sana
Mboneke aisee umeivaa God bless u bro🤣🤣🤣🤣
Like kwanza pind letu la kijanja 👈👈👊👊👊
Apo mwisho ss ao makaka wanajisany kuimba ki romantic nimechekaa😉😉😉😂😂😂😂😂😂
Ila sanya ujue ww pia unajua sana act mshikaji jaribu
Apande Waende Wapi Sasa😂😂😂
Nakubali
Hahahahah 🤣😂 nyie tafuteni ugomvi tu
Dah uyu mngese kwel yaani 😂😂😂
Mnatakiwa mshitakiwe kama mgambo wa Jiji mnabuguzi wamachinga na biashara zao 😂😂😂😂😂😂
Jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Aseee 🤣🤣🤣
Jamaa nikipaji😂😂😂😂
Mwenye sambusa mbiooo😁😁😁
Hahahahahhaahah hahahahhaahahahaahahhaa hahahahahahahhaahha kweli noma
Yani hii kiupande wangu naiangalia kila siku na hasa nikiwa na streess yani imenichekesha sanaaaa
Ila mboneke kweli kiboko namkubali sanaa
Mo Town niaje nakubaliiii san ubunifu wakooi mzee ila hivi ni haiweziiii kukamilik kama hatujamletaaa,joti,mpoki,masanja,niva,braza K,Ray kigosi,JB,Ringo,Baga, mzee muhogo mchungu,jum nature,alikiba,fiston mayele,Enock enonga,onyango,kapombe,hussein mo,mwamunyeto,nk
Mollison pia
Hhh
Kwenye kuimba kwanza ncheke😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣😀
😄😄😄 jamaa ana kata mitaa na sambusa zake
Dah nimepata raha sana yaani nimecheka sana yaani mo Town sanya pamoja sana
iko siku jamani mtapigwa yaani engekuwa Arusha mngeshatolewa meno sk nyingi sana
daaahh Leo nimecheka kweli yaniii🤣🤣
Content yaudhi kweli mwanaaa so scaring yaaani mtu Ako hustle zake mwamletea vibwaga
Hahahahahaha
Mzee kaamua kusepa🤣🤣🏃🏃
😁😁😁😁😁😁
Munakuwa nakazi ngum kutengeneza atation
Show kama hii hakikisheni muwe na vibali madaktari na askari kabisa
Ipo siku mtakutana na asiye jielewa maisha amempiga so inaweza kuwa ugomvi mkubwa aiseee au mnandaa watu hao kwanza 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Noma sana
Mbavu zangu jamn🤣🤣🤣
Hatariiii 😅😅😅😅😅😅
Fire
✅✅✅
Hii apa mmetisha sana Nembo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah
Naeza mshushia kipigo mtu na nsilaumiwe na hasira zangu hazina breki ohoooo angalieni vipindi kama hivi mnaeza kumpoteza huyo mboneke
Hahahahahahahhahahahaha maskin mchoraji rangi uwiiiiiiiiii
🤣🤣🤣nomasana
Ila mbona kama mnamdhalilisha vile
Mo town sanya kaz nzuri
Sema kijana ..umeleta minyam sana motownsanya
Natamani mutu aje kuect kwangu kama ivo muone jinsi munakuja kuamuwa nikisha mutoa meno yamber najinsi huyo jama mboneka namumaindi
😁😁😁
Mboneke tu au msanii yoyote
@@maloomaalmnsj5111 mboneka na nagwa
MIMI NINGEWAPIGA MAKOFI WW NA HUYO MTANGAZAJI WAKO WASENGE NYIEE
Hahahaha et huu ni mti sio gongo
😂😂😂😂😂😂😂😂ila hamuja mutendea haki bana mkaka wawa2
😊😊😊😊
Mtafanya watu wagongwe na magari huu mchezo kuwen makin
Atazinguliwa siku Moja Hahahaha
Atapigwa Mtu Visu Siku Moja
Ivi wasafi awamuoni nembo ya mtaa wampe gari jamani!!!!? Ata kama analo wamuongezee jamani
Hahahahahahahahahahaha nimecheka kwa saut babu kakimbia huyo
😂😂😂Ila so pia kunyoa Baru mzee wa watu
Kipindi cha kisenge mwanzo kilikuwa kizuri kupeleka mastar mitaani ila hiyo staili itamiletea kesi siku moja
Mc mboneke umetisha😀😀😀😀
Huyu Chalii anavituko Sana huyu
Yani we sanya hufaiiiiiiii kabsa jamaaaaaaa du umetishaaaa mchizi
Mbavuuu zanguuuuuuu jamaniiiii
Hahhahahahhahahahahha nimecheka uwiiiiiii..Ila mboneka
😂😂😂😂😂
mo Mungu anakuona mshenz ww😂😂