Bashe Afunguka Mazito Kuhusu Sukari, 'Siwezi Kuwa Waziri Boya', Mpina Asema Anaongea Uongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe akifanya majumuisho ya hoja zilizotolewa kwenye Wizara ya Fedha leo Juni 04,2024, amefafanua sababu za Wizara kutoa kibali cha kuagiza sukari kwa kiwango cha juu.

Комментарии • 19

  • @nestanesta5704
    @nestanesta5704 4 месяца назад +1

    Man him self,namkubali Sana bashe he's very bright.

  • @machatendwa3157
    @machatendwa3157 4 месяца назад

    Mpina yupo sawa kabisa

  • @machatendwa3157
    @machatendwa3157 4 месяца назад

    Sio kweli hata kidogo viwanda vya Sukari vinahangaikia vinabali vya kuagiza Sukari tokea October wanakuja kupewa February, Waziri ni mwongo.

  • @babanatalis8401
    @babanatalis8401 4 месяца назад

    Hoja zinajibiwa hivyo Asante mpina,Asante Bashe

  • @AthonySaimon
    @AthonySaimon 3 месяца назад

    We ni jizi , ipo siku tutawafanya kama kenya

  • @unclepumpuu5920
    @unclepumpuu5920 4 месяца назад

    Waziri yupo vizuri na anavuatilia ilani ya CCM. Nchi jirani politicians wana hoard sukari ili wa manipulate. Waziri Linda haki ya maskini wanakupinga ili wazito walete sugari kwa bei juu kwa manufaa yao. Pambana nao bashe

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 4 месяца назад

    Kwani sukari imeshuka lini...haya majizi...na magonga meza hayafanyi utafiti.

  • @babanatalis8401
    @babanatalis8401 4 месяца назад

    Spika awaache wabunge wawabane mawaziri kikamilifu hapo ni kama anawaogopesha. Mbona Bashe amempangua mpina vizuri tu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 месяца назад

    Mpina wewe ni machine lakini Bashe muache Yuko safi siyo mwizi muache

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 4 месяца назад

    NAKUFAHAMU UNAJUA SANA MIMI SINAGA SHIDA NA WEWE MH: BASHE HUNAGA BAYA WEWE NI WAZIRI SMART PRIME OF AGRICULTURAL. MKULIMA TANGU UWE WAZIRI SASA HIVI ANA RAHA MNO MAVUNO YAMEONGEZEKA HONGERA BASHE. NZEGA OYEEEEE HUNENE BASHE BHANGINE PHOTOCOPY

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 4 месяца назад +1

    Wewe ni machine wewe siyo mwizi wewe Jerry silaa makonda bite ko bashungwa ndio tuna wategemeya taifa hili

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 4 месяца назад

    Mpina yuko sahihi bashe acha sisi wananchi tunaujua ukweli wake na uongo wako Bashe

  • @shekhaahmed3961
    @shekhaahmed3961 4 месяца назад

    Usiruhusu hilo kurudi tena katika historia y nchi hii,upo Sawa
    Sukari ikikosekana wanakusema,simamia msimamo wko upo sahih

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 4 месяца назад

    4:05

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 4 месяца назад

    Huyu ni mwizi kama wezi wengine

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 4 месяца назад

    JIZI LINATOA MATUMAIN KWA FAIDA BINAFSI

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 4 месяца назад

    Mpina 😂😂😂😂

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 4 месяца назад

    Kwani sukari imeshuka lini...haya majizi...na magonga meza hayafanyi utafiti.