Askofu Nyaisonga alivyopambana kumuokoa Binti

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mbeya,Mhashamu Gervas Nyaisonga katika homilia yake aliyoitoa hivi karibuni wakati wa hitimisho la Kongamano la Mapadre Vijana wa Jimbo Kuu la Mbeya,Songea na Jimbo la Sumbawanga iliyofanyika Mtema Beach,amesema muda fulani Makuhani wanapaswa kujitoa kuhatarisha maisha yao kwa ajili ya kuwaongoa na kuwapatia Upendo watu wengine.

Комментарии • 3