Mfahamu Mmiliki wa Mlimani City|Gullaam Hussain|Maisha na Mafanikio yake
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2023
- #dullysantz #santzmedia #mlimanicity#millardayo #siri #wasafi#wasafimedia#wasafitv #efm#clouds #simulizi
Historia ya mwanzilishi na Mmiliki wa Mlimani City ifuatilie hapa... - Развлечения
Ndugu yangu tofautisha r na l tujue unamaanisha nn
Miyeyusho
Hakuna kitu kigumu kama ukiwajibika na kumtegemea Mungu.
Safi sana Erick na usiache kumuamini mungu utafanikiwa ,pia usiache kufuatilia SAN TZ MEDIA
Ukweli ni kwamba majengo mengi ya nhc na hata maelezo mengi ya sarekali wanaigia ubia kuwa ardhi ni yako mimi na jenga na kwasababu naingiza pesa zangu nitakupa gharama ya pesa na kiasi fulani ya eneo la jengo kodi itapokea sarekali na hata baada ya kujenga matengenezo yote ya baada hata miaka 35 anajenga ndiyo anamiliki na kila mara kufanyia matebgenezo kwa Tanzania inajulikana kwa ubiq au joint venture) na umoja wa sarekali ya Tanzanian na sector binafsi yaani kitu kimoja wote ni wazawa na nchi ya Tanzania ni nchi inajengwa majengo mengi ubia sector binafisi na sector ya sarekali na umoja kama huo ndiyo unaona majengo mengi marefu yako vizuri na marekebisho ya mara kwa mara ukiacha yale yaliyotaifishwa yako halo mbaya ndiyo sasa sarekali imeanza kutengeneza tena kwa hiyo Tanzania tuko vizuri sana katika kushirianq na sarekali yetu kujenga taifa letu .
Tanzania haina ubaguzi wa rangi na dini ,na kabilq katika wananchi wake alhamdullilah mungu aibariki Tanzania yetu na watanzania wote kwa hali na Mali na umoja wetu ameen
Ni mpangaji
Mfanyabiashara
Nilichokuelewa hapo ni jina la mmiliki tu. Mengine mwache mwenyewe alikopita anakujua.
😂😂😂
Lakini mnajua kitu ikimilikiwa na serikali inazorota siombaya kwani simnapata huduma
Serikali wao wapo kwenye share
Serikali ya bostwana ndio wamewekeza hapo mlimani city
Sw lakini umeiskiliza Kwa umakini Makala hii
Yani history na safari ya mtu na ukweli ana boss mwenyew sisi wengi wapiga kelele tu
Tuelezee Vizuri comment yako haijeleweka😟
@@Santzmedia huja elewa nn mbn ilikuwa rahisi kutupa story ya huyo boss alafu imekuwa ngumu kuelewa yangu wacha nikwambie na hili na semaga kila siku acheni kuwa potosha watu hakuna utajiri unakuja kirahisi kama unasoma gazeti la udaku na hakuna tajiri anayesema ukweli kapataje utajiri wake kwa hiyo
Adimin ungefanya uchunguzi wa taharifa yako, Mmiliki tunamjua we umedanganya
Ni Vizuri ukatuambia mkuu ni Nani ??,maana record zetu na details zetu zinatuambia hivyo. Kama haukubariani na ukweli Huu , Basi waaminishe watu Kwa kuwaekea mmiliki halali wa Mlimani city utakuwa umeisahidia jamii kuepukana na uwongo Huu😂
Kiswahili bado ni tatizo kwa waandishi wa habari
Tunaitaji Darassa "Tumepokea mawazo yako Mpendwa Ahsante
Sisi tunaweza nini?
Sio mchezo
Na yeye ndiyo mmiliki hata Leo wako share ila amejenga yeye ubia
Thanks bro's
Unapotosha umma acha kudanganya watu
Tupe ukweli
Hapotoshi wewe ndiyo hujui ukweli.wa jengo na ndiyo maana unaona mtu anapotosha hata Leo makaratasi yote yanasoma ubia ya mzee gulam hussein na ndiyo hata Leo anakarabati yeye na kusimamia pale yeye wewe ndiyo Acha kupotosha usichokijua ukweli wake wa mmiliki ni yeye
Nikweli hata magufur alisema
🤓
Huu ni uongo
Upi sasa?
Ni kweli ni mmiliki wa gulam hussein hiyo haikujengwa na sarekali imejengwa na mtu binafsi
👊👊
Muongo
Ni Vizuri ukatuelezea ukweli Ili wasiofahamu ukweli waujue kutokea kwako
Unapotosha umma
Ukweli ni upi sasa
Mbona watu wanasema mmiliki wa mliman city ni serikali vp ww unasema ni mtu binafsi
weeee sio la serikali kajenga mtu binafsi ila mkataba na serikali ni miaka 100 ikimalizika hyo miaka basi ndo jengo linakuwa na serikali ila kwasasa serikali inachukua asilimia zake kodi zake.
Siyo kweli ila jengo lofote baada ya miaka mia inakuja karne nyingine na jengo linachakaq kwa hiyo ina title ya miaka 99 ila wakaguzi wakikqgua wakaona bado ina ubora wa kuweza kuendelea huwa wana endelea renew title na hata hivyo hiyo ubia humo bia kuna waliyonunua ofisi na waliyonunua apartment na magalaa kwa hiyo kuna subtitles kwahiyo kunyanganywa siyo rahisi labda jengo lianguke au lipasuke kwa zalzala kwahiyo swala la 100 ni ubora wa ardhi na mahali jengo lilipo hiyo hafa ukiwa na hati miliki title yako inesoma miaka 66 au 99 ni sheria ya wizara ya ardhi kuweka kikomo ya jengo au ardhi hiyo ni kwa hati zote dear
Hi mtu Binafsi kaingia ubia na selikari
Ni kweli mlimani city sio ya selikali
Eneo ni la serikali yy kainvest tuu!!