EXCLUSIVE; MJUE DAVIS MWAMNYANGE MKUU wa MAJESHI KAUZU! ASIYERUDI NYUMA,KATIRI, na ANAPENDA VITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #cloudsmedia #exclusive #simulizinasauti #efm #history #wasafimedia #dullysantz #santzmedia #millardayo #devismwamnyange#ccm
    Leo Nimekusogezea Historia na Maisha Ya kweli kuhusu Davis Mwamnyange Mkuu wa Majeshi wa Awamu ya 7 Nchini Tanzania
    • MAKALA ZA VIONGOZI🥂

Комментарии • 18

  • @Santzmedia
    @Santzmedia  3 месяца назад +5

    SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI "HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU

  • @badiomary822
    @badiomary822 3 месяца назад +6

    Huyu ndie alieleta Mabadiliko Makubwa ndani ya JWTZ angalau likaendana na Majeshi Mengine Africa na ndie CDF Msomi wa Kwanza yangu Kuasisiwa kwa JWTZ !!

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Месяц назад +1

    Kweli "Sabskrai"

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 3 месяца назад +4

    Safi sana

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +1

      Endelea kuwa nasi "Hakikisha umebonyeza Alama ya Subscribe Kisha umegusa Kialama cha Kengele Hapo .Utakuwa ni mmoja wetu katika familia ya simulizi za watu wako pendwa ndani na Nje ya nchi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 месяца назад +2

    Kaka uko vizuri sana ..ila natamani sana uwezo huu kuna jambo ungekuwa unazungumzia ungekuja kuongeza uwezo wa kubeba Taifa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +2

      Unaweza ukatushauli hapa Mkuu Au tumia Email yetu ya " dullysantz@gmail.com Ahsante Kwa kuwa nasi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 3 месяца назад +3

    Bila kuwa na teknelojia ya kwetu ni ngumu kuwa na jeshi bora,kila kitu tunawategemea wazungu iweje sasa mjisifu?kila kitu mpaka wawatengenezee wazungu,mpaka magwanda,mabuti,mabomu,bunduki,nk,nyie mpo mpo tu,wazungu wajanja mno,wanakuuzia vifaa ambavyo wao wameviacha na kuanza kutumia vya kisasa zaidi,yaani aibu

  • @fredstarch5184
    @fredstarch5184 3 месяца назад +2

    Nice sana

  • @Shebbylaizer
    @Shebbylaizer 3 месяца назад +1

    ❤❤

  • @WallaceWaweru-ob7jz
    @WallaceWaweru-ob7jz 3 месяца назад +1

    But mbona sasa hivi lime nyima watu nafasi 😢na wametoka jkt now wako tuu mtaani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +1

      Kwani Mpaka sasa yupo kwenye madaraka

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 3 месяца назад +1

    Mjinga ww 😂😂😂😂danganya wajinga ...sach... Google...utaiona TZ niyangapiii Africa 36

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +2

      Hapo haujaskia imetajwa Africa " Kama utakuwa Makini natumai UmeNote vyema summary "Nimezungumzia Africa mashariki not Africa Be careful