UKIWA NA SIFA HIZI UNAMUOA MIRIAM CHIRWA
HTML-код
- Опубликовано: 10 май 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Miriam yuko vizuri sana nyimbo zake hakika zinanifarji sana ubarikiwe sana dada yetu mtumishi
Yes Maryam u r very smart unaongea vitu vizuri vya maana ktk maisha bora!! well done!! Mungu akupe mume bora iwe furaha ya daima...
Proud of u always my princess my one and only daughter my pride my joy
Hongera na MUNGU ampe haja ya moyo wake kwa wakati wake
@@malopemaliyamungu5243 aamin
Xaf xana Mungu awabariki wote
Wow
Big up sana mom kwa malez yako kwa mwanao ni brave kifikra
i love the wisdom in this baby. such a charming personality and cute
Usijar dada kwakua umeshamueka Mu, ngu mbele lnshallah utapata uyo unemuitaji🙏🙏🙏🙏🙏
Miriam kuimba unajua nyimbo zako zinanifariji na kuniweka karibu na Mungu asante kaz yako nzuri ubarikiwe sana amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤
Ukimwambia MUNGU akupe huyo umtakaye anakupa.. ana stock ya Kila sample.. Muhimu ni kumuomba kwa bidii. Ubarikiwe Miriam Chirwa
Beautiful mdada
I love you Woman of God
Your are special
Kazi la mungu alina makosa kweli kweli, ongera sana dadangu 🥰🥰🇨🇩
You appear to be happy and content,you do not have to settle for what you do not want.
Hapo ndo wengi wanaendeshwa na hisia na tamaa ya mwili wakidhani ni Mungu.Huwezi kumwambia Mungu aina ya mtu unayemtaka,Mungu anajua kilicho bora kwetu na kitakachotufaa sasa na baadae bila majuto.Mungu anaweza kukuletea jambazi au kahaba lakini mpango wake ni kuwa kupitia wewe atawabadirisha na kuwa upande wake.
She got a nice voice Allahu yabarik lak
I love you miriam 🥰❤
Amen Mungu Akusaidie Upate Anaekustahil
Sauti yako nzuri sana mdg wangu. Leo diva kakutana na class
Barikiwa sana mdogo wangu Mungu akupe kila hitaji la moyo wako,
I love her
Bounge la mwanamke ni mzuri sanaaa....mungu akutie nguvu na afya njema.
Awesome ❤️
Nashukuru mungu Kwa sababu ya Maryam...lugha ni safi na niya Hali ya juu .hongera Kwa vipanji zako
Mwenyezi mungu akupe hitaji la moyo wako akupe mume mwema mwenye baraka kwako.mungu anajuwa hitaji la moyo wako
Upo vzl miriam
mdogo wangu umetisha sana
Waoooh napenda sana nyimbo zake
Wao kanaongea vizuri mpaka kuimba nakapenda
nampenda anajuwa ku ongeya Mungu akupe haja ya moyo wako dada❤❤
Confidence yake tu kiukweli ndohuwa inanivutia sana Mungu ambariki sana kiukweli
Sana ana confidence nmependa❤️
Hahhhhhh Mashaallah jamn💖
Miriam tangia ukiwa mtoto mdogo sana ku miaka 8 nikisikia nyimbo zako, yuko vizuri sana nyimbo zake hakika zinanifarji sana ubarikiwe sana dada yetu mtumishi
Nilichelewa kuona hii interview nakupenda miriam diva umewezaa❤
Mungu akupe unacho hitaji dada mariam 🥰🥰🥰🥰
Mungu AKUBARIKI sanaaaaa
Binti wa Yesu
Wow she’s smart😊
Ilove you miriam
mashallah beautiful ❣️ good voice
Mwenye haki ataish kwa Imani yake mwenyewe ila hiyo ya ufupi itoe Dada yangu he akiwa na sfa zote hafu akawa mfupi utakubal
Joel From Rwanda kigali napenda nyimbo za Mariam tena sana
Girl so clever Mashaallah nakupenda
Waow jamn huyu dada Mungu ambariki san
Ongera mtangazaji❤you
I admire you gal
very good mtoto mzuri.
Mungu ampe afya azidi kumtumikia mungu , miriamu mungu ambariki sana
Maria Kipenzi nakupenda Sana, mungu akusimamie utimize itaji lako la moyo ♥️♥️
Nmekupenda my
Waoooh miriam kitambo sana my cc mpka nilikumis
Manshallah habint
Mashaallah
Good sana
Mungu akubaliki sana
Woow 😮 I love you girl 😘
Mungu Akubariki
So sweet❤
Mungu akutangulie akupe hitaji la moyo wako
Anasauti ya kujiamini hadi raha
Hao wanaume unaowataka wapo kwenye movie nyingi tu na kwenye vitabu vya Eric Shigongo
🤣🤣🤣
😂😂😂kwel
Kweli wapo huko au aote
😀😀🤣🤣🤣
Hhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lakin wew hpna
I LOVE CHRWA🥰🥰
Dah!!! Hongera kwa saut
Nazipenda sanaa nyimbo zako Mirium ...ila kuhusu mume mwenye sifa hizoo ilifaa useme tu hutaki mumee ...hapa duniani hawapo...sisi ndo tuko dada..hahaaa.....
😂😂😂😂😂
Mbona wapo
🤣🤣🤣
Kuna mmoja kasema apojuu amwachie feg😳
Watu wanapongeza bila kuangalia haka katoto kanaongea upuuzi gani.
Ubarikiwe
Miriam
Mschana mrembo wa Yesu
Mungu akulinde miriam
Na itakuwa dadaa Mungu akufanyie
Mungu akusaidie mdg angu
jomoooni she is so lovely 🥰
Mungu atakusaidia
Ahaaa anapanga yey only good know
That's a talented Miriam chirywa.
Mungu akupe hitaji la moyo wako
❤️mimi ninavyo
wow mungu hatamupa mungu hajawai nyima anaye hopa
Wow speaking
Wow❤
Love you miriam
Amen miriam
Hongera mwanangu
She’s cute and smart
Anacheka vizur 😊
❤️❤️❤️
Duuu hizo sifa za wanaume unaowataka dada angu duniani hawapo wapo wenye sifa 3 au nne Kati ya unazotaka so kazi kwako mama
May the name of God be glorified
💞💕
Abarikiwe sana binti
Yes
Ana sauti nzuri,alaf kumbe muongeaji
Nice
Mungu atakujalia mme unayemtaka
Mungu anasalimia maombi yako utapata tu
Wow
Huyo hayupo kwadunia hii
Ana sautu nzuri adi kuongea mashallah
♥️
Mwee mungu nibariki niwe ni mimi mwenye sifa zote hizo nimuoe
😁😁🙌
Proud of you mirriam,umetoka mbali unaenda mbali Barikiwa sana🙏
Kana sauti mzuri
Yuko vzr
Unaingea vizurui na umeelimisha vingii hongera
Jamen 🥰🥰🥰🥰🥰
Woow jamaniiii ❤
Amen
Wallah unajib maswali uzuli mno kwanza unafikilia ukurupuki
amen,
Huyu Dada anachoogea atakipata wap dunia hiii. APO ATATENGENEZA WA UDONGO
😂😂😂
Ukute Mungu amemuandalia wakwake waivyo
@@ndayikezececile2762 Tatzo anataka vigezo ving sanaaa
Amna binadam asiekua na mapungufu
Najiuliza uyo asie na mapungufu atampata wap na akimpata je yeye binafs mapungufu Hana???