EXCLUSIVE: "NIMEFATWA NA MAPANGA, WAKATAKA KUNIMWAGIA TINDIKALI, NILIJIKUTA NJE, NIKAZIIBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Wengi tunamfahamu Flora Lauwo kupitia kazi zake kwenye jamii pengine kuna upande wake mwingine wa maisha hatukuwahi kuusikia mahali popote, Flora amekubali ku -share na sisi sehemu ya maisha yake, mikasa na mengine kwenye EXCLUSIVE na AYO TV.

Комментарии • 298

  • @halimalawa3901
    @halimalawa3901 4 года назад +8

    Nakupenda frola hujivung 🤔hata skujui lkn nilikutafta prvate ulinisaidia na tatizo lng limeisha mpka leo 🤞aiseee Mungu akuzidishie sana furo wetuu🥰😍baraka ya kukupenda tyuu mimi😍

  • @hedayaabeid3196
    @hedayaabeid3196 4 года назад +21

    Penda saaana my Dada, mungu akuepushe na matatizo

    • @prettyh7509
      @prettyh7509 4 года назад

      Mashallah flora nakupenda sana

  • @ashurashuraym3497
    @ashurashuraym3497 4 года назад +34

    Nampenda sana Frola,umepitia mengi mno mpaka kufika hapa leo, Mungu aendelee kukulinda siku zote my dear Frola 🙏

    • @aishajuma260
      @aishajuma260 3 года назад

      😍😍😍😍😍😍😍🌷🌷🌷🌷🌷💗💗💗💟💟💟💟💟💟💟😍😍😍💌💌💌💌💌💌

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +10

    Hongera Sana Flora Mungu Akulinde,Binadamu Hawana Wema Wala Shukran.

  • @judithsalufu5688
    @judithsalufu5688 4 года назад +8

    Wewe ni zawadi kutoka kwa mungu da frola mungu awe pamoja nawewe😘😘😘😘😘😘

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 4 года назад +1

    Kwanini watu wanamfanyia vitu kama hivyo na hali yeye maskini ana wasaidia walio kuwa wana hitajia misaada mbona wao hawawezi kufanya kama yeye na wengi wana mapesa, yote ni roho mbaya tu, endelea na Mwenye Enzi Mungu ata kulinda na watu wabaya. Asante dada Flora

  • @mariamramadhani8012
    @mariamramadhani8012 4 года назад +5

    Da flora Mungu akubariki mi pia ulinisaidia sana dear wasiokufaham ndio wataongea huo ujinga

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 4 года назад +1

    Hongera sana kazi nzuri napenda unachokifanya Flora ata ufanyeje binadamu huwezi kumridhisha Yesu mwenyewe alinyoosha mikono sembuse wewe wala wasikutishe usikate tamaa

  • @alajmialajm8794
    @alajmialajm8794 4 года назад +1

    Majina ya kina flora wana utu sana..mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kuhudumie wanyonge

  • @hamidajuma3909
    @hamidajuma3909 4 года назад +1

    Frola chondechonde. Usije ukakubari kukatishwa tama. Pambana. Mungu wa mbinguni yupo pamoja na wewe. Tunakuombea Sana Frola Wangu

  • @sempaprudence9052
    @sempaprudence9052 4 года назад +4

    Hongera sn kwa kazi ya jamii. Biblia inasema hatutotulia hadi tutakapolala katika Bwana.

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 4 года назад +1

    Mungu akubariki sana mungu amelinde Akupe maisha malefu na baraka tele mtetez wa wanyonge uchagui ubagui una moyo wa pekee

  • @praxedadominic5193
    @praxedadominic5193 4 года назад +1

    Nakupenda mno Flora mwenyez mungu akupe maisha marefu uendelee kusaidia wenye uhitaji ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 4 года назад +19

    Pole sana Flora. Hao wanaosema wewe ni mwizi ni wale ambao hata hawachangiagi kitu kwa mgonjwa yeyote. Mungu aendelee kukutetea kama unavyotetea wenye shida. Kumbuka "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe". Endelea kusonga mbele achana na waliolala.

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 года назад +5

    Pole dada hawo ndo binaadam bwana Mungu atakulipa kwahilo na jingine lililo zuri

  • @lucyshilla3155
    @lucyshilla3155 4 года назад +2

    Mungu amekuchagua. Kila siku ishi ukimtegemea Mungu wewe una kitu ndani yako flora

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 года назад

    Aaaa uyu dada nampenda kichizi eee mungu akuweke unavyopapambana na umaskini wa watu kuwataftia riziki daa heko ya heko dada floka mungu akuweekee mkono

  • @remmymayombo3059
    @remmymayombo3059 4 года назад +1

    Amen my sister my God protect u Jesus name

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 года назад +13

    Mlipaji mzuri ni mungu ☝️ achana na sisi!pambana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @hjhj6230
      @hjhj6230 4 года назад

      Hakika Jaza yake ataikuta kwa Allah

  • @mwajumasima5671
    @mwajumasima5671 2 года назад

    Hongera sana kwa kazi yako

  • @zuhurambonde7599
    @zuhurambonde7599 2 года назад

    Flora uko vizuri kweli inshallah.

  • @janembawala6009
    @janembawala6009 4 года назад +26

    Frolah anajitoa sana kwa watu nampenda sana frola😍😍

  • @kulwacharles2314
    @kulwacharles2314 4 года назад

    Dada Frola unafanya kazi nzuri, maneno ya watu wabaya yasikunyime usingizi fanya kazi pambana, hyo ndyo karama Mungu aliyokuandikia. Salute kwa kazi nzuri...

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 2 года назад

    Mungu akujalie umri mrefu uzidi kuwalea wenye huhitaji amin

  • @aoman5214
    @aoman5214 4 года назад +5

    Nakupenda Sana dada Mungu azidi kukulinda siku zote kazi unayoifanya ni ngumu Sana

    • @dorislema1814
      @dorislema1814 4 года назад

      kabsa ni kaz nzur sana ndomaana watu wengi wanamponda maana anamoyo mwema

    • @aoman5214
      @aoman5214 4 года назад +1

      @@dorislema1814 kweli kabisaaa wanaitaman Ila wanashindwa

  • @diah3434
    @diah3434 4 года назад +1

    Nakupenda Sana Da Frola Mungu aendelee kukulinda Sana katika kaz yako nataman na mm kuifanya hii kazi

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 3 года назад

    Dada Frola nakuombea kwa mungu usijali usilalamike bwana Yesu yuko upande wako ,kwasababu unafanya kazi ya mungu kusaidia yatima wenye mazingira magumu wanaokatariwa km yule bibi wa mtoto shemsa so wanadamu hatuna jema mungu ni mwaminifu sana atateta na wanaoteta nawe

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 года назад

    Da frola we nimzulii sanaa hongera da wa taifaa

  • @dianalyanga1486
    @dianalyanga1486 3 года назад

    Nakukubali sana dada Flora.. Nakupendaga mnoo yaan mungu akulinde akuepushe na watu wa baya na wenye vijiroho kuntu.. Adui akufatapo anaswe apigwe na shoti ya umeme.... Mwaa mtetezi

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 4 года назад

    Masha Allah kumbe umetoka mbali sana dada ndio maana ume kuwa mtetezi wa wanyonge Mwenye Enzi Mungu akuzidishie na akuhifadhi na akulinde na mabalaa

  • @memoryngambi3758
    @memoryngambi3758 4 года назад

    Dada frola nimtoaji sana kuanzia ndani ya moyo wake,lazima mungu ambariki,nakushauri usiache,mti mwenye tunda hupigwa mawe,na mungu azidi kukulinda na akupe siku nyingi zakuishi ili watu wazidi kuziona baraka ambazo mungu amekuandalia,watu hawajui Siri ya mafanikio,kutoa ni shida watu hawajui,mungu yupo nawe katika kila pito haji kukuacha kamwe.

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 4 года назад +2

    Kazi unayo ifanya ni kubwa sana unatakikana uokoke umpee Yesu maisha yako uenze kuingia paradiso

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 года назад +9

    madam flora nimwenye kutenda kazi za kheiry.

  • @pillioman2008
    @pillioman2008 4 года назад

    Pole sana aunt mungu yu pamoja nawe katika kazi yako ya utume ndio maana wanashindwa kutimiza makusudio yao mabaya kazana tu kujikabidhi mbele za mwenyezi mungu

  • @patiencengara5745
    @patiencengara5745 2 года назад

    Pole dada flora mungu atakupigania kila siku

  • @estamichoromichoro5634
    @estamichoromichoro5634 3 года назад

    Pole Sana Dada Frola mwenyezi Mungu akufunike kwa damu ya Yesu

  • @ramadhanishabani1622
    @ramadhanishabani1622 4 года назад +24

    Mnaom beza huyu dada naona ni kulakulala, hamjui ugumu wa maisha, ndio maana mnashangaashangaa.

    • @husnamkwata7431
      @husnamkwata7431 4 года назад +1

      Kabla sjasoma hizo comment nikupongeze kwa ulichokiandika mtu kma huyu anasaidia jamii unaanzaje kumbeza hata kama ana mapungufu tukumbuke hakuna mkamilifu

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 4 года назад

      Nani kambexa mbona coment zote zakumsifu tu

  • @paskomangee8409
    @paskomangee8409 4 года назад +1

    Nakukubali Sana mtu wangu wanguvu we ndo malikia wangu siku zote naomba mungu nipate maisha mazuri nikusapoti siku moja by simirii cimotrich

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 4 года назад +21

    Duh kumbe huyu dada mtu mzima 🙌🙌🙌🙌
    Yaani 1994 alikua 24 yrs old na mpk leo ni 26 yrs means ana miaka 50 🙌🙌🤣🤣🤣🤝🤝 shikamoo dada florah👣🚶🏃

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 года назад +1

    Hongeara na pole me nakupenda sana yani Allah akulinde na kila shari malipo utayakuta akhera usichoke usikate tamaa keep it up

  • @ednacelemon5950
    @ednacelemon5950 4 года назад

    Mungu akutie nguvu kwa kazi yako ya kutetea wanyonge ipo sababu ya Mungu kutenda haya.

  • @gpp9667
    @gpp9667 3 года назад +1

    God protect you Flora front your enemies

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 2 года назад

    Flora Mungu yuko pamoja nawe
    Na hao wanaopiga kelele tunaomba Mungu ashughulike nao
    Bwana ameahidi atapigana na wateja wetu na sisi tunaomba na iwe hivyo apigane nao hao wanaokufanyia fitina na uzushi

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 3 года назад

    Pole Allwah akutie nguvu na moyo

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 года назад

    Big up Flora. I love you sweet love. Mungu aturehemu kwa kukuwazia mabaya

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 2 года назад

    Mungu anaendelea kuwaaibisha maadui zako baki na yeye tu sisi wanadamu tuna unafiki Mungu Hana unafiki

  • @jackjudy9182
    @jackjudy9182 4 года назад +3

    my sister -Inspiration for life

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 4 года назад +1

    MashaAllah flora mungu yuko pamoja nawe. Hatawakusanyike hawawezi kukuzuru

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 4 года назад +3

    Hadi kusudi la Mungu aliloweka ndani yake litimie vngnvenvyo watapgana nae lkn wataishia kushindwa tu na kumzushia uongo,
    Mungu amtangulie hyu dada

  • @heroes1932
    @heroes1932 3 года назад

    Dada Frola wewe ni zaidi ya malikia wanguvu, siku zote mti wenye matunda hupigwa mawe usikate tamaa hatima yako ni kubwa sana umebeba jambo kubwa sana ndani yako, wanadamu siku zote huwaza mabaya ktk mioyo yao, usiwajali wewe kaza mwendo kwa imani my champion Lady

  • @queenmollel9593
    @queenmollel9593 4 года назад

    Dada Flora hakuna aliyefanikiwa kwa kulala au njia moja, waliofanikiwa wamepitia mambo mengi lazima ujiamini wewe mwenyewe mwisho wa siku maisha ni ya kwako mwenyewe, songa mbele , Asante kwa kujiamini .

  • @hedayaabeid3196
    @hedayaabeid3196 4 года назад +1

    Malkia wa nguvu Mpambanaji big up

  • @starcostantine6250
    @starcostantine6250 4 года назад +1

    Usiogope vitisho ,Fanya KAZI uliyoitiwa na mungu yakusaidia,mungu ataendelea kukulinda

  • @marycelinapaschal9619
    @marycelinapaschal9619 4 года назад +3

    Yuhu Dada nampenda mungu anajua ,,,,anajitoa Sana

  • @sophiamacdonald2711
    @sophiamacdonald2711 4 года назад

    Mungu akupiganie flora na akupe maisha marefu uzid kusaidia weng

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 3 года назад

    Dada flora hongera sana

  • @farajalucas2742
    @farajalucas2742 3 года назад

    Usiseme hivyo dada Flor mungu mkubwa atakulinda utaishi hutakufa tunakuombeya dada yetu

  • @loycegina3970
    @loycegina3970 4 года назад +4

    Pambana Mungu yupo na atakulinda 🙏🏾

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 4 года назад +5

    Keep it up flora

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 4 года назад

    Dada umejaliwa roho ya tofauti ambayo mi sina! Bwana akutunze

  • @azizamwamvita1666
    @azizamwamvita1666 2 года назад

    Nakupenda cn dada yngu

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 4 года назад +1

    Dah pole sn da frola mungu yupo ataendlea kuklinda inshaallha binafc nakupnd sn

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад

    Mungu akutetee

  • @jojomolla7607
    @jojomolla7607 4 года назад

    Pole mamy mungu akulinde

  • @esterpaulo6080
    @esterpaulo6080 4 года назад +3

    Mungu aendelee kukupigania

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 года назад +7

    Dada flora wewe ni jasiri na nnashukuru serikari kwa kukutambua Mungu akubariki na akulinde

  • @dorahpatrick6698
    @dorahpatrick6698 2 года назад

    Nakupenda 💞

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 4 года назад

    Mungu akubarik sana Frola usikate tamaa maneno yapo tuu songa mbele

  • @liyanakarzan182
    @liyanakarzan182 4 года назад +3

    Daaa maisha banh

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 3 года назад

    Jamani wanyumbani kabisa mungu akukinge na kila baya duniani

  • @zuwaynamussa5629
    @zuwaynamussa5629 4 года назад +6

    Ni mzuri mashallah roh sura mpole wallah nampenda sana huyu dada❤️😘

  • @rosejoseph9378
    @rosejoseph9378 4 года назад

    Flora Mungu akubariki kwa kazi unayoifanya

  • @kingsonmurekezi83
    @kingsonmurekezi83 4 года назад +4

    Kumbe mh Lema anatoka kwenye family tajiri!

  • @honorathakiluku7722
    @honorathakiluku7722 3 года назад

    Dah umenipa ujasir wa kuendelea kupambana Dada,MUNGu akulnde na akubarik pia

  • @havolindionasty2967
    @havolindionasty2967 4 года назад

    Be blessed Mungu akuinue zaidi

  • @kailomsewa2258
    @kailomsewa2258 4 года назад +3

    Pole Sana Dada kumbe umepitia changamoto mbaya ivyi jamani Mungu yupo Kiukwe

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 4 года назад +2

    Fanya tu dada mungu ndie atakaekulipa binaadam sisi hata ufanye jema lipi huwa kwetu baya

  • @newengwashi2662
    @newengwashi2662 4 года назад

    Piga kazi mie mwenyewe nakukubali sana👍🏾🥰

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +2

    Yaani nakupendaga sana filo wa watoto,unajitoa sanaaaa

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 3 года назад

    M mungu hamtupi mja wake mshukr Kwa yote amin

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine3552 4 года назад +3

    Nakupenda sana my kipenzi wangu frola Mungu akubariki katika kaziyako 🙏

  • @dianajoseph6673
    @dianajoseph6673 4 года назад

    Mungu atakungarisha kila itwapo leo dada mshukuru Mungu kwa yote hio kz yeye ndo amekupa usisahau na atakulinda siku zote za maisha yako Amen

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 4 года назад +1

    Pole sanaa dada flora'''''' Mungu akutie nguvu ktk kaxi nxuriiiiii ya kuhudumia jamaniiii.

  • @roseraphael8959
    @roseraphael8959 4 года назад +1

    Cjampenda mtangazaj hajauliza all we want da flora keep t up

  • @neemamturi3273
    @neemamturi3273 4 года назад

    Pole Sana Dada Frola nakupenda sana kiukweli hata Mimi napenda sana kusaidia lakini umenikatisha tamaa kutokana na changamoto uliyopitia ila ninaamini hakuna kazi isiyokuwa na changamoto.

  • @bintiathuman9878
    @bintiathuman9878 4 года назад

    Shangazi yangu mpendwa,. Mwenyezi Mungu azidi kukupa. Nguvu na kukupa moyo wa ujasiri, na akuzidishie kwa kila Hali mema, akuepushie na Shari na Hasad na balaa za Dunia. Uzidi kubarikiwa mapenzi tele

  • @gracesiyon2518
    @gracesiyon2518 4 года назад

    Umebania sana maswali,tunampenda tunataka tufahamu kupitia yeye tuupate ujasiri

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Mashallah, Allah akubariki inshallah 🙏

  • @galaxykahalid3172
    @galaxykahalid3172 4 года назад +2

    Kaz ni ngum san Lkn Mungu azid kusimam na wew

  • @mwanamkemshindi2260
    @mwanamkemshindi2260 3 года назад

    Yaani huyu dada MUNGU ambariki

  • @vailethalabama8255
    @vailethalabama8255 4 года назад

    Yo my favourite dada frola mungu akutunzeee

  • @mariamobedy9898
    @mariamobedy9898 4 года назад +1

    Daaah pole dd

  • @florakaganda3032
    @florakaganda3032 4 года назад

    Aisee Flora nakupenda sana Mungu akulinde sana jmn

  • @vincentvin211
    @vincentvin211 4 года назад +11

    Hivi wanaouliza umri wake, utawasaidia nini? Dada ni mpambanaji sana

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 4 года назад

    Pole sana flora me nakupenda mno

  • @theodolaselestine6570
    @theodolaselestine6570 4 года назад

    Nakupenda Sana sana Dada frola hakika MUNGU akutunze

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 4 года назад

    Hongera dada flora Mungu akuteteee

  • @judithsalufu5688
    @judithsalufu5688 4 года назад +2

    mungu akusimamie dada😘😘😘

  • @lifejeremiah6957
    @lifejeremiah6957 4 года назад

    Nakupenda Sana dada florah

  • @rosekweka47
    @rosekweka47 4 года назад +1

    Jamani ndio maana atukuoni Tena Dada yangu achana na walimwengu wewe fanya kazi mungu anaona mwanadamu wa Nini achana nao wamejaliwa majungu