EXCLUSIVE: "NIMEFATWA NA MAPANGA, WAKATAKA KUNIMWAGIA TINDIKALI, NILIJIKUTA NJE, NIKAZIIBA"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Wengi tunamfahamu Flora Lauwo kupitia kazi zake kwenye jamii pengine kuna upande wake mwingine wa maisha hatukuwahi kuusikia mahali popote, Flora amekubali ku -share na sisi sehemu ya maisha yake, mikasa na mengine kwenye EXCLUSIVE na AYO TV.
Nakupenda frola hujivung 🤔hata skujui lkn nilikutafta prvate ulinisaidia na tatizo lng limeisha mpka leo 🤞aiseee Mungu akuzidishie sana furo wetuu🥰😍baraka ya kukupenda tyuu mimi😍
Penda saaana my Dada, mungu akuepushe na matatizo
Mashallah flora nakupenda sana
Nampenda sana Frola,umepitia mengi mno mpaka kufika hapa leo, Mungu aendelee kukulinda siku zote my dear Frola 🙏
😍😍😍😍😍😍😍🌷🌷🌷🌷🌷💗💗💗💟💟💟💟💟💟💟😍😍😍💌💌💌💌💌💌
Hongera Sana Flora Mungu Akulinde,Binadamu Hawana Wema Wala Shukran.
Wewe ni zawadi kutoka kwa mungu da frola mungu awe pamoja nawewe😘😘😘😘😘😘
Kwanini watu wanamfanyia vitu kama hivyo na hali yeye maskini ana wasaidia walio kuwa wana hitajia misaada mbona wao hawawezi kufanya kama yeye na wengi wana mapesa, yote ni roho mbaya tu, endelea na Mwenye Enzi Mungu ata kulinda na watu wabaya. Asante dada Flora
Da flora Mungu akubariki mi pia ulinisaidia sana dear wasiokufaham ndio wataongea huo ujinga
Hongera sana kazi nzuri napenda unachokifanya Flora ata ufanyeje binadamu huwezi kumridhisha Yesu mwenyewe alinyoosha mikono sembuse wewe wala wasikutishe usikate tamaa
Majina ya kina flora wana utu sana..mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kuhudumie wanyonge
Frola chondechonde. Usije ukakubari kukatishwa tama. Pambana. Mungu wa mbinguni yupo pamoja na wewe. Tunakuombea Sana Frola Wangu
Hongera sn kwa kazi ya jamii. Biblia inasema hatutotulia hadi tutakapolala katika Bwana.
Mungu akubariki sana mungu amelinde Akupe maisha malefu na baraka tele mtetez wa wanyonge uchagui ubagui una moyo wa pekee
Nakupenda mno Flora mwenyez mungu akupe maisha marefu uendelee kusaidia wenye uhitaji ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Pole sana Flora. Hao wanaosema wewe ni mwizi ni wale ambao hata hawachangiagi kitu kwa mgonjwa yeyote. Mungu aendelee kukutetea kama unavyotetea wenye shida. Kumbuka "mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe". Endelea kusonga mbele achana na waliolala.
Pole dada hawo ndo binaadam bwana Mungu atakulipa kwahilo na jingine lililo zuri
Mungu amekuchagua. Kila siku ishi ukimtegemea Mungu wewe una kitu ndani yako flora
Aaaa uyu dada nampenda kichizi eee mungu akuweke unavyopapambana na umaskini wa watu kuwataftia riziki daa heko ya heko dada floka mungu akuweekee mkono
Amen my sister my God protect u Jesus name
Mlipaji mzuri ni mungu ☝️ achana na sisi!pambana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakika Jaza yake ataikuta kwa Allah
Hongera sana kwa kazi yako
Flora uko vizuri kweli inshallah.
Frolah anajitoa sana kwa watu nampenda sana frola😍😍
Dada Frola unafanya kazi nzuri, maneno ya watu wabaya yasikunyime usingizi fanya kazi pambana, hyo ndyo karama Mungu aliyokuandikia. Salute kwa kazi nzuri...
Mungu akujalie umri mrefu uzidi kuwalea wenye huhitaji amin
Nakupenda Sana dada Mungu azidi kukulinda siku zote kazi unayoifanya ni ngumu Sana
kabsa ni kaz nzur sana ndomaana watu wengi wanamponda maana anamoyo mwema
@@dorislema1814 kweli kabisaaa wanaitaman Ila wanashindwa
Nakupenda Sana Da Frola Mungu aendelee kukulinda Sana katika kaz yako nataman na mm kuifanya hii kazi
Dada Frola nakuombea kwa mungu usijali usilalamike bwana Yesu yuko upande wako ,kwasababu unafanya kazi ya mungu kusaidia yatima wenye mazingira magumu wanaokatariwa km yule bibi wa mtoto shemsa so wanadamu hatuna jema mungu ni mwaminifu sana atateta na wanaoteta nawe
Da frola we nimzulii sanaa hongera da wa taifaa
Nakukubali sana dada Flora.. Nakupendaga mnoo yaan mungu akulinde akuepushe na watu wa baya na wenye vijiroho kuntu.. Adui akufatapo anaswe apigwe na shoti ya umeme.... Mwaa mtetezi
Masha Allah kumbe umetoka mbali sana dada ndio maana ume kuwa mtetezi wa wanyonge Mwenye Enzi Mungu akuzidishie na akuhifadhi na akulinde na mabalaa
Dada frola nimtoaji sana kuanzia ndani ya moyo wake,lazima mungu ambariki,nakushauri usiache,mti mwenye tunda hupigwa mawe,na mungu azidi kukulinda na akupe siku nyingi zakuishi ili watu wazidi kuziona baraka ambazo mungu amekuandalia,watu hawajui Siri ya mafanikio,kutoa ni shida watu hawajui,mungu yupo nawe katika kila pito haji kukuacha kamwe.
Kazi unayo ifanya ni kubwa sana unatakikana uokoke umpee Yesu maisha yako uenze kuingia paradiso
madam flora nimwenye kutenda kazi za kheiry.
Pole sana aunt mungu yu pamoja nawe katika kazi yako ya utume ndio maana wanashindwa kutimiza makusudio yao mabaya kazana tu kujikabidhi mbele za mwenyezi mungu
Pole dada flora mungu atakupigania kila siku
Pole Sana Dada Frola mwenyezi Mungu akufunike kwa damu ya Yesu
Mnaom beza huyu dada naona ni kulakulala, hamjui ugumu wa maisha, ndio maana mnashangaashangaa.
Kabla sjasoma hizo comment nikupongeze kwa ulichokiandika mtu kma huyu anasaidia jamii unaanzaje kumbeza hata kama ana mapungufu tukumbuke hakuna mkamilifu
Nani kambexa mbona coment zote zakumsifu tu
Nakukubali Sana mtu wangu wanguvu we ndo malikia wangu siku zote naomba mungu nipate maisha mazuri nikusapoti siku moja by simirii cimotrich
Duh kumbe huyu dada mtu mzima 🙌🙌🙌🙌
Yaani 1994 alikua 24 yrs old na mpk leo ni 26 yrs means ana miaka 50 🙌🙌🤣🤣🤣🤝🤝 shikamoo dada florah👣🚶🏃
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
Mungu ni mwema anamwili mzuri sana
@@shanishosho911 dah amini kwamba
Ana mwili wenye shukran
Uko vizuri
Hongeara na pole me nakupenda sana yani Allah akulinde na kila shari malipo utayakuta akhera usichoke usikate tamaa keep it up
Mungu akutie nguvu kwa kazi yako ya kutetea wanyonge ipo sababu ya Mungu kutenda haya.
God protect you Flora front your enemies
Flora Mungu yuko pamoja nawe
Na hao wanaopiga kelele tunaomba Mungu ashughulike nao
Bwana ameahidi atapigana na wateja wetu na sisi tunaomba na iwe hivyo apigane nao hao wanaokufanyia fitina na uzushi
Pole Allwah akutie nguvu na moyo
Big up Flora. I love you sweet love. Mungu aturehemu kwa kukuwazia mabaya
Mungu anaendelea kuwaaibisha maadui zako baki na yeye tu sisi wanadamu tuna unafiki Mungu Hana unafiki
my sister -Inspiration for life
MashaAllah flora mungu yuko pamoja nawe. Hatawakusanyike hawawezi kukuzuru
Hadi kusudi la Mungu aliloweka ndani yake litimie vngnvenvyo watapgana nae lkn wataishia kushindwa tu na kumzushia uongo,
Mungu amtangulie hyu dada
Dada Frola wewe ni zaidi ya malikia wanguvu, siku zote mti wenye matunda hupigwa mawe usikate tamaa hatima yako ni kubwa sana umebeba jambo kubwa sana ndani yako, wanadamu siku zote huwaza mabaya ktk mioyo yao, usiwajali wewe kaza mwendo kwa imani my champion Lady
Dada Flora hakuna aliyefanikiwa kwa kulala au njia moja, waliofanikiwa wamepitia mambo mengi lazima ujiamini wewe mwenyewe mwisho wa siku maisha ni ya kwako mwenyewe, songa mbele , Asante kwa kujiamini .
Malkia wa nguvu Mpambanaji big up
Usiogope vitisho ,Fanya KAZI uliyoitiwa na mungu yakusaidia,mungu ataendelea kukulinda
Yuhu Dada nampenda mungu anajua ,,,,anajitoa Sana
Mungu akupiganie flora na akupe maisha marefu uzid kusaidia weng
Dada flora hongera sana
Usiseme hivyo dada Flor mungu mkubwa atakulinda utaishi hutakufa tunakuombeya dada yetu
Pambana Mungu yupo na atakulinda 🙏🏾
Keep it up flora
Dada umejaliwa roho ya tofauti ambayo mi sina! Bwana akutunze
Nakupenda cn dada yngu
Dah pole sn da frola mungu yupo ataendlea kuklinda inshaallha binafc nakupnd sn
Mungu akutetee
Pole mamy mungu akulinde
Mungu aendelee kukupigania
Dada flora wewe ni jasiri na nnashukuru serikari kwa kukutambua Mungu akubariki na akulinde
Nakupenda 💞
Mungu akubarik sana Frola usikate tamaa maneno yapo tuu songa mbele
Daaa maisha banh
Jamani wanyumbani kabisa mungu akukinge na kila baya duniani
Ni mzuri mashallah roh sura mpole wallah nampenda sana huyu dada❤️😘
Flora Mungu akubariki kwa kazi unayoifanya
Kumbe mh Lema anatoka kwenye family tajiri!
Dah umenipa ujasir wa kuendelea kupambana Dada,MUNGu akulnde na akubarik pia
Be blessed Mungu akuinue zaidi
Pole Sana Dada kumbe umepitia changamoto mbaya ivyi jamani Mungu yupo Kiukwe
Fanya tu dada mungu ndie atakaekulipa binaadam sisi hata ufanye jema lipi huwa kwetu baya
Piga kazi mie mwenyewe nakukubali sana👍🏾🥰
Yaani nakupendaga sana filo wa watoto,unajitoa sanaaaa
M mungu hamtupi mja wake mshukr Kwa yote amin
Nakupenda sana my kipenzi wangu frola Mungu akubariki katika kaziyako 🙏
Mungu atakungarisha kila itwapo leo dada mshukuru Mungu kwa yote hio kz yeye ndo amekupa usisahau na atakulinda siku zote za maisha yako Amen
Pole sanaa dada flora'''''' Mungu akutie nguvu ktk kaxi nxuriiiiii ya kuhudumia jamaniiii.
Cjampenda mtangazaj hajauliza all we want da flora keep t up
Kwani yy ni Mungu mwenye uwezo wa kusoma ulichonacho moyoni
Pole Sana Dada Frola nakupenda sana kiukweli hata Mimi napenda sana kusaidia lakini umenikatisha tamaa kutokana na changamoto uliyopitia ila ninaamini hakuna kazi isiyokuwa na changamoto.
Shangazi yangu mpendwa,. Mwenyezi Mungu azidi kukupa. Nguvu na kukupa moyo wa ujasiri, na akuzidishie kwa kila Hali mema, akuepushie na Shari na Hasad na balaa za Dunia. Uzidi kubarikiwa mapenzi tele
Umebania sana maswali,tunampenda tunataka tufahamu kupitia yeye tuupate ujasiri
Mashallah, Allah akubariki inshallah 🙏
Kaz ni ngum san Lkn Mungu azid kusimam na wew
Yaani huyu dada MUNGU ambariki
Yo my favourite dada frola mungu akutunzeee
Daaah pole dd
Aisee Flora nakupenda sana Mungu akulinde sana jmn
Hivi wanaouliza umri wake, utawasaidia nini? Dada ni mpambanaji sana
Pole sana flora me nakupenda mno
Nakupenda Sana sana Dada frola hakika MUNGU akutunze
Hongera dada flora Mungu akuteteee
mungu akusimamie dada😘😘😘
Nakupenda Sana dada florah
Jamani ndio maana atukuoni Tena Dada yangu achana na walimwengu wewe fanya kazi mungu anaona mwanadamu wa Nini achana nao wamejaliwa majungu