Huna hoja mazinge ila utakalia ubishi tu. Issa na Yesu ni watu tofauti kabisaa,na mnajua hilo ila mnapindisha tu. Ngoja mpindishe muwapoteze wengi,subiri siku ya hukumu ya Yesu Kristo
Mungu hajawahi kusema popote. Yesu hakuleta Dini. Dini ni Neno la wanadamu. Yesu alileta Kanisa. * Injili sio Quran, huwezi kuitafsiri Injili Kwa akili ya kibinadamu,Wenye Roho Mtakatifu tu ndiyo wenye uwezo wa kutafsiri Injili * Mtm amefika mwisho amelala, Yesu Yu hai. Mfuate Alie hai msije mkapotea*
Mbona haujaweka Ile sehemu ya Ramadhan alipoona jahazi la uislamu inazama akaona ajaribu kuokoa kumbe ndipo alizidi kuzamisha zaidi. Eti ukristo ni tabià 😁😁😁
“Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo. 14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. 15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu, ndio maana nimesema kuwa atachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. Yohana 16,12-15,hayo ni maneno ya yesu akitabiri ujio wa Muhammad (SAW)
Pole sana kijana yani bila aibu unasema biblia inatabiri kuwa muhammed rudi soma vzr kutafuta jina la mhammed kwenye biblia nikutafuta guruwe madina au marka
2:38 - 2:45 Mchungaji uliona mdomo wako ulipopinda badala ya kusema marufuku ukasema marukufu ulipotaka kujaribu kuikashif Quran?. Azingatie mwenye kuzingatie. Allah atuongoze na atufishe hali ya kuwa sisi ni Wailsamu. Ameen
Tatizo Waislamu wabishi, na hii clip wameweka fupi, Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu tena kwa maandiko. Huo mdahalo Mazinge alishindwa mpaka akaikataa Qur'an
Neno Kristo = Kigiriki. Kiswahili Mpakwa Mafuta. Kiebrania Masihi. Sasa kama Yesu sio Kristo maana yake mnakataa kuwa Yesu sio masihi. Mnakataa kuwa Yesu sio mpakwa mafuta utaratibu ambao akina Musa na Daudi Suleiman wengineo walio wateule wa Mungu walipakwa Mafuta kwa ajiri ya majukumu ya Mungu. Mtu mzima na msomi kama huyu ameshindwa nini kuliona hilo?
Kaapembeni kijana, Yesu kasema, Enendeni Ulimwengu kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu'' kile alicho agiza Yesu ndicho anacho fanya Ndasha. Ndasha amewafanya Waislamu wengi kuijua kweli na kuuacha Uislamu na kuja kwa Yesu, Mfano rafiki yangu Nurdin Saleh kutoka Zanzibar pemba. Angalia huo mdahalo, Waislamu apo wameshindwa sema ni ubishi tu, angalia Full Video kuanzia Mwanzo hadi Mwisho,, Waislamu wabishi.
Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi
Waislamu Mmeshindwa Kwenye huo mdahalo,, Mazinge hana hoja, ameshindwa na hoja za Ndasha ndio maana ameikataa hadi Qur'an iliyotafsiriwa na Baruani inayokubaliwa na Waislamu wote
Waislamu Dini(njia) yetu ya KWELI na UZIMA inaitwa KRISTO. KRISTO ndiyo Njia (Dini) yetu ya uzima na kweli. Hilo swali la Mazinge, Ndasha alilijibu, tatizo wameweka clip fupi, Mazinge alishindwa na Ndasha mpaka akaikataa Qur'an wakati anasemaga hakuna kukataa vitabu.
Kwa hoja za Ndasha na Waislamu, kama ningekuwa Muislamu ningekuwa nisha RITADI. Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu kwa maandiko, Waislamu humu nendeni kaangalieni fully Clip, muone Mazinge alivyo kaangwa,,Mpaka kaaikataa Qur'an.
Duh, waislamu wanabishana tu mbona wanatoka kwenye nimecheka wanajua yesu Ni Emmanuel Mungu pamoja nasi afu wanakataa yesu si njia Hawa wanafeli Hawa wanaweza hata kumhoji Mungu yeye Ni Nani, wanarudi mule kusapoti ukiristo tatizo wanakaririshwa Hawa wakariri vifungu ili wakabishane hahaha mwambie asome isaya 9:6 atajua yesu Ni Mungu mazinge mpotoshaji tu,etii Mungu sio njia ( njia hutuelekeza sehemu sahihi na Mungu nae hutuelekeza sehemu sahihi
Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi
mazinge ALLAH Akuzidishie Amin
Masha Allah , sheikh Mazinge dawa la ndacha ...
Hadi jasho limemtoka (ndacha)
Utapeli wa pastor ndacha
ruclips.net/video/HDbxnKfN8hs/видео.html
Allah akupe umri mrefu ustadh mazinge na wenye Afya,kweli wkristo wanamacho lakini haoni pia wanamasikio lakini hawasikii.
Mungu akubariki ustaadhi Habiib
💕💕Mazinge waweke Sawa Hao wamepotea
Mashallah
Mashalla allbdulilai. ustaz mazingue y
Sheikh Mazinge makafir hawana hoja
MashaAllah tabarakallah.
ALLAH AKUJALIE PROFESA MAZINGE.NDACHA ANACHOKIFANYA NI KUPIGA TU KELELE NA KUTUMIA LUGHA YA MATUSI.
Ndacha ukasome tena
Mashaallah 💓💓 mazing mungu akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers
Qto 1jss
Asalm alaikm bba mazinge ww n kibok ALLAH ukrehm ameeen
Allahumma Amiin
MashaAllah mazinge unawaweza yani
Mazinge kicheko chako hata ukiwa na hasira utacheka tu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Chekolako mazinge tu maashallah
Mashaallah mazinge may Allah akupe umri mrefu
Allahumma Amiin
Amin ya rabi 🤲🤲🤲
Nimependa kicheko cha mazinge
Namm napenda chats zako
Mashaallah wetu wote mungu awazidishie nguvu ili mpiganie dini ya Allah inshaallah
In Shaa Allah
Amiin Ya Rabb
Allah Akbar
INSHALH
Waganga na uganga wao, sisi na wakristo na Yesu wetu, Cristo ndio tumaini letu..kuw mkristo ni mpaka uchaguliwe
Asa waganga wametokea wapi kweli kuna majina yanamkosi sana Sasa anae ongea apo mganga ha muwage mnaongea vitu bila chuki BWANA ha
Wakristo hamumfati yesu nwamfata Paulo ndio amewapoteza
DD Pro Mazinge safi
Huna hoja mazinge ila utakalia ubishi tu. Issa na Yesu ni watu tofauti kabisaa,na mnajua hilo ila mnapindisha tu. Ngoja mpindishe muwapoteze wengi,subiri siku ya hukumu ya Yesu Kristo
Mazinge siyo mpishi,,tazama hoja na madiko tatizo nyinyi wakristo uwelewa mdogo,,
makafiri wanawaza uwongo TU hahaha uislam Raha sana
Njia ya ukweli ni ukristo tu bwana yesu asifiwe amen🙏
Mambo vip poa, ndoakili zenu hizo
Mutajiju
Yesu n njia y kwenda wapi jmani na din pia hamna
Kila mukristo ajuwi kiswaili wala kutofautishs mandatory na maanayake nasikitikiya wale wanting Iya kanisan nishida
Maandiko
Mungu hajawahi kusema popote. Yesu hakuleta Dini. Dini ni Neno la wanadamu. Yesu alileta Kanisa.
* Injili sio Quran, huwezi kuitafsiri Injili Kwa akili ya kibinadamu,Wenye Roho Mtakatifu tu ndiyo wenye uwezo wa kutafsiri Injili
* Mtm amefika mwisho amelala, Yesu Yu hai. Mfuate Alie hai msije mkapotea*
Yaani wakristo wanampachikiza yesu dhambi
Aslam aleikum
Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh
Kicheko cha mazinge aki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ndacha MUNGU Akubariki
Udini ni kitu kibaya
Yesu hajaleta Dini. Dini ni ubinadamu.
Ww shekh mbona ufwate Muhammad kwn ni yeye eliyo kuumba
Miaka mingi kwako mazinge
Mbona haujaweka Ile sehemu ya Ramadhan alipoona jahazi la uislamu inazama akaona ajaribu kuokoa kumbe ndipo alizidi kuzamisha zaidi. Eti ukristo ni tabià 😁😁😁
Bsr
Mimi navyo ona yesu ni mungu kwasababu yesu alikuwa na uwezo wa kufufua watu hakuna mtu mwenye uwezo wa kufufua watu
Unamaanisha Mungu anaeza kufa ? Acha fikra potofu ww...
Pole
Wee mwehu kama yesu nimungu kwanini kasubiwa msalabani huwoni kua mungu wako kazalilishwa nawatu weke hapainkuaje
Na mungu wako akafa daaaaah
Kwa uwezo wa Allah tuu
“Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo. 14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. 15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu, ndio maana nimesema kuwa atachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. Yohana 16,12-15,hayo ni maneno ya yesu akitabiri ujio wa Muhammad (SAW)
Pole sana kijana yani bila aibu unasema biblia inatabiri kuwa muhammed rudi soma vzr kutafuta jina la mhammed kwenye biblia nikutafuta guruwe madina au marka
2:38 - 2:45 Mchungaji uliona mdomo wako ulipopinda badala ya kusema marufuku ukasema marukufu ulipotaka kujaribu kuikashif Quran?. Azingatie mwenye kuzingatie. Allah atuongoze na atufishe hali ya kuwa sisi ni Wailsamu. Ameen
Wote wapumbavu tu mnabishana nini???je muislam na mkristo nani kawaumba???sio Mungu mmoja???mtahukumiwa kwa upumbavu
Eti bwana wewe mwanaume mzima eti bwana mimi ni kikwambia nihite bwana utarusha ngumi
😂😂😂😂😂😂 mazinge nomaaaa
Huyu mazinge anamkosea Sana Mungu na Kristo wake. Utalipa kwa kupotosha watu.
Ndasha shetani mkubwa sana ushindwe kwa jina la ALLAH
Sasa kama wamekubaliana kushindana wenyewe anakuwaje shetani tena. Kila imani ni sahihi kwa anayeamini.
Imani yte ni moja hamna imani mbili..
🐎😂😂
Mazinge anaukweli kabisa
Pasta ww uko sawa mungu akutie guvu.
Tatizo Waislamu wabishi, na hii clip wameweka fupi, Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu tena kwa maandiko. Huo mdahalo Mazinge alishindwa mpaka akaikataa Qur'an
Neno Kristo = Kigiriki.
Kiswahili Mpakwa Mafuta. Kiebrania Masihi.
Sasa kama Yesu sio Kristo maana yake mnakataa kuwa Yesu sio masihi. Mnakataa kuwa Yesu sio mpakwa mafuta utaratibu ambao akina Musa na Daudi Suleiman wengineo walio wateule wa Mungu walipakwa Mafuta kwa ajiri ya majukumu ya Mungu. Mtu mzima na msomi kama huyu ameshindwa nini kuliona hilo?
Mazinge chake kingi ni matusi tu hawezi ndacha
Hahahaha mazinge balaa sana
Mazinge amna kitu mbabaishaji 2
Dini ni pepo dini inatumika na shetani watu wameacha kufuata mungu na kufuata dini,dini haiwezi kuwapeleka peponi
Hebu soma vizuuri ulicho kiandika alafu tafakari
Ndacha ni kafiri mkubwa na ambae ataenda motoni
Hii channel ni ya mwislamu ndio maana mnasapoti wote weka kwa media national upate mawazo mchanganyiko
Haya mambo yalisha pitwa na wakati,ukiangalia zaidi utakuta Kuna kikundi cha waasi kinadhamini mjadala huu,watanzania hatupo hivyo
Kaapembeni kijana, Yesu kasema, Enendeni Ulimwengu kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu'' kile alicho agiza Yesu ndicho anacho fanya Ndasha. Ndasha amewafanya Waislamu wengi kuijua kweli na kuuacha Uislamu na kuja kwa Yesu, Mfano rafiki yangu Nurdin Saleh kutoka Zanzibar pemba.
Angalia huo mdahalo, Waislamu apo wameshindwa sema ni ubishi tu, angalia Full Video kuanzia Mwanzo hadi Mwisho,, Waislamu wabishi.
Ndacha unapoteza nguvu kubwa sana kushindana na hao wana wa giza ... Kuruani yao haitoshi kutoa ushahidi zaidi sana watumia Biblia
1wakolinto 15:18
Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi
Binaadam hawezi kuwa mungu acha ujinga wewe
Uzima wa milele mnamaanisha nn coz mnakufa nyie kama cc
Hakuna uzm wa milele jinga nn ww
mimi nawashangaaa hawa wakristo hawamuamini muhammad wakati qur an kashushiwa yeyr
Quruani ni ya kutungwa tu
Quruani ni ya kutungwa tu
Ndacha sheitani mkubwa sana ushindwe kwa jina la Allah
Ndacha unapoteza watu wewe
Weka mjadala wote unatuwekea mazinge anaangaika bila kijibu hoja ata moja
Unaonaje ww ukamfunza mazinge?hahah
😂😂😂
Nataka uliza mazinge dini inamufikisha mutu mbinguni?
Waislamu Mmeshindwa Kwenye huo mdahalo,, Mazinge hana hoja, ameshindwa na hoja za Ndasha ndio maana ameikataa hadi Qur'an iliyotafsiriwa na Baruani inayokubaliwa na Waislamu wote
Hoja za mazinge ni dhaifu sanaaaa,
Tumewazoea
Lete zako upinge zake
Naupenda ukristo na yesu yu hai mpaka leo
Kw hio mung wen alisalimik kifo
Wewe mbona unaongea ujnajijibu mwenyewe? Mazinge muongo
Waislamu Dini(njia) yetu ya KWELI na UZIMA inaitwa KRISTO. KRISTO ndiyo Njia (Dini) yetu ya uzima na kweli. Hilo swali la Mazinge, Ndasha alilijibu, tatizo wameweka clip fupi, Mazinge alishindwa na Ndasha mpaka akaikataa Qur'an wakati anasemaga hakuna kukataa vitabu.
Naona comment Allah Allah kwahyo Allah ndo mungu wenu waislam
Ww unaonaje kwn kaa kweny dhulma ufe uende moton
Ndio Allaah ndio mungu wetu wew kafili unauliza kama upo chooni
Kwa hoja za Ndasha na Waislamu, kama ningekuwa Muislamu ningekuwa nisha RITADI. Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu kwa maandiko, Waislamu humu nendeni kaangalieni fully Clip, muone Mazinge alivyo kaangwa,,Mpaka kaaikataa Qur'an.
Duh, waislamu wanabishana tu mbona wanatoka kwenye nimecheka wanajua yesu Ni Emmanuel Mungu pamoja nasi afu wanakataa yesu si njia Hawa wanafeli Hawa wanaweza hata kumhoji Mungu yeye Ni Nani, wanarudi mule kusapoti ukiristo tatizo wanakaririshwa Hawa wakariri vifungu ili wakabishane hahaha mwambie asome isaya 9:6 atajua yesu Ni Mungu mazinge mpotoshaji tu,etii Mungu sio njia ( njia hutuelekeza sehemu sahihi na Mungu nae hutuelekeza sehemu sahihi
Mazinge upishi wako ni utoto,mtu kichaa mjinga for sure unaabudu watu wafu wapotoshe kabisa.
Ngonjea hukumu pamoja na Muhammad
INSHALH
Asalm alaikm bba mazinge ww n kibok ALLAH ukrehm ameeen
Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh. Amiin
Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi