MAZINGE KUVAA MSALABA WA SHABA ENDAPO ATAONYESWA AYA WAPI YESU ALIKUWA NI MKRISTO? MOMBASA KENYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 дек 2021

Комментарии • 122

  • @babazfirenaya7171
    @babazfirenaya7171 2 года назад +8

    mazinge ALLAH Akuzidishie Amin

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 года назад +9

    Masha Allah , sheikh Mazinge dawa la ndacha ...
    Hadi jasho limemtoka (ndacha)

    • @ukweliwauislamu9590
      @ukweliwauislamu9590 2 года назад

      Utapeli wa pastor ndacha
      ruclips.net/video/HDbxnKfN8hs/видео.html

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 2 года назад +2

    Allah akupe umri mrefu ustadh mazinge na wenye Afya,kweli wkristo wanamacho lakini haoni pia wanamasikio lakini hawasikii.

  • @mohabro9521
    @mohabro9521 Год назад +2

    Mungu akubariki ustaadhi Habiib

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +5

    💕💕Mazinge waweke Sawa Hao wamepotea

  • @ramazaniramazanimoise
    @ramazaniramazanimoise 2 года назад +6

    Mashallah

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 года назад +4

    Mashalla allbdulilai. ustaz mazingue y

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 2 года назад +5

    Sheikh Mazinge makafir hawana hoja

  • @fatomhalogandy4045
    @fatomhalogandy4045 2 года назад +6

    MashaAllah tabarakallah.

  • @hassanyusuf4478
    @hassanyusuf4478 2 года назад +6

    ALLAH AKUJALIE PROFESA MAZINGE.NDACHA ANACHOKIFANYA NI KUPIGA TU KELELE NA KUTUMIA LUGHA YA MATUSI.

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +1

    Mashaallah 💓💓 mazing mungu akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 2 года назад +8

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @ilhamabduly4620
    @ilhamabduly4620 2 года назад +10

    Asalm alaikm bba mazinge ww n kibok ALLAH ukrehm ameeen

  • @daru2549
    @daru2549 2 года назад +3

    MashaAllah mazinge unawaweza yani

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 года назад +7

    Mazinge kicheko chako hata ukiwa na hasira utacheka tu🤣🤣🤣🤣

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +3

    Chekolako mazinge tu maashallah

  • @diderabduba5898
    @diderabduba5898 2 года назад +4

    Mashaallah mazinge may Allah akupe umri mrefu

  • @zahranomar8523
    @zahranomar8523 2 года назад +5

    Nimependa kicheko cha mazinge

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад +3

    Mashaallah wetu wote mungu awazidishie nguvu ili mpiganie dini ya Allah inshaallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад +2

    Allah Akbar

  • @ramadhaniissa5370
    @ramadhaniissa5370 2 года назад +1

    INSHALH

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 2 года назад +2

    Waganga na uganga wao, sisi na wakristo na Yesu wetu, Cristo ndio tumaini letu..kuw mkristo ni mpaka uchaguliwe

    • @shabansalee4924
      @shabansalee4924 2 года назад

      Asa waganga wametokea wapi kweli kuna majina yanamkosi sana Sasa anae ongea apo mganga ha muwage mnaongea vitu bila chuki BWANA ha

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 года назад +2

    Wakristo hamumfati yesu nwamfata Paulo ndio amewapoteza

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Год назад

    DD Pro Mazinge safi

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 года назад +5

    Huna hoja mazinge ila utakalia ubishi tu. Issa na Yesu ni watu tofauti kabisaa,na mnajua hilo ila mnapindisha tu. Ngoja mpindishe muwapoteze wengi,subiri siku ya hukumu ya Yesu Kristo

    • @abdullyamiry160
      @abdullyamiry160 2 года назад

      Mazinge siyo mpishi,,tazama hoja na madiko tatizo nyinyi wakristo uwelewa mdogo,,

  • @masala8099
    @masala8099 2 года назад +2

    makafiri wanawaza uwongo TU hahaha uislam Raha sana

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 2 года назад +11

    Njia ya ukweli ni ukristo tu bwana yesu asifiwe amen🙏

  • @fatimandzephe6015
    @fatimandzephe6015 2 года назад +1

    Yesu n njia y kwenda wapi jmani na din pia hamna

  • @shabanihassani4470
    @shabanihassani4470 2 года назад +2

    Kila mukristo ajuwi kiswaili wala kutofautishs mandatory na maanayake nasikitikiya wale wanting Iya kanisan nishida

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Mungu hajawahi kusema popote. Yesu hakuleta Dini. Dini ni Neno la wanadamu. Yesu alileta Kanisa.
    * Injili sio Quran, huwezi kuitafsiri Injili Kwa akili ya kibinadamu,Wenye Roho Mtakatifu tu ndiyo wenye uwezo wa kutafsiri Injili
    * Mtm amefika mwisho amelala, Yesu Yu hai. Mfuate Alie hai msije mkapotea*

  • @yassinm69
    @yassinm69 Год назад

    Yaani wakristo wanampachikiza yesu dhambi

  • @ibrahimabubakar8356
    @ibrahimabubakar8356 2 года назад +4

    Aslam aleikum

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 года назад

      Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856 2 года назад +1

    Kicheko cha mazinge aki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mossesjovenari9457
    @mossesjovenari9457 2 года назад +4

    ndacha MUNGU Akubariki

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 2 года назад +2

    Udini ni kitu kibaya

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Yesu hajaleta Dini. Dini ni ubinadamu.

  • @hukukanairo047
    @hukukanairo047 2 года назад +1

    Ww shekh mbona ufwate Muhammad kwn ni yeye eliyo kuumba

  • @hassanmhasha6844
    @hassanmhasha6844 2 года назад +1

    Miaka mingi kwako mazinge

  • @moshantoj
    @moshantoj 2 года назад +1

    Mbona haujaweka Ile sehemu ya Ramadhan alipoona jahazi la uislamu inazama akaona ajaribu kuokoa kumbe ndipo alizidi kuzamisha zaidi. Eti ukristo ni tabià 😁😁😁

  • @ramazive8329
    @ramazive8329 Год назад

    Bsr

  • @ozil6051
    @ozil6051 2 года назад +2

    Mimi navyo ona yesu ni mungu kwasababu yesu alikuwa na uwezo wa kufufua watu hakuna mtu mwenye uwezo wa kufufua watu

    • @aliliganje9273
      @aliliganje9273 2 года назад

      Unamaanisha Mungu anaeza kufa ? Acha fikra potofu ww...

    • @tubetv7196
      @tubetv7196 2 года назад

      Pole

    • @hizzasheshe3209
      @hizzasheshe3209 2 года назад

      Wee mwehu kama yesu nimungu kwanini kasubiwa msalabani huwoni kua mungu wako kazalilishwa nawatu weke hapainkuaje

    • @aboubakarahmad234
      @aboubakarahmad234 2 года назад

      Na mungu wako akafa daaaaah

    • @mwanaimaabdallah7825
      @mwanaimaabdallah7825 2 года назад

      Kwa uwezo wa Allah tuu

  • @erikarome8995
    @erikarome8995 2 года назад +4

    “Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo. 14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. 15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu, ndio maana nimesema kuwa atachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. Yohana 16,12-15,hayo ni maneno ya yesu akitabiri ujio wa Muhammad (SAW)

    • @odilosevelini3275
      @odilosevelini3275 Год назад

      Pole sana kijana yani bila aibu unasema biblia inatabiri kuwa muhammed rudi soma vzr kutafuta jina la mhammed kwenye biblia nikutafuta guruwe madina au marka

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 2 года назад +2

    2:38 - 2:45 Mchungaji uliona mdomo wako ulipopinda badala ya kusema marufuku ukasema marukufu ulipotaka kujaribu kuikashif Quran?. Azingatie mwenye kuzingatie. Allah atuongoze na atufishe hali ya kuwa sisi ni Wailsamu. Ameen

  • @sharonpaur9640
    @sharonpaur9640 2 года назад +1

    Wote wapumbavu tu mnabishana nini???je muislam na mkristo nani kawaumba???sio Mungu mmoja???mtahukumiwa kwa upumbavu

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад +1

    Eti bwana wewe mwanaume mzima eti bwana mimi ni kikwambia nihite bwana utarusha ngumi

  • @hemedhaulee
    @hemedhaulee 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂 mazinge nomaaaa

  • @robertwilson1133
    @robertwilson1133 2 года назад +1

    Huyu mazinge anamkosea Sana Mungu na Kristo wake. Utalipa kwa kupotosha watu.

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 2 года назад +7

    Ndasha shetani mkubwa sana ushindwe kwa jina la ALLAH

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 2 года назад

      Sasa kama wamekubaliana kushindana wenyewe anakuwaje shetani tena. Kila imani ni sahihi kwa anayeamini.

    • @makenakendi9014
      @makenakendi9014 2 года назад

      Imani yte ni moja hamna imani mbili..

    • @lastgospel706
      @lastgospel706 2 года назад

      🐎😂😂

    • @ephraimmahambo8516
      @ephraimmahambo8516 2 года назад

      Mazinge anaukweli kabisa

  • @alexmuthuri8572
    @alexmuthuri8572 2 года назад +4

    Pasta ww uko sawa mungu akutie guvu.

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      Tatizo Waislamu wabishi, na hii clip wameweka fupi, Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu tena kwa maandiko. Huo mdahalo Mazinge alishindwa mpaka akaikataa Qur'an

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 2 года назад

    Neno Kristo = Kigiriki.
    Kiswahili Mpakwa Mafuta. Kiebrania Masihi.
    Sasa kama Yesu sio Kristo maana yake mnakataa kuwa Yesu sio masihi. Mnakataa kuwa Yesu sio mpakwa mafuta utaratibu ambao akina Musa na Daudi Suleiman wengineo walio wateule wa Mungu walipakwa Mafuta kwa ajiri ya majukumu ya Mungu. Mtu mzima na msomi kama huyu ameshindwa nini kuliona hilo?

  • @user-rr1nk4om9d
    @user-rr1nk4om9d 9 месяцев назад

    Mazinge chake kingi ni matusi tu hawezi ndacha

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 2 года назад +2

    Hahahaha mazinge balaa sana

  • @michaelmgaya5191
    @michaelmgaya5191 2 года назад

    Mazinge amna kitu mbabaishaji 2

  • @sarahhassan8362
    @sarahhassan8362 2 года назад

    Dini ni pepo dini inatumika na shetani watu wameacha kufuata mungu na kufuata dini,dini haiwezi kuwapeleka peponi

    • @ahmedsaid-rx1bb
      @ahmedsaid-rx1bb 2 года назад

      Hebu soma vizuuri ulicho kiandika alafu tafakari

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад +1

    Ndacha ni kafiri mkubwa na ambae ataenda motoni

  • @johnstoneshiveka5566
    @johnstoneshiveka5566 2 года назад

    Hii channel ni ya mwislamu ndio maana mnasapoti wote weka kwa media national upate mawazo mchanganyiko

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 2 года назад

    Haya mambo yalisha pitwa na wakati,ukiangalia zaidi utakuta Kuna kikundi cha waasi kinadhamini mjadala huu,watanzania hatupo hivyo

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      Kaapembeni kijana, Yesu kasema, Enendeni Ulimwengu kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu'' kile alicho agiza Yesu ndicho anacho fanya Ndasha. Ndasha amewafanya Waislamu wengi kuijua kweli na kuuacha Uislamu na kuja kwa Yesu, Mfano rafiki yangu Nurdin Saleh kutoka Zanzibar pemba.
      Angalia huo mdahalo, Waislamu apo wameshindwa sema ni ubishi tu, angalia Full Video kuanzia Mwanzo hadi Mwisho,, Waislamu wabishi.

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 2 года назад

    Ndacha unapoteza nguvu kubwa sana kushindana na hao wana wa giza ... Kuruani yao haitoshi kutoa ushahidi zaidi sana watumia Biblia

  • @ozil6051
    @ozil6051 2 года назад

    Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 2 года назад

    mimi nawashangaaa hawa wakristo hawamuamini muhammad wakati qur an kashushiwa yeyr

  • @victormutua4043
    @victormutua4043 2 года назад +6

    Ndacha sheitani mkubwa sana ushindwe kwa jina la Allah

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад +1

    Ndacha unapoteza watu wewe

  • @amblozambloz8812
    @amblozambloz8812 2 года назад +1

    Weka mjadala wote unatuwekea mazinge anaangaika bila kijibu hoja ata moja

  • @haleemanakupendasanailamuh668
    @haleemanakupendasanailamuh668 2 года назад

    😂😂😂

    • @michaelmbusa7804
      @michaelmbusa7804 2 года назад

      Nataka uliza mazinge dini inamufikisha mutu mbinguni?

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад +1

    Waislamu Mmeshindwa Kwenye huo mdahalo,, Mazinge hana hoja, ameshindwa na hoja za Ndasha ndio maana ameikataa hadi Qur'an iliyotafsiriwa na Baruani inayokubaliwa na Waislamu wote

  • @boazmosses8204
    @boazmosses8204 2 года назад +1

    Hoja za mazinge ni dhaifu sanaaaa,

  • @mjubachuga7560
    @mjubachuga7560 2 года назад +2

    Naupenda ukristo na yesu yu hai mpaka leo

  • @robenmassawe4125
    @robenmassawe4125 2 года назад +1

    Wewe mbona unaongea ujnajijibu mwenyewe? Mazinge muongo

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад +1

    Waislamu Dini(njia) yetu ya KWELI na UZIMA inaitwa KRISTO. KRISTO ndiyo Njia (Dini) yetu ya uzima na kweli. Hilo swali la Mazinge, Ndasha alilijibu, tatizo wameweka clip fupi, Mazinge alishindwa na Ndasha mpaka akaikataa Qur'an wakati anasemaga hakuna kukataa vitabu.

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 года назад

    Naona comment Allah Allah kwahyo Allah ndo mungu wenu waislam

    • @mohdahmada1061
      @mohdahmada1061 2 года назад

      Ww unaonaje kwn kaa kweny dhulma ufe uende moton

    • @rahmasoliman489
      @rahmasoliman489 Год назад

      Ndio Allaah ndio mungu wetu wew kafili unauliza kama upo chooni

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад

    Kwa hoja za Ndasha na Waislamu, kama ningekuwa Muislamu ningekuwa nisha RITADI. Hilo swali la Mazinge Ndasha alilijibu kwa maandiko, Waislamu humu nendeni kaangalieni fully Clip, muone Mazinge alivyo kaangwa,,Mpaka kaaikataa Qur'an.

    • @maghenonesmus7769
      @maghenonesmus7769 2 года назад +1

      Duh, waislamu wanabishana tu mbona wanatoka kwenye nimecheka wanajua yesu Ni Emmanuel Mungu pamoja nasi afu wanakataa yesu si njia Hawa wanafeli Hawa wanaweza hata kumhoji Mungu yeye Ni Nani, wanarudi mule kusapoti ukiristo tatizo wanakaririshwa Hawa wakariri vifungu ili wakabishane hahaha mwambie asome isaya 9:6 atajua yesu Ni Mungu mazinge mpotoshaji tu,etii Mungu sio njia ( njia hutuelekeza sehemu sahihi na Mungu nae hutuelekeza sehemu sahihi

  • @chrislunga6624
    @chrislunga6624 2 года назад +2

    Mazinge upishi wako ni utoto,mtu kichaa mjinga for sure unaabudu watu wafu wapotoshe kabisa.
    Ngonjea hukumu pamoja na Muhammad

  • @ramadhaniissa5370
    @ramadhaniissa5370 2 года назад

    INSHALH

  • @ilhamabduly4620
    @ilhamabduly4620 2 года назад +2

    Asalm alaikm bba mazinge ww n kibok ALLAH ukrehm ameeen

    • @eshasalim5496
      @eshasalim5496 2 года назад

      Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh. Amiin

  • @ozil6051
    @ozil6051 2 года назад +2

    Huyu mazinge mgumu kuelewa kuwa wakristo ni wafuasi wa kristo ambeye ni yesu pia yesu ni njia ya kweli na uzima kwa sababu ukimfata yeye utakuwa na uzima wa milele na pia yesu ni Emmanuel maana yake mungu pamoja nasi