Kila mtu ana historia ya alikotoka na aliko sasa. Hivyo ni jambo la muhimu kumshukuru Mungu kwa umbali aliotutoa. Be blessed my people na mjue nawapenda sana.♥️♥️🥳🥳🙏🙏🔥🔥
Kiukweli bidii na standards umezifikia ipasavyo. Hongera sana kwa wimbo mzuri wenye maneno mazuri ya shukrani. Kilamtu anayo story yake, alikotoka na alipo sasa. Congratulations Anastacia ❤❤❤
Kila mapito yanatuachia historia, nyingine za kufurahisha na nyingine za kuumiza na kuhuzunisha, kweli hakuna safari isiyokuwa na changamoto. Mawimbi ni makubwa, mishale ni mingi lakini Mungu wetu mwema amekuwa upande wetu, akituvusha katika kila changamoto, wema wake ni waajabu na Matendo yake yanashangaza.
Kwa kila jambo tunapaswa kumshukuru; liwe baya au Zuri. Na kwa kila hatua tunamrudishia sifa maana matendo yake kwetu ni ya ajabu na yanashangaza sana.❤❤😊😊
I'm from Togo but the way i like that song every day i listen very nice voice , thanks for the joy in our heart , may God Give you strength and good Heath to Continue to Glorify God 🙏🙏
Our Kenyan Mukasa.....❤❤❤ Love and prayers from me .I love you @Anastacia Muema...I love your songs, uplifting and superb job to the videographer ..❤❤❤❤❤❤❤
Congratulations annastacia keep going, it's true Am here to proclaim God's greatness having been a maid for 7 yrs raising my siblings sure he has strengthen me,amenitoa mbali.....
I'm honestly touched by this. Huu ni ushuhuda Tosha kwamba Mungu anatembea nasi throughout our daily hustles and all this is for the glory of His name. May you live to proclaim His goodness to your life and may all who come across you call you "the blessed one".
@@anastaciamuemaTruly, It's good to give thanks to the Lord in all things. The good abd bad that happens in our lives, for he directs the steps of his faith. Great Song❤
This song reminds me of many times in my life and the life many families and friends that I know who have been through a lot 😢 But now the plans of the almighty and faithful God revealed 🎉🎉❤❤ Glory to God in highest ❤
Nautazama nikiwa Juja @Kenya. Hongera sana Annastacia kwa Kazi nzuri ya Uinjilishaji. Ujumbe muruwa kabisa, tumshukuru Mungu kwa kuwa ameambatana nasi katika safari yetu ya Maisha, Uinjilishaji, mafanikio na kadhalika. Pasaka njema.
Hongera sana dada Anastacia kwa uinjilishaji huu kwa njia ya uimbaji. Hongereni pia wana Karoli Lwanga wa Parokia ya Familia Takatifu, Njiro - Arusha kwa kushiriki uinjilishaji huo. Mungu azidi kuwabariki nyote na kuwainua.
Woooow this is amazing....what a encourangement song it is!!!Congratulations for this new song👏👏👏👏👏👏its true ametukinga,ametulida na tunashukuru kwa hayo.....I love you sooo much pamoja na songs zako dear❤❤❤❤❤❤
Kwa kweli yanashangaza matendo yake Mungu katika maisha yangu na sina budi kumshukuru🙏 Wimbo mzuri sana dada Ann❤❤❤ Mungu azidi kubariki kazi yako🙏 ❤❤❤❤❤❤❤
Kweli kabisa dada angu napenda nyimbo zako bureee zina ujumbee mzuri sanaa nami nikikumbuka nimetoka mbali sana namshukuru Mungu hadi hapa nilipo nasema asantee ni neema tu🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉
Kila mtu ana historia ya alikotoka na aliko sasa. Hivyo ni jambo la muhimu kumshukuru Mungu kwa umbali aliotutoa. Be blessed my people na mjue nawapenda sana.♥️♥️🥳🥳🙏🙏🔥🔥
and we love you even more our catholic viva💞💞✍✍
❤❤❤
Rozashala pia anakupenda pia sana❤ 😊
Siku zote Mungu 😝
😢kweli yashangaza matendo ya Mungu wetu🙌
kama unamkubali Mama Anastazia gonga like hapa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Namkuvari sana 0:24 🎉
Naomba higokop yawimb
Wakwaza jaman kutoka Dodoma like hapa kwajili ya nyimbo hii zur🥰🥰
Asante sana Jamaica. Wasalimie sana watu wa Dodoma❤❤
Ubarikiwe sana🎉😊❤
@@anastaciamuema Asante piya Kwa nyimbo zenu zinabaliki sana 🙏🙏
Wa kwanza from zanzibar more likes kwa dada yetu qeen of catholiç songs
Shukran sana kwa kuchukua muda wako kutazama wimbo huu.❤❤ Wasalimie saba huko Zanzibar❤❤❤
Honger San Anastacia muema Mar zote unatuletea nyimbo nzur
Because of gebby am here listening to this beautiful song,,,never been a catholic but for this song can see myself transforming to be a catholic ❤
Wooow!! Haki asante sana Margaret. Mungu akubless sana and thanks to Gebby too for bringing you to our channel. Feel at home❤❤❤
You are welcomed sana to catholic ❤❤emagine listening to this songs always
This so beautiful you never disappoint.. congratulations Anastacia
Wimbo uko 🔥🔥🔥
Congrats🎉 kazi nzuri🤝👏🏽👏🏽
Enjoying great music once again by Anastasia the songbird ❤ beautiful
Wakwanza kutoka kigoma like nyimbo nzuri ya dada yetu mpendwa Anastacia💕💕
Mm Blandina na mume wangu🥰🥰
This lady with her voice mashallah🥰🥰, I just love her❤😘,,and that field of shooting I really miss it where u can see Mt Kilimanjaro so near u😋☺️
Kiukweli bidii na standards umezifikia ipasavyo. Hongera sana kwa wimbo mzuri wenye maneno mazuri ya shukrani. Kilamtu anayo story yake, alikotoka na alipo sasa. Congratulations Anastacia ❤❤❤
Asante sana for this compliment. Sifa na utukufu zimrudie Mungu akiwa kitini cha enzi🙌🙌🤝🤝❤❤
C'est parfait! Merci et que le Seigneur guide vos pas!
Kila mapito yanatuachia historia, nyingine za kufurahisha na nyingine za kuumiza na kuhuzunisha, kweli hakuna safari isiyokuwa na changamoto. Mawimbi ni makubwa, mishale ni mingi lakini Mungu wetu mwema amekuwa upande wetu, akituvusha katika kila changamoto, wema wake ni waajabu na Matendo yake yanashangaza.
Kwa kila jambo tunapaswa kumshukuru; liwe baya au Zuri. Na kwa kila hatua tunamrudishia sifa maana matendo yake kwetu ni ya ajabu na yanashangaza sana.❤❤😊😊
yanashagaza kweli🙏🙏🙏
amina
I like the melody, message!! yann it's best ever🙏🇹🇿
Wimbo mzuri Anne na kwa ya Mtakatifu Karoli ❤
Congratulations my dearest darling sister ❤❤❤❤❤❤❤love you so much
Thankyou so much my darling bro❤❤. Love yoy too😊😊🎉🎉
Hongera sana dada Kwa kazi nzuri ❤Mungu azidi kukubariki na kukutumia
Jamani mungu wetu ni mkuu sana huu wimbo umenibariki sana , hongera sana dada yetu Anastasia muema. Msalimie mpiga kinanda
Dada anasta unachikanisha mizizi ya Imani kikatoliki.baba yetu wa binguni akulinde vyema..Amina
I say Catholic volume++++++ to the MAXIMUM 🎉🎊👌
Kazi njema kabisaa 4 representing Kenya 🇰🇪 Annastacia
Asante sana. Be blessed dear❤❤
The beats on fire 🔥🔥...good work congratulations 😊
I'm from Togo but the way i like that song every day i listen very nice voice , thanks for the joy in our heart , may God Give you strength and good Heath to Continue to Glorify God 🙏🙏
Kiambu county Kenya.... Anna you're a blessing through your evangelization
Hello
Woooow congrats Queen💗💗💗🎉🎉🎉🎉🎉♥️♥️♥️♥️
The first one leo
Thanks my dear. You were for sure the first one to watch and comment❤❤❤😊
❤🎉pia niko na ushuhuda wakumshukuru mungu
Glory to Jesus ❤
Watching from the Uganda the pearl of Africa 🇺🇬🇺🇬
Thankyou so much for tuning in. Feel appreciated ❤
Amina go go higher in Jesus name
The sweetness of catholic music,hongera sana dada Anastacia....kazi safi sana ❤️❤️❤️ keep going
Thankyou so much my sister❤..
Be blessed 🙌 ❤
Nice song may Almighty God bless you fore
Our Kenyan Mukasa.....❤❤❤ Love and prayers from me .I love you @Anastacia Muema...I love your songs, uplifting and superb job to the videographer ..❤❤❤❤❤❤❤
Nakushukuru Mungu kwa wema wa kweli.
Wimbo mzuri huu❤❤the vibe of Catholic in it'woow.go go mommy🙏🙏❤the Lord is so proud of you and for what your doing 🔥
So talented ❤
Hakika yanashangaza matendo yake,,, hongera dada🎉🎉❤
❤❤❤❤ congratulations dada🙏🙏🙏
Congratulations annastacia keep going, it's true Am here to proclaim God's greatness having been a maid for 7 yrs raising my siblings sure he has strengthen me,amenitoa mbali.....
I'm honestly touched by this. Huu ni ushuhuda Tosha kwamba Mungu anatembea nasi throughout our daily hustles and all this is for the glory of His name. May you live to proclaim His goodness to your life and may all who come across you call you "the blessed one".
@@anastaciamuemaTruly,
It's good to give thanks to the Lord in all things. The good abd bad that happens in our lives, for he directs the steps of his faith. Great Song❤
Wimbo mzuri kabisa, Mungu akutie nguvu
Ubarikiwe kabisa mtumishi wake Bwana 🔥🔥🙏🥰🥰
Kazi nzuri sanaa ❤
Shukran sana. ❤❤
Matendo ya Mungu hakika ni ya ajabu na ya kweli...congrats for the song
Mwenyezi Mungu aendelee kukukinga mabaya kama alivyofanya siku za nyuma. Zaidi ubarikiwe sana
Amina. Na asante sana kwa matashi mema❤🙏👏🫶
This song reminds me of many times in my life and the life many families and friends that I know who have been through a lot 😢
But now the plans of the almighty and faithful God revealed 🎉🎉❤❤
Glory to God in highest ❤
Nautazama nikiwa Juja @Kenya.
Hongera sana Annastacia kwa Kazi nzuri ya Uinjilishaji. Ujumbe muruwa kabisa, tumshukuru Mungu kwa kuwa ameambatana nasi katika safari yetu ya Maisha, Uinjilishaji, mafanikio na kadhalika. Pasaka njema.
Asante sana Francis kwa hii comment. Inanitia moyo wa kuendelea zaidi. Be blessed❤❤❤😊😊
You are an exceptional ❣️⭐, always giving the best 🥰❤️
i can't sleep even one day without Sing this song it's always in my mind 🙏🙏🙏
Anastasia daday maisha yana storiy ndefu jambo kubwa kushukuru kwa mungu ubariķwe kwa kaz,nzurì
Hongera sana dada Anastacia kwa uinjilishaji huu kwa njia ya uimbaji. Hongereni pia wana Karoli Lwanga wa Parokia ya Familia Takatifu, Njiro - Arusha kwa kushiriki uinjilishaji huo. Mungu azidi kuwabariki nyote na kuwainua.
Amina, ubarikiwe pia mwana wa Mungu
Asante sana Jackson. Ubarikiwe sana🙏❤️
Nairobi Kenya....I like it❤
Woooow this is amazing....what a encourangement song it is!!!Congratulations for this new song👏👏👏👏👏👏its true ametukinga,ametulida na tunashukuru kwa hayo.....I love you sooo much pamoja na songs zako dear❤❤❤❤❤❤
Mungu watu anatupenda na anatembea nasi kila hatua ya maisha na kwenye safari yetu ya kuwa karibu naye.
Be blessed dear one🎉❤
Nyimbo nzuri💯💯
Ametulinda na mengi Kwa Sababu matendo yake inashangazaa kweli ❤❤❤❤❤🎉🎉God bless you annstacia muene 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Thankyou so much. Be blessed too for taking your time to watch❤
❤❤❤❤❤ nzur sana
Wawoooooo wimbo mzuri unatubariki sana mungu azidi kuwabariki tuzidi kubarikiwa na wimbo wako sister❤❤
Amina na shukrani sana kuchukua muda wako kutazama. Ubarikiwe sana mpendwa❤❤
Cogratulation Ann,, keep shining 🎉
Niambie Unataza wimbo huu ukiwa maeneo gani?
Nyahururu,
I follow you from the Ivory Coast 🥳🥳
Mimi hapa Kenol murang'a.... tuko best
Burundi. 🇧🇮🇧🇮
watching from Nairobi, High-rise 💗💗💗🎉🎉
Matendo ya mungu kweli makuuu 💯 be blessed dad yetu unatukumbusha sanaa ukuu wa mung kupitia nyimbo zako❤❤🎉
Kazi nzuri dada,hongera
Annsactia penda nyimbo zako❤❤❤ keep up my fellow Catholic member
Wow,, congrats 🎉🎉dada yetu,,,mungu akubari,,❤😍❣️❣️❣️❣️
AMINA❤🤝
I like your songs so much ❤❤
Serving God's never in vain.
This is beautiful, Anastacia.
May God's blessings be upon your works, today and always 🙏🏿
Amen Amen. Thankyou so much my dear sister❤. You are doing an amazing job too.,❤❤❤
Sauti nayo ulibarikiwa❤
This is a hit...... Ann
Amen Amen🙌😊
Kazi nzuri
Am the first from kenyaaaaaa 254 I love you ann
Aaawwww❤❤❤. Thankyou so much and be blessed Ken❤
Awesome 🎉
Hakika huu utume n uliotukuka sana,, karoli lwanga tunawaelewa sana hasa sisi wanakwaya ya watakatifu wote hapa Ambrose kibuka sinoni mliman
Tunashukuru sana kwa upendo wenu
Amina tunaomba tutrmbeleane majirani
Lovely song. Congratulations
Likes for Our Queen🎉🎉🎉❤❤
Aaawww❤❤
Hakika anasitanzia umekuwa na nyiimbo za hisia aah Aya kama hiii ❤❤ nakualika katika wimbo wangu mpya uitwao niinue bwana
Am first one hear today 💃💃💃🎉🎉🎉🎉Congratulations congratulations dear❤❤❤❤❤❤keep spending the gospel 🎉
Thanks alot for taking your time to watch. Be blessed❤
Ubarikiwe mimi nautazama nikiwa Congo RDC.kweli astaili kushukuriwa milele
Kenyans❤
Like this comment 💯🎈❤
❤❤❤❤
Wimbo mzuri ❤
Nime like sana
Kazi safi sana
Hongera sana natazama kutoka USA ❤
Saf sana napenda sana kazi yako barikiwa sana
our very own sister has done it again hongera sna dada Annie kwa wimbo huu mtamu
It is true you have build us spiritually keep it up it really amazing for sure mpk nimeluck words ya kuexpress wawaaa!!!
Mungu akutiye nguvu na azidi kuwa mwema kwetu sote. Toka DRC Kinshasa ❤
Anastasia ❤ Mungu ni mwema tumika ungali na nguvu
Waooooo dada nyimbo nzuri sana ♥️🥰
Niko Katavi❤
Kwa kweli yanashangaza matendo yake Mungu katika maisha yangu na sina budi kumshukuru🙏
Wimbo mzuri sana dada Ann❤❤❤
Mungu azidi kubariki kazi yako🙏
❤❤❤❤❤❤❤
Kweli kabisa dada angu napenda nyimbo zako bureee zina ujumbee mzuri sanaa nami nikikumbuka nimetoka mbali sana namshukuru Mungu hadi hapa nilipo nasema asantee ni neema tu🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉
Dada nakubali sana
Anastacia muema
ninapenda songs sako sana. Congrats🎉🎉🎉 God bless you
Well composed.Keep soaring girl❤
Uko na talent kwel
Wimbo mzuri jamani tujenge katoliki na injili.congarats anastacia nakuru tuko dani
Jamani huyu kiboko Mungu akibariki🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤nampenda sana💯💃🌺🌺🌺🦓🦓🦓🦓
Hongera sana kwa wimbo mzuri wa kwanza kigoma.❤
Be blessed always 🙌🙏
One of the best songs, along with "Inakuaji tunasikiya manena"...
Anastaciah Ur songs are always on top notch ❤❤❤ tunakupenda sana pia
Kazi iendelee
two year in gulf sijai gojega ama kukunywa dawa nakushuru mungu wangu