NAMNA NA MAANA YA KUMSIFU NA KUMUABUDU MUNGU (2) - Mchungaji Carlos Kirimbai

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
    Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.

Комментарии • 18