Unaweza Ukawa si nabii na bado ukaonyeshwa mambo yatakayokuja 2- Mchungaji Carlos Kirimbai
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.
Kanisa bila manabii na mitume ni kanisa bila msingi!!!! Very very powerful....Kuta za dini na zisikie neno hili..Majira yamefika!!!!
Waefeso 2:20
[20]Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.
Ameen...!!
Mungu akubarik
Barikiwa san baba
Ahasante Pastor.... kuna watu wanataka personal revelation ziwe Doctrine
Umeinuliwa wakati muafaka...Mungu apewe sifa