Unaweza Ukawa si nabii na bado ukaonyeshwa mambo yatakayokuja 2- Mchungaji Carlos Kirimbai

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Semina ya Neno la MUNGU, iliyofanyika Kilongoni, wilaya ya Mkuranga mkoani pwani, tarehe 21/1/2019 hadi 3/2/2019
    Ili kupokea mafundisho kama haya unakaribishwa kushiriki ibada kanisa la MANNA TABERNACLE BIBLE CHURCH (MTBC). Kanisa linakutanika Posta mpya mtaa wa kisutu jijini Dar es salaam, Ukumbi wa shule ya msingi Kisutu. Tunakutana kila jumapili kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Tunashawishika kukutangazia Maisha yako hayatabaki kama yalivyokuwa.

Комментарии • 6

  • @alphashila6957
    @alphashila6957 3 года назад +1

    Kanisa bila manabii na mitume ni kanisa bila msingi!!!! Very very powerful....Kuta za dini na zisikie neno hili..Majira yamefika!!!!
    Waefeso 2:20
    [20]Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Год назад

    Ameen...!!

  • @estermadahs7947
    @estermadahs7947 Год назад

    Mungu akubarik

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 5 лет назад

    Barikiwa san baba

  • @kalobeflix
    @kalobeflix 5 лет назад

    Ahasante Pastor.... kuna watu wanataka personal revelation ziwe Doctrine

  • @rozasigi7402
    @rozasigi7402 5 лет назад

    Umeinuliwa wakati muafaka...Mungu apewe sifa