MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"
    PAMBANO la 'Dar Boxing Derby' limechezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jiijini Dar es Salaam.
  • СпортСпорт

Комментарии • 38

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 2 месяца назад +2

    Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.

  • @tonnyelias9454
    @tonnyelias9454 2 месяца назад +9

    Yap yap siku zote nakukataa maneno yako ya ovyo ila leo umeongea kimichezo zaidi naona umekomaa sasa.

    • @simeonmazigo5918
      @simeonmazigo5918 2 месяца назад

      Ukimkataa wewe anapata hasaragan?😅😅😅😅

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 2 месяца назад +1

      Ulimkataa jeh yeye anakujua Kwanza?pili anakukubali??tafta hela Mzee Baba uache kumkataa mtu ambae hakujui

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g 2 месяца назад +6

    Champezz one time two timez all the times

  • @user-iq4rv8dq5r
    @user-iq4rv8dq5r 2 месяца назад

    Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.

  • @deodaud3478
    @deodaud3478 2 месяца назад +4

    Kumbe umebadilika make nimependa kauli zako kwa mabondia wenzako kwa leo

  • @geofreymwamakula7178
    @geofreymwamakula7178 2 месяца назад +2

    Big up mwakinyo

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 месяца назад +1

    Hongera sana

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 2 месяца назад +1

    SAFI SANA CHAMPEZ

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma8356 2 месяца назад +1

    champion 💪💪💪

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c 2 месяца назад +1

    jamaakili nyingi sana ongera sana

  • @user-cu8jt9yn8r
    @user-cu8jt9yn8r 2 месяца назад +2

    We mbna ulisingizia viat ulipo pigwa panya wew

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 2 месяца назад

      Umesikiliza alichozungumza?
      😂😂😂

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 2 месяца назад

      Achaga ushangingi wewe

  • @Matatasaid
    @Matatasaid 2 месяца назад +1

    Mogadishu haaaaaaaa

  • @user-ij9qb3wx1w
    @user-ij9qb3wx1w 2 месяца назад

    Yan katika siku mwanang umeongea points leo broo umeonesh ukubwa wako na hekima yak kaka

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u 2 месяца назад

    Sasa ww kiatu c kilikubana ujeruman hukuwa na 2pair? Broo

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 2 месяца назад +1

    UYO MTANGAZAJI MI NAONA ANAWEZA AKAWA SHOGA MASWALI YAKE YA KIKUMA SANA

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 2 месяца назад

    Umekomaa eeeh endelea kuleta mdomo

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c 2 месяца назад +1

    Mbona yy mwakinyo hakubadilisha kile ulaya😂,ila ameongea ukweli alafu points

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 2 месяца назад

    Saiz umeanza kuwa na akili mbwa wew

    • @AWADHIHEMED-y1c
      @AWADHIHEMED-y1c 2 месяца назад +1

      wetwaha acha upuuuzi nitakupiga uka dondokeee kilosa

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi4181 2 месяца назад

    Kumbe via2 pea mbili mbona uk ukubadili

    • @ce-08
      @ce-08 2 месяца назад

      😂😂😂

  • @barakamwasala228
    @barakamwasala228 2 месяца назад

    Yeye alienda na viatu pea ngapii ulaya alivyosema kiatu kinabana

  • @masoudhamad1592
    @masoudhamad1592 2 месяца назад

    Mtoto wa Fatma Kungwi siku zote huongea pumba...
    eti"Apigwe aanguke"
    Acha roho mbaya dogo

  • @user-ij7ti1xd8k
    @user-ij7ti1xd8k 2 месяца назад

    wew ni mkubwa pia sis ni mashabik zako zamani ulikua unaongea point ila cku unazingua japo mi bado nakusapot

  • @bilalabas9636
    @bilalabas9636 2 месяца назад

    Ww mbona ulisema kiatu kinakubana na hukubadilisha kama Sheria ni lazm bondia awe na peir mbili mbili?

    • @user-jn7ft6zp7u
      @user-jn7ft6zp7u 2 месяца назад

      Sheria inasema kama refa akiridhia ubadilishe kiatu basi utabadilisha.

    • @user-ze8hp1ls6t
      @user-ze8hp1ls6t 2 месяца назад

      Mtoto Mchele mchele

  • @StevenDaniel-dc6cy
    @StevenDaniel-dc6cy 2 месяца назад

    Ww xikia vzr hio Crip usilopoke mwakinyo wap alipo mcrashi MTU na kumsema hajafanya vzr 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ze8hp1ls6t
    @user-ze8hp1ls6t 2 месяца назад

    Mwakinyo ww mduanzi kwer ww mbona ulisingizia viatu vimekubana ulikuwa hujui kubeba viatu pea mbili

  • @mohammedsaid8859
    @mohammedsaid8859 2 месяца назад

    Yeye viatu vingine alieka wapi