DIMBANI | BONDIA MFAUME MFAUME YUPO TAYARI KUZICHAPA NA HASSAN MWAKINYO / AAHDI KUUA ULINGONI
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kwa story Zaidi tufuatilie kupitia Mitandao :
►Twitter / tv3tanzania
►Instagram / tv3tanzania
►Facebook / tv3tanzania
►TikTok / tv3tanzania
Hongera Sana mfaume Kwa hekima ulizojaliwa maana Tambo hazipo kwenye lugha za matusi m/mungu akujalie
Umeona ya mwakinyo kutoa povu lake la moyon hilaa mmesahau maneno kibao yalitoka kwenu kumponda na kumzarau mwakinyo kafanya vizur kumtusi uyoo nisie muelewa
Anafanan na Ahmed ally kdg uyu mfaume
Mdogo wangu nimekuelewa sana mfaume
Kaka Naku kubali Sanaa!!! Ila mwakinyo humuwezi maishaaa!!!!
Mwakinyo Kikukuu Mguuni anamuogopa mfaume mfaume, mfaume mfaume Ni Hatari brooo ameshammvunja fuvu Mohamed matumla so fikiria Kwanza kuhusu Hilo, Kama Mwakinyo Ni mzuri SASA Anaogopa Nini Mbona kuna kijana mmoja mtanga sijui Yule Mwakinyo alipiga Nae sparring na Mwakinyo alimpiga na Akasema nilikuwa nampa Adabu cos Alikuwa Anaongea Sana
Mfaume bado kindagate xana kwa mwakinyo
Akuombe msamaha tu lakini kwa ulingo mwakinyo ni levo ya juu atakuua kabisa kwanza huna afya ya kupigana na mwakinyo
Ngumi hazipo ivyo we boya
" unamjua may weather wewe bondia namba moja duniani,hassani mwakinyo ni bondia gani sasa,mwakinyo kiduku atamchana chana akubali uone
Mfaume aliwahi kumvunja bondia taya asante
The Golden boy mfaume, mfaume 💓💓💓💓💓
Hongera kaka umeongea point na huo ndo mchezo unavyotakiwa uwe. Mmoja akikosea mwengine asikosee nyote ni mabondia wetu Ila mambo mengine so mazuri kwa nyinyi kujibizana hivyo
Mwakinyo anatamba xana ila kiukweli mfaume umuwez mwakinyo mapambano kibao unabebwa xana apah bongo
Achen maneno mabondia wa Tanzania fanyani mazoezi pigen kazi
Oyaa champion wa town akijichanganya mng'oe meno ya nyuma yote
Hapo mfalume mfalume unafeli mwakinyo huwezi fanya maisha mengine tu Yani hapo bongo. Hakuna wa kumpinga wewe we Endeleanga tu na Taarabu yako ya kizadhamo nilikua nakukubali San Ila kwasasa noshakukataa Alifu niongeze na kusema hivi Mfalume mfalume wee Akili hnaxo kabisa mwakinyo huwezi MWACHE to Aitwe mwakinyo Basi
Mwakinyo si daraja uvuke kirahisi kama unavyofikiri.
mbona hasan anakimbia,amajua kitAh
Mfaume leo umeongea vizuri sana sema huku mwisho ndio umeharibu kidogo.....ukumbuke chanzo cha kutoelewana kwenu ni pamoja na ww mwenyewe kutompa Mwakinyo heshima yake tangia mapema jambo ambalo limemkwaza sana! Lengo la kuomba na spaa na ww kitaani ni kuonyeshana tu nani mwamba lkn vigezo vya kupanga ring rasmi hauna kwa sasa hivi dhidi ya mwakinyo....sisemi kwamba huwezi kumpiga make kwenye ring lolote linaweza kutokea ila maoni yangu nafikiri muheshimiane mpendane mshirikiane ili ndondi nchini zikue zaidi lkn hata mpeane michongo lkn mkiendekeza bifu zisizokuwa na kuchwa wala miguu tutarudi nyuma sana.
Piga mwakinyo anadharau sana , Kuna watu wapo mtaaa wanapiga gumi kinoma ni vile hawaja mulikwa tu, alikaataaa kwa twaaha kiduku akikataa na hili yeye ndo wakike.
Ngumi sio ugomvi na Zina sheria yake Kama levo inaruhusu wapigane lakini tujiulize yupo nafasi yangapi kwenye nafasi za mabondia huyu mfaume
Mfaume the best Tanzanian
Ngumi nkat ya nguzo za hip-hop Sasa mnavyoanza Taarabu ndo nashndwa kuwaelewa
Hizi kiki mnatupigisha story maboya nn ww na mwakinyo lenu moja vichwa maji
Nyie mbona hamuendi nje? Mwenzenu Mwakinyo anazichapa nje Sana.
Mwakinyo humuwez
Nakukubali Mfaume
We fala 2 huna loloteeeeee
Yani wanadamu bhana yani mwanadamu anataka aonekane kupitia mgongo wa mwingine.. wewe kwa Mwankinyo huwezi kumaliza naye atakuua labda kwa kuwa unajua kukimbia kimbia kama kuku
Huyu mwanariadha KBS...
Wew na wenzako jitafuteni mna wivu Sana na Champez..Mwakinyo sio level yenu mkaushieni mtengeneze records zenu na ninyi na sio kumtaka taka TU kat sio saizi yenu
Namikweli huwezi kusheza box kwenye t
Njaaa hiyo
Nzigo uwekwe mezani...
mwakinyo hawez kurndelea kwa sababu hız
1. Hana Adamu displin
2. kujıona wakat bado
Mike Tyson alkuwa mtııfu mpka mwısho aliiheshm wanaboxer wezake n.k
Uko sawa Ila Kuna kunguni humu wanakomenti ukimya.
Kabisa
Mwakinyo akuwez Yan
Atakuu wayule mwakinyo noma
Mfaume kunakitu kimekuuma kutoka kwamwakinyo kwanza auna ngumi nzito unacheza shootu pialali umempiga kichwa chapombe
Akuwezi kaka acha nae,,, ety awezi kupoteza jina lake kwa ela ndogo .. mbona Babu tale alisema ataje ela anayotaka likaogopa
Hapana kwakuvimba kule tafuta Kaz nyingine
Wewe ni wakupigana na mwakinyoo kweliii aaaaa wapi
Mfaume huna maajabu broo ila una maneno mengi sana ndio yanakufanya watu wakujue we nani ila hata rekodi zako hazisisimui bora hata Dullah Mbabe anaweza kuongea kitu watatnzania tukamuelewa coz rekodi zake zinasisimua mzee na kingine mwakinyo ametafsiri maana ya kukuita mtoto wa kike mzee ni maneno ya kisport sizani kama kuna tatizo hapo na ukilinganisha tambo ma majigambo ndio yanaleta motisha kwenye boxer.
wemfaume mfaume hauna ngumi kwanza hata usipewe gem hauna lolote
Wewe ni wakike
Mama yko ni wa kiume
Hili game ata shinda mwakinyo kwa point
Mfaume amalizi game
mwakinyo kwa sasa hawezi kuombwa tu pambano akakubali, yule muwekee pesa na uwe kwenye level aliyo yeye sio hivyo mnavyotaka nyie, aje mumpige nondo apate ulemavu mjisifu, wengi mwakinyo wamemjua kimataifa sio ndani ya bongo na ukumbuke anshilia mkanda gani sasa na wewe una mkanda gani, nani dunia inamtambua kati yenu? mimi binafs hata sikuelewi yani , mwakinyo ndio matumla wa sasa, kairudisha ngumi kwenye hadhi yake.
Sio pambano ni mazoezi ya kupimana ya kawaida
Mwakinyo anashikilia mkanda gani kwani?
@@deniskyangala3400 wa suruali
@@jumanzige9644 🤣🤣🤣🤣
@@jumanzige9644 Alishavuliwa mikanda huyo shoga mwenzio
Yan mabondia wabongo hata mkizurumiwa sawa watu Mana ubondia wenu malipo sifa
Hiv sparing anazotak mwakinyo bila kuandaa ring hua anatk nn
Anajua akicheza na wao kwa ling atawapa brand so anajua anacho kifanya
Kwa bongo akuna kama mfaume anajua kucheza ngumi yani mchezo anaujua ao wengine wanatapa tapa tuu wapate ugal
Huyu ndio bondia lkn TUACHE dharau mwakinyo si type yake, mwakinyo yupo mbali sana, mfaume huwa wa vituko tuko tu kukimbia hovyo afu Kuna pambano last Dec 2020 ,,alibebwa vibaya mno kapigwa af anapewa ushindi ambao ht mtanzania unaona aibu KBS. Hatukatai ni mzuri lkn bado kwa mwakinyo,, hta Tony rashid bado atamsumbua au ndio type yake.
Number moja zaidi ya kimwakinyo
Hao kwichikwichi unaowaita kumbuka uliwagopa ukajidai umaumia bega
Acha unafika mfaume We ndio wa kwanza kumuita muimba tarabu mwenzako
Mfaume akiamua anaweza mvunja jamaa fuvu. Punch yake ni hatari. Alikuwa amuue Mohammed Matumla mpaka leo atumsikii. Mwakinyo punguza shobo sio kila chaka la kuvamia
Uko makini sana kwenye boc
Endelea kujisifu kisha na yeye aendelee kutengeneza heshima kwenye masumbwi pamoja na pesa
Ww boya tu
Nikweli mapigano nimoyo
Juzi tu umezingua umempiga kichwa jamaa,inatokea ndio lkn round ya kwanza! Ulichoka saa ngapi? Au ndo profesional? Tunaomba urudi kwenye kazi ili upate heshima.
Kiduku unaona anavohastle? Fanya vile tafadhari,kiduku ashaachana na habari za Mwakinyo
Yule hana akili achana nae mfaume nakukubali achan na mtu anae poteza viatu uwanja wa ndege
Kisha nikapambane na mwakinyo
Yani ww na kiduku mngefikia levo za juu lazima mwakinyo angepigana na nyinyi na nyinyi hamna lolote basi wivu tu kwakua mshaachwa
Ety bondia mzur zaidi yake
Mbona munaeneza chuki kwenye mchezo wa ngumi
Kumbe Mfaume alishagongwa KO Mbaya na mstaafu wa ndondi Joshua Clottery mwenye miaka 43!! Sasa anajilinganisha vipi na Mwakinyo? Ameletewa kuchikuchi otahe amtumie Kama daraja ili naye awe na nyota nne Kama Mwakinyo pia ameshindwa na akachezea kichapo yeye!!Mfaume bado Sana!!
Mfaume unajuwa bro lakin uyo wa tanga mchumba 2
Mfaume jitafakari kwanza acha wivu kaombe Mapambano na mabondiya wa manzese km nimzur mbna levo yk haufikii miaka yote
Msio jua ngumi niwaambie tu mwakinyo hana uwezo wa kumpiga mfaume hivo
Bongo mabondia watakuja na kuondoka Ila hamna bondia Kama Mfaume..Duniani Kote hamna Mtu alishawaikumpiga mtu akampasua Fuvuu .. .
Kila siku anakimbia ulaya anachukua hela anapigwa
Hivi ndg mnajua tusijifanye kama walevi unauhakika mfaume azichape na KIMBUGA BOY kweli au ugoro ndo unasumbua kwa sasa acheni bangi za chooni ifike mahala mheshimu mtu kwani kupambana mapambano mengi ndo kushinda au kama wakati umekuruka achana nao mfaume ngumi hajui hata kidogo mabondia tz ni 2 tu MWAKI NA KIDUNDA hawa wengine wapo na kiwango cha kawaida sana
Mwakinyo mwoga njee unapewa mabondia wachovu
Ongelea yako , tafuta riziki yako achana na Mwakinyo hakuna unacholingana naye , kwanza we mswahili tu
Sawa Wewe Mmarekani!!!naoma umekuja kuona mlima Kilimanjaro
@@al-islammuongozo5635 Wewe naye toa tu maoni yako sio kujibia yangu ,inakuhusu Nini, au kazi yako kujibia media jibu wote Sasa walio changia , mbona unataka kunipangia Cha kuongea ulishasikia kwenye media tunapangiana ? Wote tumemsikia na tunamfahamu we kazi kwako kuchangia chochote unachoona Sasa unanifatilia mchango wangu unanipangia yaani , samahani Sana fuata yako
@@al-islammuongozo5635 kwanza kwa akili yako huyo mlevi mwenzio niwa kumlinganisha ma Mwakinyo mtu mwenye malengo yake na akili yake sawa hategemei machawa wamsifie
@@elizabethmajaliwa5189 Sawa me mlevi we sister wa kanisa gani vile???
@@al-islammuongozo5635 hata cjui kwani inakuhusu Nini Wewe
jipange broo
Tatizo lenu mna wivu wa maendeleo mpeni heshima hata Kama Ana mapungufu yake na si kumchukia halafu wewe sikuelewagi kabisa naona Kama mtu wa taarabu tu maneno meng Kaz hatuioni sijui hizo sifa unazo pewa zinatoka wp
Huyo c mzaramo bwahna Hana maajabu yoyote bhwaha Aende kule
We mfahume na dula mzaramu na kiduku mnakazi ya kumtaka mwakinyo amuwazi kufanya majambu Kama mwakinyo mjajulijana kimaraifa mnakazi kumuonea mafanikio pambaneni kimataifa muweze kupaaa so mwakinyo kanitukana nyiee mmemtukana marangapiiii mmemzarau marangapi
Kaka mwakinyo atakuumiza tulia wew
Atapoteza viatu uwanja wa ndege
Mfaume hamuwez Mwakinyo
Tatizo si kumuweza ,mwakinyo sifs nyingi Hana adabu
Achachuki mzee wewe pumzika
Unakituwewe
Ww kwa mwakinyo bado sana bana acha
Aliteleza tu kidogo binaadam co malaika
Mpendane msilete chuki sio vizuri
.nikuelewa
Alafu mwakinyo akutaka kupigana n we kamua kukuoa povu tu Kama ngumi unaziweza mbn atuoni mapambano yako unakaaaa miezi kibaoo alafu unakuja tupigiaa kelelee tu
Nyie wote ni wehu mwakinyo umaarufu kautafuta Kwa shida na gharama hajapewa na wahuni mtaani hata nyie nendeni ulaya mkautafute
Ww ndo chupi kabisa
Choko wewe acha chuki mwakinyoo humuwez ata kutoa tumboo ilooo kuma wewe
Huyo mwakinyo hana kitu hajui ngumi huyo uchampion wa utopoloni
Mabondia wa manzese bwana
Mwakinyo anaongea ongea tu kiboya kama gasho kiukwl mwenyew simkubal ata kdg, inshort anajiona anaweza ngumi na wakat kawaida sana anapbana na mabondia dhaifu
Mwakinyo kakataa kwasababu spaling yaulingoni itamshusha. Level aliyokua nayo kamaakipigwa na kutaka kupigana kwenye tairiz inaonekaana nihasira naanataka kumfundisha adabu mfaume pambanolako lamwisho ulipigwa bwana ilaulibebwa tu namwakinyo nayeye anamakosa kumuita Mwenzake mtoto wakike
Hz ni chuki t m naona lkn na mwakinyo apunguze kdg majigambo
Safi mfaume
AKITAKA KUPIGANA NA MWAKINYO AENDE AMPIGE TWAHA KIDUKU KWANZA TUONE, AKITOKA SALAMA KWA KIDUKU BASI AENDE SHIRIKISHO LA NGUMI DUNIANI KUMUOMBA MWAKINYO APIGANE NAYE, SIYO KUBWABWAJA TU, MWAKINYO NI MAWINGU MENGINE YALE
Mawingi ya matako yako
Mwakinyoo Hana nidhamuu hata kidogo kuita wenzake watoto wakike hii sii sawa. .mpuuzienii mwakinyoo nimtu limbukeni sanaaa ...maskinii wengii wakioata nimalimbukeni wamali kila mtu hunuona churatuu akipata...mwakinyoo aache majivuno maysha sio nyoofutuu akumbuke Kuna Kona ..mpimbavuu Kama Nini kanikeraa nlikua shabiki wake alkini kwahilii apite kushoto ...
Nenda huko na wewe huja Jambo yoyote fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha to
Usimteteee mjinga akifanya ujingaa mwakinyoo limbukeni sana
Pigana namabondia wa manzese mlogane vizuli
Mwakinyo muoga sana hana lolote
Mwakinyo ajui ngum achesi namakuchi kuch wak sikuogop atamm kidik ukatae mufaum nae umukatae una akil ata dulanae unamuogopa amuna kit ww kilicho bakia uchez nakina Kira's naata kufunda tw
Mwakinyo muoga sana yule choko
Mfaume unasema umepigana mapambano mengi kuliko Mwakinyo je, umeshinda mangapi? Boxrec yako inatia kinyaa umepigwa Sana tengeneza rekodi kwanza wacha Mwakinyo sio wa levo yako.Kama ametaka sparing kwenye tiles kwanini umekataa? Ulimuonea huruma ya Nini? Kwani sparing kwenye majimu yenu mnaweka ringi? Na umefanya vizuri kukataa ungekubali angekuzimisha sakafuni. Una kinyota kimoja na nusu chako unajilinganisha na champion mwenye nyota nne!! Unajitambua kweli? Punguza maneno ndio maana mwenzie amekuota mtoto wa kike
Tatizo mwakinyo sifs nyingi Hana adabu
😃sasa kama mwakinyo alipigwa ko mbaya na ramadhan kaoneka anaweza vep kumkalisha mfaume 😐tatizo mnakalilishwa kuwa jamaa ni bondia bora kampiga nani au hao walevi anaoletewa
@@zubedamuhamed1873Mnaweweseka Sana! Sasa hiyo KO mbaya amepigwa na Mfaume? Je, Mwakinyo amepiga wangapi hizo KO Mbaya!. Walipo rudiana huyo Kaoneka alikalishwa round ya kwanza sekunde ya nane Hilo hulijui? Mwakinyo ni bigwa Kama Mfaume anamtaka atafute promota agombee mkanda wa Mwakinyo ili yeye autetee. Tafuteni vigezo vya kucheza na Champion Mwakinyo sio kuuza sura mitandaoni. Mtu anashinda kwa KO hadi Uingereza Leo mnajilinganisha naye! Hivi mnajitambua kweli? Mmezoea kubebwa tu mkipigwa mnafunga ma POP mikononi ili mudanganye kuwa wakate mnapigana mikono ilikuwa imevunjika!!
Mwakinyo sifa nyingi na mapambano niliyoyaona mengi ya hapa nyumbani kapigana na walevi tuuuu na kubebwa kwingiiii
Achaa ujingaaa ww,.kuwa na akilii.Hujui Boxing kazi Ni kuongea upuuzi humu,,Kama yeye ana nyota nne na anajiamini professional mbona aombe sparring😌.alaf Mfaume kuwa na Record mbaya Ni kwa sabab anakutana na mabondia hatari ..kumbuka wote walikuwa nyota mbili, Mwakinyo kambatisha Yule mzungu ndo akapandaa.mpaka nyota nne..
Mfaume mwenyewe mweupe
Mtu havuti mabangi,fegi,mapombe kazi yake kusoma qur an madrasa ku swali mazoezi sana yupo top 10 duniani umri wake wa form five kwann akae kimya sasa asifiwe na nan mnataka … champez one mo time
madem
Mm nishabiki wa mwakinyo ,,,,,,,Ila kwasasa mwakinyo anavikauli vya dharau saaana,,,,,alianza kumtukana matumla watu wakamshauli akaomba ladhi,,,,akaja akawatukana mabondia woote akidai wanaletewa ndizi,,,,,,na saiv anamwita mwenzie mtoto wakike.....,,,,,,,,,Kweli hivi watu mnaona kawaida tuu,,,,,ndio mfaume hawezi kumpga mwakinyo Ila kauli hizo sio poa aise Mungu anaweza kumshusha huyu
Mjombaa fanya uchunguzi kwanza ukiambiwa mwanao mwinzi wacha kubisha Hawa mabodia wa bongo Wana hila wewe Sasa Kama huyo mbeba matofali Ni wakumtaka mzee baba mwakinyo kweli WAACHE ushabenga wao huo bwana weee
Mtu anatukanwa kutokana na choko choko zake,,,,,hivi mtu uko form 4 halafu mtu anakuletea mtihani wa chekechea,,,,,lazima umtukane. Pamoja na yote huyu dogo hawezi kusimama na Hassan,,,mara ngapi tumeona kaenda nje kapigwa kama mbwa koko,,akirudi ni kujitetea tuu
Nawe ngumi zako mpk upigane na mwakinyo pandisha uzito upiganie ubingwa sio mihogo yako
Faume mm nataka pambano na wewe je upo tayari mm ni mkenya
Mwakinyo choko tyuu achanen nae
Bondia muaga yure akuwez mfaume
Mfaume humuwezi Mwankinyo hata kidogo yani wewe utakunya ulingoni kabisa kama sio kujamba 2.
acha kelele wewe mwakinyo unamjua au unaona tuh wenzako wanavo teswa unaona kawaida acha uje ufikiwe wewe
Mbna yeye amuombe sparring
Mwakinyo hana ishu apigane na wavuta ugolo 2 ngumi awachie nyie
Peleka usenge wako mbele
Sasa wee bom dia na Profesional bingwa wako upi sasa
Huwez kuwa mzuri zaid ya mwakinyo ngumi zako bado kwa level ya mwakinyo.