MFAUME amnyea MWAKINYO/Amebaki na TAARABU tu/Amefulia/Nataka pambano nae BURE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Bondia #MfaumeMfaume ameweka wazi matamanio yake ya kupata pambano na bondia kutoka mkoani Tanga #hassanmwakinyo huku akisema anataka asilipwe chochote katika pambano hilo huku akimtaja Mandonga kama mdogo wake tangu zamani,Pia amezungumzia mapambano yake yajayo na rekodi kadhaa alizonazo kwenye mchezo wa Masumbwi.
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Комментарии • 200

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Год назад +2

    Mfaume we nilikuwa nakubali sana ila sasaivi we demu tu yaani ukija kwangu mie nakuwasha vibaya mno mno kama vip nije nikuwashe moto we mrembo tu historia gani maana umedundwaa saana tu

  • @MwanakombMwazumo-yf7sv
    @MwanakombMwazumo-yf7sv Год назад +1

    Mfaume sio bondia ana chakueleweka kwenye gumi ameshafulia atafute jembe akalime ye kama anataka maji yaliyo tiwa karafu aweke asitake kiki anapigwa sana ulingoni nibora mandonga nimuekee hela ninao uwakika wakushinda kuliko mfaume anataka kumpima mwakinyo anamuweza wapi ye ache anapocheza sio kumpima maji kwa mguu Kila siku baada ya kucheza ngumi anapigana vichwa

  • @waziriathumanmadagaa
    @waziriathumanmadagaa Год назад +5

    tatizo mnamchukia mwakinyo kwakua yupo juu ila mwakinyo ndie anaeitangaza TZ

    • @vailethkihiyo56
      @vailethkihiyo56 Год назад

      Hyo mwakinyo pia ana shombo za kipumbavu😮

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Mwakinyooo MTU mbaya sana

  • @abdimakame7929
    @abdimakame7929 Год назад +1

    Choko wewe acha mijIgambo unadundwa ivyo.
    Ndiomana Chikonde Makawa alikufundisha nidhamu💪

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Год назад +3

    Mfaume ni mlevi tu anaweweseka

  • @user-rc2rj5xq7m
    @user-rc2rj5xq7m Год назад

    Mapafu yambwa Salut Sana champion huaga unajiamin sana ci ulingoni ci uraian

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Год назад +4

    Mwakinyo ndo tunamfahamu hao wengine mmmmmmh

  • @KapalataKitaulo-iu8by
    @KapalataKitaulo-iu8by Год назад +1

    Wewe Jamaa ukubari ukatae mwakinyo ndio amefanya watu wapende ngumi unakumbuka pambano lake la ulaya nchi nzima ilisimama kumungalia champ acha maneno meng mwakinyo fundi ukubali ukatae

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Год назад +1

    Mzee wa kupiga watu vichwa una lolote utajinyea mwakinyo is a champion aka CHAMPEZ MWAKINYO

    • @legangatzmedia4846
      @legangatzmedia4846 Год назад

      Brother acha ushabiki wa ajabu Mwakinyo hawezi mziki wa Mfaume hata siku moja

  • @benardmassawa3599
    @benardmassawa3599 Год назад

    Bro jipange sana kwa mwakinyo 😂😂 labda nenda kwanza akajifunze ngumi darasani

  • @amindadi24
    @amindadi24 Год назад

    Oyaaaaaa babaaaa mfaume safi babaaaaaa dua nyingi sana mwanetu.

  • @Ashimvic
    @Ashimvic 8 месяцев назад

    Weweeeeeeh levo ya mwakinyo bado sana broooh eti mapafu ya mbwa hudadek jiweke wazi muite mwakinyo ulingine uwone kama hautokimbia kwanza mwakinyo haongei kwamdomo kama mademu mwamba anaongea kwa vitendo ww

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 Год назад +6

    Mwakinyo ashasema bora afuge mbwa kuliko kupigna na watu wasio level yake

  • @mohamedkibwana1165
    @mohamedkibwana1165 Год назад +2

    Kwan hawa mabondia wetu hawez kusogea mpaka wapigane na mwakinyo what a shame

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 Год назад

    Mfaume wewe ni bondia mzuri achana nae huyo mtanga kumuwongeleya

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад +3

    Nandio mana wabongo atuendi mbali sababu hatu pendani aliopewa kapewa Tu nawewe pambana ufike levo zake aundio unataka kuteleza

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 Год назад +2

    Af hyo fala alipigwa APA nyumbani AF ubingwa akapewa ushindi,,,wala hajui nn maana yarekodi ktk boxing nandmn anauza mapambno Russia Mara kibao hajielewi,,,bondia njaaa

    • @allymwachipanga2486
      @allymwachipanga2486 Год назад +1

      Duh! Nani kakwambia urusi wananunua pambano wale watu achana nao wanabonda balaa

  • @abdullukindo4693
    @abdullukindo4693 Год назад +4

    Mfaume unaongea sana lkini mwakinyo umuwezi kabisa ata ufanye nn unauwezo kabisa fighting ya mwakinyo na wwe tofaut sema mnalazimisha apigane ili mumshushe lkin sio level yko

    • @daudishabani1587
      @daudishabani1587 Год назад

      Wamepigana ln mpka useme hamuwezi? Ngumi cyo taarabu kk

  • @mustaphajuma4640
    @mustaphajuma4640 Год назад +3

    Mnaandaa interview zenu za uongo lkn point ni kumzungumzia mwakinyo hahahah mnateseka sana na mioyo yenu mungu kashampa tafteni tobo lenu na nyny wazee bila Kumtaja mwakinyo interview haitizamwi mtateseka san

  • @makassyzakir3505
    @makassyzakir3505 Год назад

    mwakinyo 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 Год назад +1

    Nakubali mzee

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Год назад +3

    Ww Mfaume ongea TU! Ila yule dogo usingemgonga kichwa alikua anakuabisha, yule mwamba anajua ngumi, asa unasemaje alisingizia wakat majaji waliamua, nanakutabilia tunza hii comment piarali atakuchapa laud ya 5

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 Год назад

    Amumuwezi acheni kujifanisha nae nyinyi watt wa bongo washamba sana cc watt wakitango ndo wajanja wenu kwaiyo aliejuu ndo juu2 mwakinyo mkali kuliko mabondia nyote apa Tanzanian

  • @athumanhatibumkombolaguha
    @athumanhatibumkombolaguha Год назад +1

    Kweli kila kizuri lazima kihusudiwe, wameanza vichwa bata akina Mangonga, sasa hata wewe Mfaume pia umekua mwimba taarabu..?

  • @naftaelnanyaro5000
    @naftaelnanyaro5000 Год назад

    Mfaume ujui unacho kiongea jitathimini kwanza

  • @MaalimShabani
    @MaalimShabani Год назад

    Mfaume hamuwezi mwakinyo

  • @mduduonline8116
    @mduduonline8116 Год назад +3

    mfaume leo umeongea maaan yule ni shoga kweli taarabu nyingi

  • @saidirandon
    @saidirandon Год назад

    Oya umeongea sure jesh

  • @yussufdemodise6188
    @yussufdemodise6188 Год назад

    Mfaume Mfaume unaongea sana kama taarabu unayowewe mabondia hawana maneno yakike kwa bondia mwenzake

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Год назад

    Kavute bangi vichochoroni huko Mwakinyo sio level zako.

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Mwakinyooo atawapiga na taarabu hayo hayo mnayo sema

  • @joasbaraka_gardener
    @joasbaraka_gardener 11 месяцев назад +1

    Bondia ni mwakinyo tu hawa wengine ni madunduka tu kama huyu

  • @ChristopherSeti
    @ChristopherSeti 5 месяцев назад

    We choko2

  • @ShabanKatima
    @ShabanKatima Год назад +1

    Namini iyo siku usipo kufa ww mfaume basi utakua zobi mwakinyo sio levo Yako acha kujipendekeza

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Год назад

    Mfaume namba Moja Tanzania, tunaenda mpiga idi pialali alafu tunamtaka muimba taarabu mwakinyo anamisemo na michambo kama mdada vile.
    Nakusapoti mfaume usiniangushe

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 Год назад +2

    😢😢 Ila lile pambano ulilocheza
    bongo umepigwa😂😂😂

  • @MusaSelemani-ui1xb
    @MusaSelemani-ui1xb Год назад +3

    Unajua lakini mwakinyo mkubwa

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад

    Nipo Tunduma border post ## tupo tunajadiliana na jamaa zangu hapa tunatafuta eneo zuri la kuweka sanamu la mfaume, mfaume ❤❤ team nakoz❤❤

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Год назад

    Acha kumJaji Mwakinyo utapoteza mashabiki wako wa Nchi nzima utabaki na mashabiki wakitongoji cha Mabibo . Achana na uyo mnyama utafeli . Acha Jealous Mfaume unaumbuka ujue

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Год назад

    hiii Sasa roho mbaya

  • @salimalikhamis6472
    @salimalikhamis6472 Год назад

    Kwa mabondia nilio waona hapa Tanzania nzima hakuna anaweza kupigana na mwakinyo hata mmoja kawaaja mbali Sana kwa kila k2 mpka kuongea hawamuwezi sio kuingia ulingoni 2

  • @ZacharyKilango-no3kq
    @ZacharyKilango-no3kq Год назад

    Ww na mandonga wote empty hmn ki2

  • @islamkarata9655
    @islamkarata9655 Год назад +1

    Midia za bongo banaa

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad4558 Год назад

    Ndio ww unacheza pambano yule yeye anacheza utangulizi sawasawa lkn c unajua riski zimetofautiana kwa sasaiv yeye ndo champion yule....mfaume ee mwakinyo humuezi ww

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Год назад +2

    Mwakinyo anawanyima raha mabondia ma fala kama wewe bondia mzalendo Seleman kidunda wewe mfaume ,twaa mandonga nyie machoko tu kwa mwakinyo amuend mjin bila kumzungumzia mwakinyo

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah7650 Год назад

    Tanga ngumi ndo ziliko anzia Tanzania hii we kubali matokeobtuu . Huna mchongo jitahidi upande viwango sio kuponda wenzako huna ubore wowote. Ukinfi wa mchongo ulopewahuo.

  • @yasinisagogo5787
    @yasinisagogo5787 Год назад +1

    Ww ulipigan huko naulikuwa hujulikani bwan umejulika baada yamwakinyo kushinda unghaibun

  • @lama6310
    @lama6310 Год назад +2

    Mbna Kama Kavimba Uso

  • @franksosoma4267
    @franksosoma4267 Год назад +3

    Unaongea pumba tu we fala mwakinyo humuwezi

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 Год назад

    Kila mti asikilizwe bana

  • @AthmanIddi-xo7ho
    @AthmanIddi-xo7ho Год назад

    Manara hana hela alafu nyie dar sindio mnashikwa matiti na mwijaku kaanza na bausa sasa boxer mtashikwa makalio na mwakinyo

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666 Год назад

    Nlikuwa namuona Mfaume ana busara lakini leo namuona wa hovyo kabisa ingawa hata Mwakinyo ana dharau!

  • @ratoboyratotabia459
    @ratoboyratotabia459 Год назад

    Kumbe mapafu ya panya ni uyu alafu cjui analiwa uyu jamaa kiukweli Mzee naangalia sana fight zako akuna kitu mzeee

  • @isayamapela2087
    @isayamapela2087 Год назад

    Wee
    Wewe ugoo sana

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 Год назад

    Jamaa Katia offer ya week moja😂😂😂

    • @mohamediabdalah7650
      @mohamediabdalah7650 Год назад

      Hamuwezi huyooo mister mifatu

    • @mohamediabdalah7650
      @mohamediabdalah7650 Год назад

      Aendetena Russia akapigwe mbona haenditena kasingizia kabadilishiwa bondia Kila akisimama anadondoka mbona hayasemi??mijigambo bongotu . Mfalme wangumi nidhamuhana huyu nani kampa ufalmenwangumi huyu .

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Год назад +1

    Tulia wew Mwakinyo baba Lao humuwezi hata kidogo unachongoa Domo tu

    • @ganjosuleman9263
      @ganjosuleman9263 Год назад

      Kiukweli ujuwingumi kabisa walainahapa umuwezi mwakinyo atakidogo

    • @abuuwandi1354
      @abuuwandi1354 Год назад

      Mfaume kaa utulie mwakinyo huwezi hata kwa dawa kinachkusumbuwa ww n wivu 2 lkn kwa ngumi humuwezi idi pialali tu ulmpiga kichwa ulihisi ukokwenye mchezo wa mpira nn

    • @abuuwandi1354
      @abuuwandi1354 Год назад

      Mapambano 8 nne umeleta nn?

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +1

    Mfaume mfaume,mtu hapigani bure ukiwa na mtazamo huo hutafikia malengo na utakuwa ni miongoni bwa boxers wasio na muono,,,,,mchezo wa ngumi ni malengo sio mabishano ili kuwafurahisha watu tu….change broo

  • @kafukumdaki
    @kafukumdaki Год назад +1

    Mdomo ni mali yako kaka ila mwakinyo umuwezi ata uzikili uchi kaka acha mdomo ndugu yangu

  • @Africa822
    @Africa822 Год назад

    Pambo la mfaume mfaume na mwakinyo ni ushidi wa point au draw ila hakuna KO.
    ila nashauri pambano lipigwe urusi au south Africa

  • @dotojohn9316
    @dotojohn9316 Год назад +2

    Kabla ya mwakinyo namtaka mm

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Год назад

    Nyinyi niwanafikitu wakinyo alishapamdakiwango kijina nakiuwezo wakupigana nyinyiniwatotowaketu mwakinyo siolevo yenu kiukweli mwakinyo anazoezi ambayo nyinyi hamuyawizi acheni unafiki piliali anakupiga Tena mapema

  • @kiya0910
    @kiya0910 Год назад

    Anatalabu kweli mwakinyo

  • @cmb6342
    @cmb6342 Год назад

    Mim ninacheza karate nataman sana nikutane na wew nikuoneshe show nkupasue

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima Год назад +2

      Acha uchoko ww,kacheze na jack chain

    • @cmb6342
      @cmb6342 Год назад

      @@gwajimagwajima mim sipendi mabondia wenye wivu na watanzania wenzao kwann wasisapotiane?bifu za hovyo

  • @ZacharyKilango-no3kq
    @ZacharyKilango-no3kq Год назад

    Mwakinyo atabaki mwakinyohapa bongo cjaona wakumpiga mwakinyo ili wampige na wafike mbali wakae wamuulize mwakinyo amefikaje hapo ulipo 🐸🐸🐸

  • @kiya0910
    @kiya0910 Год назад

    Mwakinyo anaongopa mabindia WA Tanzania ataka huko inje wakula wali kama mtoto wakiume joo Kwa kiduku ama mfaume ama Dulla ama iddy ama kidunda Jenga ww huna lolote mwakinyo

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah7650 Год назад

    Kingi Hana nidhamu wawapi huyu kingi??

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Год назад +1

    Kaoneka ana history yake ya kumchapa mwakinyo enzi hizo lakini

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Год назад

    Mi namkubali mfaume kwasababu haogopi ivi ndivyo inavyotakiwa Kwa jibondia katili ivi.....

  • @saidinyoni2463
    @saidinyoni2463 Год назад +1

    Wewe mfaume bado Sana Tena Sana kwa mwakinyo manala kamchokoza ila wewe mfaume ndio choko najua watu wivu huo kwani ukikubali Kuna tatizo

  • @delomastermzee8028
    @delomastermzee8028 Год назад

    We choko tu humuwezi mwakinyo unaimba taarabu tu mchawi mkubwa ww

  • @aliyshemweta9753
    @aliyshemweta9753 Год назад +4

    Mwakinyoo humuwezi mzeee we tulia tu 😂😂

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Год назад

      Mwakinyo maneno mengi unahisi kwann hataki kupigana bongo ...? Sio kwa sabab ya nyota kushuka ila ni uoga. Nakupa mfano pambano lijalo la mwakinyo sio la mkanda ni kwmba akishindwa au akishinda halina effects kweny rank yake je kwann asingekuja kupigana na bondia wa kibongo ? Unahis kwann ? Na pia kama alivyo sema mfaume shaban kaoneka kawahi kumpiga mwakinyo unaongea nini kaka . Mwakinyo nimuoga sana hata twaha kiduku kawahi sema hvo hata dula kawahi sema mwakinyo ni maneno mengi .

    • @lama6310
      @lama6310 Год назад

      Mwakinyo .nae Bondia

    • @aliyshemweta9753
      @aliyshemweta9753 Год назад

      @@lama6310 baba Ako ndio bondia kama ngumi rahisi tutafutiwe ulingo wee bintii

    • @lama6310
      @lama6310 Год назад

      @@aliyshemweta9753 dah sikulaumu, endelea Kuchamba mwana Tanga.

    • @aliyshemweta9753
      @aliyshemweta9753 Год назад

      @@lama6310 kaa kushoto binti wamakamo

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 Год назад

    Ninachokiona Mfaume amaetafuta njia ya kumchokoza Champenz MWAKINYO,kwa kutengeneza attention kwa watu,mabondia jifunzeni kuongea na sio kumtegemea domo Kaya aongee ndio na nyie muongee,karibuni Tanga tutawavisha kanga kifuani.

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Год назад +1

    Bondia wa mananasi

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Год назад

    Mi mwenyewe naweza kuweka pesa kati ya mfaume vs mwakinyo ila tatizo mwakinyo anamwogopa mfaume anajua mziki mapafu ya mbwa, tuweke pesa watu wapigane wauane ulingoni, tuwawekee milioni 200 au 300, thamani ya mfaume ni billions of money

  • @joackimnyandindi5746
    @joackimnyandindi5746 Год назад +2

    Mwakinyo acha kusumbuana na washamba wewe ni mkari

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Год назад

    Mapambano yake yenyewe anabebwa anaongea upuuzi tu

  • @omarihussein6101
    @omarihussein6101 Год назад

    Ache ujizi mfaume apigane mwakinyo

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Год назад

    Semunyu anitafute tupigane wenyewe Kwa wenyewe kwanza Yani labda TWaHA vs kidunda au mwakinyo vs mfaume au ibra class vs Dulla mbabe

  • @rajabumwamuh8396
    @rajabumwamuh8396 Год назад

    Hawa wote mananyanga mi namkubli kidunda

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Год назад

    Mwakinyo na mfaume naisubiri hiyo siku.

  • @AhmadyShida-dn4wx
    @AhmadyShida-dn4wx Год назад +3

    Daaah!!! Kumbe wew mfaume nimjinga ivyo

  • @elinihakimsuya1673
    @elinihakimsuya1673 Год назад

    Wivutu sikujua kuwa hunaadabu

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 Год назад

    💚💚💚💚💚👐

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 Год назад +1

    Huyu jamaa ataka attention kwa mwakinyo maana kama alipotea

  • @swahilimedia4291
    @swahilimedia4291 Год назад

    🙌🙌

  • @BajuAhmed-qb7mr
    @BajuAhmed-qb7mr Год назад

    Maneno tyu hayo hata kwenye kanga yapo we fake tu humuwezi mnyama kinyo boy the warrior .ingekua mi ndo mwakinyo watu kama nyinyi ninge wakanda na izo tunguli zenu munazo ziamini na sio uwezo mulio nao.

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Год назад

    Ukweli nikwamba, wabongo wote mdomo mlijaliwa na mabondia wa Tanzania karbu wote mnaongea ongea sana, hata Mwakinyo nae akipata nafasi anatililika aswa! Ila Kwa ngumi ww mfaume ,awe kuduku, mnaporojo Kwa Ngumi nyie bado sana Kwa Mwakinyo

    • @vailethkihiyo56
      @vailethkihiyo56 Год назад

      Kiduku kwa Sasa mwakinyo anamuogopa😅😅😅

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Год назад +1

    Kiukweli kucheza na Joshua Cortney ulipaswa jina liheshimike sanaaa mzee baba maana jamaa alikuwa na record nzur sanaaa kuliko mabondia wa mwakinyo...

    • @alleyd.alleyd
      @alleyd.alleyd Год назад

      SASA NANI ALIPIGWA KTK HILO PAMBANO KATI YAKE NA COTEI...NA PAMBANO LILIKUWAJE ELEZEA.

  • @adammswaki703
    @adammswaki703 Год назад

    Hamna bondia apa ukipanda ulingon kaz kupiga vichwa kuanzia saiv mm sio mshabik wako tena tusi juane kenge wewe

  • @sharcksharckhassan5786
    @sharcksharckhassan5786 Год назад

    Huyu jamaa apimwe kinyeo

  • @halfaniabdallah2131
    @halfaniabdallah2131 Год назад +1

    Mfaume akili huna nibondia gan atakuhitaji wewe mbovu tu ulipigwa na mmalawi ukabebwa.

  • @MohammedAlly-eo5yy
    @MohammedAlly-eo5yy Год назад

    kweli namini mdomo nyumba ya maneno ingekuwa ayo maingezi yako ni kweli twaona mapambano yako tele wapewatu kutengezewa jina na mabondia wa mchongo mm Nina uwakika ata ibrahim yupo juu kuliko ww wewe levo zako ni za kina mandonga

  • @bekanyau4796
    @bekanyau4796 Год назад

    Acha kutukana naomba uingie na mm kabla yake

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Год назад

    😂

  • @ChibaSuba
    @ChibaSuba Год назад

    Acheni uhanisi uwo mutapigika nyie makuma mwakinyo hamumuwezi Munataka kiki t kupitia kwake

  • @ZacharyKilango-no3kq
    @ZacharyKilango-no3kq Год назад

    Ww cyo mpiganaji ww nimwimba taarab cyo mwakinyo

  • @ZacharyKilango-no3kq
    @ZacharyKilango-no3kq Год назад

    Hujielewi ww na huwezi fika popote ww cyo wakujilinganisha na mwakinyo ww level yako na mwakinyo wapi na wap hata dunian bd hujulikan unapambana mapambano ya sh m 40 50 mwakinyo m500 kwenda juu fyuuuuu😮😮😮

  • @stanleymlayi5758
    @stanleymlayi5758 Год назад

    Wewe ni Fala Sana wewe unapigana kwaajili ya gari masikini wewe

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Год назад

    Sasa mbna kila bondia anamtaka mwakinyo ivi kwa nin jaman,,,kumbe mwakinyo ana kitu sasa mbna unamuitaji