MFAUME amnyea MWAKINYO/Amebaki na TAARABU tu/Amefulia/Nataka pambano nae BURE
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Bondia #MfaumeMfaume ameweka wazi matamanio yake ya kupata pambano na bondia kutoka mkoani Tanga #hassanmwakinyo huku akisema anataka asilipwe chochote katika pambano hilo huku akimtaja Mandonga kama mdogo wake tangu zamani,Pia amezungumzia mapambano yake yajayo na rekodi kadhaa alizonazo kwenye mchezo wa Masumbwi.
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Mfaume we nilikuwa nakubali sana ila sasaivi we demu tu yaani ukija kwangu mie nakuwasha vibaya mno mno kama vip nije nikuwashe moto we mrembo tu historia gani maana umedundwaa saana tu
Mfaume sio bondia ana chakueleweka kwenye gumi ameshafulia atafute jembe akalime ye kama anataka maji yaliyo tiwa karafu aweke asitake kiki anapigwa sana ulingoni nibora mandonga nimuekee hela ninao uwakika wakushinda kuliko mfaume anataka kumpima mwakinyo anamuweza wapi ye ache anapocheza sio kumpima maji kwa mguu Kila siku baada ya kucheza ngumi anapigana vichwa
tatizo mnamchukia mwakinyo kwakua yupo juu ila mwakinyo ndie anaeitangaza TZ
Hyo mwakinyo pia ana shombo za kipumbavu😮
Mwakinyooo MTU mbaya sana
Choko wewe acha mijIgambo unadundwa ivyo.
Ndiomana Chikonde Makawa alikufundisha nidhamu💪
Mfaume ni mlevi tu anaweweseka
Kabisa mlevi huyo
Mapafu yambwa Salut Sana champion huaga unajiamin sana ci ulingoni ci uraian
Mwakinyo ndo tunamfahamu hao wengine mmmmmmh
Wewe Jamaa ukubari ukatae mwakinyo ndio amefanya watu wapende ngumi unakumbuka pambano lake la ulaya nchi nzima ilisimama kumungalia champ acha maneno meng mwakinyo fundi ukubali ukatae
Mzee wa kupiga watu vichwa una lolote utajinyea mwakinyo is a champion aka CHAMPEZ MWAKINYO
Brother acha ushabiki wa ajabu Mwakinyo hawezi mziki wa Mfaume hata siku moja
Bro jipange sana kwa mwakinyo 😂😂 labda nenda kwanza akajifunze ngumi darasani
Oyaaaaaa babaaaa mfaume safi babaaaaaa dua nyingi sana mwanetu.
Weweeeeeeh levo ya mwakinyo bado sana broooh eti mapafu ya mbwa hudadek jiweke wazi muite mwakinyo ulingine uwone kama hautokimbia kwanza mwakinyo haongei kwamdomo kama mademu mwamba anaongea kwa vitendo ww
Mwakinyo ashasema bora afuge mbwa kuliko kupigna na watu wasio level yake
😂😂😂😂 swadakta
Kwan hawa mabondia wetu hawez kusogea mpaka wapigane na mwakinyo what a shame
Mfaume wewe ni bondia mzuri achana nae huyo mtanga kumuwongeleya
Nandio mana wabongo atuendi mbali sababu hatu pendani aliopewa kapewa Tu nawewe pambana ufike levo zake aundio unataka kuteleza
Af hyo fala alipigwa APA nyumbani AF ubingwa akapewa ushindi,,,wala hajui nn maana yarekodi ktk boxing nandmn anauza mapambno Russia Mara kibao hajielewi,,,bondia njaaa
Duh! Nani kakwambia urusi wananunua pambano wale watu achana nao wanabonda balaa
Mfaume unaongea sana lkini mwakinyo umuwezi kabisa ata ufanye nn unauwezo kabisa fighting ya mwakinyo na wwe tofaut sema mnalazimisha apigane ili mumshushe lkin sio level yko
Wamepigana ln mpka useme hamuwezi? Ngumi cyo taarabu kk
Mnaandaa interview zenu za uongo lkn point ni kumzungumzia mwakinyo hahahah mnateseka sana na mioyo yenu mungu kashampa tafteni tobo lenu na nyny wazee bila Kumtaja mwakinyo interview haitizamwi mtateseka san
mwakinyo 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali mzee
Ww Mfaume ongea TU! Ila yule dogo usingemgonga kichwa alikua anakuabisha, yule mwamba anajua ngumi, asa unasemaje alisingizia wakat majaji waliamua, nanakutabilia tunza hii comment piarali atakuchapa laud ya 5
Amumuwezi acheni kujifanisha nae nyinyi watt wa bongo washamba sana cc watt wakitango ndo wajanja wenu kwaiyo aliejuu ndo juu2 mwakinyo mkali kuliko mabondia nyote apa Tanzanian
Kweli kila kizuri lazima kihusudiwe, wameanza vichwa bata akina Mangonga, sasa hata wewe Mfaume pia umekua mwimba taarabu..?
Mfaume ujui unacho kiongea jitathimini kwanza
Mfaume hamuwezi mwakinyo
mfaume leo umeongea maaan yule ni shoga kweli taarabu nyingi
Ongea ki2 una uhakika nacho ndugu
Labda alikula kiboga ndio manaaa
Izi anaongea yeye nikwaya
Oya umeongea sure jesh
Mfaume Mfaume unaongea sana kama taarabu unayowewe mabondia hawana maneno yakike kwa bondia mwenzake
Kavute bangi vichochoroni huko Mwakinyo sio level zako.
Mwakinyooo atawapiga na taarabu hayo hayo mnayo sema
Bondia ni mwakinyo tu hawa wengine ni madunduka tu kama huyu
We choko2
Namini iyo siku usipo kufa ww mfaume basi utakua zobi mwakinyo sio levo Yako acha kujipendekeza
Mfaume namba Moja Tanzania, tunaenda mpiga idi pialali alafu tunamtaka muimba taarabu mwakinyo anamisemo na michambo kama mdada vile.
Nakusapoti mfaume usiniangushe
😢😢 Ila lile pambano ulilocheza
bongo umepigwa😂😂😂
Unajua lakini mwakinyo mkubwa
Nipo Tunduma border post ## tupo tunajadiliana na jamaa zangu hapa tunatafuta eneo zuri la kuweka sanamu la mfaume, mfaume ❤❤ team nakoz❤❤
Acha kumJaji Mwakinyo utapoteza mashabiki wako wa Nchi nzima utabaki na mashabiki wakitongoji cha Mabibo . Achana na uyo mnyama utafeli . Acha Jealous Mfaume unaumbuka ujue
hiii Sasa roho mbaya
Kwa mabondia nilio waona hapa Tanzania nzima hakuna anaweza kupigana na mwakinyo hata mmoja kawaaja mbali Sana kwa kila k2 mpka kuongea hawamuwezi sio kuingia ulingoni 2
Ww na mandonga wote empty hmn ki2
Midia za bongo banaa
Ndio ww unacheza pambano yule yeye anacheza utangulizi sawasawa lkn c unajua riski zimetofautiana kwa sasaiv yeye ndo champion yule....mfaume ee mwakinyo humuezi ww
Mwakinyo anawanyima raha mabondia ma fala kama wewe bondia mzalendo Seleman kidunda wewe mfaume ,twaa mandonga nyie machoko tu kwa mwakinyo amuend mjin bila kumzungumzia mwakinyo
Tanga ngumi ndo ziliko anzia Tanzania hii we kubali matokeobtuu . Huna mchongo jitahidi upande viwango sio kuponda wenzako huna ubore wowote. Ukinfi wa mchongo ulopewahuo.
Ww ulipigan huko naulikuwa hujulikani bwan umejulika baada yamwakinyo kushinda unghaibun
Mbna Kama Kavimba Uso
Unaongea pumba tu we fala mwakinyo humuwezi
Kila mti asikilizwe bana
Manara hana hela alafu nyie dar sindio mnashikwa matiti na mwijaku kaanza na bausa sasa boxer mtashikwa makalio na mwakinyo
Nlikuwa namuona Mfaume ana busara lakini leo namuona wa hovyo kabisa ingawa hata Mwakinyo ana dharau!
Kumbe mapafu ya panya ni uyu alafu cjui analiwa uyu jamaa kiukweli Mzee naangalia sana fight zako akuna kitu mzeee
Wee
Wewe ugoo sana
Jamaa Katia offer ya week moja😂😂😂
Hamuwezi huyooo mister mifatu
Aendetena Russia akapigwe mbona haenditena kasingizia kabadilishiwa bondia Kila akisimama anadondoka mbona hayasemi??mijigambo bongotu . Mfalme wangumi nidhamuhana huyu nani kampa ufalmenwangumi huyu .
Tulia wew Mwakinyo baba Lao humuwezi hata kidogo unachongoa Domo tu
Kiukweli ujuwingumi kabisa walainahapa umuwezi mwakinyo atakidogo
Mfaume kaa utulie mwakinyo huwezi hata kwa dawa kinachkusumbuwa ww n wivu 2 lkn kwa ngumi humuwezi idi pialali tu ulmpiga kichwa ulihisi ukokwenye mchezo wa mpira nn
Mapambano 8 nne umeleta nn?
Mfaume mfaume,mtu hapigani bure ukiwa na mtazamo huo hutafikia malengo na utakuwa ni miongoni bwa boxers wasio na muono,,,,,mchezo wa ngumi ni malengo sio mabishano ili kuwafurahisha watu tu….change broo
Mdomo ni mali yako kaka ila mwakinyo umuwezi ata uzikili uchi kaka acha mdomo ndugu yangu
Pambo la mfaume mfaume na mwakinyo ni ushidi wa point au draw ila hakuna KO.
ila nashauri pambano lipigwe urusi au south Africa
Kabla ya mwakinyo namtaka mm
Akupelekee moto au
Mfaume utapigwa vibaya na Mwakinyo,tafuta unaoenda nao
Nyinyi niwanafikitu wakinyo alishapamdakiwango kijina nakiuwezo wakupigana nyinyiniwatotowaketu mwakinyo siolevo yenu kiukweli mwakinyo anazoezi ambayo nyinyi hamuyawizi acheni unafiki piliali anakupiga Tena mapema
Anatalabu kweli mwakinyo
Mim ninacheza karate nataman sana nikutane na wew nikuoneshe show nkupasue
Acha uchoko ww,kacheze na jack chain
@@gwajimagwajima mim sipendi mabondia wenye wivu na watanzania wenzao kwann wasisapotiane?bifu za hovyo
Mwakinyo atabaki mwakinyohapa bongo cjaona wakumpiga mwakinyo ili wampige na wafike mbali wakae wamuulize mwakinyo amefikaje hapo ulipo 🐸🐸🐸
Mwakinyo anaongopa mabindia WA Tanzania ataka huko inje wakula wali kama mtoto wakiume joo Kwa kiduku ama mfaume ama Dulla ama iddy ama kidunda Jenga ww huna lolote mwakinyo
Kingi Hana nidhamu wawapi huyu kingi??
Kaoneka ana history yake ya kumchapa mwakinyo enzi hizo lakini
Mi namkubali mfaume kwasababu haogopi ivi ndivyo inavyotakiwa Kwa jibondia katili ivi.....
Wewe mfaume bado Sana Tena Sana kwa mwakinyo manala kamchokoza ila wewe mfaume ndio choko najua watu wivu huo kwani ukikubali Kuna tatizo
Ww mfaume acha misifa
Mfaume tafuta changamoto nnje achana namwakinyo kwani mpaka mpigane namwakinyo
We choko tu humuwezi mwakinyo unaimba taarabu tu mchawi mkubwa ww
Mwakinyoo humuwezi mzeee we tulia tu 😂😂
Mwakinyo maneno mengi unahisi kwann hataki kupigana bongo ...? Sio kwa sabab ya nyota kushuka ila ni uoga. Nakupa mfano pambano lijalo la mwakinyo sio la mkanda ni kwmba akishindwa au akishinda halina effects kweny rank yake je kwann asingekuja kupigana na bondia wa kibongo ? Unahis kwann ? Na pia kama alivyo sema mfaume shaban kaoneka kawahi kumpiga mwakinyo unaongea nini kaka . Mwakinyo nimuoga sana hata twaha kiduku kawahi sema hvo hata dula kawahi sema mwakinyo ni maneno mengi .
Mwakinyo .nae Bondia
@@lama6310 baba Ako ndio bondia kama ngumi rahisi tutafutiwe ulingo wee bintii
@@aliyshemweta9753 dah sikulaumu, endelea Kuchamba mwana Tanga.
@@lama6310 kaa kushoto binti wamakamo
Ninachokiona Mfaume amaetafuta njia ya kumchokoza Champenz MWAKINYO,kwa kutengeneza attention kwa watu,mabondia jifunzeni kuongea na sio kumtegemea domo Kaya aongee ndio na nyie muongee,karibuni Tanga tutawavisha kanga kifuani.
Bondia wa mananasi
😂😂😂😂😂
Mi mwenyewe naweza kuweka pesa kati ya mfaume vs mwakinyo ila tatizo mwakinyo anamwogopa mfaume anajua mziki mapafu ya mbwa, tuweke pesa watu wapigane wauane ulingoni, tuwawekee milioni 200 au 300, thamani ya mfaume ni billions of money
Hujui unachoongea pole
Mwakinyo acha kusumbuana na washamba wewe ni mkari
Mapambano yake yenyewe anabebwa anaongea upuuzi tu
Ache ujizi mfaume apigane mwakinyo
Semunyu anitafute tupigane wenyewe Kwa wenyewe kwanza Yani labda TWaHA vs kidunda au mwakinyo vs mfaume au ibra class vs Dulla mbabe
Hawa wote mananyanga mi namkubli kidunda
Mwakinyo na mfaume naisubiri hiyo siku.
Daaah!!! Kumbe wew mfaume nimjinga ivyo
Wivutu sikujua kuwa hunaadabu
💚💚💚💚💚👐
Huyu jamaa ataka attention kwa mwakinyo maana kama alipotea
Fatilia ugomv wa mwakinyo na mfaume utaelewa
🙌🙌
Maneno tyu hayo hata kwenye kanga yapo we fake tu humuwezi mnyama kinyo boy the warrior .ingekua mi ndo mwakinyo watu kama nyinyi ninge wakanda na izo tunguli zenu munazo ziamini na sio uwezo mulio nao.
Ukweli nikwamba, wabongo wote mdomo mlijaliwa na mabondia wa Tanzania karbu wote mnaongea ongea sana, hata Mwakinyo nae akipata nafasi anatililika aswa! Ila Kwa ngumi ww mfaume ,awe kuduku, mnaporojo Kwa Ngumi nyie bado sana Kwa Mwakinyo
Kiduku kwa Sasa mwakinyo anamuogopa😅😅😅
Kiukweli kucheza na Joshua Cortney ulipaswa jina liheshimike sanaaa mzee baba maana jamaa alikuwa na record nzur sanaaa kuliko mabondia wa mwakinyo...
SASA NANI ALIPIGWA KTK HILO PAMBANO KATI YAKE NA COTEI...NA PAMBANO LILIKUWAJE ELEZEA.
Hamna bondia apa ukipanda ulingon kaz kupiga vichwa kuanzia saiv mm sio mshabik wako tena tusi juane kenge wewe
Huyu jamaa apimwe kinyeo
Mfaume akili huna nibondia gan atakuhitaji wewe mbovu tu ulipigwa na mmalawi ukabebwa.
kweli namini mdomo nyumba ya maneno ingekuwa ayo maingezi yako ni kweli twaona mapambano yako tele wapewatu kutengezewa jina na mabondia wa mchongo mm Nina uwakika ata ibrahim yupo juu kuliko ww wewe levo zako ni za kina mandonga
Acha kutukana naomba uingie na mm kabla yake
😂
Acheni uhanisi uwo mutapigika nyie makuma mwakinyo hamumuwezi Munataka kiki t kupitia kwake
Ww cyo mpiganaji ww nimwimba taarab cyo mwakinyo
Hujielewi ww na huwezi fika popote ww cyo wakujilinganisha na mwakinyo ww level yako na mwakinyo wapi na wap hata dunian bd hujulikan unapambana mapambano ya sh m 40 50 mwakinyo m500 kwenda juu fyuuuuu😮😮😮
Wewe ni Fala Sana wewe unapigana kwaajili ya gari masikini wewe
Sasa mbna kila bondia anamtaka mwakinyo ivi kwa nin jaman,,,kumbe mwakinyo ana kitu sasa mbna unamuitaji
Mbona ulimshindwa chikond makawa ukapendelewa tu