Bondia wa Tanzania aliyeshinda pambano la uzito wa juu Ujerumani afunguka figisu alizofanyiwa
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Sky anazungumza na bondia wa Tanzania wa uzito wa juu Tamim Awadh Mohamed ambaye mwezi June 11, 2022 alichukua mkanda wa World Boxing Foundation International kwa kumpiga kwa KO Mjerumani Shkelqim Ademaj katika raundi ya 10 huko Essen, Ujerumani
Tamim kwa sasa anaishi Stockholm, Sweden
Much respect from East Afrika Mombasa Kenya Champion 💪
Hongera sana Mungu hakubariki zaidi uzidi kupanda keleleni
Hao jamaa kwa fitna ndio zao babu kubwa kwa kumtandika mpizani wako🇹🇿💪🥊🥊 Tanzanian boxing to the world
Hongera sn kwa kuiheshimisha nchi yetu....hongera kwa kumtegemea Mungu Mashallah....
Hongera saana Kaka
Mungu akutie nguvu mIchezo ijayo ndugu yetu
Kuiheshimisha nchi yenu au Sweden unawaza kupitia kichwa kweli??
Safi sana hiyo.
welldone my brother one love from congo thank you god of africa
Hongera mkuu
Rangi nyeupe ndio walivyo kwa figisu kwa watu weusi
Ila Mungu hajawahi kufungwa
Mashaallah allah akubariki nakupe guvu zaidi 💪💪💪🇹🇿🇹🇿♥️🇴🇲
Much respect bro!! Congratulation 👏👏🇹🇿🇹🇿
Heshima sana huyu anatakiwa kupewa medali tz kwa kweli
Dah Mimi ni shabiki wa ngumi sana, naishi china, Nimefurahi sana kuona mtanzania Unapeperusha bendera yetu, please nenda kambini, piga zoezi kaka, ningetamani niwe na direct contact zako, but najua kaka utafika mbali, wacha pombe kama unakunywa, Piga zoezi, Nimeona mbali sana baada ya hii clip, na pia wacha kujisifu, omba mungu akupe nguvu, lawama hazisaidii, piga tizi(practice) Chukua technique za tyson, Wilder, fury and Joshua, utafika mbali ndugu yangu. I love boxing like nobody's business
too much words
@@josephrutta6834 ndio maana mnaingiaga mikataba Mibovu kwa sababu ya uvivu wa kusoma
@@miketzee806 hahahaha!!
@@miketzee806 aache kujisifu? Yaani mtu asioneshe hata kufurahia mafanikio aliyoyapata? Mbona kaongea kawaida kabisa?
Mbona kina Fury, Wilder, Tyson, Mayweather na wengineo hujisifia mno kuliko hata huyu jamaa?
Hongera sana Brother Tamimu. Umetuwakilisha vyema Tanzania 🇹🇿. Jitume zaidi sisi tunaendelea kukuombea.
Honger sana ❤️ 🇹🇿 🇸🇪 🔥🔥
Nimeipenda hii interview! Karibu home braza tusheherekee ushindi pa1
Veema ✔️ kumbe Wana Champion waukweli yunao safi sana Jembe👍
Hongera sana. Msimamo ni kitu Bora sana. Kweli imekuweka huru. Ungegawa pambano kwa rushwa ingekutesa moyoni
❤❤❤❤❤🇹🇿👑🎆🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏 hongeraaa sana
Hongera tamim kwa kunyayua 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Maa shaa Allah,,, Hongera sana sanaa Tamim.
Well done brother, Mungu akupe afya njema Tz to the world 🎖️🎖️🎖️
Asante kwa kutuheshimisha wa tanzania
Nilidhani jamaa smeshasitaafu kumbe bado..Hongera
Hongera sana bondia wetu
big up hommie 🇹🇿
Tanzania tunapoteza watu wetu sbb hatuwafuatilii kbs,, Hongera kila la kheri mtangaza nchi yetu
Kabisa umesema kweli.
Hakika yaani watu wanajituma saana ila sekta ya sanaa ipo jina tu aiseee
🇹🇿Hongera saana umetueshimisha mwamba 💪🏼
Huyu jamaa jinsi alivyo anaweza kumpiga hata fury kama akipata trainer mzuri na mazoezi ya kutosha
Hongera sana kaka yetu
Hongera sana
Wow that’s good
Congratulations ❤️❤️❤️
Hongera sana kwa kutuwakilisha vyema na moyo mkuu huko mbeleni
Mashaallah honger bro 👏🇹🇿
Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake hata siku moja
Hongera sana Tamim!
Mungu ni wetu wote hongera sanaa bro
Safiiii sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up champs , better u refused their bribes, dont give a pardon to devil 👊🙏👽
Hongera sana kwa kutuwakilisha vizuri mtanzania mwenzetu
Didisii magomen tulikuwa tuna enjoy sana wakati aijavunjwa
Ongera sana much respect sanaaaa bro , ongera Sanaa uzalendo muhimu..
Hongera mtanzania mwenzetu nduguyetu mungu akubariki huko ulipo
Tuishi nao tu Hawa watu,Hongera Sana kwatuheshimisha Tanzania.
MashaAllah!! ❤🇹🇿🙏
Hongera sana mwamba.
Awadhi Tamimu yupo kwenye video ya Professor Jay ile ya Hapo Vip hapo sawa jamaa kaanza muda sana ngumi mola amjalie huwa hakati tamaaa
Hongera sana Mungu akutunze kazi nzuri
Hongera saana
Saf sana bro,,,,hela nyuma ushindi kwanza vingivimbele
Nakubal kaka umetixha
Waooooh
hongera sana ndugu yetu
Congrats brother. big love
Sehr gut Bruda.. gut gemacht🎉✌🏅
Ja sehr gut
Kwa Tanzania sasaivi watesema namba moja jongo jongo nchi yenye majungu iii
Hongera San ndug yetu mtz 🔥💪💪🇹🇿
Congrats sn bro bigup kwa sanaaa bro
Well 🙏❤️❤️❤️
Hongera sana 👏👏👏👏 bro
Ongera mzee baba
Hongera sana bro maana umetuheshimisha watanzania, maana Kuna wanamichezo wengine hawaangalii heshima Bali Wana angalia pesa tu yuko radhi apigwe atakama anaweza kumpigia mpinzaniwake kusudi tu apate fedha, wakati wao wazungu wanaangalia kheshima Yani asipoteze
Hashima yako Mkuu 🇹🇿 Pambana zaidi
Hongera Sanaa kaka pambanaa...
Hongera sana Mwamba.
Ongeala Sana kaka 👏👏👏
Big up xana kk
Nmependa mnooo wapigweee
One love ♥️
big up brother umekipiga
Na ninyi mtakujaga mfe kimyamya kwenye nchi za watu...muwe mnajitangaza hata Barozi basi ajuage....hongera bana
👍 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
Saafi sana Jeshi umemkomesha huyo beberu.
Safi saaana hasa uzalendo wako umenitoa machozi. Pesa nzuri lkn upendo kwa wa taifa ni ubora wa Hali ya juu.
🙏🙏
Wekeni pambano zima youtube, TUONE
Wakitoboa ndo mnawataja
na ww bila kutobowa tutakujuwa
🇹🇿 💪
Fighter ngumu kwako ni ile uliyo cheza na Ashirafu Suleiman ulipigika sana pambano la kwanza tamimu ulibebwa la pili ndio ulishinda kwa bahati
Wakikwambia upigane na jongo jongo au mchumia tumbo kataa uone wanavyo kutukana
Hayoyote ni Bure kwa watanzania wanataka upigane na Twaha kiduku ndo watajua ww unajua ngumi
Ni wa ngapi kwenye rank ya kimataifa huyo Kiduku?
Mwakinyo yeye alichukua hela
Mwakinyo yukooo wapi tena mbona kimyaaaaaaaaa!!!@
Huyu ndio Tamimu Awadh?
Umetupa heshimaaa
Kabla hujapoa mtafute yule mnigeria ANTONY JOSHUA umpasulie mbali si uzito wako boss?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️
Wazungu wabaguzi sana washenzi tu
Ata sisi ufanya hivyo nyumbani katika ubondia hipo hivyo wala usishangae au je haukuona pambano la mwakinyo na Tinampay
@@Mpakauseme hapana sis sio wabaguzi
@@Mpakauseme mm mshabiki sana wa ngumi hasa international najua upendeleo upo ndio maana mabondia upenda sana kushinda KO ugenini au wapate marefa kutoka nje ya nchi na wachimbwe mkwara mapema ..hapa wiki kama mbili Davin Haney kutoka amerika kampiga George kwao Australia lkn wamarejani wengi walihisi pia waamuzi watapendelea ..huyo bondia mpaka anatamka tutakupa pesa ulingoni hatari imezidi na hata refa ameonysha udhaifu ambao kimataifa haukubaliki huyu bondia wetu anauwezo wa kushtaki endapo video ikipatikana ya mchezo.
Hata cc tunaye makasoro mengi
Hujavunjika moyo kama Kira wa timu ya wanawake
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Juhudii binafsiii mnaingilia kama taifaaa ili iwejee.
Nikumbusheni wale wabeba matofali wanawakilisha nafasi ya ngapi hapa Tanzania😂😂😂
😀😀😀
Jina lake nani tumtafute you tube
Tamimu Awadh.
Anaitwa Tamimu Hawadhi
Tamimu
papa bundala
Kiboko yake Twaha tu uyo
Akina Twaha Kiduku,mwakinyo na wengine wengi ni mabondia wa uzito mdogo sana,huwezi kuwapambanisha na Tamimu,atawauwa dakika moja tu ulingoni.Hata maji hawataomba
@@emmadominic9601 unamjua Twaha yule jamaa nomaa sana bro
@@mweusiasili8345 Naelewa sana na kwakuwa mm niko kwenye sanaa za mapigano kwa miaka mingi sana ila nimestaaf muda mrefu.Mm ni shabiki na mshauri mzuri sana wa Twaha Kiduku kwa kuwa huwa ana nidhamu ya hali ya juu.Hata mdogo wetu Tamimu ana nidhamu ya hali ya juu kabla hata hajaanza mambo ya ngumi.Ila hawa wawili wanatofauti kubwa ktk uzito.Kisheria huwezi kuwapambanisha.
Hongera sana
Waooooh
Wekeni pambano zima youtube, TUONE
Hongera sana
Hongera sana