Bondia wa Tanzania aliyeshinda pambano la uzito wa juu Ujerumani afunguka figisu alizofanyiwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Sky anazungumza na bondia wa Tanzania wa uzito wa juu Tamim Awadh Mohamed ambaye mwezi June 11, 2022 alichukua mkanda wa World Boxing Foundation International kwa kumpiga kwa KO Mjerumani Shkelqim Ademaj katika raundi ya 10 huko Essen, Ujerumani
    Tamim kwa sasa anaishi Stockholm, Sweden

Комментарии • 124

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 2 года назад +18

    Much respect from East Afrika Mombasa Kenya Champion 💪

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 года назад +13

    Hongera sana Mungu hakubariki zaidi uzidi kupanda keleleni

  • @hassanisaidi9860
    @hassanisaidi9860 2 года назад +14

    Hao jamaa kwa fitna ndio zao babu kubwa kwa kumtandika mpizani wako🇹🇿💪🥊🥊 Tanzanian boxing to the world

  • @nyangetakaliba8585
    @nyangetakaliba8585 2 года назад +17

    Hongera sn kwa kuiheshimisha nchi yetu....hongera kwa kumtegemea Mungu Mashallah....

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад +8

    welldone my brother one love from congo thank you god of africa

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 2 года назад +5

    Hongera mkuu
    Rangi nyeupe ndio walivyo kwa figisu kwa watu weusi
    Ila Mungu hajawahi kufungwa

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 года назад +2

    Mashaallah allah akubariki nakupe guvu zaidi 💪💪💪🇹🇿🇹🇿♥️🇴🇲

  • @kennedybarton6768
    @kennedybarton6768 2 года назад +6

    Much respect bro!! Congratulation 👏👏🇹🇿🇹🇿

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 года назад +9

    Heshima sana huyu anatakiwa kupewa medali tz kwa kweli

  • @miketzee806
    @miketzee806 2 года назад +13

    Dah Mimi ni shabiki wa ngumi sana, naishi china, Nimefurahi sana kuona mtanzania Unapeperusha bendera yetu, please nenda kambini, piga zoezi kaka, ningetamani niwe na direct contact zako, but najua kaka utafika mbali, wacha pombe kama unakunywa, Piga zoezi, Nimeona mbali sana baada ya hii clip, na pia wacha kujisifu, omba mungu akupe nguvu, lawama hazisaidii, piga tizi(practice) Chukua technique za tyson, Wilder, fury and Joshua, utafika mbali ndugu yangu. I love boxing like nobody's business

    • @josephrutta6834
      @josephrutta6834 2 года назад

      too much words

    • @miketzee806
      @miketzee806 2 года назад +1

      @@josephrutta6834 ndio maana mnaingiaga mikataba Mibovu kwa sababu ya uvivu wa kusoma

    • @abedinegoraphael4774
      @abedinegoraphael4774 2 года назад

      @@miketzee806 hahahaha!!

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 года назад +1

      @@miketzee806 aache kujisifu? Yaani mtu asioneshe hata kufurahia mafanikio aliyoyapata? Mbona kaongea kawaida kabisa?
      Mbona kina Fury, Wilder, Tyson, Mayweather na wengineo hujisifia mno kuliko hata huyu jamaa?

  • @hassanmpanda
    @hassanmpanda Год назад

    Hongera sana Brother Tamimu. Umetuwakilisha vyema Tanzania 🇹🇿. Jitume zaidi sisi tunaendelea kukuombea.

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 2 года назад +5

    Honger sana ❤️ 🇹🇿 🇸🇪 🔥🔥

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад +3

    Nimeipenda hii interview! Karibu home braza tusheherekee ushindi pa1

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Год назад

    Veema ✔️ kumbe Wana Champion waukweli yunao safi sana Jembe👍

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 года назад +3

    Hongera sana. Msimamo ni kitu Bora sana. Kweli imekuweka huru. Ungegawa pambano kwa rushwa ingekutesa moyoni

  • @farajarogath196
    @farajarogath196 2 года назад +7

    ❤❤❤❤❤🇹🇿👑🎆🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏 hongeraaa sana

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 года назад +4

    Hongera tamim kwa kunyayua 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @leilamohamed950
    @leilamohamed950 2 года назад +2

    Maa shaa Allah,,, Hongera sana sanaa Tamim.

  • @zakazitanzania1565
    @zakazitanzania1565 2 года назад +1

    Well done brother, Mungu akupe afya njema Tz to the world 🎖️🎖️🎖️

  • @deviddeva1292
    @deviddeva1292 2 года назад +3

    Asante kwa kutuheshimisha wa tanzania

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 2 года назад +1

    Nilidhani jamaa smeshasitaafu kumbe bado..Hongera

  • @wamadenzatv4174
    @wamadenzatv4174 2 года назад +5

    Hongera sana bondia wetu

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 2 года назад +4

    big up hommie 🇹🇿

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 2 года назад +3

    Tanzania tunapoteza watu wetu sbb hatuwafuatilii kbs,, Hongera kila la kheri mtangaza nchi yetu

  • @rdanmohd8003
    @rdanmohd8003 2 года назад +9

    🇹🇿Hongera saana umetueshimisha mwamba 💪🏼

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 2 года назад +9

    Huyu jamaa jinsi alivyo anaweza kumpiga hata fury kama akipata trainer mzuri na mazoezi ya kutosha

  • @stellamwasha1409
    @stellamwasha1409 2 года назад +2

    Hongera sana kaka yetu

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 2 года назад +1

    Hongera sana

  • @alikiba3674
    @alikiba3674 2 года назад +3

    Wow that’s good

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 2 года назад +6

    Congratulations ❤️❤️❤️

  • @martinmwasubila8762
    @martinmwasubila8762 2 года назад +1

    Hongera sana kwa kutuwakilisha vyema na moyo mkuu huko mbeleni

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 года назад +1

    Mashaallah honger bro 👏🇹🇿

  • @goldengirltanzania.458
    @goldengirltanzania.458 2 года назад +2

    Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake hata siku moja

  • @agnesayub1065
    @agnesayub1065 2 года назад +1

    Hongera sana Tamim!

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 2 года назад +1

    Mungu ni wetu wote hongera sanaa bro

  • @davidnkongoki8679
    @davidnkongoki8679 2 года назад +2

    Safiiii sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 2 года назад +2

    Big up champs , better u refused their bribes, dont give a pardon to devil 👊🙏👽

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 2 года назад

    Hongera sana kwa kutuwakilisha vizuri mtanzania mwenzetu

  • @hamisalfan9150
    @hamisalfan9150 2 года назад +4

    Didisii magomen tulikuwa tuna enjoy sana wakati aijavunjwa

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад

    Ongera sana much respect sanaaaa bro , ongera Sanaa uzalendo muhimu..

  • @agustinofhoty5985
    @agustinofhoty5985 2 года назад

    Hongera mtanzania mwenzetu nduguyetu mungu akubariki huko ulipo

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 года назад

    Tuishi nao tu Hawa watu,Hongera Sana kwatuheshimisha Tanzania.

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 2 года назад +8

    MashaAllah!! ❤🇹🇿🙏

  • @eliyayesu2743
    @eliyayesu2743 2 года назад +2

    Hongera sana mwamba.

  • @hamadlucago8951
    @hamadlucago8951 2 года назад

    Awadhi Tamimu yupo kwenye video ya Professor Jay ile ya Hapo Vip hapo sawa jamaa kaanza muda sana ngumi mola amjalie huwa hakati tamaaa

  • @yuzoooyuso583
    @yuzoooyuso583 2 года назад

    Hongera sana Mungu akutunze kazi nzuri

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 года назад

    Hongera saana

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 2 года назад

    Saf sana bro,,,,hela nyuma ushindi kwanza vingivimbele

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 2 года назад +1

    Nakubal kaka umetixha

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 2 года назад +2

    Waooooh

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 2 года назад +1

    hongera sana ndugu yetu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 года назад

    Congrats brother. big love

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 года назад

    Sehr gut Bruda.. gut gemacht🎉✌🏅

  • @nasraabdallah298
    @nasraabdallah298 2 года назад

    Kwa Tanzania sasaivi watesema namba moja jongo jongo nchi yenye majungu iii

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 2 года назад

    Hongera San ndug yetu mtz 🔥💪💪🇹🇿

  • @khomeinially3165
    @khomeinially3165 2 года назад

    Congrats sn bro bigup kwa sanaaa bro

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 2 года назад +1

    Well 🙏❤️❤️❤️

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +1

    Hongera sana 👏👏👏👏 bro

  • @kimbyarungwe4959
    @kimbyarungwe4959 2 года назад

    Ongera mzee baba

  • @damasmassawe3601
    @damasmassawe3601 2 года назад

    Hongera sana bro maana umetuheshimisha watanzania, maana Kuna wanamichezo wengine hawaangalii heshima Bali Wana angalia pesa tu yuko radhi apigwe atakama anaweza kumpigia mpinzaniwake kusudi tu apate fedha, wakati wao wazungu wanaangalia kheshima Yani asipoteze

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 2 года назад

    Hashima yako Mkuu 🇹🇿 Pambana zaidi

  • @hamisilutungu7293
    @hamisilutungu7293 2 года назад

    Hongera Sanaa kaka pambanaa...

  • @ppratanzania3164
    @ppratanzania3164 2 года назад

    Hongera sana Mwamba.

  • @edwinedward5352
    @edwinedward5352 2 года назад

    Ongeala Sana kaka 👏👏👏

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 2 года назад

    Big up xana kk

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 2 года назад

    Nmependa mnooo wapigweee

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 2 года назад

    One love ♥️

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 2 года назад

    big up brother umekipiga

  • @raymondthomas3960
    @raymondthomas3960 2 года назад +1

    Na ninyi mtakujaga mfe kimyamya kwenye nchi za watu...muwe mnajitangaza hata Barozi basi ajuage....hongera bana

  • @swahili3603
    @swahili3603 2 года назад +2

    👍 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 2 года назад

    Saafi sana Jeshi umemkomesha huyo beberu.

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 2 года назад

    Safi saaana hasa uzalendo wako umenitoa machozi. Pesa nzuri lkn upendo kwa wa taifa ni ubora wa Hali ya juu.

  • @michaelipius2660
    @michaelipius2660 2 года назад

    🙏🙏

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 2 года назад +1

    Wekeni pambano zima youtube, TUONE

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 2 года назад +3

    Wakitoboa ndo mnawataja

  • @senetmtena5965
    @senetmtena5965 2 года назад

    🇹🇿 💪

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 2 года назад

    Fighter ngumu kwako ni ile uliyo cheza na Ashirafu Suleiman ulipigika sana pambano la kwanza tamimu ulibebwa la pili ndio ulishinda kwa bahati

  • @nasraabdallah298
    @nasraabdallah298 2 года назад

    Wakikwambia upigane na jongo jongo au mchumia tumbo kataa uone wanavyo kutukana

  • @mubashdagun8008
    @mubashdagun8008 2 года назад +1

    Hayoyote ni Bure kwa watanzania wanataka upigane na Twaha kiduku ndo watajua ww unajua ngumi

    • @isikesamike
      @isikesamike 2 года назад

      Ni wa ngapi kwenye rank ya kimataifa huyo Kiduku?

  • @hancesadi-ju2mr
    @hancesadi-ju2mr 11 месяцев назад

    Mwakinyo yeye alichukua hela

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 года назад

    Mwakinyo yukooo wapi tena mbona kimyaaaaaaaaa!!!@

  • @mayungakikunda1442
    @mayungakikunda1442 2 года назад

    Huyu ndio Tamimu Awadh?

  • @khomeinially3165
    @khomeinially3165 2 года назад

    Umetupa heshimaaa

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 2 года назад

    Kabla hujapoa mtafute yule mnigeria ANTONY JOSHUA umpasulie mbali si uzito wako boss?

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 года назад +1

    Wazungu wabaguzi sana washenzi tu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Ata sisi ufanya hivyo nyumbani katika ubondia hipo hivyo wala usishangae au je haukuona pambano la mwakinyo na Tinampay

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 года назад

      @@Mpakauseme hapana sis sio wabaguzi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 года назад

      @@Mpakauseme mm mshabiki sana wa ngumi hasa international najua upendeleo upo ndio maana mabondia upenda sana kushinda KO ugenini au wapate marefa kutoka nje ya nchi na wachimbwe mkwara mapema ..hapa wiki kama mbili Davin Haney kutoka amerika kampiga George kwao Australia lkn wamarejani wengi walihisi pia waamuzi watapendelea ..huyo bondia mpaka anatamka tutakupa pesa ulingoni hatari imezidi na hata refa ameonysha udhaifu ambao kimataifa haukubaliki huyu bondia wetu anauwezo wa kushtaki endapo video ikipatikana ya mchezo.

    • @bajagihaji8923
      @bajagihaji8923 2 года назад

      Hata cc tunaye makasoro mengi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад

    Hujavunjika moyo kama Kira wa timu ya wanawake

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @nasranaser1599
    @nasranaser1599 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @boniphaceantony4807
    @boniphaceantony4807 2 года назад

    Juhudii binafsiii mnaingilia kama taifaaa ili iwejee.

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 2 года назад

    Nikumbusheni wale wabeba matofali wanawakilisha nafasi ya ngapi hapa Tanzania😂😂😂

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 2 года назад +1

    Jina lake nani tumtafute you tube

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 года назад

    papa bundala

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 2 года назад

    Kiboko yake Twaha tu uyo

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 2 года назад

      Akina Twaha Kiduku,mwakinyo na wengine wengi ni mabondia wa uzito mdogo sana,huwezi kuwapambanisha na Tamimu,atawauwa dakika moja tu ulingoni.Hata maji hawataomba

    • @mweusiasili8345
      @mweusiasili8345 2 года назад

      @@emmadominic9601 unamjua Twaha yule jamaa nomaa sana bro

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 2 года назад +1

      @@mweusiasili8345 Naelewa sana na kwakuwa mm niko kwenye sanaa za mapigano kwa miaka mingi sana ila nimestaaf muda mrefu.Mm ni shabiki na mshauri mzuri sana wa Twaha Kiduku kwa kuwa huwa ana nidhamu ya hali ya juu.Hata mdogo wetu Tamimu ana nidhamu ya hali ya juu kabla hata hajaanza mambo ya ngumi.Ila hawa wawili wanatofauti kubwa ktk uzito.Kisheria huwezi kuwapambanisha.

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro65 2 года назад +2

    Hongera sana

  • @ireneisack6671
    @ireneisack6671 2 года назад +2

    Waooooh

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323 2 года назад

    Wekeni pambano zima youtube, TUONE

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад

    Hongera sana