Siku saba za mapigano kati ya Israel na Hamas kwenye Ukanda wa Gaza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии •

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta Год назад +2

    Jamani mnawsona watoyo hao hawana hatia tumlilie Mungu kwa ajili ya hawa ndugu,hii vita ikome

  • @AmaniMoshi-g6q
    @AmaniMoshi-g6q Год назад +2

    Mungu ibariki Israel ijalie ushindi watu waliamini jina lako kuwa ndio taifa lako teule.

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 Год назад

      MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!!
      👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze.
      na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa.
      ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!!
      na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa
      kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini
      ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇
      1 Wakorintho 11:3
      Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
      ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇
      Mwanzo 32:24
      Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
      ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu.
      ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu).
      👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo.
      soma👇
      Matendo ya Mitume 22:28
      ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
      Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu.
      ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina).
      kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa.
      Uislamu unapiga vita
      * ushoga(ndoa za jinsiamoja)
      * kubadili jinsia
      * midoli ya kufanyia mapenzi
      * kamari
      * riba
      * pombe
      * Uzinifu
      * mitandao ya picha za utupu
      ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Год назад

    اللهم نصر المجهدين في الفلسطين

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Год назад +3

    Mimi najua aliyegundua teknolojia ni mzungu ivo vita yawarabu na wazungu sidhani kama Warabu watashinda yaani Hamas kuishinda Israeli

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Год назад +7

    Waarabu wanafiki sana wanawaona wapalestina wanauliwa kwa kupigania haki yao lakin wanaongea kwa maneno tu

    • @bhoke9729
      @bhoke9729 Год назад +2

      Hii ni vita ya mataifa na sio Dini hapa ndipo mnachanganya mambo sasa.
      Point ni wakae watatue waelewane tu. Huu mgogoro unahitaji kusuruhishwa Kwa kuondoa visasi maana hapa ni wanalipisha visasi tu na sio kidini. Msichanganye mambo

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад

    Yaa rabb
    Awahifadhi na awabarik ndg zetu awatokomeze mayahudi

  • @KamauWanduta
    @KamauWanduta Год назад +12

    Kwani wale wa israel mliuwa wakukuwa watu?ama nyinyi ndio watu mligusa mkundu wa nungu nungu mbambane na hali yenu saitani nyinyi.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Год назад

      Alaaa!! Omba yasikufike utajua hujui pale Mgeni unapomkaribisha nyumbani kwako halafu anakuwa mwenyeji na wewe ukawa Mgeni wake...kwhy ongea kwsbb domi unalo!!

    • @KalundeRamazani-ns4kj
      @KalundeRamazani-ns4kj Год назад

      Mkundu wak❤

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja 8 месяцев назад

      Mungu ibariki Israel

  • @siniremeraanicet7851
    @siniremeraanicet7851 Год назад +3

    Tunawapongeza kwakutowa habari vizuri

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Год назад +4

    Mliwaficha Hamas hapo gaza, mkawaacha wakaingia Israel kuchinja wazee,watoto, na wanawake kama kuku, sasa wanajibu ndio mnazinduka! Hamas waondoke!

    • @josafko2259
      @josafko2259 Год назад +1

      Wawafukuze hao Hamas hapo Gaza,vinginevyo watapata tabu kwa sababu ya hao Hamas

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Год назад +3

    Sheria kwa wengine sio kwa Israel na marekani..

  • @TwalibYahaya-ef3cw
    @TwalibYahaya-ef3cw Год назад +2

    Huku wanakumbatiana kwingine wanauwawa hii Dunia hoi hatar sana

  • @kiwangasaidi6284
    @kiwangasaidi6284 Год назад

    Uyu Katibu Mkuu Kajaa Mashavutuu Uyuu Panyawa Marekani

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s Год назад +1

    Warabu wanashida wameipenda Dunia wbinafsi ila falestin watashinda kwa uwezo wa allah

  • @ahmedashfa7318
    @ahmedashfa7318 Год назад +2

    Allah jaalia waja wako wema waondokane na balaa hii

    • @leonarddamian
      @leonarddamian 10 месяцев назад

      lkn kumbuka waja wema ndo chanzo otober 7

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Год назад +6

    Najiuliza sana waliwachokoza WA Nini jamani away majinga walidhani wataachwa tu

    • @neemacharles9848
      @neemacharles9848 Год назад +1

      Upo kama mm na wangeyazidi yaan hawa waislam ss wakristo tulikuwa hatupumui wanaonaga kama menyewe hayana Mungu asa kibao kkmewageukia na wanaanza kulaani Mungu wa israel yupo jamani maan si swala rahisi mmekutwa na hamukuwa na taarifa lakin wakapambana mpaka adui anajuta mwenyewe

    • @Mahengo-d3r
      @Mahengo-d3r Год назад

      Nyinyi wakristo wavivu sana kufatilia mambo hao hamas Alshababi boko haram hawa ni wana siasa hawapo kwenye uislamu ndio maana sisi tunawapinga kwanin nyinyi mnataka kulazimisha uwe ndio uislamu? Si kila mwenye kudai jamba madai yake ni sahihi uislamu uko mbali na mambo ya kihamas au Alshababi hawa ni wahuni sio dini

    • @SwedyMohamed-vt5zm
      @SwedyMohamed-vt5zm 6 месяцев назад

      Tatizo nyie mnaianzia 7oct2023 Kwenye tatizo ambalo ni la miaka75 Sasa na Hamjui historia ya mgogoro huu.

    • @SwedyMohamed-vt5zm
      @SwedyMohamed-vt5zm 6 месяцев назад

      Assalaam aleikum,na wewe hujui historia sahihi ya mgogoro wa ndugu zetu Wapalestina wakiongozwa na HAMAS dhidi ya Mayahudi yakiongozwa na Mazayuni Akina NETANYAHU.Hayo majibu uliyotoa si sahihi.Waislam wengi tunachangamoto ya kufahamu mambo kama haya.Tunadhani Hayana uhusiano na dini yetu.Wengi hatufahamu historia ya mambo kama haya ndio maana hatuwaombei Dua ndugu zetu Wapalestina.

  • @D.P.O
    @D.P.O Год назад +3

    Acha wanyukane sisi haituhusu, maana matatizo ya huku kwetu afrika hakuna anaetuoneaga huruma

  • @JabirHaji-vj2nf
    @JabirHaji-vj2nf Год назад +1

    Hatujawahi kuona unafiki wa nchi za kiarabu n
    Dhahir allah kathibitisha unafiki wao lkn inshallah allah atawasaidia

  • @LeonadiKisamba-fe5zg
    @LeonadiKisamba-fe5zg Год назад

    Vibaya.sana

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur Год назад +3

    Ni lazima mjue kunaye mungu Israel anaye atahili kuabudiwa dunia kote

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta Год назад

    Tunamwamini mungu kuwa anadikia maombi,tumwombe mungu kwa sjili ya israel na palestina

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Год назад +3

    Allah atawaangamiza na wao anawapa muda tu

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 Год назад +2

      Lakini jamani tunaposema hivi tunapaswa kuangalia ni nani aliyemuamza mwenzake hamasi wamewavamia waisraeli kimya kimya na kuwaua ndio vita ikaanzia hapo au

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 Год назад +2

      Kama ni mazungumzo ya amani yalitakiwa kupatikana kwa njia nyingine tofauti na hamasi kuanzisha mashambulizi mlitegemea mkishambulia na kuua waisraeli wao wafurahie tu kwakua hawawapendi watu wao

    • @EmmanuelLupoja
      @EmmanuelLupoja 8 месяцев назад

      Hao na dini yao hawashauriwagi Quran yao inasema kiama hakitakuja mpaka wawaue wayahudi

  • @MgetaMagoma-zn3gm
    @MgetaMagoma-zn3gm Год назад +2

    mungu awalinde jamani Kwa kwel ni kazi

  • @issashekh9437
    @issashekh9437 Год назад +3

    Allah awanusuru na awape Subra 😢

  • @selemanijafari9225
    @selemanijafari9225 Год назад +2

    Ao umoja wa mataiffa sijui wanafanya nn😢😢

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      Hivi mmarekan ndio Myahudi huyo huyo Sasa sijui ni Umoja wa mataifa wapi😅😅?

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Год назад +1

    😭😭😭😭😭

  • @meinradmtega8307
    @meinradmtega8307 Год назад

    Kimsingi ni mbaya sana.

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 Год назад +3

    Wenye dunia yao hakuna namna ni kuhamatu wataenda wapi hayawahusu,waparesitina pambaneni na hamas muwe na amani

  • @ashuramakerega8053
    @ashuramakerega8053 Год назад

    Asalaam alaykum ndugu zangu kwanini waparestina wasiwape icho wanachokitaka Kisha wao wakarudi kumuomba Allah yy ashindwi na jambo kuliko ivyo wanasababisha vifo vya wasio na hatia kama watoto hawajui wanapiganiana nn

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 Год назад +2

    Hapa hakuna udini kinacho endelea ni . Kama nyau kumshika Simba makario

  • @YOHANANICHOLa
    @YOHANANICHOLa Год назад

    Vita ya gaza inafundishwa nini sasa kwa binadamu

  • @FaizaSoko-ml5si
    @FaizaSoko-ml5si Год назад

    Allah help us😢

  • @MunaMuna-tn3go
    @MunaMuna-tn3go Год назад +1

    MUNGU WAPE SUBRA WAJA WAKO

  • @rqgabalr7937
    @rqgabalr7937 Год назад +4

    Hawa watu ulimwenguni wanaojifanya wanandamana ni wanafiki waongo

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Год назад

    Ezrael.wajiandae nazabu yaduniani naakhera

  • @azizmiraji2610
    @azizmiraji2610 Год назад +1

    America ni shenzi sana

    • @decodesttz
      @decodesttz Год назад

      Sasa amerca kafany nn hapo

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Год назад

    Atuwataki warabu wachokozi wakatiri ona somaria ona Yemen- siria -sudan

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Год назад +1

    Haki hakuna dunia yote niwanafiki

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 Год назад

    Wapalestina tokeni kwenye Nchi yetu

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Год назад

      MUNGU HUWA HANA HARAKA NI MWENYE SUBIRA ( NABII MUSSA NA FALAO NA WAFUASI WAKE MUNGU ALICHELEWA KUCHUKUA HATUA ILI WATUBIE . MUNGU ANAJUA NANI MWENYE HAKI KATI YAO NA MUNGU NI MWENYE KULIPA NA MWENYE SUBIRA HANA HARAKA).

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi Год назад

    Walalamikieni hamas

  • @w4058
    @w4058 Год назад +1

    Umoja wa Mataifa makafiri wakubwa hao wanafiki

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Год назад

    Jamani Israel ni wagomvi sana

    • @leonarddamian
      @leonarddamian 10 месяцев назад

      Kumbuka october 7 nani alianzisha

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 10 месяцев назад

      @@leonarddamian aliyeanzisja ni Hamas , siyo raia wa parestina

  • @Mahengo-d3r
    @Mahengo-d3r Год назад

    Hamas ni wanaharakat hawajui mafsad wala maslahi ndio nini sasa wamefanya rudini kwenye kitabu cha Allah na sunnah acheni uhuni wenu

  • @uwimbabaziesperance8478
    @uwimbabaziesperance8478 Год назад

    Jamani,kwa nini Hamas iliwachokoza isirael?sasa leo mnaona Hamas imefanya vizuri?

  • @allyzyench882
    @allyzyench882 Год назад

    Allah awafanyie wepesi

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Год назад

    Huo unyama dhidi ya wapalestina na wayahudi upingwe na kusitishwa kwa haraka. Waafrika wote tunapinga huo ukatili dhidi ya wapalestina. Haki za kibinadamu ziheshimiwe.

  • @petrompunga221
    @petrompunga221 Год назад

    Acha wabaki wasambalatishwe, WAPUMBAVU HAO

  • @rqgabalr7937
    @rqgabalr7937 Год назад

    Warabu ni wanafiki t wenziwao wanapigwa wao wamejificha t ingalikuwa wameambiwa kuna sahani za vyakula ingalikuwa wameshafika Kwa magroup

    • @Werema3760
      @Werema3760 Год назад

      Wanafaham mziki waliwai kuungana nchi 12 then 6 wakasambaratishwa siku 6 tu.

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Год назад

    Iko siku tu kutakuwa hakuna cha marekani wala israil pumbavu zao

  • @SangiwaMsangi-x4x
    @SangiwaMsangi-x4x Год назад

    Kwanini hamsemi ukweli semeni jeshi la parestina sio kundu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад

    Maskin jamani

  • @HamadAthuman-p2o
    @HamadAthuman-p2o Год назад

    Waarabu unaowaona Midiri Jodani Yemeni nk walishatekwa zamani na hayo Makafiri miaka nenda tufi kama tukivyotekwa sisi siku nyingi bila kujijuwa tunaishi mfumo wa Makafiri bila kujijuwa maana dilaha Kali wanamiliki wao kila neno sis vyeyu ni Amani Imani Demokrasia bas

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Год назад

    Wana Fanya uchozi wakati Awana ubavu WA kupigana nguvu za soda

  • @bhoke9729
    @bhoke9729 Год назад +3

    Sasa Hamas ndio waanzorishi sasa si wakubari tu kushindwa hili watu wasio na hatia wasiumie bure. Mungu hawasaidie wote wapate maelewano wamalize tofauti zao.

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Год назад +1

      Waisrail ndio wauwaji mda mtefu wanawauwa wapalestina kwa Ardhi yao kwa iyo Hama's wanapigania Ardhi yao isome historia utajuwa.

    • @RamadhaniMwandambo-fx9sb
      @RamadhaniMwandambo-fx9sb Год назад +1

      Wewe bwege unaongea nn? Kama waisrael wanauwezo c wawapige hao Hammas mbona waua raia wasio na hatia? Waisrael ni waoga

    • @Werema3760
      @Werema3760 Год назад

      ​@@RamadhaniMwandambo-fx9sbYaan JWTZ ichokoze nchi njirani wakati wa kurusha makombora wabague kwamba wew hauko hatiani? Akili matope.🇮🇱 sawazisha kifusi cha gaza na wagameharaka😂. Wanachokoza nyuki afu wanaamrishwa kuhama means hawakuwa na uwezo. Mabom 5000 hao magaid wa kiparestina walikuwa na mlengo gan. Ila Israel wanahuruma.😂

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 Год назад

      @@Werema3760 jipe moyo tuu lakini islaeli pia wametekenywa pabaya tuu. Halafu kingine izlaeli ni mfano wa mtu anaepigana na mtu alie fungwa mikono na miguu kwahiyo atampiga anavyo taka kwakua ana minyororo kwamaana watu tunao ona mbali tunaona hamasi wako kwenye hatua kubwa .ya ushindi wao maana ukitazama mmarekani anambeba mwanae mpendwa kwa mbeleko ya chuma 😆😆

    • @Werema3760
      @Werema3760 Год назад

      @@hasaniabdalah6148 ziliwai kuungana nchi 12 then 6 za kiarabu zikachakazwa na Israel. Waarabu wata waungane moto wanaujua ndo maana hata hawathubutu😀

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman Год назад +1

    Maandamano vipi wakati izo nchi ndio zilitakiw zipelekee jeshi na makombora maneno matupu hayasaidii kwa Makafiri hao. Na uyuo Mmarekan na vibarak vyake ndio wanaopelekea vita huko kuwauwa waislam. Kama ni vita wapigane wao jeshi sio Wapige majumb ya makaazi ya watu.

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 Год назад

    Hakuna uisilamu wala ukiristo sote ni binadamu

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Год назад

    Tafadhali pande zote mbili zinazohasimiana sitisheni ubaguzi wa rangi na kiburi cha kikabila.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Год назад

    Hata mnatukana tu wambie hao ambao sio makadirio waache uchokozi

  • @SAMWELINGULO-di6pl
    @SAMWELINGULO-di6pl Год назад

    Sasa kwanini mliwachokza ? Halafu sahizi hakizungumziwi kile walicho kifanya wapalestina ila kinazungumxiwa cha waizraeri kujibu mapigo keeneeni kwanza uvamizi wa jimamosi iliyo pita halafu ndolifwate hili lapili

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 Год назад

      MKRISTO SOMA HII👇UELIMIKE!!
      👉 Kulingana na mfumo wa uainishaji wa Ofisi Kuu ya Takwimu nchini (CBS) (data ya 2021), imetoa takwimu kuwa takriban ya asilimia 73.8 ya watu wa ISRAEL ni Wayahudi , asilimia 18 ya watu wa ISRAEL ni Waislamu, asilimia 1.9 ya watu wa ISRAEL ni Wakristo, na asilimia 1.6 ya watu wa ISRAEL ni Druze.
      na idadi hiyo ya asilimia 1.9 ya wakristo ndani ya ISRAEL ni ya wahamiaji(wanafunzi na wafanyakazi kutoka mataifa mengine) na sio wazawa.
      ... sasa kutokana na takwimu hiyo ndogo mno ya idadi ya wakristo ndani ya ISRAEL . Wala huna haja wewe unaejiita mkristo kuishobokea Israel kwasababu haikuhusu kabisaa!!
      na ujue kuwa Imani ya Uyahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisaa
      kwasababu WAYAHUDI wao wana amini hivi👇katika imani yao ya kidini
      ➡️Mungu ni mmoja tu, hana kasoro wala kosa. ila kwa imani ya wakristo Mungu sio Mmoja. soma👇
      1 Wakorintho 11:3
      Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu.
      ➡️Mungu hana mwili, hafanani na kitu chochote duniani. ila kwa wakristo Mungu anao Mwili. na alishawahi kupigana mieleka na Yakobo na Mungu akapigwa. soma👇
      Mwanzo 32:24
      Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
      ➡️Dini ya Kiyahudi inafundisha kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Masihi wala "Mwana wa Mungu" . Katika mtazamo wa Kiyahudi ibada ya mtu(Yesu) inaonekana kwao kama aina ya ibada ya sanamu.
      ... Muisrael anamuona Mkristo kama muabudia sanamu(MPAGANI) kwa kumuabudia mtu(Yesu).
      👆🏼 nafikiri utakuwa umeshaelewa kuwa Israel wewe haikuhusu. ila ROMA iliyopo Italia ndio inayokuhusu wewe Mkristo kama mji wako mtakatifu! kwasababu ndiko alipozaliwa mwanzilishi wa imani ya ukristo.
      soma👇
      Matendo ya Mitume 22:28
      ... mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
      Kuanzia leo wewe Mkristo unayejitambua unatakiwa mapenzi yako yote uyatoe Israel na uyapeleke kule wanakotoka Mapapa (Italia) sababu huko ndipo panapo wahusu.
      ...Na labda usichokijua kuhusu Mataifa ya Ulaya kwanini wanamsaidia Myahudi(Israel) dhidi ya Muislamu(Palestina).
      kwasababu Uislamu ndio dini pekee inayokataa mifumo yao ya Anasa.
      Uislamu unapiga vita
      * ushoga(ndoa za jinsiamoja)
      * kubadili jinsia
      * midoli ya kufanyia mapenzi
      * kamari
      * riba
      * pombe
      * Uzinifu
      * mitandao ya picha za utupu
      ... sasa hawa wazungu hata kama wakisikia kuwa waislamu wanauliwa na mbwa basi hapo ujue wao watakua upande wa mbwa. ili kuotokomeza uislamu na waislamu hamu yao ni kuona wanabaki watu wa anasa (Mashoga na Walevi ktk dunia hii.)

  • @ashelizakaria6306
    @ashelizakaria6306 Год назад

    hiyo ndio inaitwa umeaza mm namaliza

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Год назад

    Hamasi nao akili hawana badala wapige samia na kikwete wanauza bandari zetu ZOOTE wanaenda kung'ang'ana na israeli nchi ambayo haipigiki ujinga mwingii

    • @JamilaBarkiss
      @JamilaBarkiss Год назад

      😂😂😂😂 unamwana sheria lakin ndungu yangu

  • @joycemoraa2346
    @joycemoraa2346 Год назад +2

    Psalms 59:1➕➕🅰🅰🅰➕➕
    🍀🍀😊😊😊🍀🍀
    📖📖🙏🙏🙏📖📖
    📕🔵😈peace and 😍 and prayers for the people of Israel and Neighbers in Jesus name Amen. 😍

    • @abdulkarimseif8698
      @abdulkarimseif8698 Год назад

      Masikinii ina maana yesu ni.mkristo au myahudi maana wanaopiga vita ni wayahudi yesu mkristo unamueka apo anahusikaje

  • @RamadhaniMwandambo-fx9sb
    @RamadhaniMwandambo-fx9sb Год назад

    Popote alipo mmarekani , myahudi apigwe wanafanya Dunia isiwe Mahali pazuri pakuishi. Putin piga hao manyangau huko Ukraine na bwana zao wamarekani Ili iwe faraja Kwa wapalestina wanaouawawa huko ghaza.

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад +2

    Mlijifanya vichwa maji

  • @abuuyahya849
    @abuuyahya849 Год назад

    huyu mnafki mkubwa

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi Год назад

    Hamas wako wapi wasakwe

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 Год назад +3

    Unaanzisha mapigano,,,,, then unalalamika kwa kipigo, na KUONA uliyemchokoza Ni mkosaji. Ulitaka abaki kimya asikujibu???
    Mmalizaji wa hili lazima awe third party

  • @mohammedali-qv2jo
    @mohammedali-qv2jo Год назад

    nyie wakristo wa tanzania hamjitambui myahudi sio mkiristo kama mnajidai yesu wao hatambui yesu kamahamjui wao nayesu sirafiki someni ndio muchangie mada mnaharibu