HUZUNI, VILIO VYATAWALA WAKATI MZUMBE IKIWAAGA WAPENDWA WAKE PROF. NGOWI NA INOCENT MRINGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 мар 2022

Комментарии • 29

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz 2 года назад +1

    Cjapata bahati ya kumjua prof Ngowi.Ila nimepata bahati ya kuwaona na kusoma na mabinti zake hata kama cjawazoea.All in all wako so discplined and wananidhamu.It shows how much babao alivowalea....Rip legend.

  • @mwajumambowa4035
    @mwajumambowa4035 2 года назад +2

    Ajali izi jamani 😭😭😭 mungu tufanyie nusra viumbe wako 🙏

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 2 года назад +4

    Alikuwa anauwezo wa kusikiliza hana dharau .nilipata nafasi ya kuongea naye na hakuwai kupuuza mawazo tulowahi kushare naye.Pro .Ngowi Alikuwa Mtu Mwema Sana Tena Sana.

  • @gileskandege4950
    @gileskandege4950 2 года назад +2

    Buriani mwanazuoni ...hukujitwisha kibri cha usomi...mungu akusamehe pale ulipo teleza kama binadamu

  • @geofferymwangi9879
    @geofferymwangi9879 2 года назад +1

    May professor continues resting in peace

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 года назад

    RIP Prof. My condolences from Germany🇩🇪🙏 upumzike kwa amani 🙏

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 2 года назад

    Mungu wewe wajua,unababaki kuwa Mungu hata tunapo pita ktk hali km hizi😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 2 года назад

    Pole wanafamilia maaisha ya mwanadamu ni mafupi .. pumzika kwa amani mr Ngowi...

  • @janechogoro6502
    @janechogoro6502 2 года назад

    Nakulilia professor Ngowi😪😪

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 2 года назад

    Ninaumia sana kumpoteza huyu baba, Mungu ailaze roho yake mahali pema .

  • @leoniamathindano2297
    @leoniamathindano2297 2 года назад

    Pumzika kwa Amani baba Prof Ngowi, Mwanga wa milele ukuangazie

  • @rebekamartin2118
    @rebekamartin2118 2 года назад

    It was touching rest easy man

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 2 года назад

    Pumzika kwa amani ulikuwaa mtu Wawatu mungu akakumbuke mema yako uliyofanya hapa duniani ngowi mungu akawe mfariji kwenu wafiwa wote

  • @rachel-mwashikuhenga342
    @rachel-mwashikuhenga342 2 года назад

    Pumzika kwa amani mwalimu wangu profesa Ngowi!

  • @hilarylucasmasawe2336
    @hilarylucasmasawe2336 2 года назад +1

    RIP our beloved prof Ngowi

  • @godblesssimon7761
    @godblesssimon7761 2 года назад

    My heartfelt condolences to the family and friends of Professor Ngowi.

  • @frowinmshumbusi52
    @frowinmshumbusi52 2 года назад +1

    Pumzika Kwa Amani Mchumi na Dereva

  • @mchunguzijn418
    @mchunguzijn418 2 года назад

    Poleni sana wafiwa

  • @isackulomi2293
    @isackulomi2293 2 года назад +1

    Pumziko prof

  • @jumameneja1245
    @jumameneja1245 2 года назад

    R.I.P Mungu awajalie pumzika la amani

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 2 года назад +1

    Teri Ilya wandu wecha mbe😭😭😭😭

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 2 года назад

    Amegusa watu,kuujweli sijawahi kuoba wanaume wakilia inaonekana alikuwa mtu wa watu
    Wapumzike kwa amani.

  • @annasitti120
    @annasitti120 2 года назад

    Dah,😭😭poleni familia

  • @johnngowi2992
    @johnngowi2992 2 года назад

    Pumzika kwa amani Mwalimu wa watu wote.

  • @jemimaboniface9717
    @jemimaboniface9717 2 года назад

    Pumzika kwa amani😭😭😭😭

  • @erickkilaboma6485
    @erickkilaboma6485 2 года назад

    Duh jmn polen san

  • @tinangimba8909
    @tinangimba8909 2 года назад

    Hakika mwanadamu ni mavumbi, tudumu katika maombi

  • @asteriaaloyce898
    @asteriaaloyce898 2 года назад

    Pumzikeni kwa amani wapendwa tutawakuta

  • @erickkilaboma6485
    @erickkilaboma6485 2 года назад

    Duh jmn polen san