Cjapata bahati ya kumjua prof Ngowi.Ila nimepata bahati ya kuwaona na kusoma na mabinti zake hata kama cjawazoea.All in all wako so discplined and wananidhamu.It shows how much babao alivowalea....Rip legend.
Alikuwa anauwezo wa kusikiliza hana dharau .nilipata nafasi ya kuongea naye na hakuwai kupuuza mawazo tulowahi kushare naye.Pro .Ngowi Alikuwa Mtu Mwema Sana Tena Sana.
Cjapata bahati ya kumjua prof Ngowi.Ila nimepata bahati ya kuwaona na kusoma na mabinti zake hata kama cjawazoea.All in all wako so discplined and wananidhamu.It shows how much babao alivowalea....Rip legend.
Ajali izi jamani 😭😭😭 mungu tufanyie nusra viumbe wako 🙏
Alikuwa anauwezo wa kusikiliza hana dharau .nilipata nafasi ya kuongea naye na hakuwai kupuuza mawazo tulowahi kushare naye.Pro .Ngowi Alikuwa Mtu Mwema Sana Tena Sana.
Buriani mwanazuoni ...hukujitwisha kibri cha usomi...mungu akusamehe pale ulipo teleza kama binadamu
May professor continues resting in peace
RIP Prof. My condolences from Germany🇩🇪🙏 upumzike kwa amani 🙏
Mungu wewe wajua,unababaki kuwa Mungu hata tunapo pita ktk hali km hizi😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Pole wanafamilia maaisha ya mwanadamu ni mafupi .. pumzika kwa amani mr Ngowi...
Nakulilia professor Ngowi😪😪
Ninaumia sana kumpoteza huyu baba, Mungu ailaze roho yake mahali pema .
Pumzika kwa Amani baba Prof Ngowi, Mwanga wa milele ukuangazie
It was touching rest easy man
Pumzika kwa amani ulikuwaa mtu Wawatu mungu akakumbuke mema yako uliyofanya hapa duniani ngowi mungu akawe mfariji kwenu wafiwa wote
Pumzika kwa amani mwalimu wangu profesa Ngowi!
RIP our beloved prof Ngowi
My heartfelt condolences to the family and friends of Professor Ngowi.
Pumzika Kwa Amani Mchumi na Dereva
Poleni sana wafiwa
Pumziko prof
R.I.P Mungu awajalie pumzika la amani
Teri Ilya wandu wecha mbe😭😭😭😭
Amegusa watu,kuujweli sijawahi kuoba wanaume wakilia inaonekana alikuwa mtu wa watu
Wapumzike kwa amani.
Dah,😭😭poleni familia
Pumzika kwa amani Mwalimu wa watu wote.
Pumzika kwa amani😭😭😭😭
Duh jmn polen san
Hakika mwanadamu ni mavumbi, tudumu katika maombi
Pumzikeni kwa amani wapendwa tutawakuta
Duh jmn polen san