JE UMEZUNGURUKA KUTAFUTA MSAADA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 38

  • @rahelpilos4452
    @rahelpilos4452 4 года назад

    Amen barikiwa sana

  • @denismathayo5577
    @denismathayo5577 2 года назад

    groly to God JIFUNZE KUTENDA WEMA

  • @greesgrees856
    @greesgrees856 4 года назад

    MUNGU akubariki sana tutapona wote

  • @catherinemayeye2711
    @catherinemayeye2711 6 лет назад

    Mungu wa Major 1 anatisha mnooooo! Ubarikiwe sana Chief wa watu.

  • @franknewton4002
    @franknewton4002 6 лет назад

    Amen mtumishi nabarikiwa sana

  • @saidasaidisaida9230
    @saidasaidisaida9230 6 лет назад +1

    Powerful

  • @saidasaidisaida9230
    @saidasaidisaida9230 6 лет назад

    Amen

  • @margaretnjenga5597
    @margaretnjenga5597 6 лет назад +1

    Like Father like son iyeeeeee

  • @nurugeofrey6717
    @nurugeofrey6717 6 лет назад +1

    poweeer!!!iyeeeeeeeeeee

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 5 лет назад +1

    Tunadanganyana tu!!!

  • @mickytown9539
    @mickytown9539 6 лет назад

    naomba mnisaidie nipajue Kwa mtumishi wa mungu

  • @veronikashija4979
    @veronikashija4979 6 лет назад +1

    Like father like son

  • @barcelonagirl2329
    @barcelonagirl2329 6 лет назад +1

    Amn

  • @shwarikuuvj5416
    @shwarikuuvj5416 6 лет назад

    powerful

  • @julianamsofe6445
    @julianamsofe6445 6 лет назад +1

    Poweeeeeer our own Chief

    • @lonamicha7107
      @lonamicha7107 6 лет назад

      Juliana Msofe saaaana, Mungu atuwekeee

    • @julianamsofe6445
      @julianamsofe6445 6 лет назад +1

      felista mathew umeonaaa mmekumisss chaaaa ndo umeibiwa kimojaaa

    • @lonamicha7107
      @lonamicha7107 6 лет назад

      Juliana Msofe bado mwaya labda mwakani mamy, missing u too

  • @mwambauliohai5043
    @mwambauliohai5043 5 лет назад

    mhuuu janja kutoka south

  • @elisantemrita3582
    @elisantemrita3582 5 лет назад

    Ninacho weza kusema mm kama mwanadam nikwamba bibilia inasema neno lamungu kwawapoteao niupuuzi ila kwetu ss ninguvu ,so wanao beza haya mambo niwale ambao neno limesema ,,pia tukumbuke mwenye njaa hachagui wala haulizi anachuhitaji nikushiba tu basi

  • @mariamapuga1829
    @mariamapuga1829 6 лет назад

    Powerful.

  • @irenemakena1195
    @irenemakena1195 6 лет назад

    Ningeomba mchungaji unisaidie kwa maobi kupitia babake mtoto wangu anitafute tuliachana.

  • @mickytown9539
    @mickytown9539 6 лет назад

    jamani Mimi nataka niende Kwa mtumishi wa mungu Ila sijajua yuko eneo gani hapa tanzania

    • @neemammbando938
      @neemammbando938 6 лет назад

      Micky Town
      Yuko makongo juu kituo ni kanisani.jina la kanisa linaitwa ECG

    • @neyjohn8095
      @neyjohn8095 5 лет назад

      @@neemammbando938 so ukishuka kanisani kuna bango au

  • @naomilemi4717
    @naomilemi4717 6 лет назад +2

    KARIBUNI HAPA NI KWA MGANGA WA KIENYEJI KULE KWA BABU WA MIUNGU

  • @hechihechie5558
    @hechihechie5558 6 лет назад

    utabiri ni nn maanake? navyojua mm ni mambo yajayo ambayo hayajatokea...nipeni elimu

  • @marthamwapongo113
    @marthamwapongo113 6 лет назад

    Ninamshukuru Mungu kwa huduma hii mtumishi wa Mungu.Uko Tanzania kwa ajili yangu.

    • @kenedymdemu6943
      @kenedymdemu6943 6 лет назад +1

      Tafadhari wana was mungu msidanganyike kutabiri Ni mambo yajayo si yalio pita kwani hata waganga wa jadi huongea historia za MTU na inakua kweli sababu wamevaa pepo na roho ya kuzimu ya utambuzi amini usiamini maneno haya wanakjiita watumishi miaka hii wapo kutafuta pesa Ni km waganga tu eti wanaambiwa na roho wa mungu ,,,jamani huo Ni uganga wateule ana mix na maneno ya mungu mnaingia kingi mnadanganyika .siku watajitokeza manabii wa uongo wakiwapotosha na kuwadanganya yamkini hata wateule ndivo neno LA mungu linavosema

    • @kenedymdemu6943
      @kenedymdemu6943 6 лет назад

      Huo Ni uganga sio unabii ,kwani unabii Ni kuongea Yale yajayo. Wateule kueni macho shetani kaja kwa gia nyingine ya kuvalisha wahubiri roho ya kuzimu ya utambuzi na ndio kuagua kwenyewe lamli za kiroho hizo

    • @muniiddy1945
      @muniiddy1945 6 лет назад

      Mtumsh anapatikana wap??

  • @mickytown9539
    @mickytown9539 6 лет назад

    naomba mnisaidie nipajue Kwa mtumishi wa mungu