Ninacho weza kusema mm kama mwanadam nikwamba bibilia inasema neno lamungu kwawapoteao niupuuzi ila kwetu ss ninguvu ,so wanao beza haya mambo niwale ambao neno limesema ,,pia tukumbuke mwenye njaa hachagui wala haulizi anachuhitaji nikushiba tu basi
Tafadhari wana was mungu msidanganyike kutabiri Ni mambo yajayo si yalio pita kwani hata waganga wa jadi huongea historia za MTU na inakua kweli sababu wamevaa pepo na roho ya kuzimu ya utambuzi amini usiamini maneno haya wanakjiita watumishi miaka hii wapo kutafuta pesa Ni km waganga tu eti wanaambiwa na roho wa mungu ,,,jamani huo Ni uganga wateule ana mix na maneno ya mungu mnaingia kingi mnadanganyika .siku watajitokeza manabii wa uongo wakiwapotosha na kuwadanganya yamkini hata wateule ndivo neno LA mungu linavosema
Huo Ni uganga sio unabii ,kwani unabii Ni kuongea Yale yajayo. Wateule kueni macho shetani kaja kwa gia nyingine ya kuvalisha wahubiri roho ya kuzimu ya utambuzi na ndio kuagua kwenyewe lamli za kiroho hizo
Amen barikiwa sana
groly to God JIFUNZE KUTENDA WEMA
MUNGU akubariki sana tutapona wote
Mungu wa Major 1 anatisha mnooooo! Ubarikiwe sana Chief wa watu.
Amen mtumishi nabarikiwa sana
Powerful
Amen
Like Father like son iyeeeeee
poweeer!!!iyeeeeeeeeeee
Tunadanganyana tu!!!
naomba mnisaidie nipajue Kwa mtumishi wa mungu
Like father like son
Amn
powerful
Poweeeeeer our own Chief
Juliana Msofe saaaana, Mungu atuwekeee
felista mathew umeonaaa mmekumisss chaaaa ndo umeibiwa kimojaaa
Juliana Msofe bado mwaya labda mwakani mamy, missing u too
mhuuu janja kutoka south
atar
Ninacho weza kusema mm kama mwanadam nikwamba bibilia inasema neno lamungu kwawapoteao niupuuzi ila kwetu ss ninguvu ,so wanao beza haya mambo niwale ambao neno limesema ,,pia tukumbuke mwenye njaa hachagui wala haulizi anachuhitaji nikushiba tu basi
Powerful.
mungu ni mwema siku zote
mungu ni mwema siku zote
Ningeomba mchungaji unisaidie kwa maobi kupitia babake mtoto wangu anitafute tuliachana.
Irene kutoka kenya
Hahahahahaah
jamani Mimi nataka niende Kwa mtumishi wa mungu Ila sijajua yuko eneo gani hapa tanzania
Micky Town
Yuko makongo juu kituo ni kanisani.jina la kanisa linaitwa ECG
@@neemammbando938 so ukishuka kanisani kuna bango au
KARIBUNI HAPA NI KWA MGANGA WA KIENYEJI KULE KWA BABU WA MIUNGU
MAIGIZOTU
utabiri ni nn maanake? navyojua mm ni mambo yajayo ambayo hayajatokea...nipeni elimu
Ninamshukuru Mungu kwa huduma hii mtumishi wa Mungu.Uko Tanzania kwa ajili yangu.
Tafadhari wana was mungu msidanganyike kutabiri Ni mambo yajayo si yalio pita kwani hata waganga wa jadi huongea historia za MTU na inakua kweli sababu wamevaa pepo na roho ya kuzimu ya utambuzi amini usiamini maneno haya wanakjiita watumishi miaka hii wapo kutafuta pesa Ni km waganga tu eti wanaambiwa na roho wa mungu ,,,jamani huo Ni uganga wateule ana mix na maneno ya mungu mnaingia kingi mnadanganyika .siku watajitokeza manabii wa uongo wakiwapotosha na kuwadanganya yamkini hata wateule ndivo neno LA mungu linavosema
Huo Ni uganga sio unabii ,kwani unabii Ni kuongea Yale yajayo. Wateule kueni macho shetani kaja kwa gia nyingine ya kuvalisha wahubiri roho ya kuzimu ya utambuzi na ndio kuagua kwenyewe lamli za kiroho hizo
Mtumsh anapatikana wap??
naomba mnisaidie nipajue Kwa mtumishi wa mungu