SEHEMU YA PILI YA SOMO LA KUSHINDA ROHO ZA MADENI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 135

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад

    apostle mtalemwa Mungu alibariki na zaidi kukupa maisha marefu tuendelee kupata speech adhimu zilizokwenda shule

  • @mycustomer6796
    @mycustomer6796 3 года назад +2

    Hakika nitalipiwa deni na kutoka katika utunwa wa roho ya madeni,,ahsante yesu!

  • @sophykedogo9738
    @sophykedogo9738 2 года назад

    I receive Amen 🙏 Amen 🙏 Amen stay blessed Apostle

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 3 года назад +1

    Amen

  • @hoglawawuda8145
    @hoglawawuda8145 4 года назад +1

    Amen..pastor unanitia moyo

  • @petermudagale8015
    @petermudagale8015 2 года назад +1

    Good teachings

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 3 года назад

    Hakika Mungu amejifunua ndani yako . Binafsi nimemshangaa Bwana
    Mungu atukuzwe kwa neema hii kubwa.

  • @Rachel-ni7jy
    @Rachel-ni7jy 3 года назад

    Bless you pastor for is word Of God iam total blessed and I didn’t not know about this.
    God bless you indeed 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @teddymnange2499
    @teddymnange2499 3 года назад

    Hakika nimekuelewa Sana,tayafanyia kazi naamini Mungu amelipa madeni yangu

  • @postivemindset-q4j
    @postivemindset-q4j 2 года назад

    Amen apostle

  • @chorwett
    @chorwett 6 лет назад

    Wow......It’s the first time I am watching this man of God.....all I can say is Major 1 is an amazing mentor and the anointing of God upon this Apostle is too much. I bless the name of God of Major 1. Apostle Mutalemwa you are a blessed man of God. I honour the anointing in this house!!!!

  • @kajujumary6729
    @kajujumary6729 3 года назад

    Powerful message
    I love it.

  • @Lilian-su9jv
    @Lilian-su9jv 2 года назад

    Apostle pray for me because Niko na madui in my spiritual ray.kuna mwenye amesema nimejunga Na maubiri za kitanzani .Na happy spirit ya kusikiliza maubiri ikatoweka ndani mwangu.

  • @mchungajisecilia8029
    @mchungajisecilia8029 3 года назад

    Uishi milele mtumishi wa Mungu

  • @pidiusdominic3673
    @pidiusdominic3673 2 года назад

    Asante kwa somo zuri

  • @SonofMajor1
    @SonofMajor1 6 лет назад

    Am ready missing Chief aisee...powerful teaching mnooo.Am Implementing it and am blessed when helping the needy. The give you blessings and make you happy. Ahsante sana Chief Apostle kwa mafundisho i love you sana.

  • @Rachel-ni7jy
    @Rachel-ni7jy 3 года назад

    I receive in Jesus name,have mercy on us lord 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @joycemushi248
    @joycemushi248 3 года назад

    Yesu nilipie madeni yangu yotee napokeaaaaaaa kwa jina la yesu

  • @helenaelinipenda9543
    @helenaelinipenda9543 4 года назад

    God bless you chief apostle

  • @happyjohn7630
    @happyjohn7630 3 года назад

    Sijawahi sinzia nikiwa nakusikiliza man of God .my god bless you uwa nailewa bible Yan km nimeenda shule Mungu akubariki sana

  • @lanimadato7624
    @lanimadato7624 3 года назад

    Mariam Benjamin nipo katari doha Ameen

  • @tumaswai819
    @tumaswai819 6 лет назад

    That's my mentor chief Apostle nimebarikiwa mnoooooo kupita maelezo

  • @felisteraloys8157
    @felisteraloys8157 6 лет назад

    Thank for the teachings dad,may God bless you and increase You in Jesus Name.

  • @ochuodhoisaya9017
    @ochuodhoisaya9017 6 лет назад

    Wonderful teachings, BE BLESSED CHIEF

  • @falcaonamisi1377
    @falcaonamisi1377 2 месяца назад

    Mungu nilipie ndeni

  • @mkomolej.a.848
    @mkomolej.a.848 6 лет назад +2

    According to Proverb 19.17 ISV "Whoever is kind to the poor is lending to the Lord the benefit of his gift will return to him in abundance"
    Oooh...! GOD,
    I submit the case
    AMEN

  • @edwardmachemba4323
    @edwardmachemba4323 6 лет назад +1

    Hauwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa, mtumishi nimekuelewa sanaaaaa piga injili Baba

  • @mariamapuga1829
    @mariamapuga1829 6 лет назад

    Asante Chief .Nakupenda sana Chief.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 4 года назад +1

    Hata kwenye mtandao tunakupata hatujaokoka ila tunakufatilia vizuri tunakuelewa amen

  • @عيالي-م6ف
    @عيالي-م6ف 4 года назад

    Asant chef uyo anaesema ohhh yes ananikera acha tumikirize Chef kaziyaketu ooooh Yes acha tusikiye Neno

  • @damarisgatwiri1587
    @damarisgatwiri1587 Год назад

    I receive in Jesus name

  • @favouredfreda283
    @favouredfreda283 5 лет назад

    Leo nimejifunza neno kubwa sana nitalifanyia kazi kwake mwenyezi mungu

  • @NicasRichard
    @NicasRichard 3 месяца назад

    Napokea kwa jina la YESU

  • @nyansomunda571
    @nyansomunda571 6 лет назад

    Nimeelewa neno barikiwa baba I receive

  • @doriskivesa6264
    @doriskivesa6264 6 лет назад

    Ah powerful nimebarikiwa sana

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n Месяц назад

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen

  • @Lilian-su9jv
    @Lilian-su9jv 2 года назад

    Niombee mtumishi MTU Anita shika nyuma kiroho Na kunirusha.naitaji baraka ya yesu.

  • @johntausi1375
    @johntausi1375 3 года назад

    Mungu a sante

  • @jinasasabuni2419
    @jinasasabuni2419 Год назад

    Nabalikiwa sana na mahubili haya

  • @AlexanderMwinzi
    @AlexanderMwinzi Год назад

    Hapo apostle

  • @peaceanexavery7197
    @peaceanexavery7197 6 лет назад

    Amina, nitalipa kwa jina la Yesu

  • @pastorchrissumary5997
    @pastorchrissumary5997 6 лет назад

    Nice preaching straight forward

  • @thomasgodfrey8421
    @thomasgodfrey8421 6 лет назад

    Mungu akupe mafunuo zaidi.Umesema kweli wa Mungu.

  • @Devothakimei
    @Devothakimei 6 лет назад +1

    somo lilieleweka sanaa, Mungu akutunze

  • @doricaxnsemwa5427
    @doricaxnsemwa5427 6 лет назад

    Songa mbele Mtumishi wa mungu

  • @rutagandajohn337
    @rutagandajohn337 6 лет назад

    Amen amen amen amen amen

  • @johntausi1375
    @johntausi1375 3 года назад

    Jaman vifungo vyamadeni vimenifunga muda mpk nikayakatia tamaa nimeonekana nimezulumu mana kilaelanapata nalipa madeni ikaatua nikasema mungu Hi I zambi niyangu nimeyumba sana achanijipange kibiashara lkn kumbe nimejua namna yakulipa nanitatii jaman mungu akubariki

  • @SaraMtei001-fe2yp
    @SaraMtei001-fe2yp Год назад

    Kwakwel yesu amelp maden yangu yote

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa7181 4 года назад

    Namini nimelipiwa Deni langu na Yesu

  • @annajoseph425
    @annajoseph425 3 года назад

    I receive

  • @lailatlasway7188
    @lailatlasway7188 6 лет назад

    Nice brother

  • @ignasmchila5377
    @ignasmchila5377 6 лет назад

    Kwa kweli Yesu amenilipia deni

  • @deborahndosi9138
    @deborahndosi9138 4 года назад

    Eeh Mungu wa Major one naomba unirehemu n kweli nilikuwa sijui Kama n wewe Bwana ee Mungu nisaidie kuwatendea mema watu wote ninao wajua na nisiyo wajua

  • @lilikaaya2605
    @lilikaaya2605 2 года назад

    sehemu ya kwanza mbona siioni humu youtube

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 3 года назад

    Leo napona

  • @aishagodelive8102
    @aishagodelive8102 3 года назад

    Ubalikiwe

  • @tumainkivamba2153
    @tumainkivamba2153 6 лет назад +1

    GRACE

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 3 года назад

    Umeongeya Kweli Mtumishi

  • @rutagandajohn337
    @rutagandajohn337 6 лет назад

    Barikiwa

  • @yohanaezra1059
    @yohanaezra1059 6 лет назад

    Barikiwa Chf

  • @AlexanderMwinzi
    @AlexanderMwinzi Год назад

    Welcome Kenya makueni ulete ufunuo iii

  • @mariamapuga1829
    @mariamapuga1829 6 лет назад +1

    Powerful

  • @lyingamwazyunga7823
    @lyingamwazyunga7823 6 лет назад +1

    Asante sana Chief wa watu 10G+

  • @dorcasmaina5169
    @dorcasmaina5169 2 года назад

    Naomba kulipiwa madeni

  • @revmusafiripatrick7817
    @revmusafiripatrick7817 5 лет назад

    Namimi mungu anilipiye. deni la 10mill

  • @lyingamwazyunga7823
    @lyingamwazyunga7823 6 лет назад +1

    Best somo ever hakika tumepata dawa ya deni iyeeeee

  • @carenesendi4623
    @carenesendi4623 5 лет назад +1

    Napenda Sana unabii wako nakuona yu tube Caren from kenya

  • @mollelshange2412
    @mollelshange2412 6 лет назад

    Amina

  • @arthurmwakanyamale7651
    @arthurmwakanyamale7651 6 лет назад

    Asante mweeeeeeeeeeeeeee

  • @julianamsofe6445
    @julianamsofe6445 6 лет назад +1

    poweeeer

  • @bartonntimba1223
    @bartonntimba1223 4 года назад +1

    Hili kanisa lipo maeneo gani? Anaejua anisaidie

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf 2 года назад

    I hope you have abandoned those chiefs, oh yes na mengine...
    Semeni Amina katika roho

  • @lightnesselia765
    @lightnesselia765 6 лет назад +3

    mmmmh ila jamani, one day yes mung atarudi kumlipa kila mmoja sawa na matendo yake

  • @isackkadilo9352
    @isackkadilo9352 3 года назад

    Nimelipiwa deni

  • @carenesendi4623
    @carenesendi4623 5 лет назад +1

    Natamani ungekua hapa karibu nije kwenye kanisa lako

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 4 года назад +1

    Usijaribu kuaply huu mfano kwenye ofsi ya watu eti uwaite wadaiwa nakuwapunguzia madenu yake utapata kesi ya uhujumu uchumi huu mfano ni wakiroho zaidi ,

  • @lyingamwazyunga7823
    @lyingamwazyunga7823 6 лет назад +1

    Ohhh yes

  • @dullyprinc7886
    @dullyprinc7886 6 лет назад +2

    harafu uyo anashika maiki anaongea kweli jamani acha tusikilize neno muhemko Wa nini wore tunashangwe tukiliweka atasikika nabii

  • @dullyprinc7886
    @dullyprinc7886 6 лет назад +2

    mbona amji mikoan uku nasi tupate unabii in DSM tu ndo kunawatu jamon

  • @marrymohamed412
    @marrymohamed412 6 лет назад +2

    Namimi Mungu amtume mtumishi wake popote alipo deni la 369,000/=linanitesa saana namba yangu ni 0788127715.Mungu anisaidie!!

    • @matridalule9918
      @matridalule9918 4 года назад +1

      😂😂😂😂we Kaden ako mm milio n mbil keshi

  • @agneshassan4712
    @agneshassan4712 3 года назад

    Mtumishi umenipinya ninashinda nikikwama naomba wenye pesa.sinaga bahati ya kupata .kumbe nikikwama nisaidie muitaji aloechiniyangu

  • @sigudaud2301
    @sigudaud2301 Год назад

    nimebarikiwa asubuhi hii mnoo sikujua miaka minne kuna hii kitu na ninateseka aisee

  • @godwilljesus3505
    @godwilljesus3505 6 лет назад

    Please do we have ECG IN KENYA ?? I WOULD LIKE TO KNOW

  • @tummahpretty8645
    @tummahpretty8645 6 лет назад

    Hili somo nabii linanihusu kabisa

  • @SDLFSDLF-m1s
    @SDLFSDLF-m1s 8 месяцев назад

    Am very confused pastor why in your church women wear trousers??

  • @caritasmushi4092
    @caritasmushi4092 5 лет назад

    Ili somo nabii linanihusu kabisa

  • @modekaimgisha2684
    @modekaimgisha2684 6 лет назад

    Iyeeeeeeeeeee

  • @sheltermnzava8096
    @sheltermnzava8096 6 лет назад +1

    Kanisa liko wap? Mbona no zenu hazipatikan

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 года назад

    Hahahaha,
    Tuchukuwe madeni ili Mungu aje ku clear???

  • @gainambalase4160
    @gainambalase4160 6 лет назад

    Mtumishi wa Mungu huyu anapatikana wapi? Tafadhali nisaidie namba yangu ni 0743 601904. Asante kwa msaada wako na Mungu akubariki sana.

  • @rehemagunda3968
    @rehemagunda3968 4 года назад

    Madeni yakifutwa natunaodai tutalipwa aje

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 лет назад +1

    Naomba msaada mtu yeyote anilipie deni la laki 4,kwakweli hili deni linanitesa sana.namba yangu ya m-pesa ni 0757 21858 jina Elisha,Ahsante na Mungu ambariki yeyote atakayeguswa .kunisaidia.mimi ni mwanafunzi niko chuokikuu mwaka wa 2

    • @elisha5693
      @elisha5693 6 лет назад

      Namba yangu ni 0757218582

    • @thomasgodfrey8421
      @thomasgodfrey8421 6 лет назад +1

      Fuatilia somo vizuri,Ni jinsi gani Mungu atakapo muinua Mtu akulipie.Sio ww ujitafutie wa kukulipia.

    • @bonifacemmassy5523
      @bonifacemmassy5523 6 лет назад +1

      Ukitaka kulipiwa Deni kaa katika utii wa Mungu hakika hutaweza kuamini

    • @neemamwanga5447
      @neemamwanga5447 6 месяцев назад

      Elisha laki 4 ngoja nikupe yangu ni milioni 15 nadaiwa na sijui pa kupata natamani kukimbia dunia

  • @ianmaseko6272
    @ianmaseko6272 6 лет назад

    Pastor kanisa lipo wapi siku moja nije nitembelee ? Hakika nimebarikiwa sana, somo hili limejengwa katika msingi wa upendo i can see !! Upendo husitiri wingi wa dhambi, sasa nimeng'amua. Barikiwa Mtumishi wa Bwana.
    Nahitaji sana kuja kutembelea church one day, 0629139123/0684215215 please let's communicate Pr

  • @rebecamichael5594
    @rebecamichael5594 5 лет назад

    Somo limenigusa sana ninamadeni nisaidieni namba yangu ni
    0764726366

  • @julianlukindo4623
    @julianlukindo4623 6 лет назад

    Ila kanisani lipowapi dar? Uwe unatangaza

    • @tuttibujiku2544
      @tuttibujiku2544 5 лет назад

      Makongo Juu kituo cha basi Machine au kanisani

  • @dullyprinc7886
    @dullyprinc7886 6 лет назад

    prophet hayo maneno unayotoa ni kunena kwa lugha au ndo style yako

  • @claudetambwe6674
    @claudetambwe6674 6 лет назад +1

    Hao wanaosema yes kila mara, waache, kwasababu wanasema maneno ambayo it doesn't make any sense. Can you, please, stop saying that word yes kila mara Kwanza wewe sio muhubiri, why are you making kelele. God bless

  • @naomilemi4717
    @naomilemi4717 6 лет назад

    kanisa ni neno. lenu linajengwa nn. injili hakuna. mbunguni no

  • @elisha5693
    @elisha5693 6 лет назад

    Namba yangu ni 0757218582

  • @abelsj9964
    @abelsj9964 6 лет назад

    These are typically doctrine of devils (1st Timothy 4:1)

    • @SonofMajor1
      @SonofMajor1 6 лет назад

      This is what we call loving a man of God mpaka unakuwa chizi. Kusema kweli unampenda sana Chief wa watu Abel. Endelea kujifunza ipo siku utapata unachotafuta tu. Cybercrime on the way just wait and see.

    • @julianamsofe6445
      @julianamsofe6445 6 лет назад +1

      Chizi wewe unafuata nini hapa kama Humpendi, wewe unampenda sanaaa unahangaika kila sehemu kumtafuta mwenyewe una madeni mpaka basi unakuja kuiba nondo zetu halafu unaleta ujinga hapa ebu tuondoleee kiwingu
      kama hupendi si uondoke unanadika ujinga ujinga kwendraaa acha kutuibia mafundisho yetu baki na madeni yako na umaskini wako uiliojaaa mpka kwenye akili yako kutwa kuchungulia page za watumishi wa MUNGU si ufanye yako hatukutaki hapaaaaaa kwendraaaaa Jezebel wewe

    • @graysonsekimanga5821
      @graysonsekimanga5821 6 лет назад

      wewe acha kukosa imani unaboa sana lakini haina shida maana hata Yesu alisingiziwa kuwa anatoa pepo kwa mkuu wa mapepo

    • @abdulmingange7416
      @abdulmingange7416 5 лет назад

      Aaaaaaah
      Mungu ni mwema kwakila jambo

    • @tuttibujiku2544
      @tuttibujiku2544 5 лет назад

      Waefeso : Mlango 4
      11 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;