MCHUMBA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #dinho#mariam#comedyplus#bhailam

Комментарии • 293

  • @Dinhoactor
    @Dinhoactor  4 месяца назад +11

    MNIVUMILIE FAMILIA YANGU NIMESHINDA KUPOST LEO EP 3 KUTOKANA NA SABABU ZISIZO NA UWEZO WA KIBINAADAMU MVUA IMEFANYA KAZI ISIISHE KWA WAKATI KESHO MUNGU AKIPENDA MAPEMA 🙏🙏🙏🙇‍♂️

  • @user-uv8uc2dv5u
    @user-uv8uc2dv5u 4 месяца назад +2

    Film nzuri sana ❤❤ mungu awasaidie mufike mbali❤ mtupe kipande kingin basi🥰🥰💯💯💯

  • @user-st2ig6ds3f
    @user-st2ig6ds3f 4 месяца назад +24

    Hapo sijapenda hakuna katika uislam unaoruhusu eti uchumba huo wakuishi nyumba 1 kama mke na mume subhanallah hapo mnapotosha jamii

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 4 месяца назад

      Nakwambia hadi huruma

    • @MwanajumaDot0-ej6jy
      @MwanajumaDot0-ej6jy 4 месяца назад

      Kuish pamoja kwa dinyo n mariam nikujuan tu wazungu wanaita come we stay

  • @MaA-kn9ty
    @MaA-kn9ty 4 месяца назад +13

    Mm leo nimewahi wa kwanza naomba like zangu hata 10 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 hongera sana bwana dhinyo kazi nzuri sana

    • @MohammedKhamis-bx6td
      @MohammedKhamis-bx6td 4 месяца назад

      Jamn mnatoa Lin sehem yak y 3 mda hakun mnatutoa kwwny mudi et

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 3 месяца назад

    Mko vzr yaani filamu nzuri sna❤❤❤

  • @user-yl4bj7yi2v
    @user-yl4bj7yi2v 4 месяца назад +3

    Dinhoooo kazi unayooooo mkeeee kigego huyoooo😂😂😂😂😂

  • @ramadhaniabdulabdul
    @ramadhaniabdulabdul 3 месяца назад +1

    marafiki pia wanatoa ushauri mbaya kwa dinho

  • @hassankalu540
    @hassankalu540 4 месяца назад +12

    Mwanangu dinho apo umecheza mwamba,one love from mombasa

  • @VanillaVictor
    @VanillaVictor 4 месяца назад +4

    Me nmeipenda mno co mfanye mtoe nyingine jaman

  • @MariamuRajabu-el9ev
    @MariamuRajabu-el9ev 4 месяца назад +1

    waoooh imeishia patamu jamn tuwaishien ayo mambo mazur❤

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 4 месяца назад +2

    Mimi mpya hapa movie nzuri❤❤love from Zanzibar

  • @user-nf6wj1xn8o
    @user-nf6wj1xn8o 4 месяца назад +2

    Thanks for the good information you giving to people about marriage may Allah gives you reward and Allah protect you all inshallah

  • @kelvinfficial
    @kelvinfficial 4 месяца назад +23

    Team Dinho sisi awa munipe ata like 20 tu

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 4 месяца назад +2

    Hiii ndo movie yako ya kwanza kuielewaa hongera sanaa🥰🥰

  • @hghh6056
    @hghh6056 4 месяца назад +1

    Kiukweli movie nzuri saana ila wazazi kama Hawa wanaleta ishu mbaya hakuna mke kutafutiwa mume na hakuna mume kutafutiwa mke nyakati za Sasa but nazikubali munatufunza kitu sisi kma wazazi na sisi Kama waschana na wavulana inaingia akilini ou vip mashabiki wenzangu 🤝❤️❤️❤️😂❤️❤️🥰🇰🇪🇰🇪

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 4 месяца назад +2

    Mapenzi Ayo dinho nawapenda sana❤❤❤ EP 3

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 4 месяца назад +43

    Film nzuri ila maudhui mabovu... wazazi wenye akili timamu hawawezi kusema wakae chumba kimoja kama mke na mume wakati hawajaoana... Haya ni maigizo tu ndiyo. Lakini sanaa ni kioo cha jamii. Ujumbe ni mbovu 100% ktk jamii. Wapumbavu wamejaa kwenye comment wanasherehekea tu kuonesha hayo ndiyo kaisha yao. Ndinyo jitahidi kutengeneza maudhui mazuri. Wazazi wangwkuwa walevi hapo sawa. Lakini kwa mavazi hayo waongee upumbavu huo!?....

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 4 месяца назад +2

      Ndio uislamu wa kibongo bongo huo ndugu hatari tupu

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 месяца назад

      @@alhimnamussasaid3619 sio uisilamu, hakuna mzazi mwenye akili timamu hata kama sio Muisilamu akaruhusu mwanae akaishi na mwanaume mwezi mmoja eti wachunguzane kisa wamekataa kuoana... Aidia hiyo ni kuipotosha jamii. Wangetumia aidia nyingine itakayofunza jamii.

    • @HamadyMahindukila-dx8ey
      @HamadyMahindukila-dx8ey 4 месяца назад +2

      Sawa kabisa ,ushenxi mtupu..mtunxi umefeli saanaaa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 месяца назад +2

      @@HamadyMahindukila-dx8ey inatakiwa wawe makini katika kuandaa film. Jambo hilo wangefanya wao kama wao hapo sawa. Lakini wazazi tena wanne wanashauliana wazo la namna hiyo bila kuuliza sababu ni nini? Eti wakae chumba kimoja kama mume na mke...

    • @Nailaty564
      @Nailaty564 4 месяца назад

      ​@@alhimnamussasaid3619hakuna uislaam WA bara hiyo ni movie

  • @everdhekay4924
    @everdhekay4924 4 месяца назад +2

    Bila shka Leo mmefanya Jambo 🔥🔥🔥, from 🇰🇪🇰🇪

  • @DeborahFuraha-ho4yk
    @DeborahFuraha-ho4yk 4 месяца назад

    Neno hii mama iliwajuwanne nawanajuwa sasa sema wasameheane kuatabia zawo chafu kisha wajenge bunyumba waaache buying a

  • @FavourTemu-cm6hp
    @FavourTemu-cm6hp 4 месяца назад

    D, hongera sana kazi nzuri basi tuongezee japo muda kidogo alafu usicheleweshe sana bwana maana imenivutia sana ❤

  • @madymag6926
    @madymag6926 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana Dinho❤❤❤

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 4 месяца назад +1

    Wew tenaaa wampenda banah maryam huyo dinyo

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 4 месяца назад +2

    Uwiiii 😂😂😂Huyo ndo mchumba 😂😂😂😂

  • @user-nk6vz2qs2h
    @user-nk6vz2qs2h 4 месяца назад

    Vip mbn mpka Leo hamtoi kipande kingne

  • @user-ef1zl5gi1k
    @user-ef1zl5gi1k 4 месяца назад

    Hongeleni sanaa kwa filamu mzur sanaa🎉🎉❤❤😂

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 4 месяца назад +3

    😂😂😂😂 mwapendana

  • @DdfDe-fk3xy
    @DdfDe-fk3xy 4 месяца назад

    Ndinyo umenichekesha mumenikumbusha utotoni kuwekeleana kindle.bawapenda mbure❤

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 4 месяца назад +1

    Naona Mariam ameanza kumpenda Dinho🤣🤣🤣🤣

  • @princesstvonline6488
    @princesstvonline6488 4 месяца назад

    Dinho acha uongo weeh kupika hujui kweli?😂😂😂

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 4 месяца назад +1

    Wanasema dinyo kakosea ss yeye kakosea ikiwa ni siries je yule ambaye kamzihaki mungu je hao wanawake wanaovaa uchi acheni mambo yenu kila kukicha Mashekh wanasema maadili je lini ulisika msaani mkubwa kaacha mziki na kufata kila mmoja na imani ukitaaka maudhi kuna kaseti za enzi hizo zipo zina maudhui dinyo gonga ngoma

    • @Dinhoactor
      @Dinhoactor  4 месяца назад

      🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️

  • @user-zz9uy8xo8i
    @user-zz9uy8xo8i 4 месяца назад +1

    Muko vizuri sana lakin siyo wazo nzuri kukaa wote kabula ya ndoa

  • @chidimsafi1279
    @chidimsafi1279 4 месяца назад +3

    Kazi nzul sanaa dinho

  • @user-tc5le7sv7t
    @user-tc5le7sv7t 4 месяца назад

    Sijapenda wazazi unatoa ruhusa watoto wafanye zinaaa kwa mtihani 😢😢sasa Duuuuh dunia inamambo 😮😮

  • @mrsfahad5693
    @mrsfahad5693 4 месяца назад +1

    In love with this love story film🥹🎉🎉

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 4 месяца назад

    Mnatucheleweshea jmn uo muendelezo haaaaa

  • @mrsfahad5693
    @mrsfahad5693 4 месяца назад +1

    Bdo tu next episode jamani

  • @user-rq5hm1jw4q
    @user-rq5hm1jw4q 4 месяца назад +1

    Mke mwema anataka binti akae namwanaume apo ajatufundisha bary mmepotosha wa2 😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 4 месяца назад

      Heri nyumba moja,chumba kimoja😮

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 4 месяца назад

    Nyinyi mapenzi nikama kikohozi😊😊😊 acheni kuwasumbua nakuwaboa wazazi wenu😅😅😅❤

  • @salmahoperi9783
    @salmahoperi9783 4 месяца назад +1

    From Pakistan kazi nzuri sana

  • @user-fl2fy6xr9p
    @user-fl2fy6xr9p 4 месяца назад

    Hi ndoa ita dumi 😂😂😂kahaba na play boys 😂😂😂 hua zina dumu hizi ndoa😂😂😂😂

  • @AsiaSaid-tq4yw
    @AsiaSaid-tq4yw 4 месяца назад +1

    Ht mimi sijapenda hakuna Wislamu.kuhalalish zinaaa

  • @HamisiMpondi-br8wz
    @HamisiMpondi-br8wz 4 месяца назад

    Mbona munacherewa sana muenderezo jaman

  • @user-xm5lr1zg4r
    @user-xm5lr1zg4r 4 месяца назад

    mnaruhusu zina hazarani 😅😅😅😅😅😅

  • @nasraemmanuel
    @nasraemmanuel 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana bro

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q 4 месяца назад

    😂😂😂😂😮😮 mulisikia wapi watu hawaja oana alafu eti wakae kwenye chumba kimoja

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 4 месяца назад +1

    Kam nia yako kuolewa na waarabu 😂😂mwarabu mwenyewe sas😂😂

  • @OrestaSamson-ne5yb
    @OrestaSamson-ne5yb 4 месяца назад

    Usiwe unachelewesha Sana dihno unaweza kupoteza mashabiki ivo

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 4 месяца назад

    Nakwambiya mutanyooshana mmekutana😂😂😂

  • @halemasuliman-js8ug
    @halemasuliman-js8ug 4 месяца назад

    Movie mzuri sana

  • @user-ko7pw4ct7e
    @user-ko7pw4ct7e 4 месяца назад

    Good work,congratulations to you dinho💪💪💪💪

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 4 месяца назад +1

    Ndinyo umependwa Mariam anajifanya tu❤❤❤❤

  • @user-by6bg2fq6b
    @user-by6bg2fq6b 4 месяца назад +1

    good job jaman next pleaz msi2chelewesheee ivyo

  • @HusnaShaban
    @HusnaShaban 4 месяца назад +1

    Wallah bhna hii ni bomba❤

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂dinyo na uyoo mke mwanipunga

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 4 месяца назад

    Hongereni sana nawapenda sanaaaaaaa ❤❤❤❤

  • @aminahkisalazo6949
    @aminahkisalazo6949 4 месяца назад

    Kwaio nyie wazaz mna2fundish nin sis ambao niwatot wenu hapo mmefeli huo niupotoshaj siufundishaj bhan katika uisilam we2 namung hapend

  • @jacquelinebongo9238
    @jacquelinebongo9238 4 месяца назад

    waooh nimefurah kumuona Mariam tena jamn mnaendana

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 4 месяца назад +3

    Hii film inaenda kua Kali sana bg up

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s 4 месяца назад

    Waongo nyie muwape chumba wakae mwezi mmoja watu ambao awajaowana

  • @user-cp6xm8nz1e
    @user-cp6xm8nz1e 4 месяца назад +1

    Kazi nzuri maua yenu 💐💐💐

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 4 месяца назад

    Mwaomba like hamuangalii move ,,,angalieni move mujue mwajifunza nini

  • @user-je7no7lq7d
    @user-je7no7lq7d 4 месяца назад +2

    new super star in town

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 4 месяца назад

    Aya Mambo ya Kukaa pamoja kwanza , Wanacheza sana wa Nigeria 🇳🇬

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt 4 месяца назад +2

    Dinho waambie wazazi wako kua huyo msichana anajiuza ushawai mnunua

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 4 месяца назад

      Alikua anafosiwa na marafiki lakini sio kutaka kwake angalia pale alipokua afatwa na dinyo kule pori, na alivyo enda akasema ataki tena

    • @user-cp6xm8nz1e
      @user-cp6xm8nz1e 4 месяца назад

      Pia asisahau kusema yeye ndiye mununuzi

    • @SummaiyaKassim-zv5nt
      @SummaiyaKassim-zv5nt 4 месяца назад

      Yeah nliona ndio aseme ukweli venye ilkua

  • @user-zg5rr8qy7b
    @user-zg5rr8qy7b 4 месяца назад

    Sem moja wamekosea kukaa chmba kimoja

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 месяца назад

    Wow so mwaaaa I like it kitu kiko poa hichi

  • @SandrahVictor-yz9ph
    @SandrahVictor-yz9ph 4 месяца назад

    Filam. Nzurii sana please tunaomba ep 3

  • @everdhekay4924
    @everdhekay4924 4 месяца назад +1

    Sasa uchumba 😅umeaza 🎉🎉🎉

  • @Veronica-xe3ss
    @Veronica-xe3ss 4 месяца назад

    Kazin endelee

  • @khadhalmpemba1398
    @khadhalmpemba1398 4 месяца назад

    We dinho wewe jamani kesho Si tayari imefika weka bahn 3 tunaomba

  • @user-qx3ce4rz2x
    @user-qx3ce4rz2x 4 месяца назад

    Ila Mariam mrembo sana bila ushungi

  • @user-zp4zc2ln2n
    @user-zp4zc2ln2n 4 месяца назад +1

    We naona ndoa tunayo hapa😂

  • @Habiba-tq8jm
    @Habiba-tq8jm 4 месяца назад +5

    Mmekosa wazo

  • @JascoIbrahimo
    @JascoIbrahimo 4 месяца назад +1

    Kwan mukiwa Muna toa Kila siku Kuna k2 itaenda mbayaa

  • @user-vq6de7rg8y
    @user-vq6de7rg8y 4 месяца назад

    Kazi nzuri ila muwe mnawahisha kutoa jamani

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 4 месяца назад +4

    Hii imeenda kaka

  • @faridayahya4564
    @faridayahya4564 4 месяца назад

    Dinho nimekuita mara 3 😢😢😢tuekee episode 3 wenzio

  • @zenasalumu8570
    @zenasalumu8570 4 месяца назад +1

    jamani dk chache jamaniiiii mbona hvyooooo

  • @user-rt3zu3iw3n
    @user-rt3zu3iw3n 4 месяца назад +1

    😅😅😅😅 pole deinyoo umepatikan

  • @KingaluSalumu-yv2vu
    @KingaluSalumu-yv2vu 4 месяца назад +1

    Iyi lovie kubwa

  • @jeandezanzibar
    @jeandezanzibar 4 месяца назад +1

    Big up dinyo 🎉🎉🎉🎉

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂❤❤❤ nafulahia hivi ndiyo wewe utaona

  • @KingaluSalumu-yv2vu
    @KingaluSalumu-yv2vu 4 месяца назад +1

    iyi movie naona itakuwa nzuli

  • @alish2182
    @alish2182 4 месяца назад +1

    Nzuli jamani😂😂😂😂😂😂

  • @DorcasAlii-eu9vu
    @DorcasAlii-eu9vu 4 месяца назад +1

    Kazi poa ilha mnatake long kutoa jamani mzigatie ilo

    • @DdfDe-fk3xy
      @DdfDe-fk3xy 4 месяца назад

      Ndo hapo sasa wanachele sisi tumenogewa

  • @mariamsungura1664
    @mariamsungura1664 4 месяца назад

    Mwendelezo pliizi

  • @SowetoFamily
    @SowetoFamily 4 месяца назад +2

    Leoo wakwanz🎉😂

  • @agnesmuangi911
    @agnesmuangi911 4 месяца назад +2

    Noma 😂😂😂❤

  • @user-sx4ub9xc8y
    @user-sx4ub9xc8y 4 месяца назад

    😂😂😂ushakataliwaaaa caca binti hataakiii ukaamua kupita humo humo eti na wewe hutaki kuoa😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 месяца назад

      😂😂😂hao wanadanganya sura zao ila mioyo yao ishapendana

  • @safiasafiya7904
    @safiasafiya7904 4 месяца назад

    Wallah ni katamu 😊😊😊 aiseee❤❤❤

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 4 месяца назад

    Wazazi wa hovyo

  • @bintathman3926
    @bintathman3926 4 месяца назад

    Jamani mnaweza kuact iko sawa

  • @user-zj3hm8wm5f
    @user-zj3hm8wm5f 4 месяца назад

    Yaani nimeipenda saaana ❤❤❤❤

  • @athmancharo
    @athmancharo 4 месяца назад

    broo kzisf lkli mumeto kw madili ykisilam tu sn kzizri bro le pt 3

  • @AstridaJumanne
    @AstridaJumanne 4 месяца назад

    Wazaz wanazngua

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 4 месяца назад

    Amazing ❤❤❤

  • @user-gg5ow9bg6y
    @user-gg5ow9bg6y 4 месяца назад +1

    Mariamu wivuuuu utakubali tu

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 4 месяца назад

    Kenya Watching

  • @Rehemajumanne-qy5mk
    @Rehemajumanne-qy5mk 4 месяца назад

    Kazi zuri ila mmekosea wasilam kuwaweka wachumba sehem moja 😢😢

  • @mwagombebakari
    @mwagombebakari 4 месяца назад

    Mtoto wako utamuachaje na mume mwezi mmoja