Lkn kwenye wake wenz mume tukera kweli timejitahid kuweka bando zetu muda wot tuko pamoja ,lkn imefika ya mwisho haitoki kisa 2000. Ina maan itafika ahadi tusiwafuatilie ten
Tumeanza sote tuko sote mpk mwisho chakwanza nime subscribe Cha pili like Cha tatu comment Cha nne kushare ninetimiza ma hukumu yangu twende nalo dinyo musikose kutimiza kama mm pia like zenu ata moja tu twashukru 😂😂🎉🎉🇰🇪🇰🇪🌹🌹😋
Iliishia Dino nae alikuwa chizi family ya mzee simba ilienda kijijini kuona kaburi la bi sharifa sheikh masudi kaanguka kapararaiz na mke wa Dino pia kapararaiz huo ndio wake
MashaAllah ni nzuri kwa kweli...ila jitahidini kuongeza muda kidogo....mchumba.
Nzuri sana ila mtuletee recho wetu isije kuwa alikufa vya ukweli😂😂😂 dah mlete lecho wetu
❤
😂😂kwa kweli watuletee bi fatma wetu
Kazi kazi 🎉 Uko vzr Dinho 😍 Love from 🇸🇦
😂😂😂😂😂eti afisini😅😅😅hatari
Good job dihno much love kutoka kenya ,tupe vitu baada ya siku mbili usitukalishe sana
Muendelezo naona nizuri MashaAllah❤❤
Dinyo umeupiga mwingi chukua maua yako 💐💐💐💐💐💐💐🌹 🌹🌹🌹🌹nasubiri muendelezo kwa hamu ❤
New one ❤❤❤❤ wake weza imeenda kwao 😅😅😅
Mchumbaa motoooooooo dinho uko vizur
Umorogoro ndio ugani tena😂😂😂 ati upandaji milima,daah! 🙌 🙌
Haaa broo Acha kusema wa morogoro wasamba apo ndo una alibi sema namkubali sana dinyo yani duu llove you dinyo
Hiiii imeenda kaka umetisha sana 🎉🎉🎉
Bora 2 iendele mana ni motoooo😂😂
Kazi nzr muendelez
Mbona sioni mwendelezo jaaaaaaaaaaan
Congratulations brother Dinho ❤
M niwambie ikifika episode ya mwisho sina ela
,😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂ata Mimi
mtuletee muendelezo mapema jaman🎉
Kwa mchumba niko saw muenderezo🎉🎉🎉🎉
Ndo naingiya kwa Kaka dinho 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Wa mariyamu ulewa
Unamujuwa😂
Nawapenda sanaaa❤❤❤❤
Timetable kwenye ukewenza sasa tunaenda kwenye mchumba 😊😊raha sana
Kwan reachel alikufa kwa ukweli sijwai mwona ata😅😅😅😅😅😅😅😅
Nimemuona kwa doko kwenye move ya kikongwe😂😂😂
@@saumbliz8983 oooh
Safi sanaaaaaaaaa❤❤❤❤
kazi nzuru sana ila mue mnaito kwa wakati msiicheleweshe
Nzur nimeipenda haswaa❤️
Mashallah Allah awaongezee ujuzi ila Dah mmechemka kidgo
Nziriiiiiii kama maryam
Kaz,nzuri❤❤❤❤❤
Tumuombe sn mungu anusuru kizazi chetu yaraab simama na waja wako
Jaman mchumba mbn ni tamuuu sana 😂😂😂😂🎉🎉
Nimeipenda next mijitahid
Lkn kwenye wake wenz mume tukera kweli timejitahid kuweka bando zetu muda wot tuko pamoja ,lkn imefika ya mwisho haitoki kisa 2000. Ina maan itafika ahadi tusiwafuatilie ten
Waliileta lkn
Aaaah ulikuwag wap tena mbon movie wametowagz
Kazuli masha allah❤❤❤❤
Ety baba ndevu mtoto ndevu kwan mmekuwa kambare😂😂e
Mwajua kuigiza bt mliniboo kwa fila ya mke wenza mlimaliza ndivo sivo
Mbona wametoa final na imeisha vizuri tu
Mwendelenzo basi nzuri sana
Good job mashaAllah🎉❤
Wowowo♥️♥️♥️
Next part jamani 😢🎉❤
Kabla sijamaliza kuangalia nauliza naomy yumo😊
Kaz nzuri ❤❤❤❤❤
Mbona haiendelei jamani
From Burund ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri mwendelezo tu
😂😂😂😂dinyo kashanogewa umbwa yeye😂😂
Na muimalize sio inafika mwisho mnarulipisha zengine toeni sadaka bhn😢
Hapana kulipisha walishaa acaaa tukiona kwa bure
Kwa kwel , tumelipa alf badae wakatoa yan loooo😢
Kazi nzuri sana ❤❤
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kazi kazi ❤❤❤
Wooi mariam anakaa mgeni kwa hiyo part hadi anaogopa
Leta muhenderezo niziri hiyoo movi
Nawaona vile jamani 😂
Dihnoo umeaza vizur
Hua kla ntu kwenye comments eti wa kwanza kwan hua mwalipwa ana, aii mwaudhi bana
Nampenda uyo issa
Tumeanza sote tuko sote mpk mwisho chakwanza nime subscribe Cha pili like Cha tatu comment Cha nne kushare ninetimiza ma hukumu yangu twende nalo dinyo musikose kutimiza kama mm pia like zenu ata moja tu twashukru 😂😂🎉🎉🇰🇪🇰🇪🌹🌹😋
Msichelewe🇮🇶
Jamani tuna sapoteni master wetu ukitowa hela naukiwachangia nikusmama kwa master nawao wanawapa mayatima mkono kwa mkono hadi peponi
Kazi nzuri sana
Mtuache jaman wa morogoro na milima yetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Duuh EP 2
Akuna part nyengne n hii moja ti
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉
Safi sana mpendwa musichelewe Tafadhali maan patamu apo 😂❤❤❤❤❤
Nzuri sana kabisa 🎉🎉🎉
😢😢😢😢😢 aasaaa
Big bro Dinho🎉🎉🎉
Kazi safi ❤❤❤❤
Mna roho mbaya San kwahy. Wake wenza final mmetukauxhia
Mmmh mbona mm nimeiyangaria jmn
Daaah we huko dunia yngapi? Wenzio nakuisahau tushaisahau imeishaje maana utamu ulinoga mpaka ukaishia juu kwa juu😅😅
Iliishia Dino nae alikuwa chizi family ya mzee simba ilienda kijijini kuona kaburi la bi sharifa sheikh masudi kaanguka kapararaiz na mke wa Dino pia kapararaiz huo ndio wake
Wachumba washaonana bila wazazi kujua😂😂
Nice 💕🇹🇿
Dinho congratulations san naon Yani vitu nisaw
Hii hatari yaan kali ❤❤❤❤
Kazi nzuri sana hongera zenu 🤣
Pamoja mpaka mwisho wa mchumba🇰🇪
Mnaleta vitu vizuri sana ila ikifika mwisho ela amna
Next iko wapi jmn😂😂😂
From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Good job broodah ❤❤ much love from Zanzibar 🎉
Kaz nzur
Jamani mbona Maryam kawekwa character ya kujiuza😢
Sa unashangaa nn
Wakwanza mim
Mchumba tena? Na my love iko ap
Kazi nzuri dinho
Kazinzuri sana kabisa 🙏 🙏 🙏
Mariam ,my love.
Kaz nzur sn Ila wake wenza mbon haijnifkia uku nilko?🇰🇪🇸🇦
Mwendelezo please
Dinho owa weweeee
Mtumalizi movie iyo mambo ya kulipia eifu mbili akuna apa mna tuchosha sie
Hakuna ku subscribe mpl tuone final ep...mn hawakawii kutoa ep moja wanalala mitin
Utaionaje bila kusubscribe
Mwatuboesha tusibir mpak lini iyo mchumba 3
Mchumbaaaaaaa😂😂😂
Ni nzuli sana kbs
Mariyamu nimdangaj wanishakutana 😁🇧🇮
Mwendelezo jamn
😂😂😂😂😂Hawa malaya wanichekesha
❤❤❤❤❤tupe vitu dinyo
Hiii iko saw inakubalika